MCHUNGAJI ALIVYO KABWA KOO NA DK SULLE, VURUGU ZA HOJA ZALINDIMA KWENYE MDAALO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 296

  • @taifaramadhan8684
    @taifaramadhan8684 2 หลายเดือนก่อน +12

    Alhamdulilah kwa Neema hii ya Uislamu.

  • @RajabuSefu-u3f
    @RajabuSefu-u3f 3 หลายเดือนก่อน +9

    Mashaalllah dr sule❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @HgJjj-r5m
    @HgJjj-r5m 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu sio mungu mungu hakuzaa wala hakuzaliwa

  • @benardnjoka5359
    @benardnjoka5359 2 หลายเดือนก่อน +1

    Onyango is a good teacher too

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 2 หลายเดือนก่อน +7

    wakrist sijui wanatatizo gani vichwani,hivi Yesu akiwa Mungu aliyemtuma Yesu atakuwa nani??

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 2 หลายเดือนก่อน

      ndo hapo sasa

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 2 หลายเดือนก่อน

      @@salimchimwaga8384 wewwe aja kuelewa kimskitimsikiti kakangu

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 2 หลายเดือนก่อน

      Hawa makafiri nikuwaacha tu

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 2 หลายเดือนก่อน

      @@salimchimwaga8384 nyinyi mukaaje kusoma bibilia na kuelewa kimsikitimiskiti bro , mngekuwa na roho wa mungu aliye hai mungeelewa vizuri huyu yesu

    • @TonaAlbert
      @TonaAlbert 2 หลายเดือนก่อน

      Bibiliya sio yakwenu muyiaciye wakristo

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน +5

    shida waisilamu hawa roho wamungu kuelewa mambo yakiungu ni shida kwao kubishana nao nikaa kubishana nawatu wenye akili finyu

    • @NurdinBihame-oh4zx
      @NurdinBihame-oh4zx 3 หลายเดือนก่อน

      Matayo 26:36,imeeleza vizuri kuhusu yesu ni dini ipi na ni mtume wa mungu soma hiyo

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      @@NurdinBihame-oh4zx usisome bibilia kimsikitimsikiti jaribu kusoma kikanisakikanisa utaelewa kaka

    • @MrishoChoggy
      @MrishoChoggy 2 หลายเดือนก่อน

      Wakiristo mmejua kutengenezwa eti roho wa mungu ,kwahiyo wewe ukijiangalia unajiona una roho ya mungu wewe

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 2 หลายเดือนก่อน

      @@MrishoChoggy kaka nilikuwa muisilamu lakini tangu niujue ukweli nilihama hiyo dini ju niyakupotosha watu walai

  • @omariSaidmoon
    @omariSaidmoon 27 วันที่ผ่านมา

    Hawa wakenya hawajui kiswahili amefanyikamwili amejifanya mwili yesu siyo mungu

  • @Zulkamhaji
    @Zulkamhaji 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman wakiristo eleweni kuwa mungu haonekan kama ulivokuwz ulivokuwa huxioni akili zako sasa inakuwaj mungu aonekane yesu alikuwa kama uyo ndacha sasa inakuwaje awe mungu jaman elewen na mudome pia mungu ni mmoja na si mwengibe ni
    Allah sw ndio mungu wa mashariki xote
    Yesu ni mjumbe wa Allah sw

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo 14 วันที่ผ่านมา

    Nyeeeee.haya bwana yesu.tu

  • @EliazaruMuchuikairithia
    @EliazaruMuchuikairithia 2 หลายเดือนก่อน +1

    sawa kabisa mwalimu

  • @mercymjunior9684
    @mercymjunior9684 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ndacha na Onyango na msomaji wenyu paulo Mungu awajalie umri mrefu nyinyi ni msaada mkubwa sana kwa walimwengu

  • @FaustineJustus
    @FaustineJustus 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ipo siku mtakubali Kua ndie ila mtakua mmechelewa

  • @HuzaimaOmar-p3z
    @HuzaimaOmar-p3z หลายเดือนก่อน

    Yaa Allah wahifadhi viongozi wote wa dini na waislam wote amin

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sule wee unaespotosha nduguzo, were unamjua Yeah viziri sana ilaunajizingizia

  • @Mathieusinzinkayo
    @Mathieusinzinkayo 28 วันที่ผ่านมา

    Nawapenda sana kwa vile mzungumzavyo.Sasa nauliza.Uyu mungu mnasihi ambaye anaikala ku kiti uyu ni mutu au entity?

