Pastor Ndacha Uso Kwa Uso Na Dr Sulle Wakutana Tena Na Haya ndio Mazungumzo Yao

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM TH-cam @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

ความคิดเห็น • 70

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie 😂😂😂ndacha na sule mnatuzuga tu Ila anafurah sana Tanzania 🇹🇿 yetu napenda mno tunapendana tuna Amani ya dini zetu doctor sule mtata sana Ila kumbe nimegundua mpole sana mchana Mungu w kweli. Asante Sana pastor mh ndacha. Hongereni sana hakika vitu nyenu vipo mbinguni. Mbarikiwe sana

  • @FunnyHermitCrab-gh4sw
    @FunnyHermitCrab-gh4sw 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha mungu akup maisha marefu

  • @delickmarco3945
    @delickmarco3945 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤shikamo ndacha ww ni kamanda wa Bwana.

  • @HamzaMussa-hu3nz
    @HamzaMussa-hu3nz 2 หลายเดือนก่อน +1

    ALLAH AKBAR

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18 2 หลายเดือนก่อน

    Angekuwa ostadh kinyogoli na kina ostadh shafii ingekuwa nzuri sana 🙏🤲

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 2 หลายเดือนก่อน

      Waliahidi kufanya mdahalo ila siku walio haid waigoma kuja

  • @silveriusfungilwa5995
    @silveriusfungilwa5995 2 หลายเดือนก่อน

    Nimewapenda sana wote nyie ni roll modo wangu kwenye imani

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix7222 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atubariki tushinde

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 หลายเดือนก่อน +2

    Na hiyo siku yaweko maji kabisa kwenye kisima ya kuwabatizia makafiri waislamu maana najua Mwalimu Ndacha atawagalagaza tena kama alivyo wagalagaza mwezi wa 12 mwaka 2023

    • @user-ce9tz8mo4b
      @user-ce9tz8mo4b 2 หลายเดือนก่อน

      Wew ni kafiri kwa waislamu na mim nikafir kwako lkn swali linakuja je ukafir wangu mim ni ukafiri kwa mwwnyezimungu?

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-ce9tz8mo4b ndio wewe na waislamu wenzio ni kafiri kwa mwenyez Mungu unapinga dini ya kweli ya mwenyezi Mungu ya ukiristo unang'ang'ana na dini iliyo letwa na mpotoshaji wa kiarabu mhammad ambae siku ya khiama atahukumiwa kwa kupotosha umma hivyo yeye mhammad na wafuasi wake wote watatupwa kwenye moto wa jehannam siku ya khiama

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna lolote Ndacha hawezi kukubali na Wewe Sule siku hizi umeiegemea dunia zaidi hakutakua na amaajabu yoyote tangazeni biashara zenu tu lakini hakuna wakuelemisha mtu hapo

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287 2 หลายเดือนก่อน

    Shika Imani yako wala asije mtu akaichukuwa wala kuitingisha.

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 2 หลายเดือนก่อน

      kuwa mtumwa wa Muhammad Kisa waarabu ni dhambi kubwa

  • @AyubuRamadhani-wz4gk
    @AyubuRamadhani-wz4gk 2 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢

  • @StephineOlale
    @StephineOlale 2 หลายเดือนก่อน

    Bro jetayarishe kuwa mkristo I now dacha

  • @abujole3992
    @abujole3992 2 หลายเดือนก่อน

    Wote wawili ni wiizi kila mwaka watowa maneno tu hakuna moja anasilimu

  • @user-ru4cy1ob8k
    @user-ru4cy1ob8k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe midahalo nimizuri sana
    Mmemsikia sule akisema Torati, injili na zaburi ziko kwa kitabu kinaitwa biblia? Kumbe alielewa. Hongera sana sule

