Wananchi watoa maoni mseto baada ya Gavana Mwangaza kubanduliwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 93

  • @MaryMbai-xm8ne
    @MaryMbai-xm8ne 2 หลายเดือนก่อน +1

    ingieni mashinani msikie maoni ya wa meru mama ako sawa pesa ndio wanataka waweke kwa mfuko zao mungu anawaona

  • @Gorgeousij
    @Gorgeousij 2 หลายเดือนก่อน +21

    Mimi bado nasimama na mama

    • @benjaminosura7665
      @benjaminosura7665 2 หลายเดือนก่อน +4

      Mchukue umpeleke kwenu basi

    • @annekariuki4734
      @annekariuki4734 2 หลายเดือนก่อน +1

      Aingiee Teena Kwa ballot tuone kaa atarudi muhakikishe hajaiba kura is she interested in vieing

    • @saletiteke
      @saletiteke 2 หลายเดือนก่อน +1

      we zidii tu kusimama na mama sio hatia

    • @MaCp-n5w
      @MaCp-n5w 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ashabanduliwa saa hii ni pastor mtakutana kanisani

    • @Gorgeousij
      @Gorgeousij 2 หลายเดือนก่อน

      @@MaCp-n5w
      Amen

  • @Ken_W254
    @Ken_W254 2 หลายเดือนก่อน +10

    Now the highway to looting has been opened. Meru residents mnaenda kulia zaidi.

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 หลายเดือนก่อน

      Kwenda wat do you know about the meru...... Nuguu

    • @amosmasika4862
      @amosmasika4862 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@WillisAlikuja kwanza ulipie vitu ulikopesha kwa duka wewe

    • @Ken_W254
      @Ken_W254 2 หลายเดือนก่อน

      @@WillisAli Give Mama a working space. She gonna be in office for 2 consecutive terms

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 2 หลายเดือนก่อน +4

    Chukii ndie mingi, Kawira ako sawa ni vile tu ni mama.

  • @irineadisa7289
    @irineadisa7289 2 หลายเดือนก่อน +2

    SNIPER is Working hard,Rip Man.

  • @MicheniMartin
    @MicheniMartin 2 หลายเดือนก่อน

    Watu wa chini ndo walichagua mama, kwendeni huko kawira Ako sawa...mutuma aingia ground 027 aombe kura

  • @FREDRICKASAVA
    @FREDRICKASAVA 2 หลายเดือนก่อน +13

    Tamaa ya deputy governor

    • @douglasmutuma3447
      @douglasmutuma3447 2 หลายเดือนก่อน

      Tafadhali fikiria kabla ya come t..plz.

  • @husseinkonde7348
    @husseinkonde7348 2 หลายเดือนก่อน

    Mnashida sana wameru😂😂

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 2 หลายเดือนก่อน

    Aii! Nilisoma hivi mauzi kwamba alipata afueni. Mbona hii sasa?

  • @Mieye788
    @Mieye788 2 หลายเดือนก่อน

    Sniper spirit is still fighting for justice iyo spirit iko happy sasa hata kaa hajazikwa

  • @kiddieboy2549
    @kiddieboy2549 2 หลายเดือนก่อน +5

    Tutaingia kwa balloots ....tutawapeleka nyumbani nyote😢😢😢mnataka tu kuiba

    • @annekariuki4734
      @annekariuki4734 2 หลายเดือนก่อน

      Will governor kawira vie if she did she would get back the electrolyte to elect her again I wish she get to the ballot we see whether she can come back without stealing votes '"

  • @bonifacewachira2080
    @bonifacewachira2080 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mngoje wizi kwa sasa

  • @kiddieboy2549
    @kiddieboy2549 2 หลายเดือนก่อน +9

    Im sad ......MCA Shame on you!!!!!!😢

  • @josephkanyugi3799
    @josephkanyugi3799 2 หลายเดือนก่อน +6

    Women have no space in Kenya politicks. Even those who are in elected posts face untold mistreatments.

