Fanya haya kwa bibi kuendelee kuwa mdogo,usiachike.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2019

ความคิดเห็น • 190

  • @cessianthony2644
    @cessianthony2644 4 ปีที่แล้ว +153

    Tulioanza kuscroll comments kabla ya kuangalia video tujuenae

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 4 ปีที่แล้ว +56

    Nime umbwa mwanamke!! Kuzaa ni baraak za mwenyezi Mungu!!! Ivi hivi nilivyo ,, najipenda na najiaami saaaaaaaaaana. Wanawake tuachane na mambo ya dunia.

  • @happymahega2000
    @happymahega2000 4 ปีที่แล้ว +12

    Nampenda huyu dokta jaman his personality, so humble, down to earth , barikiwa sana dokta Isaack

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 4 ปีที่แล้ว +15

    Nmependa ushauri wa Dr kwamba kitu chochote ambacho hakijafanyiwa utafiti kwa maabara lazima kiwe na madhara.Tahadhari kwetu kina wanawake

  • @marymwacha995
    @marymwacha995 3 ปีที่แล้ว +9

    Dr. Isack huwa uko vzr kaka, nakuelewa kupitia njia Panda you're good Dr kaka,God bless you. Hafu hao wanawake wanaoangaika kuwa na maku ndogo ktk uhalisia haiwezekani. Tofuti na hapo basis wasizae au wakae ivoivo bila kuzaa au kukutana na mwanaume kama kweli, maana hawezekani umeshakuwa MTU mzima hutaki kubaliana na matokeo unataka kujirudisha utotoni kwanini usiukubali uhalisia? Eti maku ndogo basi usizae na uitunze K yako bila kutanana na mwanaume ili uendelee kuwa nayo ndogo. Na ndio maana mnapata Fungal infections, PID, cervical cancer etc.

  • @maryamkhatau9445
    @maryamkhatau9445 4 ปีที่แล้ว +11

    Maumbile ya mwanamke kadri anavyokuwa ndivyo kunavyozidi kutanuka kikubwa tukubali maumbile na asili yetu tuloumbwa nayo Allah atuongoze

  • @rehemaathuman6669
    @rehemaathuman6669 2 ปีที่แล้ว +11

    Mwanamke anaeangaika kwa na vitu vya ajabu masikini ili mladi tuu amfuraishe mwanaume amuone Bora alafu mwisho siku Wala sio wako uyo ataenda kwa mtu ambae ata ahangaiki ,,anaejikunali ,,na kujiamini ,,,,,,duuu inatia uluma ila mungu azidi kutupigania VIUMBE vyake tunaohangaika na maisha ya kupendwa na kujipendekeza ,,,mwisho siku safari ni moja tuu

  • @zamamuuhamisi6654
    @zamamuuhamisi6654 4 ปีที่แล้ว +7

    Wooh nmefurahi kukuona Dr issac nkusikiaga tu kwenye njia panda penda sana ww

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 4 ปีที่แล้ว +55

    Shetani yuko kazini, mpaka Mungu akaruhusu mwanamke kuzaaa alijua nn anafanya, Ila sbb tunamiungu yetu vichwani tunaugua vichaa vya kumtumikia mwanadamu lazima tutalipa garama. tunaugua vichaaa vya ngono kuhangaika kumridhisha mwanaume ambae hata kwenye umri wa miaka 20 alikuwa anakucheat bila sbb hio, PROBLEM NIKWAMBA WANAWAKE TUNA INFERIORITY. love yoself jiamini, kula healthy fanya maxoezi natural period

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  4 ปีที่แล้ว +1

      Uko sahihi kabisa

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 4 ปีที่แล้ว +5

      @Anna kattoa kweli kbisa.Siri ipo katika kujipenda na kujijali ila sio kufanya kitu kikudhuru kisa unataka umfurahishe mumeo

    • @annakattoa7502
      @annakattoa7502 4 ปีที่แล้ว +2

      Wanawake ni jeshi kubwa ndio maana Dunia ipo busy kuhakikisha vita ya wenye kwa wenyewe haiishi, unatengenezewa kichaa ili ujiue mwenyewe kwisha positivity ije kwenye artificial na negative kwenye reality. Kwamba Mwanamke anaetakiwa kujiamini niyule ambae mwanadamu kafanikisha kumuunda tena kwa sayansi hahahahaha Devil is busy

    • @rosesamwelitenga4648
      @rosesamwelitenga4648 4 ปีที่แล้ว

      Asante kwa ushauri ...sitafanya upuuz kujiwekea makolokolo katk nyuchi yangu

    • @liliansikazwe7444
      @liliansikazwe7444 4 ปีที่แล้ว +3

      mm mwenyew mazoez yamenisaidia sana nipo tight na nina watoto wawili na mme wang ananishangaa......kuhus wanaum hata akioa bikra bado atachepuka tu....

