NUTRITION: EP 17 | UMUHIMU WA KARAFUU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ส.ค. 2023
- Imeandaliwa na: AYESHAH BEBEH | IG @ayeshahbebeh Videographer: Director Lummy | IG @directorlummy
Karafuu ni zao linalopatikana sehemu mbalimbali duniani ikiwepo hapa Tanzania hasa kule visiwani Zanzibar. Fahamu mengi kuhusu karafuu, faida za karafuu katika mwili wa binadamu, kinga dhidi ya magonjwa na mengine mengi ambayo karafuu husaidia kwenye lishe katika mwili wa binadamu. - บันเทิง
Asante san kwa somo lako dada bt karafuu Ina madhara kusafishia uken?
Good work Voag
Asante kwa somo
Safii kiungo changu pedwaa❤
Asanteee Sana dada angu kwa SoMo lako
karibu kipenzi
Asant
Naweza dail kwenye maisha yangu
🎉
Asante
He ksrafu inaweza kuzibu mirija ya uzszi
Asante dada kwa somo
Karibu sana
Sasa ukitumia karafu nyingi kwa saa moja kunatatizo?
Asante 🙏
🙏
Je karafuu ni nzuri kwa kurudisha uke uwe mdogo
Unaweza kumuona daktari kwa ushauri zaidi.
Asante dad
Karibu sana
Naomba kujua matumizi ya karafuu ili kuzibua mirija ya uzazi
Sasa hayo mafuta Ya karafu unayatumikisha kivipi?
Ahsante
karibu
Kalafu ukitumia nying inamazala dada angu manamimi huwanatumia kwa siku litamoja nanus
6:27 @@Voice_of_Agriculture
Inatibu maumivu ya mkojo
Asant kwasom dear kama unages tumbon karafuu unaitumiaj?
Unaweza kumuona dactari kwa msaada zaidi
Je karafuu inaweza kusaidia kuleta period ilokata ghafla??
Ndyo
Me naomba kuuliza ivi ni kweri karafuu inaweza kuua sumu ya kijiti na ukapata mimba
Je karafu hussidia kurudisha hethe
Ya mwana mke
Ndyo mumy na husafisha kizazi
Inawezkn kutibu p,l,d
Ndioo
Inatibu mkojo yani utit
Inapatikana wapi
Je ina weza kutibu ugojwa wa moroide ?
Vyema ukmwona Daktari kwa ushauri zaidi.
Sasa kama unataka kujitibu fangasi unatumiaje??
Chemsha karafuu kw maji afu jifukize hayo maji weka kwa ndoo na ukae juu mvuke upande huko kwa bibi
Inawezekna kweli mtu kupata ujauzito
Ndio karafuu inasaidia kupata ujauzito
Natumiaje
Je ukiwa mjamzito ukatumia karafuu je mimba inaweza kutoka?
Inatoka
@@makrinaivanm8514 mmmh nilikua cjui kwa hiyo hapa unatumia ukiwa kwenye period tu au vp?
Dada inatibu fangaz nauken ukitumia
dada naomb uni jibu niko na rafiki yanyu uke yake imekua mkumbwa anatka kutmia hii karafu anaoitumiaaj sasa juu wengi hawachua fenye inatumika
Ni rafiki yako au ni ww😅
mbona wengine wanasema hutoa harufu mbaya ukeni
Hapana, ikitumika ipasavyo haileti harufu mbaya
Je inatibu na harufu mbaya zinazotoka uken
Yeah
Kwa kunywa ama??
naomba kuuliza inatoa harufu mbaya ukeni
Hapana
Nkitumia wkati w period naeza pata ujauzito
Wewe unafanya mapenzi ukiwa kwenye period?
Me pia nimeshangaa😢@@BeatriceMassawe-qy6bs