    • @b.9811
      @b.9811 2 หลายเดือนก่อน

      They have, but politics is a dirty game

  • @Elibuk
    @Elibuk 2 หลายเดือนก่อน +2

    Women leaders should be given a chance in Kenya but due to the corrupt government system executive system

    • @MutaviMuthama
      @MutaviMuthama 2 หลายเดือนก่อน

      Bona ingekua ni mwanaume amgesema ni victimization juu ni mwanamke kwa hivyo Sheria isifuatwe

  • @b.9811
    @b.9811 2 หลายเดือนก่อน

    Sakaja pia atolowe😊

  • @zakayomwamba7475
    @zakayomwamba7475 2 หลายเดือนก่อน +1

    Very soon utasikia wakisema mama alikuwa sawa.Take this to the bank.

  • @nkizurimwinyipande8322
    @nkizurimwinyipande8322 2 หลายเดือนก่อน

    Zakayo you are the next

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 หลายเดือนก่อน

      babako....

    • @nkizurimwinyipande8322
      @nkizurimwinyipande8322 2 หลายเดือนก่อน

      @@WillisAli usiwai nitusi ww kondoo wa kike nisiekujua watoka na wapi

  • @MicheniMartin
    @MicheniMartin 2 หลายเดือนก่อน

    Furaha ya nini, nkts....ghasia...heri kawira mara mia

  • @AntonyMwanzia-p6e
    @AntonyMwanzia-p6e 2 หลายเดือนก่อน

    Express way of looting has been opened kwendeni muibiwe kabisa and i promise u hamtaona maendeleo wivu wenu ni vile ni mwanamke na wameru huwa hamtambui uongozi wa wanawake but mtajuta

  • @MichaelMbuva-gv1iy
    @MichaelMbuva-gv1iy 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nyinyi ni ma ubwa mtalia sana sasa.

    • @lucymwai7645
      @lucymwai7645 2 หลายเดือนก่อน

      Wacha kutumia matusi jameni

    • @jacklinekinya9800
      @jacklinekinya9800 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiye ubwa mkubwa kondoo

  • @antonynjoka7318
    @antonynjoka7318 2 หลายเดือนก่อน +2

    Gavana kawira can still appeal through our courts for a hearing including Meru voters

  • @antony-5321
    @antony-5321 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hao watu wamepewa opportunity ya kuongea wamelipwa hao wameru wanataka mama

  • @Nickson-z8l
    @Nickson-z8l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baringo also we are on CHEBOI

    • @WillisAli
      @WillisAli 2 หลายเดือนก่อน

      ww na nani

  • @BROTHERBEN-ic4uk
    @BROTHERBEN-ic4uk 2 หลายเดือนก่อน

    Ruto 20yrs 🫱🫲

  • @annekariuki4734
    @annekariuki4734 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mama mugawaa chakula sawasawa amenyiima mabwenyenye nafadi ya kuroot...givernor enda sasa uhubili ijilii tubu kaama all those accused for you have done..peace be your potion you have tried fighting imeshidikaana..

  • @dorcaskiptui9074
    @dorcaskiptui9074 2 หลายเดือนก่อน

    Kaende kaende nasimama imara na mama justice kwa mama

  • @Ngasike-t2i
    @Ngasike-t2i 2 หลายเดือนก่อน

    MbaiTE 😂😢Reporting From MErU😅

  • @josphatkithure3535
    @josphatkithure3535 2 หลายเดือนก่อน

    Non of meru MCA's understand Kenya constitution

  • @lucyoyiela6718
    @lucyoyiela6718 2 หลายเดือนก่อน

    Hivyo hivyo muliwacha kumusikia uhuru mukamusikia ruto sahizi munalia

  • @Bonfacemogoa
    @Bonfacemogoa 2 หลายเดือนก่อน

    Ajana naye amalize miaka yake tano

  • @Bonfacemogoa
    @Bonfacemogoa 2 หลายเดือนก่อน

    Kama wanatoka wote Hadi deputy wake

  • @samjuma4207
    @samjuma4207 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ruto pia anafaa abanduliwe

  • @joshmzungu2264
    @joshmzungu2264 2 หลายเดือนก่อน

    kumbe ni viti mlikuwa mnatafuta

  • @martins.k3359
    @martins.k3359 2 หลายเดือนก่อน

    Is it Melu or Meru?

