Jaman wakiristo eleweni kuwa mungu haonekan kama ulivokuwz ulivokuwa huxioni akili zako sasa inakuwaj mungu aonekane yesu alikuwa kama uyo ndacha sasa inakuwaje awe mungu jaman elewen na mudome pia mungu ni mmoja na si mwengibe ni Allah sw ndio mungu wa mashariki xote Yesu ni mjumbe wa Allah sw
@@abeidrashid2574 Tatizo unakaza kichwa. Skiliza hii clip toka mwanzo majibu unapewa tena sio moja unapewa kwa vifungu. Saiv unataka nirudie tena. Nyie mmeulizwa maswali mnaruka ruka tu kama maharage yanachemka😀
18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua. Yohana 1:18 Biblia iko wazi inamtaja Mungu mwana
Ndo mnakinbiliaga et kiroho mkibanwa kwenye maandiko yesu mwenyewe anamwabudu mungu wapi yesu alisema niabuduni au niombeni Bali aliomba yeye kumuomba mungu wakristo hawana akili akili zenu zimedhikiliwa mnachoambiwa na huo uongo wa biblia munasema amee Soma yeremia 8:8
Tangu mungu halipo peleka Adam na Awa ,katika shamba pale walihasi,mungu hakujua alijua? Bona haliuliza Adam kwamba ukowapi?kwamba yeyenaye ni mungu kwanini aliuliza?naye ni mungu ajualote?
Ukitaka kujua yesu nimungu nirahisi tu mwanadam neno lipi lilitumika mpaka akatokea neno tumufanye mtu kwamufano wetu ndomaana hata raisi anamakam wake huwezi kufika kwaraisi mojakwamoja lazima uanze chini
Neno alifanyika mwili tukauona utukufu wake Yaani tamko lá Mungu Lililo umba vitu vyote limefanyika mwili tukauona utukufu wake Huyo tamko aliye fanyika mwilli akaonekana tukauona utukufu wake nini Nani jamani? Ta
Wapendwa wamungu tuombe Sana mungu tuzidi kuokoka kweli kweli! Kubishana nawa islam nikujisumbuwa Tu maana hata wenyewe wanajuwa kama wanapoeleke sisahihi wengi wawo ni wafrimason wanatumia majini ,wanafanya umalaya Yani kila zambi wanafanya wameshakubaliyana nadhetani
Muhammed Dr sure kamfata au katumia hoja za ibn taymia maajabu sure nimshirikina ibn taymia aliyepasisha kutumia majini na akaf a na iridhi shingoni si mshirikina sure nimshirikina mnatumia mizani gani nyie mayaudi kiwahabi minajisi
Waislanu mpo kishabiki 27:43 Wakristo wapo makini ndio maana sulle alipokiri Wakristo wakashangilia ninyi mkabiga takibiri mtapotea kwa ushabiki wa kijinga
Tunawakaribisha waislam muwe wakristo tumwabudu yesu maana yeye ndie njia ya uzima wa milele mti wliokua anazungumzia ni mfano wa mwanadamu ambae hashudii neno la mungu ili watu wawese kuzaa matunda badala kuhubiri ukuu wa mungu na watu wamfuate maana kushuhudia ndio njia ya kuzaa usikae kama mti huo
ndacha nimuongo huyu mungu wangu sijawahi ona nimtu anaejua kuchota akili za watu wasio na uelewa leo ndio nimegundua. mungu afanyie neema na wepes kwakweli
@@MarkoWMichael nkuulize swali mtoto ww ni mwanadamu mtoto wako atakua mwanadamu ama mnyama... Na kama ww waitwa Rashid mtoto wako aweza itwa Rashid ama hawezi itwa
Muisilamu pure lazima awe na majini hiyo si dini hata huyu sule nimshirikina mkuuu sana nilimuogopa siku moja tukiswali nikaabba kutokuwa muisilamu tena
@@ismailmakumbi-t1o viumbe kaa wewe nimewaogopa walisilimu wakawa waisilamu wanawaletea hela Hutu mkitoa wenzenu kafara juu chakula Cha jini ni damu awe jini mzuri au mbaya lazima anywe damu
Yani Wakristo wametolewa andiko Yesu hajui kama mti uko na matunda au hauna,Wakristo wao wanashangikia😂duh! mtihani kweli hawa rafiki zetu,sjui hua wamepikwa au hawaelewi maandiko ni nashidlndwa kabsaa,
Alhamdulilah kwa Neema hii ya Uislamu.
