Ijue mikoa kumi tajiri zaidi tanzania na vitega uchumi vyake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • ‪@Wasafi_Media‬ ‪@TheChildhoodlifebyLilyGrace‬ ‪@TBJZL‬ ‪@triplestar3377‬ ‪@xCoelha‬ ‪@fadighazi‬ ‪@asofarmtz‬ ‪@onyaz‬

ความคิดเห็น • 352

  • @rozianazolanga4450
    @rozianazolanga4450 7 หลายเดือนก่อน +6

    Tanga ingekuwa ya kwanza kabisa! Iko safi sana kwa biashara! Tanga pokeeni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @JamesKasomi
    @JamesKasomi 7 หลายเดือนก่อน +10

    Shinyanga ni tajiri sana, kuna madini, mifugo ya kutosha, mazao ya biashara yapo kama pamba,dengu, choroko na mazao ya chakula kama mpunga, mahindi, mtama mihogo.
    Pia Shinyanga ina watu walio na bidii ya kazi

  • @ZuenaMkuye
    @ZuenaMkuye 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hata usipotaja njombe yetu sisi tunajijua ni matajiri wakubwa sana chai yetu hujataja parachichi je mbao je makaa ya mawe je mikoa iliyotajwa mfano mbeya na Dar es salaam wapo na wakwetu wakinga

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mbeya ni kweli ipo juu kweli.ila Iringa hujasema na upo vizuri sana

    • @Mwl_Sanga
      @Mwl_Sanga 6 หลายเดือนก่อน

      Iringa Ina rasilimali lakini imepitwa na mingine

    • @dafrosamonko8254
      @dafrosamonko8254 3 หลายเดือนก่อน

      Bora simiyu

  • @IbrahimMpiga
    @IbrahimMpiga หลายเดือนก่อน

    Nzuri sana

  • @MirajiHanza
    @MirajiHanza 2 หลายเดือนก่อน +1

    Arusha namba 2 fuatilia vizuri

    • @PrinchiusFelsian
      @PrinchiusFelsian 2 หลายเดือนก่อน +1

      Arusha haiifikii mwanza hata robo

  • @jenrosemwashambwa4204
    @jenrosemwashambwa4204 3 หลายเดือนก่อน

    Wasafwa umetukosea sana,waking a ni iringa

  • @Saikalyasi
    @Saikalyasi 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mtafiti haujafka Mtwara ukaangalia mazngira na maendleo binafsi na uchumi wao,
    Wana ges,bandari na ardhi ya vilimo tofauti ikiwemo korosho,mpunga na ufuta na mahindi

    • @valentinetesha8536
      @valentinetesha8536 7 หลายเดือนก่อน

      mtwara ni moja ya mikoa maskini sana daah kuna sikitisha kwa kweli

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 7 หลายเดือนก่อน

      Anzjuzima data wenyewe tunajua ila ipo siku atasema tu

    • @Munyama675
      @Munyama675 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@valentinetesha8536Katika mikoa masikini Mtwara haipo au unasema Mtwara ipi?

    • @bongoupdatestv9322
      @bongoupdatestv9322 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@valentinetesha8536😅😅

    • @Joycekahigi
      @Joycekahigi 5 หลายเดือนก่อน

      😂​@@valentinetesha8536

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 7 หลายเดือนก่อน +39

    Shinyanga ilipaswa ishike nafasi ya pili, msiangalie majengo angalieni rasilimali zilizopo. Ila watu wake ni maskini sana, rasilimali zilizopo madini wanabeba wanapeleka ulaya ndo yanakojengwa maghorofa. Nafasi za ajira hawapewi wazawa, wanapewa wengine wanajenga kwao🇹🇿🇹🇿😮‍💨😭

    • @marthastephen6600
      @marthastephen6600 7 หลายเดือนก่อน +1

      Mbeya nayo ina madini mengi tu na yenye thamani huko chunya kwahyo ni sawa tu

    • @innocentchristopher7571
      @innocentchristopher7571 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hv mwanza kwl iwe sawa na shy

