ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

PART 1 DR SULLE ASHIKWA PABAYA NA MCH : NDACHA ATAJA JINI LINALOMUENDESHA SULLE ANAPINDISHA BIBLIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 108

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi1988 2 หลายเดือนก่อน +9

    Binafsi huwa nafurahishwa na mijadala yenu hongera sanaa ,Very Calm

  • @AproniusMwinuka
    @AproniusMwinuka 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana

  • @Muhammadnabii1Muhammadnabii2
    @Muhammadnabii1Muhammadnabii2 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah sheikh wetu uyo ndacha ata silimu tu INSHALLAH

  • @FarhatIbrahim-zs3qh
    @FarhatIbrahim-zs3qh 2 หลายเดือนก่อน +2

    Doctor sule ansema ki2 kwaushahidi mashallah someni quran mujuwe dini inasemaje

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sna dr sule kwa elimu nzuru waeleweshe hao makafiri wasiomjua Allah

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha mtukubwa sana sule ye nikucheka cheka 2 haelewi kitu

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha hongera

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ndacha mbabe wake mazinge TU maana mkaidi vibaya

  • @SefuAlyy
    @SefuAlyy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh Sule Nakukubalii sanaa

  • @user-ml6wl6xi7n
    @user-ml6wl6xi7n 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kikubwa Imani, Tuamini Kuwa MUNGU Ni Mmoja Na Tufanye Yaliyo Mema.

    • @chapchap-oz1ou
      @chapchap-oz1ou 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kikubwa ni imani...lakini imani ya mkristo na muislamu ni tofauti....MUNGU wao Si Mmoja kulingana na madai yako.

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu sio Mmoja miungu wapo wengi lakini Mungu wa kweli ni mmoja Mungu mwenye Mungu Mungu wa Biblia Takatifu

    • @SurprisedApron-uq7kg
      @SurprisedApron-uq7kg 2 หลายเดือนก่อน

      W Wacha uongo kama ww sio mu Islam huwezi kukuwa Namungu Moja kukuwa Namungu Moja razima usirim

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

      Kumbuka hata Buddha na wahindu wanaamini Mungu mmoja kama wewe

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p 2 หลายเดือนก่อน

    Achana na daawa Dr Tule

  • @davidkamando9630
    @davidkamando9630 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sule mbishi tu... Mch ndacha mbona anaeleweka sana tu

  • @SurprisedApron-uq7kg
    @SurprisedApron-uq7kg 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha kafiri mjinga ngoja kaburi ndio utatamani kurudishwa duniani namda wako unauhaributu

  • @KhalidJuma-rn6ss
    @KhalidJuma-rn6ss 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ndacha upo mbioni kuingia kwenye uislam

    • @Dafetty
      @Dafetty 2 หลายเดือนก่อน +1

      Inshaallah

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 2 หลายเดือนก่อน

      Pole sana Ndacha yupo sehemu salama hawezi kuwa wa muislam

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 2 หลายเดือนก่อน

      Ndacha hataki Majini

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 2 หลายเดือนก่อน

      Waislamu ni ndugu na majini au shetani 😈

  • @EsterSabinus
    @EsterSabinus 29 วันที่ผ่านมา

    Kikubwa amani

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 2 หลายเดือนก่อน +1

    Real battle

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sule amekubali anamajini..... waislam mpo kweli?

  • @AhmedAlharithiy-sg5cq
    @AhmedAlharithiy-sg5cq 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dr.sule masala Yana khilafu hakuna alie kuwa hai katika manabii wa la mitume allah hakujaalia mtu yoyote kabla ya mtumie kuishi milele

  • @IamLoe
    @IamLoe 2 หลายเดือนก่อน +2

    I think you serve what / whom you use.....