Mashaalllah dr sule❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yesu sio mungu mungu hakuzaa wala hakuzaliwa
Onyango is a good teacher too
wakrist sijui wanatatizo gani vichwani,hivi Yesu akiwa Mungu aliyemtuma Yesu atakuwa nani??
ndo hapo sasa
@@salimchimwaga8384 wewwe aja kuelewa kimskitimsikiti kakangu
Hawa makafiri nikuwaacha tu
@@salimchimwaga8384 nyinyi mukaaje kusoma bibilia na kuelewa kimsikitimiskiti bro , mngekuwa na roho wa mungu aliye hai mungeelewa vizuri huyu yesu
Bibiliya sio yakwenu muyiaciye wakristo
shida waisilamu hawa roho wamungu kuelewa mambo yakiungu ni shida kwao kubishana nao nikaa kubishana nawatu wenye akili finyu
Matayo 26:36,imeeleza vizuri kuhusu yesu ni dini ipi na ni mtume wa mungu soma hiyo
@@NurdinBihame-oh4zx usisome bibilia kimsikitimsikiti jaribu kusoma kikanisakikanisa utaelewa kaka
Wakiristo mmejua kutengenezwa eti roho wa mungu ,kwahiyo wewe ukijiangalia unajiona una roho ya mungu wewe
@@MrishoChoggy kaka nilikuwa muisilamu lakini tangu niujue ukweli nilihama hiyo dini ju niyakupotosha watu walai
Hawa wakenya hawajui kiswahili amefanyikamwili amejifanya mwili yesu siyo mungu
Jaman wakiristo eleweni kuwa mungu haonekan kama ulivokuwz ulivokuwa huxioni akili zako sasa inakuwaj mungu aonekane yesu alikuwa kama uyo ndacha sasa inakuwaje awe mungu jaman elewen na mudome pia mungu ni mmoja na si mwengibe ni
Allah sw ndio mungu wa mashariki xote
Yesu ni mjumbe wa Allah sw
Nyeeeee.haya bwana yesu.tu
sawa kabisa mwalimu
Ndacha na Onyango na msomaji wenyu paulo Mungu awajalie umri mrefu nyinyi ni msaada mkubwa sana kwa walimwengu
Ipo siku mtakubali Kua ndie ila mtakua mmechelewa
Kweri
Yaa Allah wahifadhi viongozi wote wa dini na waislam wote amin
Sule wee unaespotosha nduguzo, were unamjua Yeah viziri sana ilaunajizingizia
Nawapenda sana kwa vile mzungumzavyo.Sasa nauliza.Uyu mungu mnasihi ambaye anaikala ku kiti uyu ni mutu au entity?
Waislam mnatumarizia mb bure tu hamna ukwer wowote
Uislamu ndio dini ya kweli,,takbiiir
Ya kweli ya kuwapeleka wapi?😢
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe
Uyo pastor anawapiteza sana watu, yesu siyo mungu, muache wujinga
Ukristo na uislamu sio shida ila uyahudi ndio shida,
Waislam akili zao ndogo sana juu ya imani. Alaf kumbe wamepotoka ivo🥹
Kamulize mchungaji wako akuoneshe sehemu iliyoandikwa yesu ni mungu arufu utaona kiwango cha akili yako kina uwezo wa kias gani kunganuwa mambo
@@abeidrashid2574 Tatizo unakaza kichwa. Skiliza hii clip toka mwanzo majibu unapewa tena sio moja unapewa kwa vifungu. Saiv unataka nirudie tena. Nyie mmeulizwa maswali mnaruka ruka tu kama maharage yanachemka😀
wee ndio ndogo mlapanya soma bweha
Huyu yesu km ni mungu aliumba nini mnijibi niokoke leo mm
Yesu mwenyewe alisema muabuduni mwenyezi mungu mola wangu mlezi na mola wenu mlezi
Lakini wakristo ni wagumu kukubali ukweli mnafata waliokufuru zaman
Ndacha ni kiboko ya hawa hawa wajiga kweli
Kweli yesu ni mungu
Hapana
18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.