    • @Jackjuneart_tz
      @Jackjuneart_tz 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hata kongo ni nchi yenye utajili mkubwa lakini sio nchi tajiri zaidi Afrika

    • @SamweliDaudi-q7m
      @SamweliDaudi-q7m 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe Jamaa itakuwa umesimliwa hizo taarifa Kwa haziendani na taarifa zako

    • @theblack_6754
      @theblack_6754 7 หลายเดือนก่อน

      Unaumwa mavi😂

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga 6 หลายเดือนก่อน +8

    Arusha ingeshika namba 2

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna uk😊weli wa data zako babu

  • @LuciaPhinias-wy3do
    @LuciaPhinias-wy3do 16 วันที่ผ่านมา

    Nmecheka kumbe na buseresere munaijua

  • @LeakeyKanyamaha
    @LeakeyKanyamaha 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kagera kahawa

  • @ElishaMollel-ih3jq
    @ElishaMollel-ih3jq 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ww hujawahi fika arusha nazani pita hv

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 7 หลายเดือนก่อน

      Kwanza nomeshangaa eti shinyanga inaizidi Arusha hi twakim niyakitapeli asee

  • @EveryTendega
    @EveryTendega 3 หลายเดือนก่อน

    Wew kenge sio kweli acha kuwalisha watu matango pori

  • @TzkwanzaKilimanjaro
    @TzkwanzaKilimanjaro 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kilimanjaro mlima tu,,ungefaa uwe. Wa kwanza kwa mapato ya utalii

  • @AllyMohammed-nv5sj
    @AllyMohammed-nv5sj 7 หลายเดือนก่อน +2

    Takwimu zako siyo sahihi kabisa Wacha uongo unapotoshosa

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 7 หลายเดือนก่อน

      Leta zako zilizosahihi tuone

    • @AllyMohammed-nv5sj
      @AllyMohammed-nv5sj 7 หลายเดือนก่อน

      @@jrsaid4270 umedanganya mmno

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 3 หลายเดือนก่อน

      ​​@@jrsaid4270Walitaka wasikie mikoa yao inatajwa namba 1, 2, na 3 katika orodha kulingana na dhana zao TOFAUTI na uhalisia!!
      Wengi wetu tunasumbuliwa na umimi na siyo vinginevyo yaani!!

  • @emanueliurio-o4k
    @emanueliurio-o4k 5 หลายเดือนก่อน

    Duuh nilijua Arusha inashika top 3

  • @RobsonMwongi
    @RobsonMwongi 15 วันที่ผ่านมา

    Iringa wauza mbao hujagika

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 4 หลายเดือนก่อน +1

    TRLION N BILION

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 6 หลายเดือนก่อน +2

    DODOMA mbali na kuwa Jiji lakini IPO KWENYE MIKOA YENYE WATU WENYE KIPATO CHA CHINI ikiwemo KAGERA, TABORA,KIGOMA NA SINGIDA ila IRINGA umeionea mana ipo top ten

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ameenda kwa mapato yanayopatikana inawezekana kweli

  • @gandeone1585
    @gandeone1585 7 หลายเดือนก่อน +9

    Arusha ,nilijua itashika nafas ya 3

    • @Muremyi
      @Muremyi 7 หลายเดือนก่อน

      Mikoa Arusha Una jiji moja to Arusha mikoa mbeya shinyanga Zili jiji zaidi moja jiji kubwa

    • @Muremyi
      @Muremyi 7 หลายเดือนก่อน

      Mikoa Arusha Una jiji moja to Arusha mikoa mbeya shinyanga Zili jiji zaidi moja jiji kubwa

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 7 หลายเดือนก่อน

      Mashamba wee hujui hata kuandika kwa taarifa yako Arusha uchumi hamna hata Jiji la Arusha linashindwa kujiendesha kimapato

    • @GerardLaizzer
      @GerardLaizzer 7 หลายเดือนก่อน

      Arusha ni Jiji lenye Hela sana kuzid mbeya

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 7 หลายเดือนก่อน

      @@GerardLaizzer wadanganye wasiojua au nenda kachukue takwimu za serikali za mapato ya majiji na mikoa ndipo utaelewa