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan 2 หลายเดือนก่อน

    Dr sule anaongea point uyo pumbu ndacha anaongea pumba

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dr Sule majini yamekupagawa

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 หลายเดือนก่อน

    Part2 tahadhali ni habar nzuri hivi

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @threebrothers..
    @threebrothers.. 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dr sulle is a funny happy islam,atabatizwa na ndacha na ataingia choir

  • @Mkojani2024
    @Mkojani2024 2 หลายเดือนก่อน

    Hii kauli :
    "Maombi peke yake hayawezi kumaliza matatizo ya wanadamu"
    Aliyeielewa vizuri anifahamishe na mimi

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 2 หลายเดือนก่อน

    dr sule allah kampa elimu sana

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 2 หลายเดือนก่อน

    mkuu wamajini Dr sule

  • @user-kz1bo2zu3c
    @user-kz1bo2zu3c 2 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji usibishane na watu wamataifa kama huyo dr sule mtu mbaya sana shetani

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 2 หลายเดือนก่อน

    Dr Sule anajichanganya
    Anasema Allah alipomwambia mtume Muhammad kua atakufa ni future lakini baadae mtume Muhammad alikufa sasa kuna tofauti gani na Mtume Issa na aliambiwa nitakufisha hii pia ni future kwa hiyo baadae na Alikufa hawezekani mtu aishi milele ni ibilisi pekee aliepewa ofa ya kuishi hadi siku ya mwisho

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 2 หลายเดือนก่อน

      Ni ww hujaelew

  • @donaldfrancissassa8360
    @donaldfrancissassa8360 2 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji unatukosea heshima , "biingereza vya ninini?'

  • @Dafetty
    @Dafetty 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 Allah ndacha ana muita araa subhannallah

  • @stephen-S7n
    @stephen-S7n 2 หลายเดือนก่อน

    Dr. Sulle majini

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtangazaji anajifanya anajua kingereza, mara " speak about:"
    Kwa nini usitumie kiswahili lugha yetu.

  • @SefuAlyy
    @SefuAlyy 2 หลายเดือนก่อน

    Dokta Sole no mapepo

  • @bbnthia2055
    @bbnthia2055 2 หลายเดือนก่อน

    Dacha...kemea hizo majini Dr Sulle anazitumia uone akiokoka.

  • @KASSIMFUNDSIMU
    @KASSIMFUNDSIMU 2 หลายเดือนก่อน +1

    SULE JITAHIDI KUTUMIA SHEREHE ZA QURAN AYA ZINAPINDISHWA BORA UACHE MJADALA KULIKO AYA ZIPONDWE PONDWE

  • @ZoroSharifu
    @ZoroSharifu 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika ndacha ingia wi islamu mbio❤

  • @Shomariamuri1
    @Shomariamuri1 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dr Sule unaanza kuelenewa kabla ya mada yenyewe.
    Majini yakusaidie 😂

    • @mariamwanjiku3866
      @mariamwanjiku3866 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi kama muislamu , haifai kutumia majini kutafuta mali

  • @SwaahibulMakaan
    @SwaahibulMakaan 2 หลายเดือนก่อน

    Sule tumekuelewa ndacha ajui kiswaili

  • @user-kz1bo2zu3c
    @user-kz1bo2zu3c 2 หลายเดือนก่อน

    Mandondocha wanamfuata dr sule kwenye comment wamesharogwa

  • @user-jt9sl9ll7p
    @user-jt9sl9ll7p 2 หลายเดือนก่อน

    Sule kwanza namushauli kufanya mazowezi anakitambi kibaya sana

  • @muriithijames2225
    @muriithijames2225 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona waislamu lazima watumie lugha ta kiarabu kwa saala zao kwani allah haelewi lugha ingine isipokuwa kiarabu

    • @mariamwanjiku3866
      @mariamwanjiku3866 2 หลายเดือนก่อน

      Kuomba dua unaeza omba na lugha yoyote lakini kwenye swala tunaswali namna alivosali mtume Muhammad saw