  • @balangdalaluamb6540
    @balangdalaluamb6540 4 ปีที่แล้ว +13

    Sintohainga na chchote ntabak na uhalisia wangu Mungu alikuwa na sbbu na ndo maana alituumba kwa kusud maalum

    • @hopelikaka71
      @hopelikaka71 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona unanyoa nywele kwapani na sehemu za Siri usimuache mungi

  • @charlesmlonda622
    @charlesmlonda622 วันที่ผ่านมา

    Wanawake wengi wanatawaliwa na group kila mmoja anakwambia lakwake mm miaka yote natumia kuywa maji mengi sana na maumbile yangu yapo salama nasijawai kuumwa uti wala fangasi kuywa maji mengi mwanamke wlau lita tatu kwa siku adi 5 kisha ukiga jitaidi kjikausha maji sehem zako au ukitoka kkojoa ukinawa kausha uke wako kwa taulo safi uwezi ingia ktk changamoto

  • @pendomgeni6084
    @pendomgeni6084 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana doctor pamoja na dada tira

  • @junaithammahad3844
    @junaithammahad3844 3 ปีที่แล้ว +17

    Niliwahi tumia iyo shabu once. Uke ulikuwa mdogo but unakuwa uke kama unaukakasi yani akuna raha yyt. Na baada ya mda unahisi muwasho flan. Kiukwel sishauri mtu atumie ni mbaya sana nashukuru mungu nilijitambua kwanzia apo nikaona ni upumbavu sikurudia tena. Kiukwel ni vizur sana kujikubali

    • @user-us6ze8bz3u
      @user-us6ze8bz3u ปีที่แล้ว +2

      Ni kweli kbsaa dada..baadae unapofanya makamuzi Na wako WA halali duuuh inakua taabu balaa..hio kitu Ina speed Kali ya kukausha umbile la kike..pia nahisi kama Ina madhara flani HV.

    • @jenniferkalinga736
      @jenniferkalinga736 ปีที่แล้ว

      Nimesoma comment zote ila yako imenifurahisha 🤣nimekumbuka rafiki yang ashawahi kutumia shabu

    • @ramadhanimfaume2168
      @ramadhanimfaume2168 7 หลายเดือนก่อน +1

      Emungu tuepusha wanasema hat kokwa za embe likely ndan unaanik likikauka unasag ungaunga wak unaweka kwenye maj ya uvuguvug kisha unamaw kutwa mal tatu kijik cha chakul jamn

  • @hasnaabduly4945
    @hasnaabduly4945 4 ปีที่แล้ว +9

    Dr anaonekana mpole jamanii😍😍😍😍

  • @vailethywalter5674
    @vailethywalter5674 4 ปีที่แล้ว +6

    ahasante dr.

  • @officialcarolyne2985
    @officialcarolyne2985 4 ปีที่แล้ว +10

    Mmmm 🤔 huyu Dr, amesoma wacha tuuuu

  • @desirenkuba4920
    @desirenkuba4920 4 ปีที่แล้ว +5

    Yes, it's psychological. Watu wote ni tofauti. Ila wadada acheni panics.
    In general, wanawake wembamba ni wapana na deep kuzidi wale wanene.
    Ila problem is more psychologically.

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 ปีที่แล้ว +5

    Mimi huwa siamin kbs hbr za eti ukijifungua njia huwa regevu ni uwongo ulienda shule , mungu muachen aitwe mungu , kwa uumbaji alio mjaalia mwanamke, amin hata uzae mala 5 , yaan wewe upo fiti tu .