  • @helmanmhanga4905
    @helmanmhanga4905 7 หลายเดือนก่อน +3

    Karibu Iringa mkuu

    • @JojiMganga
      @JojiMganga 5 หลายเดือนก่อน

      Dodoma kumbe nawenyewe ni mkoa masikini Tz

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 7 หลายเดือนก่อน

    Uko sawa mwandishi

  • @GoodluckMushy
    @GoodluckMushy 7 หลายเดือนก่อน +3

    Unavuta bangi sana

  • @LuciaPhinias-wy3do
    @LuciaPhinias-wy3do 16 วันที่ผ่านมา

    Geita kwa madini mmeipunja

  • @JohnMasatu-oj5mj
    @JohnMasatu-oj5mj 7 หลายเดือนก่อน

    Kweli Shinyanga inazidi Kwa maana inarasilimali nyingi mfano madini 😊

  • @MauriceMwilapwa
    @MauriceMwilapwa 7 หลายเดือนก่อน +1

    Siyo mikoa. Sema miji

  • @YohanaSemeka
    @YohanaSemeka 3 หลายเดือนก่อน +1

    TABORA SIJAISIKIA

  • @cyrilmtei700
    @cyrilmtei700 6 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 Arusha hata 5 bora haipo😮

  • @EstherJulius-cv9tk
    @EstherJulius-cv9tk 7 หลายเดือนก่อน

    Acah uongo wee mjinga aisee

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂shinyanga tene

    • @gregorybakuza5796
      @gregorybakuza5796 7 หลายเดือนก่อน

      Shinyanga mkoa tajiri sana, una machimbo kibao ya madini yanayouingizia mkoa mabilioni ya tsh.

  • @IsraelWille
    @IsraelWille 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba magemu

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo kapatia Dar pekeake ...

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 7 หลายเดือนก่อน +1

    Siyo kweli!!

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga 6 หลายเดือนก่อน

    Mbwa muongo sana uyuu duh atA kama hna D atA Moja

  • @eddyngaga873
    @eddyngaga873 6 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 KAFANYE TAFITI PUMBAVU.

  • @GoodluckMushy
    @GoodluckMushy 5 หลายเดือนก่อน

    Kichaa ww

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 7 หลายเดือนก่อน

    Duuuuuuh sijui ila nitakuwepo

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 3 หลายเดือนก่อน

    Mbeya ingekua namba 2

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 7 หลายเดือนก่อน +1

    Shinyanga ni Tajiri sana,tena kungekuwa na usimamizi mzuri wa maliasili ya madini ungeongoza kwa kuchangia mapato nchini.Kuna Almasi hakuna mkoa mwingine wenye Almasi nchini Tanzania.Dhahabu nyingi Kahama.Mgodi wa Buzwagi ndiyo unaongoza kutoa Dhahabu nchini Tz upo Kahama Shy.Asilimia 50% ya mapato ya nchi inatokana na madini.na madini mengi yapo Shy

  • @KelvinWalioba
    @KelvinWalioba 4 หลายเดือนก่อน

    Duuh hii ndo nchi ya bongo taarfa za uongo siasa nying

  • @GodwinKwacha
    @GodwinKwacha 6 หลายเดือนก่อน

    We muhaya acha utapeli😂

  • @MzeeMkoloni
    @MzeeMkoloni 7 หลายเดือนก่อน

    Data hizo sio sahihi

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 5 หลายเดือนก่อน

    Mtafiti hajatembea

  • @husseinissahalumansi4587
    @husseinissahalumansi4587 2 หลายเดือนก่อน

    shida ya Arusha imechanganikiwa na wakenya na kawaida yao kutaka kua washindi kwa kilakitu.
    Arusha mnachozid mikoa mingine n ujambazi na kuvuta bangi tu

  • @MalkiaErnest
    @MalkiaErnest 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢😢😢 sijapenda

  • @STELLASAYE
    @STELLASAYE 5 หลายเดือนก่อน

    🎉❤❤❤❤ Shinyanga

  • @DenisMdemu-wc6cv
    @DenisMdemu-wc6cv 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ajabu sana hii iringa unaacha wap ety ruvuma mwandish huna jipya