    • @paschaljuma3312
      @paschaljuma3312 2 หลายเดือนก่อน

      Ukifikiria hivyo ni uchache wa akili yako ndo unakutuma kufikiria hivyo, kama yeye mwenyew Mwenyezi mungu anasema, " Tumekumbeni mataifa na makabila mbali mbali ili mpate kutambuana" akili yako inakutuma kuwa kuna kikomo katika lugha, mwentezi mungu anaamua kitu hiki nataka kiwe hivi, mtu anayo machaguo mawili kufuata au kukaidi ni chaguo lako. Wala haipunguzi kitu kwa mwenyezi mungu, kwaiyo suala la kusali kwa lugha ya kiarabu moja ya sababu ni namna sala inavyofanyika na jinsi quran inavyotakikana kusomwa. Hii ni dini ambayo kila kitu kiko katika utaratibu wake wa kukamilika acha kufananisha na yenu ambayo kila mtu afanta anavyojua maana hamna muongozo nyie

    • @arafatali2796
      @arafatali2796 2 หลายเดือนก่อน

      ndoa lugha yetu sote hata wew utake usitake hujiuliz kwanin adhana iwe yakiarabu sio lugha nyengn qur an kiarabu nyinyi hamuon tabu biblia kuwa lugha tofaut tofaut ukienda kwenye nci yawatu jee itafanyaje

    • @ramadhanyusuf2401
      @ramadhanyusuf2401 2 หลายเดือนก่อน

      Hii ni ishara ya umoja Mungu anapenda umoja

    • @wazirikipanga325
      @wazirikipanga325 2 หลายเดือนก่อน

      Ndivyo ilivyo swala imefundishwa kwa kiarab hata mtume amefundisha hvo so hairuhusiwi kutia maneno yyt isipokuw kiarab hata ukitaka kuomba dua ndn ya swala ni kiarab ukitia lugha yyt pasi na kiarab ndan ya swala!! Swala hyo ni baaatwil haipokelewi.

  • @ngwalesma3681
    @ngwalesma3681 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe mtangazaji achana na neno "speaking about"

  • @africacoast6841
    @africacoast6841 2 หลายเดือนก่อน

    Sule unapoteza watu..
    Yohana 6:70
    [70]Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?

  • @judithminja770
    @judithminja770 2 หลายเดือนก่อน

    Ndg mtangazaji hilo neno la speak about umejifunza jipya?😢😢kha

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 2 หลายเดือนก่อน

    kwa kweli wewe ni mtaalamu wanajini yamekuharibu

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 2 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi unaonesha upande hiyo ni tatizo

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 2 หลายเดือนก่อน

    Sule mchawi.ajificha chini ya uislamu

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani waislamu hamuendi hospitalini ninyi, acha uongo mzee mtu mzima!

  • @piusnkwale
    @piusnkwale 2 หลายเดือนก่อน

    Jitaidi unapoulizwa maswali acha kutamka"speak about"unarudia sana hadi inaboa

  • @FahmyHassan-uf6hf
    @FahmyHassan-uf6hf 2 หลายเดือนก่อน

    Mwezimungu ameishusha kurani kwamaneno ya kurani ndio tukatumia

    • @programminglanguagestutori9118
      @programminglanguagestutori9118 2 หลายเดือนก่อน

      Nani kaiwka kwa maadishi maana muhamad hakujua kusoma na kuandika?

    • @annymacher3829
      @annymacher3829 2 หลายเดือนก่อน

      Kwanin Allah alisema" tukamuumba "kwan wangapi waliumba?

  • @yusuframadhan8927
    @yusuframadhan8927 2 หลายเดือนก่อน

    Useless media with poor knowlegde of framing your headline

  • @KASSIMFUNDSIMU
    @KASSIMFUNDSIMU 2 หลายเดือนก่อน

    Kijan ndacha anachekesha kwel

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 หลายเดือนก่อน

    Nimemuona pastor kanyali kenya Anawaomba waumini katika tiktok huyo ni sawa ?????

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa kwani unamwonea huyo kwamba awe mwisilamu sababu ya kutokujua kiswahili basi ongea kingereza tuone.