  • @football.431
    @football.431 2 หลายเดือนก่อน

    Pigweni radio mapepo nyinyi wivu ndio mingi mashetani

  • @Linet-d7j
    @Linet-d7j 2 หลายเดือนก่อน

    Mtajua hamujui, kama president ameshidwa na hii sembuse governor

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 2 หลายเดือนก่อน

    Pongezi Mcs meru katiba lazima ishimiwe No one above the law this is the way to go 2027 any one going against Our Constitution must be removed Ruto follow the Constitution or else BABA will never save you 2027 Gen Z's watching still Revolution loaded 2027.

  • @jameskiambati9816
    @jameskiambati9816 2 หลายเดือนก่อน

    Askari jela mtawezana na yeye

  • @BrianKEya001
    @BrianKEya001 2 หลายเดือนก่อน +2

    Chauvinists ...pathetic in this era

  • @samsonmuisyo6990
    @samsonmuisyo6990 2 หลายเดือนก่อน +1

    Meru is now thrown under the bus.. MCA'S wanted the opportunity to steal in preparation to 2027. To hell

    • @sunguraniwewe
      @sunguraniwewe 2 หลายเดือนก่อน

      I support your view.

    • @annekariuki4734
      @annekariuki4734 2 หลายเดือนก่อน

      Very under the bus...mabavu mabavu wizi choose wisely otherwise mutaona

  • @jameskiambati9816
    @jameskiambati9816 2 หลายเดือนก่อน

    Waende election

  • @fancyfootballhighlights
    @fancyfootballhighlights 2 หลายเดือนก่อน

    Ati ule anakuja kuchukua utamu😂

  • @Stephen12.
    @Stephen12. 2 หลายเดือนก่อน

    Kawira delayed to dissolve county assembly.

    • @Travelwithfred
      @Travelwithfred 2 หลายเดือนก่อน

      She doesn't have a right. Only the president

    • @Stephen12.
      @Stephen12. 2 หลายเดือนก่อน

      @@Travelwithfred she had to petition the president under article 192

  • @jameskiambati9816
    @jameskiambati9816 2 หลายเดือนก่อน

    Wacheni wizi na umalaya

  • @samk7190
    @samk7190 2 หลายเดือนก่อน

    Hio furaha itakuwa kilio gonjeeni 1year

  • @KylianNguma
    @KylianNguma 2 หลายเดือนก่อน

    Leave kawira alone

  • @bakarichoga
    @bakarichoga 2 หลายเดือนก่อน

    Reporter 😂😂

  • @bonifacewachira2080
    @bonifacewachira2080 2 หลายเดือนก่อน

    MCA's mnaenda nyumbani nyote

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 2 หลายเดือนก่อน

    Ombeni huyo atakae shika sija mkasema ni mubaya kuliko alienda

  • @MartinezzJT
    @MartinezzJT 2 หลายเดือนก่อน

    Ntoithinkya kutoka Ukraine 😅😅😅

  • @e-nafnaps
    @e-nafnaps 2 หลายเดือนก่อน

    Why are the other six women governors not undergoing same fate. Kawira lacks leadership qualities

    • @veronicahmugane2330
      @veronicahmugane2330 2 หลายเดือนก่อน

      It's because Meru men are alpha men...Mila Yao inakataa women leadership

    • @TheCityOntheHill-n2o
      @TheCityOntheHill-n2o 2 หลายเดือนก่อน

      Kindly note;the major distinguishing factor from the other six is that :-Mwangaza won as an independent candidate.

  • @Ngasike-t2i
    @Ngasike-t2i 2 หลายเดือนก่อน

    FULAHA,MELU,KAWELA, Ngavana😂😢😅

  • @LucasGatobu-pn4tp
    @LucasGatobu-pn4tp 2 หลายเดือนก่อน

    Atakua puppet

  • @LucasGatobu-pn4tp
    @LucasGatobu-pn4tp 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo mutuma atakua puppet ya MPs

  • @AntonyMwanzia-p6e
    @AntonyMwanzia-p6e 2 หลายเดือนก่อน

    Express way of looting has been opened kwendeni muibiwe kabisa and i promise u hamtaona maendeleo wivu wenu ni vile ni mwanamke na wameru huwa hamtambui uongozi wa wanawake but mtajuta