    • @nazarethally9509
      @nazarethally9509 7 หลายเดือนก่อน

      Kwani we unahisi kinaangaliwa nini me nafikiria wanaangalia pato la halmashauri husika hivyo ruvuma lazima itaizidi iringa coz ruvuma kuna kilimo kikubwa zaidi ya iringa pia kuna mgodi mkubwa wa makaa ya mawe ukilinganisha na iringa

    • @DenisMdemu-wc6cv
      @DenisMdemu-wc6cv 7 หลายเดือนก่อน

      @@nazarethally9509 mim siwez pinga ila kiukweli hizo takwimu ni za uongo kabxaaa amin usiamin an mimi ni mtu wa ruvuma tena songea hapa mji mwema akin kusema takwimu za songea zizid mkoa ule.wa iringa ni uongo kabxaa iringa kuna vivutio vingi sana vya utalii tena ni zaid ya vivutio kwamba hivyo haangaliwi an mm naweza sema takwimu hizi ni za uongo bwana kak amin usiamini

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 7 หลายเดือนก่อน +1

    Iringa tajiri kuliko bàadhi ya uliuotaja, tena mbaka wananchi wake. Wewe mwongo sana

    • @FelisterAndrew-h7o
      @FelisterAndrew-h7o 2 หลายเดือนก่อน

      Tembea uone sio unaishia iringa tu arafu unaongea, shinyanga ni sahihi kabisa

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 7 หลายเดือนก่อน +1

    Morogoro ilitakiwa isogee sogee kidogo maana biashara,ufugaji,kilimo na uchimbaji wa madini kama dhahabu,ruby,ulanga,fieldspar,rodillite n.k bado kuna hifadhi kubwa tatu ambazo ni Mikumi, Udzungwa na Nyerere.

  • @juliusdaniel3705
    @juliusdaniel3705 7 หลายเดือนก่อน

    Manyara unaiachaje Kwa mfano,,tafiti haipo sawa.sisi tunalima Hadi tunakosa pa kupeleka,weka na TANZANITE

  • @BarakaHenry-v6t
    @BarakaHenry-v6t 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dodoma inashika nafasi 3

  • @MosesMayun
    @MosesMayun 5 หลายเดือนก่อน

    Vp kuhusu arusha

  • @SaraaSaraa-i1j
    @SaraaSaraa-i1j 3 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo dodoma ni mkoa masikini du

  • @irenengowi8657
    @irenengowi8657 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uongooo uongoo uongo uongooo

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 3 หลายเดือนก่อน

      Mmh, ni uongo kwa vile Arusha haijatajwa namba ya karibu, au siyo??

  • @MataroJoel
    @MataroJoel 6 หลายเดือนก่อน

    Zanzibar sio Tanzania! Au hapo kwenye 10?

  • @peterphilipo31
    @peterphilipo31 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona ndg mwandishi hujaelezea kwa kina kuhusu huo utajiri kwa kutoa mifano ya rasilimali zinazopatikana katika mkoa husika kwan unatakiwa utaje pamoja na kipato chake kwa kila rasilimali na inachangia kwa asilimia ngapi?

  • @theobahatkisakisa177
    @theobahatkisakisa177 7 หลายเดือนก่อน +1

    Arusha inawezaje kukosejana 3 Bora?

  • @Abdullysuleiman-l7o
    @Abdullysuleiman-l7o 2 หลายเดือนก่อน

    Nakigoma je,,

  • @TOGOLANIDICKSON
    @TOGOLANIDICKSON 6 หลายเดือนก่อน

    Uongo unapenda, ukweli aaah

  • @CassimEmanuel
    @CassimEmanuel 6 หลายเดือนก่อน

    Jaman tumsikilize

  • @nehemiahmgawe975
    @nehemiahmgawe975 7 หลายเดือนก่อน +2

    Yupo sahihi kwa shinyanga,mji wa kahamatu uliopo shinyanga unaweza kuishinda hata baadhi ya mikoa mingine.