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa mamii kuhangaikia hawa viumbe nikujishosha nakumkufuru mungu tu

    • @sarahyuzo5947
      @sarahyuzo5947 2 ปีที่แล้ว

      Asanteee😘

  • @gloryandrew8526
    @gloryandrew8526 4 ปีที่แล้ว +7

    Asante kwa somo

  • @angelsis6508
    @angelsis6508 4 ปีที่แล้ว +8

    Dr Issac mzuri jamani

  • @nadiaahishakiye8170
    @nadiaahishakiye8170 ปีที่แล้ว

    Dr isaak ast 🙏kwafunz.Allah akulip kilalaher 🤲,nilikua nimekat tam kuhus ukee kutanuk wakat yakuza nyum yakuz huw unatanuka😔il ww umewez kunifafanulia vizur😊🙏

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 หลายเดือนก่อน

    DU NAMSHUKURU MUNGU KWA JINSI ALIVYONIUMBAAA ,SHOUT OUT TO MY LORD 🎉🎉

  • @julkakbar2290
    @julkakbar2290 4 ปีที่แล้ว +2

    nakupenda tira,,,, ila wnaume zetu hawa hua wanamaneno makali na mneno yenye kumktisha mwanmke tamaa kikubwa ni kusimama na mungu kwani wtt ambao unajifungua Leo ndio ambao watako hangaika na wewe baadae ila mwnume sio mwnao,
    kwahyo kikubwa ni kusimama na mungu tu tusipoangalia wanawake wengi tutaumia na kuzidi umia

  • @subiraomar4771
    @subiraomar4771 4 ปีที่แล้ว +3

    Asanteni sana kwa darasa

  • @rehemasalim513
    @rehemasalim513 4 ปีที่แล้ว

    Products zikija naomba mutujulishe plz im ready for any price

  • @lukullikiwamba6494
    @lukullikiwamba6494 3 ปีที่แล้ว +9

    Chakula na usafi Ndio kitu muhimu zaidi.... ayo mambo mengine ninhatari sana

  • @rosentikha1572
    @rosentikha1572 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda hii..je vipi kuusu mazoezi ya kegle

  • @ashasvlog9246
    @ashasvlog9246 2 ปีที่แล้ว +2

    Je maji ya karafu nayo yaani cloves?

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 ปีที่แล้ว +5

    Nyinyi wanaume ndo mnapelekea wanawake kufanya hayo mnatuacha mwanamke akizaa tuu mnamuona hana thamani mnasema kashatanuka

    • @thadeojohn7074
      @thadeojohn7074 4 ปีที่แล้ว

      Duuh so Amna akili Kama ndo ivyo

  • @MilembeZacharia-mb6jy
    @MilembeZacharia-mb6jy 8 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa somo zuri

  • @upendodaudi5302
    @upendodaudi5302 3 หลายเดือนก่อน

    Ila wanaume bwana...wengine.wanapenda kubwa aa wengine ndogoooo😅😅😅

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 4 ปีที่แล้ว +6

    Kaka upo vzuri san hongera san bor ❤❤❤🔥👌

    • @deboraelias1862
      @deboraelias1862 4 ปีที่แล้ว +1

      kweli docta uko vizuri sana kwenye majibu kama hiyo shabu

    • @vaidoto9683
      @vaidoto9683 4 ปีที่แล้ว +1

      Khdija Ahmed ummependeza

  • @user-tw7xc7tc1s
    @user-tw7xc7tc1s 3 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana doctor aizack

  • @maivoneivone5417
    @maivoneivone5417 4 ปีที่แล้ว +9

    Ila kama mme wako anakupenda hatojali hayo ila kwa sababu ni kizazi cha zinaa ndiyomaana mnaweka mpaka viungo vya mboga , mashabu ni hatari kama ipo ipo tu

  • @dorischarwe8025
    @dorischarwe8025 4 ปีที่แล้ว +7

    Wanaume watatuua

  • @saidamiraji4077
    @saidamiraji4077 ปีที่แล้ว +2

    We umesha zaa na unafaham fika kua ukisha zaa maumbile yanabadilika ss unatumiaje vit vya ajab uyu mwanaume Kam atatak kukuach et kwa sabb ya uke mpan mwach aenda tu atabadilisha wanawak mpaka

  • @rithamsacky4655
    @rithamsacky4655 4 ปีที่แล้ว +25

    Jaman wanawake tunahaingaika kwa kila kitu sio nywele sio rangi mungu tusaidiee.....

    • @csato9415
      @csato9415 4 ปีที่แล้ว +5

      @Ritha Msacky ni shida kubwa sana kutojikubali tunabadili nywele, rangi, kucha , kope na hii kubwa kuliko eti utumie shabu (Alum) kubana uke ni kujitafutia kansa siku zijazo.