  • @JacksoniZidoli
    @JacksoniZidoli 2 หลายเดือนก่อน +1

    Waislam mnatumarizia mb bure tu hamna ukwer wowote

  • @SaidSaigor
    @SaidSaigor 3 หลายเดือนก่อน +3

    Uislamu ndio dini ya kweli,,takbiiir

    • @CaltonMallya-zj6cp
      @CaltonMallya-zj6cp หลายเดือนก่อน

      Ya kweli ya kuwapeleka wapi?😢

    • @CaltonMallya-zj6cp
      @CaltonMallya-zj6cp หลายเดือนก่อน

      Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe

  • @sarahmana2663
    @sarahmana2663 3 หลายเดือนก่อน +2

    Uyo pastor anawapiteza sana watu, yesu siyo mungu, muache wujinga

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ukristo na uislamu sio shida ila uyahudi ndio shida,

  • @Chrishenryson-beats
    @Chrishenryson-beats 3 หลายเดือนก่อน +3

    Waislam akili zao ndogo sana juu ya imani. Alaf kumbe wamepotoka ivo🥹

    • @abeidrashid2574
      @abeidrashid2574 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kamulize mchungaji wako akuoneshe sehemu iliyoandikwa yesu ni mungu arufu utaona kiwango cha akili yako kina uwezo wa kias gani kunganuwa mambo

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats 3 หลายเดือนก่อน

      @@abeidrashid2574 Tatizo unakaza kichwa. Skiliza hii clip toka mwanzo majibu unapewa tena sio moja unapewa kwa vifungu. Saiv unataka nirudie tena. Nyie mmeulizwa maswali mnaruka ruka tu kama maharage yanachemka😀

    • @saudaumar3354
      @saudaumar3354 3 หลายเดือนก่อน

      wee ndio ndogo mlapanya soma bweha

  • @OsmanXossen
    @OsmanXossen หลายเดือนก่อน

    Huyu yesu km ni mungu aliumba nini mnijibi niokoke leo mm

  • @LatifaHussein-c9c
    @LatifaHussein-c9c หลายเดือนก่อน

    Yesu mwenyewe alisema muabuduni mwenyezi mungu mola wangu mlezi na mola wenu mlezi
    Lakini wakristo ni wagumu kukubali ukweli mnafata waliokufuru zaman

  • @danielkasau8747
    @danielkasau8747 หลายเดือนก่อน

    Ndacha ni kiboko ya hawa hawa wajiga kweli

  • @HalimaPaskal
    @HalimaPaskal หลายเดือนก่อน

    Kweli yesu ni mungu

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 3 หลายเดือนก่อน +1

    18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.
    Yohana 1:18
    Biblia iko wazi inamtaja Mungu mwana

    • @legendaction202
      @legendaction202 3 หลายเดือนก่อน

      Na ww n mwana wa nan

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 3 หลายเดือนก่อน

      @@legendaction202 mwana wa adamu

  • @ismailkasim9060
    @ismailkasim9060 หลายเดือนก่อน

    Akajifanya sawa na baba yake

  • @RAZALOCHUMA
    @RAZALOCHUMA 3 หลายเดือนก่อน

    Mdahala muzur laknis waislam hoja zenu sijaelewa

  • @sadikihalfani
    @sadikihalfani 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan awa makafiri sitakuja kuwaelewa kamwe.kuhusu hii MADA wanapoteza mda tu

  • @damarisnjerichege100
    @damarisnjerichege100 3 หลายเดือนก่อน

    Yesu ni Mungu

    • @MaryamIssa-y7v
      @MaryamIssa-y7v 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu angufunguwe upeo

  • @SaidSaigor
    @SaidSaigor 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu sio mungu,,Jesus never be God

    • @ElsonAsimwe
      @ElsonAsimwe 3 หลายเดือนก่อน

      Yehoshua Amesiah, Yesu ni Mungu kweli na ni mwanadamu kweli. Ndio maana anaitwa EMANUEL

    • @TonaAlbert
      @TonaAlbert 2 หลายเดือนก่อน

      Munamujua Muhammed .hammujuwi masiya EMMANUEL JESUS KRISTO.

  • @husha6372
    @husha6372 2 หลายเดือนก่อน

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu NDACHA AMEKUBALI KUWA MAYAHUDI NDIO WALIOLETEA IMANI

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 2 หลายเดือนก่อน

    Kama yesu ni mungu na injil aliwepa na Nani? Na injil ziko ngapi maana hata yahaya ana Yake?

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bi maana Yesu ni Mungu mdogo? 😂Msiba!

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa mimi nilivyo elewa waislamu wapo.kimwili na kibinadamu na sio kiroho wakristo wapo kiroho zaidi ndomana wanashindwa kuelewana

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 2 หลายเดือนก่อน

      Ndo mnakinbiliaga et kiroho mkibanwa kwenye maandiko yesu mwenyewe anamwabudu mungu wapi yesu alisema niabuduni au niombeni Bali aliomba yeye kumuomba mungu wakristo hawana akili akili zenu zimedhikiliwa mnachoambiwa na huo uongo wa biblia munasema amee Soma yeremia 8:8

  • @IkramShaban-c4f
    @IkramShaban-c4f หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @IbadeAssiqui
    @IbadeAssiqui หลายเดือนก่อน

    Daxa mimi nacuomba sana axa cua ncrisito, inguia din ia haqi cua muenhe nsimungu, wewe utaqi cu inguia peponi? Pepo ya anla?

  • @BanzeGolf
    @BanzeGolf 21 วันที่ผ่านมา

    Tangu mungu halipo peleka Adam na Awa ,katika shamba pale walihasi,mungu hakujua alijua? Bona haliuliza Adam kwamba ukowapi?kwamba yeyenaye ni mungu kwanini aliuliza?naye ni mungu ajualote?

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 2 หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kujua yesu nimungu nirahisi tu mwanadam neno lipi lilitumika mpaka akatokea neno tumufanye mtu kwamufano wetu ndomaana hata raisi anamakam wake huwezi kufika kwaraisi mojakwamoja lazima uanze chini

  • @KizaIbrahim-h6f
    @KizaIbrahim-h6f 2 หลายเดือนก่อน

    Neno alifanyika mwili tukauona utukufu wake
    Yaani tamko lá Mungu Lililo umba vitu vyote limefanyika mwili tukauona utukufu wake
    Huyo tamko aliye fanyika mwilli akaonekana tukauona utukufu wake nini Nani jamani?
    Ta

  • @LterwaLeleur
    @LterwaLeleur 22 วันที่ผ่านมา

    Tuambiani mtu aliye pita mawinguni akiwa hai sasa hivi

  • @AngelinaAkuyen
    @AngelinaAkuyen 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dacha turiya wannafuzi tuko wangi sule atakunyorosha mutafutetu

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha bible kasahau ila dokta sule kakremisha bible yote kichwani

    • @MarkoWMichael
      @MarkoWMichael 3 หลายเดือนก่อน

      Toka apa we ndo unakumbuka sasa,,,kaa kimyaa

  • @Zuwenamachela
    @Zuwenamachela 2 หลายเดือนก่อน

    Wew ni mwehu uungu haujadiliwi maana uungu uko waz mtu akishazaliwa hicho nikiumbe na Kila kiumbe kimeumbwa Issaya 44:24

  • @JoakimUrassa
    @JoakimUrassa 3 หลายเดือนก่อน

    Wakubali TU waache kua na moyo mngumu

  • @juniormembe688
    @juniormembe688 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe Sule ana bodyguard

  • @JOMBA111
    @JOMBA111 3 หลายเดือนก่อน

    Tena muache mdahalo huo mnamkosea mungu

  • @MartinNiyukuri-n2t
    @MartinNiyukuri-n2t 3 หลายเดือนก่อน

    Wapendwa wamungu tuombe Sana mungu tuzidi kuokoka kweli kweli! Kubishana nawa islam nikujisumbuwa Tu maana hata wenyewe wanajuwa kama wanapoeleke sisahihi wengi wawo ni wafrimason wanatumia majini ,wanafanya umalaya Yani kila zambi wanafanya wameshakubaliyana nadhetani

    • @aminaabdulghanim8256
      @aminaabdulghanim8256 2 หลายเดือนก่อน

      Unajitaja wenyewe nyinyi ndio mnaongoza kwa freemason. Bishop wenu popu 😂sindio nyinyi mashetani.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 หลายเดือนก่อน

    👍👊🙏.