  • @user-cy5zv5fb9l
    @user-cy5zv5fb9l 2 หลายเดือนก่อน

    Haka kamsemo ka watu wa upande wa pili et Kuna majini wema na mabaya huwa sielewi

  • @FarhatIbrahim-zs3qh
    @FarhatIbrahim-zs3qh 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni ubishi dini yakiislam nd dini yahaki achen ushamba

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 2 หลายเดือนก่อน

      Unataka tufuge majini🥺🥺🥺🥺😊

  • @user-rq3vu1zy6c
    @user-rq3vu1zy6c 2 หลายเดือนก่อน

    wote makafiri

  • @SefuAlyy
    @SefuAlyy 2 หลายเดือนก่อน

    Mafuta ya nazii

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q 2 หลายเดือนก่อน

    Labda kwamajin so maandiko nyiwenyew mwamngoja yesu sasa atabadili kwalip nyoo

    • @ahmedimakope
      @ahmedimakope 2 หลายเดือนก่อน

      We Kuma nn mkundu wa bibi Yako kipapa wew

    • @awatifsubeit4007
      @awatifsubeit4007 2 หลายเดือนก่อน

      @@ahmedimakope sasa matusi ya nini jamani tumuogope Allah zungunmza maneno yalio sawa au unyamaze kimya kwa mujibu wa mafundisho ya Mtume wetu

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero6469 2 หลายเดือนก่อน

    Sule na majini ndugu kabisa 😂😂😂😂😂

  • @SaidWaKonde
    @SaidWaKonde 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha mara hii utasilimu tu ukirudi kenya 🇰🇪 uwailumishe wafuasi wako

    • @shakila3982
      @shakila3982 2 หลายเดือนก่อน

      Imagine naisi Mwenyezi Mungu ndio usukuma ndacha kujua haki, hata mimi nilikuwa naupiga uislamu lakini ckuacha kudiscuse uislamu

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 หลายเดือนก่อน

      Hakuna mwislm wa kusimama na ndacha hapo

    • @annymacher3829
      @annymacher3829 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂ndacha hawez kua muislam jishikilie😅

  • @peterAmiable7
    @peterAmiable7 2 หลายเดือนก่อน

    Eti sule anatoa andiko Yohana 6:70 eti mapepo yaliwatii wanafunzi wa Yesu.
    Huyu anabahatishaga tu maandiko

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 2 หลายเดือนก่อน

    Mpaka wakiristo wanakudhihaki kwa tamaa zako

  • @user-id1gz3ng3k
    @user-id1gz3ng3k 2 หลายเดือนก่อน

    Sule wepeke sio muisilam ww ni mswaili, ww unatumia majini kwenye matatizo yako 😂😂😂, ndacha na yeye wote niwamoja

  • @kiulajoseph9194
    @kiulajoseph9194 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa wa jamaa mbona Kama ni marafiki poa tu ilamitandao ndio inaongea vitu vingi

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 2 หลายเดือนก่อน

    Mie ninachompendea Ndacha ikiwa wakiristo wamekosea anasema kama mzee upako wakiristo wengi hawasomi Bible lakini kuna mwengine anapinga tu hata kwenye ukweli Mfano kama Mw Daniël mkatoliki

  • @user-pg2tw8yt4l
    @user-pg2tw8yt4l 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 2 หลายเดือนก่อน

    Wajinga
    Huyu Anaeutwa Mganga Sule Hakusoma Uislam
    Na Huyu ndacha Namshauri Akasome Kwanza Uislam kwa kujifunza lugha ya asili iliyobeba kitabu cha imani ya Waislam
    Quran kisha aje kufanya Mijadala

  • @MussaHaji-zu4en
    @MussaHaji-zu4en 2 หลายเดือนก่อน

    Gufu 😂 au nguvu?

    • @thelonewolf4429
      @thelonewolf4429 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sio adi atamke kama wewe ya muhimu nikumwelewa. Ata kingereza watu wanatamka tofauti sasa usijifanye yakwako ndio sahihi.

  • @AproniusMwinuka
    @AproniusMwinuka 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana