Hongera sana boss wangu yusuph B.asante mungu asante s.s.b kwa watoto wenye juhudi na malengo yakuona mbali zaidi Allah awape afya njema. asante mafund asante wa tz tunaweza hakika...nataman ningekuwepo kwenye umeme hakika ninge jipatia historia nzuri kushiliki kwenye TAnzanite marine 1.
@@kidjhdf7568 ndio ninunuwe sasa utakujaje na Mada zako et Ohh mtoto wa Bakharesa Aunda Boti la kifahari ..kama unataka kuweka mambo hadhani wewe eka tu
Mambo Haya angefanya mondi sasa weee! Oooh anataka sifa! Anaushindani wa kipumbavu! Ooh anajikweza! Nk nk nk! Wakati pesa katafuta kwa nguvu zake! Wivu tuuu! Hongera mwana wa Tahiti umeinyesha uthubutu uliotukuka!
Kila kilichopo duniani kitaondoka ni hanasa tu iyo ya dunia izo pesa angeliwapa maskini na wasio jiweza angelifanya jambo la maana co kujilimbika mamali tu Kullu man alyhafaan.ndugu zng tucjisahau sana dunian tunapita tu
Jmn Semeni na wazawa wa zanzibar mbn wasenge nyie kila kitu tz hi zanzibar ikowapi makuma nyiny maana munajua km hakuna masomo zayd ya wazanzibar lkn kazienu kutufinyanga tuu nakutufinya ili tusitambulikane duniani lkn mungu atawalaani
i know im randomly asking but does any of you know of a tool to get back into an Instagram account?? I was dumb lost the login password. I appreciate any tips you can give me!
Mwanangu wa kwanza nimemwita said namie natest zari huenda akamrithi somo yake,babu yake amenishika nimwite juma mi nimemwambia hakuna juma tajiri anakataa
Hongera , huo niuthubutu na pes nyingi isonakazi pia nakujitangaza kwa makampuni Yao ,,,, ila hongera sanasana Azam kwani kunawengi wenyepesa hawajathubutu kufanya Jambo mfano wahilo mashalla hakika Azam mkojuu hongereni Sana.
Kuishi kwingi ni kuona mengi. Ni jambo la busara sana kuwaleta wataalam nchini kuliko kuagiza hio boti nje ya nchi. Ajira kwa wazalendo hongera Bakhresa ni mzalendo na tajiri halisi wa Tanzania tunakupongeza.
duh safi SANA UNACHANGAMSHA 2021 ndo naona
Hongera sana boss wangu yusuph B.asante mungu asante s.s.b kwa watoto wenye juhudi na malengo yakuona mbali zaidi Allah awape afya njema. asante mafund asante wa tz tunaweza hakika...nataman ningekuwepo kwenye umeme hakika ninge jipatia historia nzuri kushiliki kwenye TAnzanite marine 1.
Absolutely awesome!!👍
.... Safi sana huu ndiyo uzalendo.. Sasa usichoke jenga kiwanda cha nguvu na wape vijana wetu nafasi hatuhitaji wazungu ... 🇹🇿 💯 💯
Mashaallah hongereni nyote wahusika Allah awazidishie umri na afya njema muzidi kutuekea miundo mbinu kila sehemu ikiwemo ya usafiri na Kadhalika
imekaaa poaaa sana tz ya viwanda na ubunifuuu so good
Allah akupe subra upite ktk iman mtihani huu
Daahhh kwakweli sasa tumenyanyuka sanaa nimefurahi kuona hii kitu nchini mwetuu
Mashallh ninzuri sana one day ishaallh na mimi nitafikilia kuunda kitu mungu akinipa uwezo wa kifedha
MA SHAA ALLAH TABARAKA RAHMAN
Hongera Sana kwa ubunifu ndugu Allah akuekee nguvu in shaa allah
Ma sha Allah, kwanini msiwe na kiwanda mkazalisha boti hapa kwetu badala ya kuagiza njee
vizuri mwenyezi mungu ambariki na siku moja anipe lifti
amen, Itapendeza pia ukiamia na kwenye magari ili kusudi tuwe tunanunua hapa hapa tujivunie kilicho cha kwetu.
Hongera sana, Naomba bei yake pamoja na kunletea hadi Arusha
Safi sana. Hongera sana
Allaah Ambareekiyeee in sha Allaah. Na kumuhefadhi yeye na familiyaaa yakeee.
Noma sana ukiwa na ela hakuna linalo shindikana
Fantastic,atengeneze nyingi
Very nice !
MashaAllah fishing on the next level Amazing
Hongera Bakharesa Allah akuzidishie mazuri mengi mashaallah
Husuda hasadi kama juic ya tamri
Amin
@@TheoneOfficial Allahumma amin
آميين يا رب
@@aliy3303 Allahumma amin
Looks Good. N Good workmanship on it. Congrats
hongera sana
hongera sana bro big up
Hongera sana Yussuf Bakhresa ila ningependa kufahamu gharama za Boti hii ni kiasi Gani
Ili iweje
Sh pesa
Unataka kununuwa au kusumbuwa watu tuu
@@kidjhdf7568 ndio ninunuwe sasa utakujaje na Mada zako et Ohh mtoto wa Bakharesa Aunda Boti la kifahari ..kama unataka kuweka mambo hadhani wewe eka tu
nataka ninunuwe
Mambo Haya angefanya mondi sasa weee! Oooh anataka sifa! Anaushindani wa kipumbavu! Ooh anajikweza! Nk nk nk! Wakati pesa katafuta kwa nguvu zake! Wivu tuuu! Hongera mwana wa Tahiti umeinyesha uthubutu uliotukuka!
nimemkubali mungu amzidishie mema
Mashallah neema ya allah
Excellent job ,
Keep on
MaShaaAllah kaka hongera
nimewakubali wako vizuri👏👏👏
Maashaallaah bakhresa allah akungezea inshaallah
Safi mzigo uko sawa Hongera kwa juhudi kubwa.
Mashaaalah ametufanyia mengi
Safi Sana
Haataaareee...wa mbili ukweli havai maja,hongera Mtoto wa bilionea kwa ubunifu uliotukuka.
Hivi ni vitu vya kawaida sana jaribuni kufatilia Discovery chanel mtaona kila kitu kinawezekana na tunaweza kuunda wenyewe
Aisee noma sana
Masha'Allah TabarakaAllah
Ukiwa na pesa hivi vitu rahisi sana
Jamani wivu huwo hata kupigiya mashallah tusipende kusema vibaya tusimamiye uwezo wetu
Inapendeza sana kuleta wataalam nyumbani maana utaalam unabaki nyumbani kuliko kununua bot kama hiyo kutoka nje
Mashaallah
Umenena
Mungu pamoja nasi tutaweza tu🙏🙏
Mashaallah
Mashallah ...u can do more better....👍
Mashallah Allah akuzidishie
Ma sha Allah! Big up sana Yusuf B.
Mashallah boti nzur sana
Hongera sana na Allah akuongoze zaid
Honger
Pesa mwenzake pesa
Mbona ya kawaida sana
Hongera sana!
mmmh congtrs faza
Hongera bahresa. Lakini tuwakumbuke na wasio na uwezo lakini wako na vipaji
Mazali pesa zipo zitumike tu sio boat tu ata ndege akitaka inshallah itawezekana
Maasha allah
Mmmm i thought they have built from scratch but only assembling not bad keep itup
Hongera baba utufanyie kila mtu yake twahangaika hasa tukenda Pemba
Salama Khamis kwani iyo boti irachukuwa abiriya au niyake yy mwenyewe tuu na famikiya yake
Masha Allah nice
Mashallahu
Hapa kazi tu :-) :-) :-) :-) :-)!
Kali saannaaa👏👏👏👏👏
Masha allah
Kila kilichopo duniani kitaondoka ni hanasa tu iyo ya dunia izo pesa angeliwapa maskini na wasio jiweza angelifanya jambo la maana co kujilimbika mamali tu Kullu man alyhafaan.ndugu zng tucjisahau sana dunian tunapita tu
Good
made wonders
Jmn Semeni na wazawa wa zanzibar mbn wasenge nyie kila kitu tz hi zanzibar ikowapi makuma nyiny maana munajua km hakuna masomo zayd ya wazanzibar lkn kazienu kutufinyanga tuu nakutufinya ili tusitambulikane duniani lkn mungu atawalaani
Hili noti ni la abiria ama???nakama nila abiria lina bwba abiria wangapi??
Tunaweza
Ma Shaa Allah 🇹🇿🇯🇵🇯🇵🙏🏾❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
i know im randomly asking but does any of you know of a tool to get back into an Instagram account??
I was dumb lost the login password. I appreciate any tips you can give me!
Ah!hayaaaaaa
I'm from Saudi arabia
Oyooo Saudia Arabia sehem gani mbaba
Kipara Masoud alo kuliza ni nani
Background sound ipo juu sana
Dah🙌🙌
Gharama ya Boti hii unaweza kulisha masikini mjini kwa miezi nachenji ikabaki
Tanzania Tunaweza 🇹🇿💯
yani hivi vituo local havina kazi wakati mwingne
MMMMhhhh!!! hii ni hatari kweli
Ukiwa na pesa kila kitu chawezekana....
Anxt sna
Pesa
Biti kubwa sana kama tupo club hatusikii
Mwanangu wa kwanza nimemwita said namie natest zari huenda akamrithi somo yake,babu yake amenishika nimwite juma mi nimemwambia hakuna juma tajiri anakataa
Rudi darasani kwanza bado upo ktk uji...
Bora ivo mana kwanza juma ni dude gumu hasaa
Hahahahaha
@@alihaji7201 😀🤗🤗
Pesa hizo
Yusuf said ndio mtoto wa baharesa au..
Mie siamini Kama no kweli
Hongera , huo niuthubutu na pes nyingi isonakazi pia nakujitangaza kwa makampuni Yao ,,,, ila hongera sanasana Azam kwani kunawengi wenyepesa hawajathubutu kufanya Jambo mfano wahilo mashalla hakika Azam mkojuu hongereni Sana.
Tatizo tu ni mtaji.
Safi uwezo tunao tunashindwa Wapi sasa wengine wakati uwezo tunao
Kuishi kwingi ni kuona mengi. Ni jambo la busara sana kuwaleta wataalam nchini kuliko kuagiza hio boti nje ya nchi. Ajira kwa wazalendo hongera Bakhresa ni mzalendo na tajiri halisi wa Tanzania tunakupongeza.
Uwezo tu nao, nguvu tunazo hapo muhimu ni viwanda tu
Shing ngapi?
Boti hii kama huna milioni ya kuipanda utabaki kuingalia 2......
Kumbe uwezo tunao
Jaman ety camera man baada ya cctv kama umemskia gonga like
Nilichosikia mm ni camera maalum
Namuona lucho anauza sur t uku😂😂😂
I hope he pays those worker enough money for the job
Mbele Ya Pesa Hakuna Kinachoshindikana