  • @SalomonMugisha-wy8or
    @SalomonMugisha-wy8or 3 หลายเดือนก่อน

    Mucungaji Uwongezewe Kipaji ili waokoke

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 3 หลายเดือนก่อน

    mambo. Yakikilisto hadiumjue. Rohomtatifu wasilamu hawajui jitahadhalini namakafili hao

  • @pascalkalama
    @pascalkalama 3 หลายเดือนก่อน

    Sule kashidwa hoja bana ukweli usemwe

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 หลายเดือนก่อน

    Jibu swali sule uyo neno alikuwa nani

  • @davidlintari8504
    @davidlintari8504 3 หลายเดือนก่อน

    Waislamu fujo tupu,

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud 3 หลายเดือนก่อน

    Muhammed Dr sure kamfata au katumia hoja za ibn taymia maajabu sure nimshirikina ibn taymia aliyepasisha kutumia majini na akaf a na iridhi shingoni si mshirikina sure nimshirikina mnatumia mizani gani nyie mayaudi kiwahabi minajisi

  • @FranciscoOresteBernabé
    @FranciscoOresteBernabé 3 หลายเดือนก่อน

    Da kkkkkk dr sule kabanua

  • @Rajabuathumani-v3z
    @Rajabuathumani-v3z 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂🎉

  • @CaltonMallya-zj6cp
    @CaltonMallya-zj6cp หลายเดือนก่อน

    Waislanu mpo kishabiki 27:43 Wakristo wapo makini ndio maana sulle alipokiri Wakristo wakashangilia ninyi mkabiga takibiri mtapotea kwa ushabiki wa kijinga

  • @olekurarudan4773
    @olekurarudan4773 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu Dr sule hakuna kitu anajua

    • @isahbarasa
      @isahbarasa 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wee unjua nn😂😂 mwanadamu ni Mungu

    • @aminaabdulghanim8256
      @aminaabdulghanim8256 2 หลายเดือนก่อน

      😂 jisalimishe toka kwa ukafiri kijana

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 3 หลายเดือนก่อน

    Msomaji wetu upande wa Waislam hayuko vyema kufunua vifungu 😂😂

  • @saidiruwa
    @saidiruwa 29 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂

  • @legendaction202
    @legendaction202 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni uluminati ndacha kalipwa amtumikie shetani th-cam.com/video/8LXQm7Ljj1g/w-d-xo.htmlsi=-L0yW_DlEEs_grFN

  • @GodfreyMolel
    @GodfreyMolel 3 หลายเดือนก่อน

    Tunawakaribisha waislam muwe wakristo tumwabudu yesu maana yeye ndie njia ya uzima wa milele mti wliokua anazungumzia ni mfano wa mwanadamu ambae hashudii neno la mungu ili watu wawese kuzaa matunda badala kuhubiri ukuu wa mungu na watu wamfuate maana kushuhudia ndio njia ya kuzaa usikae kama mti huo

    • @AmityRajabu
      @AmityRajabu 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hatuwezi muabudu mtu kama sisi Alie fungwa nepi kama Mimi loooo anae nalala anaekula mungu wetu haliii hajazaliwa Wal kuzaaa

  • @AllyMsafiri-kw2ne
    @AllyMsafiri-kw2ne 3 หลายเดือนก่อน +4

    Sule kiboko hasa pia nimtamu hata kumsikiliza

  • @MesaIdd-dn3vt
    @MesaIdd-dn3vt 28 วันที่ผ่านมา +1

    Achen kudanganya watu wakristo jtambueni

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kwa hiyo mungu Yesu alikuja kuuliwa na aliowaumba....?!

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 2 หลายเดือนก่อน

      ajabu sasa hiyo

    • @husseinbakromar5865
      @husseinbakromar5865 2 หลายเดือนก่อน

      I say ebu rudia hilo swali wakusikie vzuri Safi sana

  • @AyubuIkaku
    @AyubuIkaku 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu sio Mungu, Mungu gani anauwawa na watu msalabani kwa mujibu wa biblia. Je Mungu anashindwaje akili na wanadamu mpaka wamuue?

