Mahojiano Maalum na Mwanahabari Mkongwe Salim Said Salim
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2024
- Mahojiano haya yalifanyika siku ya Kilele cha Maadhimisho Uhuru wa Habari Duniani yaliyofanyika Ijumaa Mei 3, 2024 jijini Dodoma, ambapo mwandishi wa The Chanzo katika mkoa huo, Jackline Kuwanda, alipata fursa ya kuzungumza na mwandhishi mkongwe, Salim Said Salim, kuhusu mambo kadhaa kuhusu hali ya uhuru wa vyombo vya habari nchini.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Shukraan saana Mheshimiwa Salim Said Salim Allah akubarik maneno yko yataishi milele ❤
So true DC salim mashallah ❤❤❤
Yupo wapi Jenerali Ulimwengu On the Chanzo ?!
Rejea Ile Ile passport Zanzibar security secure
😂 Waandishi wa habari wa sku hiz bila posho huwaoni😂
HUTO SIKIZWA NIMEAMINI NDIO SABABU MARAISI HAWAKUPENDI ,DUH!!
HUONEKANI KAMA UKO MUUMINI WA DINI YA (UISLAMU) UNAELEZA KAMA MFANO WAMTU ALI HIFAZISHWA [KORANI NA BIBILIA].
😂😂😂😂 Comment yako inachekesha eti ndio sababu MaRaisi hawakupendi . Wakikupenda wewe inatosha😂😂😂
Ukisikia uchawa ndo huo mtu anaongea
Mambo ya maana
Sasa kupendwa
Wapi na wapi
Mungu atusaidie
Ila sisi tume rithishwa ujinga
Nilichokiandika Majuzi kwenye moja ya Kurasa wangu mmoja leo ndio nasikia hoja kama hii
Waandishi wanapaswa kusikiliza hii na kulifanyia Kazi..imagine miradi inalala ila waandishi wapo tu,Wananchi wanalalamika ila nyie mpo tu