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 2 หลายเดือนก่อน

      Sio kwamba kakufurahisha bali katumia hekima hapo kawastiri kiana labda nikueleze kwamba katika dunia ya leo hakuna vitabu hivyo hasilia na hata kama vingekuwapo visingekuwa na nafasi ya kutumika kwa sababu Umma wake ulisha pita kwa Wana wa Israel na hivi sasa ni Ummati Al Quran hizo habari za Injili zilikuwa kwa ajili ya Wana wa Israel kipindi cha Yesu karne ya sita,Zaburi nayo hivyo ilikuwa ni kwa ajili ya hao hao Wana wa Israel na Taurati hivyo hivyo,Sasa Wewe na Wenzako kuanzia karne ya 7 mpaka kihama Kitabu chetu sote ni Quran haijalishi unaikubari au unaikataa na Mtume wa watu wote ni Mtume Mohammad (S.A.W) haijalishi munajifanya hamsikii lakini kila munapoingizwa ndani ya makaburi yenu hizi habari munakumbana nazo na kibano juu,Kwahiyo mtu yeyote anaye ifuata Injili,Taurati na Zaburi hivi leo maana yake hao watu wamepotea kiimani kwa sababu havikuwa ni Vitabu vya ulimwengu mzima.Someni vitabu ili mukae katika njia iliyonyooka ya Uislamu na Mwenyezi Mungu anasema kwamba mtu anayetaka dini kinyume na Uislamu matendo yake hayatakubarika siku ya mwisho,Quran 3:83 ukifa kwa njia ya Msalana utakuwa umekula hasara kwa Mola wako kwa sababu hiyo ni njia ya laana,WAGALATIA 3:13 soma ili uache ushabiki wa dini bila kuelewa na pale munapojidanganya heti Yesu aliwabebea mizigo ya madhambi yenu;huo ni uzushi,WAGALATIA 6:5 kama mtu ni malaya atabeba mwenyewe mzigo wake,mchawi abebe kago lake,Yesu hayumo kwenye uchafu wenu.YESU ALIKUWA NI MUISLAMU ALIKUWA AKIINGIA KWENYE MISKITI YA WAYAHUDI,MARKO3:1-19 Nyie leo munaingia Kanisani;Je munamfuata nani Kanisani?Soma Bibilia zote hakuna andiko hata moja lisemalo kwamba Yesu alikuwa akisoma misa kanisani hakuna ,LUKA6:6

    • @user-go1rl6bb1z
      @user-go1rl6bb1z 2 หลายเดือนก่อน

      Waislam wanajua ukweli wote ila wao n undongo wa kipinga tu.

  • @halimazubeir
    @halimazubeir 2 หลายเดือนก่อน +1

    Professa mazinge asikose tafadhali dr.sule

  • @zigzag4487
    @zigzag4487 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba kwenye huu mjadala Kinyogoli awepo

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ni sehem ya profes mazingi yani kutanoga zaidi ..

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 หลายเดือนก่อน

      Mazinge kasha zeeka saiv hana jipya kasha fanya debate nyingi na Mwalimu ndacha kagalagazwa hivyo Ndacha sio level ya mazinge tena ndomana anatafuta wahadhili wengine wakubwa zaidi ya mazinge

  • @otaibonny8835
    @otaibonny8835 2 หลายเดือนก่อน

    Lakini huyu Ndacha anazungumza kiswahili kama mtanzania

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mkurugenzi mchawi c wakiislamu

  • @FeisalDoctor-wr8ws
    @FeisalDoctor-wr8ws 2 หลายเดือนก่อน

    Hatimae pete imemleta ndacha kw mara nyingine yangu macho tu iyo siku ndacha anasema kumekuchu 😂😂😂 cijui ni kweli🙄

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha mkali kama umeme

  • @user-go1rl6bb1z
    @user-go1rl6bb1z 2 หลายเดือนก่อน

    Yan ndacha hata majubu unayo mjibu sull hapa yanamtishia sulle.

  • @mwanaidisimoni79
    @mwanaidisimoni79 2 หลายเดือนก่อน

    Tunasubiria

  • @MohammedAlnabakhany
    @MohammedAlnabakhany 2 หลายเดือนก่อน

    Mh!

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu Ndacha wapige spaner hao makafiri wa kiarabu

    • @user-go1rl6bb1z
      @user-go1rl6bb1z 2 หลายเดือนก่อน

      ila tuwaombee wamjue yesu wamepotea hawa wut.

  • @MohammedAlnabakhany
    @MohammedAlnabakhany 2 หลายเดือนก่อน

    Allah amesema kua tusiwafanye vipenzi wale ambao kua wanaipiga vita Dini ya Allah, ila wewe doctor sule unasema uyo nikipenzi chako, umepotea kifikra baba.

    • @ayubutwalbu6594
      @ayubutwalbu6594 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe bado maandko huyajui jitahidi usome sule yupo sahihi na anajitihada katka dini wewe unajitihada gani mbona mnapenda kubeza tu

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 2 หลายเดือนก่อน

    Mchawi vs jini wake.