  • @danielmwakimi2416
    @danielmwakimi2416 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ndacha kiboko ya majini

  • @AbbyKomba
    @AbbyKomba หลายเดือนก่อน +2

    Awa wakrist au oya kun m2 wanamdai. Mbn awajib maswal wanapig kelel. Elewen mada.😂😂

  • @Abubakarychacha
    @Abubakarychacha วันที่ผ่านมา

    ndacha nimuongo huyu mungu wangu sijawahi ona nimtu anaejua kuchota akili za watu wasio na uelewa leo ndio nimegundua. mungu afanyie neema na wepes kwakweli

  • @BertinBahati-p5v
    @BertinBahati-p5v 2 วันที่ผ่านมา

    Apewe sifa mungu wetu baba wa bwana wetu yesu kristo

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 3 หลายเดือนก่อน +1

    mimi ni mkenya hao wote wakenya kina ndata watafuta kula tuu na kupoteza watu wajuwa usawa uko wapi lakini wajinga sana kwa kula panya na nguruwe.

  • @OmarysabatoMchele
    @OmarysabatoMchele 13 วันที่ผ่านมา

    Jaman saiz sio kusali kwakumtegea binadam akuongoze jiongoze mwenyewe

  • @K.T.L.Y.K.MINISTRIES
    @K.T.L.Y.K.MINISTRIES 10 วันที่ผ่านมา

    Waislm nyinyi MUNA POTOKA TU TUBUNI YESU KRISTO ANARUNDI YEYE NDIYE ANAUZIMA WA MIMI NI YESU TU AKUNA MWENGINE KAMA YEYE

  • @SofiaKhamis-t2l
    @SofiaKhamis-t2l 3 หลายเดือนก่อน +6

    Yesu sio mungu bana

    • @MarkoWMichael
      @MarkoWMichael 3 หลายเดือนก่อน

      Ni Mungu imeisha iyo❤

    • @isahbarasa
      @isahbarasa 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@MarkoWMichael😅😅😅tubu ww kwa hio maneno yako

    • @TonaAlbert
      @TonaAlbert 2 หลายเดือนก่อน

      Alafu asikuwe Mungu weye Mungu sasa?acha ujinga

    • @Mathieusinzinkayo
      @Mathieusinzinkayo 28 วันที่ผ่านมา

      Jiulize nawewe mungu nini?Jijibusasa.Mfano mungu nisaa pepo.Anapatikana kila mahala.Anajaa univers .Sasa nikiti gani wewe umemutengenezeya awezaye kuikalaeko?

    • @KatanaKariss
      @KatanaKariss 25 วันที่ผ่านมา

      @@MarkoWMichael nkuulize swali mtoto ww ni mwanadamu mtoto wako atakua mwanadamu ama mnyama... Na kama ww waitwa Rashid mtoto wako aweza itwa Rashid ama hawezi itwa

  • @SalimAbdallah-d6w
    @SalimAbdallah-d6w 8 วันที่ผ่านมา

    Kwani ndachi wajitetea na aya za Quran...kama waiamini silimu tu.

  • @sulimankarusi8345
    @sulimankarusi8345 7 วันที่ผ่านมา

    Okimuona Ndacha akicuna kichwa, basi juwa neno ya uwongo.

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo 14 วันที่ผ่านมา

    Ukiamini sana uislamu utavunjika kiimani.mbona mnamwona sule tu,mnajua waislam mambo mengi wanashindwaga kuyaelezea.polen

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 หลายเดือนก่อน

    Msomaji WA kiislamu mbona wachemsha? Mwaga vitu haraka

  • @heavens9451
    @heavens9451 3 หลายเดือนก่อน

    Mbego TV Wapumbavu ... Wewe hata hujui lolote . Sule Hajui kitu yeye na Majini yake... Shenzi sama wewe

  • @alfanfddgfd1662
    @alfanfddgfd1662 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ndacha huna ata akili eti yesu ni Mungu tokea lini hiyo

    • @TonaAlbert
      @TonaAlbert 2 หลายเดือนก่อน

      Musipo kuwa na loho mitakatifu hamujaelewa😂😂

  • @Mathieusinzinkayo
    @Mathieusinzinkayo 28 วันที่ผ่านมา

    Hamjaona kwamba ivyo vitabu vitakatifu vyenu vinajaa makosa?Ivyo nivitabo vya wa toto wa wa ibrahim.Siyo kizazi cenu!!!

  • @AlhajiMsisiri
    @AlhajiMsisiri 14 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji acha kukufulu maana yesu nae kazaliwa

  • @MesaIdd-dn3vt
    @MesaIdd-dn3vt 28 วันที่ผ่านมา

    Ndacha huna jipya kwan elimu yko bado haijafikia ya wahadhiri walioko mbele yko

  • @BanzeGolf
    @BanzeGolf 21 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu ndacha WE na batu yako mkubali kwamba yesu ni mungu!