    • @MahamaenockMahama
      @MahamaenockMahama 7 วันที่ผ่านมา

      Hap hujaunganisha na shy mjin wee

  • @elmiaxmed6870
    @elmiaxmed6870 3 หลายเดือนก่อน

    Meongo mkubwa ww

  • @bishweko
    @bishweko 7 หลายเดือนก่อน +4

    Wagamba amazima aho.

  • @Abdullysuleiman-l7o
    @Abdullysuleiman-l7o 2 หลายเดือนก่อน

    Yakawaida san

  • @yohanaraphael1922
    @yohanaraphael1922 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe mtangazaji ni fala hujui billion na tirion kahama peke yake mapato ya ndani anakusanya billion 12 umechochora ndg sema tirion sio bilion mkoa hauwezi kukusanya billion mlionielewa nipeni like zangu

  • @saidel-amr3226
    @saidel-amr3226 7 หลายเดือนก่อน +1

    Arusha iko wapi

  • @LUDOVICKMrosso
    @LUDOVICKMrosso 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna kitu

  • @bayekefarijala5042
    @bayekefarijala5042 7 หลายเดือนก่อน +4

    Shillingi bilioni?😅😅😅😊
    Hiyo si ni hela ya kujenga km 2 za lami tu

  • @EvaristoMwasenga
    @EvaristoMwasenga 6 หลายเดือนก่อน

    Uyu kuuma arudishe MB zetu

  • @JohnMasatu-oj5mj
    @JohnMasatu-oj5mj 7 หลายเดือนก่อน +1

    😮 kweli Shinyanga inazidi Arusha na tanga

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sikubaliani Arusha ndio ingekuwa mkoa wa 3, kwa sababu ya mbuga mbili kubwa duniani ngorongoro na serengeti, madini ya tanzanite na kilimo na njia ya utalii katika mikoa ya kaskazini rudia mjomba jiografia

    • @eibrerdarkibrer
      @eibrerdarkibrer 4 หลายเดือนก่อน +1

      Broo serengeti ipo sehemu kubwa mkoa wa mara na manyara

    • @MahamaenockMahama
      @MahamaenockMahama 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@eibrerdarkibrerhata meatu simiyu

  • @musaeliasi
    @musaeliasi 8 หลายเดือนก่อน +2

    usitudanganye arusha vp

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 7 หลายเดือนก่อน

      Arusha inategemea kitega uchumi kipi? Kanda ya ziwa kuna ziwa, madini, ufugaji n.k

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani wewe ni muongo sana yaani Arusha iko wapi

  • @THOMASFUNGULIMA
    @THOMASFUNGULIMA 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo tumepigwa

  • @Robbymabangoprinting
    @Robbymabangoprinting 7 หลายเดือนก่อน +2

    Takwimu za ovyo sana, hizi

  • @PetroMorice
    @PetroMorice 5 หลายเดือนก่อน

    Singapore namba 3 mm nimexema dengu kama kawa

  • @MatokeoKakulu
    @MatokeoKakulu 5 หลายเดือนก่อน

    na mm nilijua hivyo

  • @emmanuelnnko-dv1th
    @emmanuelnnko-dv1th 7 หลายเดือนก่อน

    Akuna kitu sijui izo tarifa kapata wap

  • @MohamediMussa-fu3ld
    @MohamediMussa-fu3ld 7 หลายเดือนก่อน +1

    hizi pesa zinaenda wapii

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 7 หลายเดือนก่อน +1

    Utafiti huo unatilia shaka,

  • @Grace-s3z
    @Grace-s3z 6 หลายเดือนก่อน

    Acha kudanganya, fanya utafiti

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hitwakimu ni za kisiasa zaidi shinyanga kuizidi Arusha ni kichekesho

    • @mligogodfrey8882
      @mligogodfrey8882 7 หลายเดือนก่อน

      Kwenye mikoa masikini zaid Tz shinyanga ipo.