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 หลายเดือนก่อน

    Ata kama unajua kujiandaaa ni muhimu

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani mh sule atakuja na jini moja😂😂

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 2 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣 masha'allah

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 2 หลายเดือนก่อน

    pete😢

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 2 หลายเดือนก่อน

    Abubakar zidi kufundishwa na majini

  • @halimazubeir
    @halimazubeir 2 หลายเดือนก่อน

    Abuubakar acha ujinga mshirikina umemuona?

  • @yussradady5010
    @yussradady5010 2 หลายเดือนก่อน

    Chanal gani itaoneshwa

    • @user-go1rl6bb1z
      @user-go1rl6bb1z 2 หลายเดือนก่อน

      BND TV.biblia nuru ya dunia.

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba channel zitakazokuwa hewani

  • @user-ru4cy1ob8k
    @user-ru4cy1ob8k 2 หลายเดือนก่อน

    Sule, ni Mwana wa Mungu ndiye aliyekufa wala sio Mungu Baba. Mungu Baba hajawahi kuonekana wala hapatikani na mauti
    Hivo yeye hajafa ila mwanawe ndiye kafa kishe Mungu Baba kamfufua
    Mwana wa Mungu ni Mungu wewe sule, hiyo hujui? Mwana wa mbuzi si ni mbuzi, Mwana wa simba sini simba
    Vivo hivo Mwana wa Mungu ni Mungu
    Simple. Bt polepole utafundishwa na utaelewa tu

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p 2 หลายเดือนก่อน

      mbuzi akizaa mbuzi wanakua mbuzi wangapi? Kwa hoja hii Mungu Kazaa mungu hivyo mnaabudu mungu wa ngapi ? kwa imani yenu mungu wa ngapi?

    • @user-ru4cy1ob8k
      @user-ru4cy1ob8k 2 หลายเดือนก่อน

      Soma hiyo, mithali 8:22_30
      Yesu kazaliwa na Mungu Baba kabla dunia kuumbwa, upo?

    • @user-ru4cy1ob8k
      @user-ru4cy1ob8k 2 หลายเดือนก่อน

      1wakorintho 8_6 soma hiyo

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-ru4cy1ob8k mungu Kazaa mungu kwa hiyo mungu wa ngapi?

    • @user-ru4cy1ob8k
      @user-ru4cy1ob8k 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-mc2xd4eu2psoma andiko la pili utajua. Usibishe utaelewa tu maana nyie waislam hamna hii elimu

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx 2 หลายเดือนก่อน

    Shekhe nilikua nakukubal sn lkn ulivyo ongea ujing wako mshirkin

    • @user-go1rl6bb1z
      @user-go1rl6bb1z 2 หลายเดือนก่อน

      Cio mjinga nakama amekosea bc Quran yenyewe inamakosa sababu sulle alicho zungumza alitoa ndani ya Qurani.

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 2 หลายเดือนก่อน

    Dokta sule waislam tunakukubali nyie ndio wanachuoni wetu ila ubinaadamtu

    • @user13375
      @user13375 2 หลายเดือนก่อน

      Majini nayo ni ndugu zenu ?

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op 2 หลายเดือนก่อน

    Sure mshirikina Na ndacha kafiri wote wanamkufuru Allah waislamu musiende kwenye mdahalo wao huo

    • @mudiali4506
      @mudiali4506 2 หลายเดือนก่อน +1

      Weewe ni elimu zero ujitokeze wakujuwe wa kuskilizie huo ujuwaji wako wa kujificha
      Ili wakufuate
      Tatizo ni elimu

    • @yusuphibrahim-yq9mv
      @yusuphibrahim-yq9mv 2 หลายเดือนก่อน

      Siimuhimu sana kusema hayo kwa sasa

    • @bibliakweliyaduniayote1137
      @bibliakweliyaduniayote1137 2 หลายเดือนก่อน

      Sura ya majini inafanya nini kwa quran

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @jihan992000
      @jihan992000 2 หลายเดือนก่อน

      Chuki yanini wewe

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1g 2 หลายเดือนก่อน

    Abubakari ww usiende acja kushawishi ujinga wako kichwa kimekushuka kafiri ww

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ni sehem ya profes mazingi yani kutanoga zaidi ..

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 หลายเดือนก่อน

      Mazinge hawezi kasha choka mzee wa watu hawezi kushindana na mw /Ndacha