Mahojiano Maalum na Mwanahabari Mkongwe Salim Said Salim

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2024
  • Mahojiano haya yalifanyika siku ya Kilele cha Maadhimisho Uhuru wa Habari Duniani yaliyofanyika Ijumaa Mei 3, 2024 jijini Dodoma, ambapo mwandishi wa The Chanzo katika mkoa huo, Jackline Kuwanda, alipata fursa ya kuzungumza na mwandhishi mkongwe, Salim Said Salim, kuhusu mambo kadhaa kuhusu hali ya uhuru wa vyombo vya habari nchini.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 9

  • @nailamohd-wn6sb
    @nailamohd-wn6sb 2 หลายเดือนก่อน

    Shukraan saana Mheshimiwa Salim Said Salim Allah akubarik maneno yko yataishi milele ❤

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 หลายเดือนก่อน

    So true DC salim mashallah ❤❤❤

  • @lufingodaniel8858
    @lufingodaniel8858 2 หลายเดือนก่อน

    Yupo wapi Jenerali Ulimwengu On the Chanzo ?!

  • @MdungiKhamis
    @MdungiKhamis 2 หลายเดือนก่อน

    Rejea Ile Ile passport Zanzibar security secure

  • @aryan_simba
    @aryan_simba 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂 Waandishi wa habari wa sku hiz bila posho huwaoni😂

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 2 หลายเดือนก่อน

    HUTO SIKIZWA NIMEAMINI NDIO SABABU MARAISI HAWAKUPENDI ,DUH!!
    HUONEKANI KAMA UKO MUUMINI WA DINI YA (UISLAMU) UNAELEZA KAMA MFANO WAMTU ALI HIFAZISHWA [KORANI NA BIBILIA].

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 Comment yako inachekesha eti ndio sababu MaRaisi hawakupendi . Wakikupenda wewe inatosha😂😂😂

    • @harounramadhan9771
      @harounramadhan9771 2 หลายเดือนก่อน

      Ukisikia uchawa ndo huo mtu anaongea
      Mambo ya maana
      Sasa kupendwa
      Wapi na wapi
      Mungu atusaidie
      Ila sisi tume rithishwa ujinga

  • @ukweli255
    @ukweli255 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nilichokiandika Majuzi kwenye moja ya Kurasa wangu mmoja leo ndio nasikia hoja kama hii
    Waandishi wanapaswa kusikiliza hii na kulifanyia Kazi..imagine miradi inalala ila waandishi wapo tu,Wananchi wanalalamika ila nyie mpo tu