    • @MahamaenockMahama
      @MahamaenockMahama 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@mligogodfrey8882et mikoa masikin usiangalie majengo angalia rasilimali wew

  • @Samirakassim-d8u
    @Samirakassim-d8u 3 หลายเดือนก่อน

    Upande wa kaskazin Tanga haiwezi kuwa zaid ya Arusha wala Kilimanjaro umetuongopea au kwa vile mikoa mingine haina bahari ya hindi??

  • @AronSeni
    @AronSeni 3 หลายเดือนก่อน

    Je singida ni ya ngapi

  • @hassanomary9825
    @hassanomary9825 7 หลายเดือนก่อน +1

    Dodoma haipo

  • @TwalibIdd-c8u
    @TwalibIdd-c8u 3 หลายเดือนก่อน

    Hio Hela I kwa siki au kwa mwezi?

  • @siphaelmbise3175
    @siphaelmbise3175 6 หลายเดือนก่อน

    Arusha iko wapi hujafanya utafiti wa kutosha

  • @johnsonfrank2643
    @johnsonfrank2643 4 หลายเดือนก่อน

    Kutoiweka Arusha top3 hapo umefel

  • @irenengowi8657
    @irenengowi8657 5 หลายเดือนก่อน +1

    Arusha no 2 na mwanza ni no 3

    • @Mwakakabera
      @Mwakakabera 5 หลายเดือนก่อน

      Arusha haiwezi kuiona mwanza kwa kila kitu ukianzia uzuri,utajiri Nk

    • @khatibabdallah6185
      @khatibabdallah6185 4 หลายเดือนก่อน

      Kwa mujibu wa tafiti nyingi arusha inazidiwa hd na iringa, kwa kuwa mapato ya arusha yanasomewa dar, kwa maana wawekezaji wengi wa arusha wanatokea dar

  • @barakamalanga4977
    @barakamalanga4977 7 หลายเดือนก่อน +1

    Njombe ya ngapi ? Acha usengelema

  • @GoodluckMushy
    @GoodluckMushy 7 หลายเดือนก่อน

    Ww ni mpumbavu

  • @YOHANAOLEKIBUDA
    @YOHANAOLEKIBUDA 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi hajuwi kitu chochote

  • @frankurio9906
    @frankurio9906 7 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi hujui chochote takwimu za uongo kabisha

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 7 หลายเดือนก่อน

      Leta zako zilizosahihi tuone

  • @jacksonkihongosi2862
    @jacksonkihongosi2862 4 หลายเดือนก่อน +3

    iringa ndio mwakilishi mkubwa kanda ya kusini
    mzalishaji mkuu wa uzalishaji wa mbao tz
    mzalishaji wa mahindi
    kiwanda kikubwa cha karatasi east africa ,mbuga kubwa tz,kilimo,uwekezeji etc.
    lakin hujaiweka hata kweny 10 bora fool!!!!😅😅

  • @BenjaminNduuni
    @BenjaminNduuni 7 หลายเดือนก่อน +1

    We ujielewi unaacha wp chuga kwa mfano

  • @hasanidadi5791
    @hasanidadi5791 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kadanganya wakat mwanza IPO kwenye mikoa 5 masikin wakat arusha ndo namba2

    • @lameckjacksongolani280
      @lameckjacksongolani280 6 หลายเดือนก่อน

      Mwanza iwe masikini duuh😂😂😂

    • @hasanidadi5791
      @hasanidadi5791 6 หลายเดือนก่อน

      @@lameckjacksongolani280 unapoambiwa mkoa masikizi hawangalii mji kujengeka wanaangalia uwezo wa wananchi kipato Chao so usishangae mwanza kua mkoa masikin ukibisha ingia mtandaon uliza mikoa 5 masikin Tanzania utaona

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 6 หลายเดือนก่อน

      kapimwe akili

    • @godfreygissema9052
      @godfreygissema9052 6 หลายเดือนก่อน

      Huna akili wewe

  • @hamismusa7314
    @hamismusa7314 7 หลายเดือนก่อน

    Hapo nakataa kabisa huwezi itoa Arusha ilipaswa kua namba 2 au tatu.

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ni mjinga Arusha hamna uchumi wowote ule