CHANGAMOTO ZA KUA KWENYE MAHUSIANO NA MZUNGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ธ.ค. 2023
- Hamisi wa BSS ametuelezea walipokutana na girlfriend wake na namna changamoto ya kuishi pamoja ilivyokua
Sio kila ukiona mzungu basi tuombe hela, no kukosa kuungwana.
Thank you Hamisi for allowing this to be online
www.oda.international
Sawa sawa Hamis, Vijana wafanye kazi. Hata Wazungu wanapenda kuwa na mahusiano na wenza wenye kujiongeza.
Hamisi wa Bss, Nipo California joto sana ,sana
Hongera Hamisi wetu 🎉🎉💐💐.
Shena congrats kwa kazi yako nzuri
Huyu kumbe kule bss alikuwa anaigiza uboya kumbe lina akili... anajieleza vizuri
Ana akili na kipaji kikubwa sana tu
Mungu amfungulie njia zake zote
Shena Mungu akubariki sana kwa kazi yako
Happy new year Shena🎉endelea kutupa mambo mazuri katika mwaka huu mpya.. nakupenda sn 🤗
Asante sana wapendwa ❤❤❤❤🥰🥰
Nice interview 😍😍😍
He so cleaver ❤🎉
Congratulations 🎊 👏 💐
Vizuri hamisi umeongea kwa undani ukweli mtupu
Hi! My sister, naonaleo uko nakjana wakibongo maalfu kwajna la H, wa bss, hongera Sana, mi nakutakia Heri yamwaka mpya,
Asante Sono limepita
Shena😊
❤❤
😮
❤❤❤
Tumpe maua yake 💐💐
Safi sana khamisi 😅😅😅😅
Unamaanisha hamiss amepata mzungu hii nakuja kwako hamis uniambie ulianza lini kutafuta mzungu umetumia mbinu gani mimi nahisi kuwa kichaa kweli 😅😅
Kwa hiyo kule zamaradi tv alitudanganya ameachika na block juu
Kcc imefanya watoto wakigamboni wengi tuko ulaya
Kumbe ukitulia unaongeaga vizuri Hamisa😂😂😂😂😂
Hamisa tena 😂😂😂
Wewe ukokidunia
network
Wazungu wamebadirika miaka hii, ila ya zamani wanawake wazungu walikuwa wanakaa nyumbani kulea watoto.
😂😂😂🎉🎉🎉🎉
❤️❤️❤️❤️
Wabongo punguzeni taama ,tafuteni pesa kwenu ,mzungu hawapendi mtumnafiki na kupenda kumbeba mwanaume, usitoe akili ,eti umepata mke wakuoa , ukibatika kuletwa ,ukileta utapeli wa kibongo atakuharibu kichwa ,mzungu hana mzaaa 😂😂😂😂
Binti kigoma alikukongota makonzi shida ilikuwa anata nini
Habar shena samahani naomba namba yako ninashida na ww
Sina haraka shena ntatoa ushuhuda wangu soon acha nieke mambo swa
Amen 🙏
😊
Na mimi soon nitakuja kusema yangu
Karibu sana
Hamisi ameongeza kilo nyingi
Wewe hamiss juzi tuhapa uliojiwa ukasema ameondoka kila ukimtafuta hapatikani
@@user-rl5qu4zj9bmi mwenyewe nímeshangaa maana alisema hawana mawasiliano sa imekuwaje? Mbona kutuchanganya?
@@user-rl5qu4zj9bkweli alisema alimblock
@@user-rl5qu4zj9bkaachwa wala hayuko nae
Mimi nilitapeliwa na mzungu, tulikutana kwenye application ya tantan Sina amu!
Hahahh sio wazungu ni matapeli wa mtandaoni tantan ni scammers pole mwaya nilitapeliwa milion mbil kila nikikumbuka najicheka
@@shunny-iq1lx pole mpendwa mie nilitapeliwa million 5 tena kipindi hicho nilikuwa nafanya kazi za ndani warabuni. Sitokuja kusahau kamwe
❤❤❤
Huyu kumbe kule bss alikuwa anaigiza uboya kumbe lina akili... anajieleza vizuri