Yohana 1:18
Biblia iko wazi inamtaja Mungu mwana
Na ww n mwana wa nan
@@legendaction202 mwana wa adamu
Akajifanya sawa na baba yake
Mdahala muzur laknis waislam hoja zenu sijaelewa
Yaan awa makafiri sitakuja kuwaelewa kamwe.kuhusu hii MADA wanapoteza mda tu
Yesu ni Mungu
Mungu angufunguwe upeo
Mtu sio mungu,,Jesus never be God
Yehoshua Amesiah, Yesu ni Mungu kweli na ni mwanadamu kweli. Ndio maana anaitwa EMANUEL
Munamujua Muhammed .hammujuwi masiya EMMANUEL JESUS KRISTO.
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu NDACHA AMEKUBALI KUWA MAYAHUDI NDIO WALIOLETEA IMANI
Kama yesu ni mungu na injil aliwepa na Nani? Na injil ziko ngapi maana hata yahaya ana Yake?
Bi maana Yesu ni Mungu mdogo? 😂Msiba!
Kwa mimi nilivyo elewa waislamu wapo.kimwili na kibinadamu na sio kiroho wakristo wapo kiroho zaidi ndomana wanashindwa kuelewana
Ndo mnakinbiliaga et kiroho mkibanwa kwenye maandiko yesu mwenyewe anamwabudu mungu wapi yesu alisema niabuduni au niombeni Bali aliomba yeye kumuomba mungu wakristo hawana akili akili zenu zimedhikiliwa mnachoambiwa na huo uongo wa biblia munasema amee Soma yeremia 8:8
❤❤❤❤❤❤
Daxa mimi nacuomba sana axa cua ncrisito, inguia din ia haqi cua muenhe nsimungu, wewe utaqi cu inguia peponi? Pepo ya anla?
Tangu mungu halipo peleka Adam na Awa ,katika shamba pale walihasi,mungu hakujua alijua? Bona haliuliza Adam kwamba ukowapi?kwamba yeyenaye ni mungu kwanini aliuliza?naye ni mungu ajualote?
Ukitaka kujua yesu nimungu nirahisi tu mwanadam neno lipi lilitumika mpaka akatokea neno tumufanye mtu kwamufano wetu ndomaana hata raisi anamakam wake huwezi kufika kwaraisi mojakwamoja lazima uanze chini
Neno alifanyika mwili tukauona utukufu wake
Yaani tamko lá Mungu Lililo umba vitu vyote limefanyika mwili tukauona utukufu wake
Huyo tamko aliye fanyika mwilli akaonekana tukauona utukufu wake nini Nani jamani?
Ta
Tuambiani mtu aliye pita mawinguni akiwa hai sasa hivi
Dacha turiya wannafuzi tuko wangi sule atakunyorosha mutafutetu
Ndacha bible kasahau ila dokta sule kakremisha bible yote kichwani
Toka apa we ndo unakumbuka sasa,,,kaa kimyaa
Wew ni mwehu uungu haujadiliwi maana uungu uko waz mtu akishazaliwa hicho nikiumbe na Kila kiumbe kimeumbwa Issaya 44:24
Wakubali TU waache kua na moyo mngumu
Kumbe Sule ana bodyguard
Tena muache mdahalo huo mnamkosea mungu
Wapendwa wamungu tuombe Sana mungu tuzidi kuokoka kweli kweli! Kubishana nawa islam nikujisumbuwa Tu maana hata wenyewe wanajuwa kama wanapoeleke sisahihi wengi wawo ni wafrimason wanatumia majini ,wanafanya umalaya Yani kila zambi wanafanya wameshakubaliyana nadhetani
Unajitaja wenyewe nyinyi ndio mnaongoza kwa freemason. Bishop wenu popu 😂sindio nyinyi mashetani.