  • @LterwaLeleur
    @LterwaLeleur 22 วันที่ผ่านมา

    Mbona atutedewi haki ukweli mnapinga aaai

  • @yasluhumilemohammed7461
    @yasluhumilemohammed7461 หลายเดือนก่อน

    Swali ni wapi yesu kasema mwenyew yeye ni mungu jamaa wameshindwa hawa wakristo

  • @omariSaidmoon
    @omariSaidmoon 27 วันที่ผ่านมา

    Mfano siyo chenyewe yesu ni mfano kiswahili shida

  • @MesaIdd-dn3vt
    @MesaIdd-dn3vt 28 วันที่ผ่านมา

    Wahadhiri wa kiislam ndacha hana elimu ya kuwababaisha

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน +3

    Muisilamu pure lazima awe na majini hiyo si dini hata huyu sule nimshirikina mkuuu sana nilimuogopa siku moja tukiswali nikaabba kutokuwa muisilamu tena

    • @ismailmakumbi-t1o
      @ismailmakumbi-t1o 3 หลายเดือนก่อน +1

      Acheni kukimbilia majini majini ni viumbe kama ww ila tu tofauti wao wanaishi kwenye maji hoja je yesu ni mungu?? Mbona hamjibu

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

      @@ismailmakumbi-t1o viumbe kaa wewe nimewaogopa walisilimu wakawa waisilamu wanawaletea hela Hutu mkitoa wenzenu kafara juu chakula Cha jini ni damu awe jini mzuri au mbaya lazima anywe damu

    • @aminaabdulghanim8256
      @aminaabdulghanim8256 2 หลายเดือนก่อน

      Uzushi, Mungu akulaani hapa dunia mpaka kesho akhera. Ameen

    • @BonfaceWawire-k6p
      @BonfaceWawire-k6p 2 หลายเดือนก่อน

      @@aminaabdulghanim8256 kando na majini ni yamagaidi wakubwa sana

    • @aminaabdulghanim8256
      @aminaabdulghanim8256 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@ismailmakumbi-t1o😂 hawaezi jibu waruka ruka kama chura hupati jibu. Wakiristo wanaoza kwa udevo wa freemason na hawatasema hili ni Siri kwao.

  • @ChidiSalum-f6p
    @ChidiSalum-f6p หลายเดือนก่อน

    Ndacha unawapoteza watu ww mungu hakuzaa wala hakuzaliwa yesu amezaliwa bana

  • @DullahAsan-r4n
    @DullahAsan-r4n หลายเดือนก่อน

    Ivi? Kati ya yesu na mamayake na yesu ni nanina wakwaza kuzaliwa?

  • @ShabaniBaibai
    @ShabaniBaibai 2 หลายเดือนก่อน

    Wafungue akili shekhe hao wasabato

  • @CelestinoCasimiro
    @CelestinoCasimiro 3 หลายเดือนก่อน

    Fanyakazi dokta usiogope maneno ya wajinga walio gizani

  • @johnweres9566
    @johnweres9566 27 วันที่ผ่านมา

    Watu wanetandika vitabu 😂😂😂

  • @KatanaKariss
    @KatanaKariss 26 วันที่ผ่านมา

    Huyo kijana ndacha ni msomi mkubwa sana

  • @hassantambwe9190
    @hassantambwe9190 หลายเดือนก่อน

    Mbn ukiristo hauna maandiko kulingana na kabila ya yesu kama vile Quran iko na arabic kulingana na mte n arab

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 หลายเดือนก่อน

    Yani Wakristo wametolewa andiko Yesu hajui kama mti uko na matunda au hauna,Wakristo wao wanashangikia😂duh! mtihani kweli hawa rafiki zetu,sjui hua wamepikwa au hawaelewi maandiko ni nashidlndwa kabsaa,

  • @ndayishimiyejaphet4927
    @ndayishimiyejaphet4927 หลายเดือนก่อน

    Yesu ni mungu wa islam muache kupinga

  • @RashidCharo-ug1hz
    @RashidCharo-ug1hz 2 หลายเดือนก่อน

    Mudahalo kuntu dkt Sule

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 2 หลายเดือนก่อน

    Ushaona jini lakikiristo ila majini yote niwaisilm hata majina yao ndomaa muganga ijuma majin hayafanyi kazi we huogopi