👍👊🙏.
Mucungaji Uwongezewe Kipaji ili waokoke
mambo. Yakikilisto hadiumjue. Rohomtatifu wasilamu hawajui jitahadhalini namakafili hao
Sule kashidwa hoja bana ukweli usemwe
Jibu swali sule uyo neno alikuwa nani
Waislamu fujo tupu,
Kushinda makafiri kwa fujo?
Muhammed Dr sure kamfata au katumia hoja za ibn taymia maajabu sure nimshirikina ibn taymia aliyepasisha kutumia majini na akaf a na iridhi shingoni si mshirikina sure nimshirikina mnatumia mizani gani nyie mayaudi kiwahabi minajisi
Da kkkkkk dr sule kabanua
😂😂😂😂🎉
Waislanu mpo kishabiki 27:43 Wakristo wapo makini ndio maana sulle alipokiri Wakristo wakashangilia ninyi mkabiga takibiri mtapotea kwa ushabiki wa kijinga
Huyu Dr sule hakuna kitu anajua
Wee unjua nn😂😂 mwanadamu ni Mungu
😂 jisalimishe toka kwa ukafiri kijana
Msomaji wetu upande wa Waislam hayuko vyema kufunua vifungu 😂😂
😂😂😂😂😂😂
Huyu ni uluminati ndacha kalipwa amtumikie shetani th-cam.com/video/8LXQm7Ljj1g/w-d-xo.htmlsi=-L0yW_DlEEs_grFN
Tunawakaribisha waislam muwe wakristo tumwabudu yesu maana yeye ndie njia ya uzima wa milele mti wliokua anazungumzia ni mfano wa mwanadamu ambae hashudii neno la mungu ili watu wawese kuzaa matunda badala kuhubiri ukuu wa mungu na watu wamfuate maana kushuhudia ndio njia ya kuzaa usikae kama mti huo
Hatuwezi muabudu mtu kama sisi Alie fungwa nepi kama Mimi loooo anae nalala anaekula mungu wetu haliii hajazaliwa Wal kuzaaa
Sule kiboko hasa pia nimtamu hata kumsikiliza
Achen kudanganya watu wakristo jtambueni
Kwa hiyo mungu Yesu alikuja kuuliwa na aliowaumba....?!
ajabu sasa hiyo
I say ebu rudia hilo swali wakusikie vzuri Safi sana
Yesu sio Mungu, Mungu gani anauwawa na watu msalabani kwa mujibu wa biblia. Je Mungu anashindwaje akili na wanadamu mpaka wamuue?
Ndacha kiboko ya majini
Awa wakrist au oya kun m2 wanamdai. Mbn awajib maswal wanapig kelel. Elewen mada.😂😂
ndacha nimuongo huyu mungu wangu sijawahi ona nimtu anaejua kuchota akili za watu wasio na uelewa leo ndio nimegundua. mungu afanyie neema na wepes kwakweli
Apewe sifa mungu wetu baba wa bwana wetu yesu kristo
mimi ni mkenya hao wote wakenya kina ndata watafuta kula tuu na kupoteza watu wajuwa usawa uko wapi lakini wajinga sana kwa kula panya na nguruwe.
Jaman saiz sio kusali kwakumtegea binadam akuongoze jiongoze mwenyewe
Waislm nyinyi MUNA POTOKA TU TUBUNI YESU KRISTO ANARUNDI YEYE NDIYE ANAUZIMA WA MIMI NI YESU TU AKUNA MWENGINE KAMA YEYE
Yesu sio mungu bana
Ni Mungu imeisha iyo❤
@@MarkoWMichael😅😅😅tubu ww kwa hio maneno yako
Alafu asikuwe Mungu weye Mungu sasa?acha ujinga
Jiulize nawewe mungu nini?Jijibusasa.Mfano mungu nisaa pepo.Anapatikana kila mahala.Anajaa univers .Sasa nikiti gani wewe umemutengenezeya awezaye kuikalaeko?
@@MarkoWMichael nkuulize swali mtoto ww ni mwanadamu mtoto wako atakua mwanadamu ama mnyama... Na kama ww waitwa Rashid mtoto wako aweza itwa Rashid ama hawezi itwa
Kwani ndachi wajitetea na aya za Quran...kama waiamini silimu tu.
Okimuona Ndacha akicuna kichwa, basi juwa neno ya uwongo.
Ukiamini sana uislamu utavunjika kiimani.mbona mnamwona sule tu,mnajua waislam mambo mengi wanashindwaga kuyaelezea.polen
Msomaji WA kiislamu mbona wachemsha? Mwaga vitu haraka
Mbego TV Wapumbavu ... Wewe hata hujui lolote . Sule Hajui kitu yeye na Majini yake... Shenzi sama wewe
Ndacha huna ata akili eti yesu ni Mungu tokea lini hiyo
Musipo kuwa na loho mitakatifu hamujaelewa😂😂
Hamjaona kwamba ivyo vitabu vitakatifu vyenu vinajaa makosa?Ivyo nivitabo vya wa toto wa wa ibrahim.Siyo kizazi cenu!!!
Mchungaji acha kukufulu maana yesu nae kazaliwa
Ndacha huna jipya kwan elimu yko bado haijafikia ya wahadhiri walioko mbele yko
Mwalimu ndacha WE na batu yako mkubali kwamba yesu ni mungu!
Mbona atutedewi haki ukweli mnapinga aaai
Swali ni wapi yesu kasema mwenyew yeye ni mungu jamaa wameshindwa hawa wakristo
Mfano siyo chenyewe yesu ni mfano kiswahili shida
Wahadhiri wa kiislam ndacha hana elimu ya kuwababaisha
Muisilamu pure lazima awe na majini hiyo si dini hata huyu sule nimshirikina mkuuu sana nilimuogopa siku moja tukiswali nikaabba kutokuwa muisilamu tena
Acheni kukimbilia majini majini ni viumbe kama ww ila tu tofauti wao wanaishi kwenye maji hoja je yesu ni mungu?? Mbona hamjibu
@@ismailmakumbi-t1o viumbe kaa wewe nimewaogopa walisilimu wakawa waisilamu wanawaletea hela Hutu mkitoa wenzenu kafara juu chakula Cha jini ni damu awe jini mzuri au mbaya lazima anywe damu
Uzushi, Mungu akulaani hapa dunia mpaka kesho akhera. Ameen
@@aminaabdulghanim8256 kando na majini ni yamagaidi wakubwa sana
@@ismailmakumbi-t1o😂 hawaezi jibu waruka ruka kama chura hupati jibu. Wakiristo wanaoza kwa udevo wa freemason na hawatasema hili ni Siri kwao.
Ndacha unawapoteza watu ww mungu hakuzaa wala hakuzaliwa yesu amezaliwa bana
Ivi? Kati ya yesu na mamayake na yesu ni nanina wakwaza kuzaliwa?
Wafungue akili shekhe hao wasabato
Fanyakazi dokta usiogope maneno ya wajinga walio gizani
Watu wanetandika vitabu 😂😂😂
Huyo kijana ndacha ni msomi mkubwa sana
Mbn ukiristo hauna maandiko kulingana na kabila ya yesu kama vile Quran iko na arabic kulingana na mte n arab
Yani Wakristo wametolewa andiko Yesu hajui kama mti uko na matunda au hauna,Wakristo wao wanashangikia😂duh! mtihani kweli hawa rafiki zetu,sjui hua wamepikwa au hawaelewi maandiko ni nashidlndwa kabsaa,
Yesu ni mungu wa islam muache kupinga
Mudahalo kuntu dkt Sule
Ushaona jini lakikiristo ila majini yote niwaisilm hata majina yao ndomaa muganga ijuma majin hayafanyi kazi we huogopi