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 4 ปีที่แล้ว +2

      @C Sato kweli kbisa.Sasa uangalie utumie kitu umfurahishe mume wako cku chache lkni baadae upate ugonjwa ata ufe umuache mumeo

    • @mythamaleektv2801
      @mythamaleektv2801 4 ปีที่แล้ว +1

      Yaani tunajiua kufurahisha wanaume

    • @mariaamuri9627
      @mariaamuri9627 4 ปีที่แล้ว +1

      Atusamehe

    • @samuelpamelo7128
      @samuelpamelo7128 4 ปีที่แล้ว

      Acha ivo ivo nayo maji na ute ute ku mlimaji mzuri ni vyashara

  • @user-ys8dv3rk9l
    @user-ys8dv3rk9l 6 หลายเดือนก่อน

    kuna watu wanatumia mpka alovera nimecheka sana 😂😂

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 4 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @aminahasan3564
    @aminahasan3564 4 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmmm!!!!? wenyewe tutaita service, ujinga mtupu

  • @kadejahh4036
    @kadejahh4036 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani kuna bint alishaozesha kitumbua kwa ayo mambo acheni kubaliana na hari yako mwanamee atakuchepukia tu

  • @happyalicko6509
    @happyalicko6509 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu kaka Mzr jaman khaa

  • @cindymacho5282
    @cindymacho5282 4 ปีที่แล้ว +3

    wanawake wafunga hilizi na mafundo ya kiganga na uchawi na kuwakabidhi mabinti zenu kwa mashetani jehanamu inawasubiri. Pia wanawake wasio na utii na nidhamu ya kumuogopa Mungu

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 4 ปีที่แล้ว +6

    Jiamini.mwanamke hayo ni.matusi tu ya wqnaume hili.kukukosesha amani lakini tusi lake lisikuathini ukajiona una kasoro akunaga

    • @julkakbar2290
      @julkakbar2290 4 ปีที่แล้ว

      kweli kbsa wanaume hua wanmaneno mbaya sana

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 4 ปีที่แล้ว +8

    Wanawake tunaangamia kwakukosa maarifa, now unazaa kwa uchungu na bado tunaomba visu vije kuchonga sehemu zetu ili tuwafurahishe wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Eehh Munguuu tuokoe ile laana uliotupa ukasema “ NATAMAA YENU ITAKUWA JUU YA MWANAUME NA ATAKUTAWALA “ inafanya kazi.

    • @christinarobert8535
      @christinarobert8535 4 ปีที่แล้ว

      Naomba kujua mistar mpenzi Hahaha

    • @annakattoa7502
      @annakattoa7502 4 ปีที่แล้ว

      Naomba niutafute sikupata muda upo kwenye mwanzo Mungu alipooanza kutoa laana kwa Adam na hawa subiri ntakupa soon

    • @kombab1112
      @kombab1112 4 ปีที่แล้ว +1

      Wanawake sijui tunakwama wapi haki, tuliumbwa waerevu kuliko kiumbe chochote duniani lakini tunaacha viumbe hivyo dhaifu kuliko sisi wanatuendesha.... Kama anaenda eti uke umeongezeka huyo mwanamume hajitambui muache aende usijitese

    • @erastobartalome2709
      @erastobartalome2709 2 ปีที่แล้ว

      Hahaha

  • @zainabuliza2664
    @zainabuliza2664 ปีที่แล้ว +1

    Yote hayo ni kwaajili tu yakumridhisha mwanaume acheni kujichosha wanawake utatia vyakutia huko ukeni lkn mwenzio akishamiliza hafikirii tena hicho ulichompa na hata akifikiria ucdhani kua hatoenda kwengine ataenda na kuenda tena na sio kwa mtu mmoja bali ni kwa wanawake tofauti tofauti hivyo ndivyo wanaume walivyo mpaka kiama kitafika na kitawakuta wakiwa hivyo. Unatakiwa kujiamini na kujikubali jinsi ulivyo ugonjwa wa kutokujiamin ni mbaya sana
    Unakuta mtu mweuc hajiamini jinc alivyo anaamua kujichubua anakuwa mweupe lkn ngozi ikishachoka anakua mwekundu na anatisha
    Jamani hebu tuacheni haya mambo uke hauhitaji viungo zaid ya kuusafisha vzr kwa maji masafi tu
    Kwanza huyo anaeingia humo ukeni hana ulimi Wala hana muda wakuonja hiyo radha ya hivyo viungo akiingia kaingia na akitoka katoka kainama ukimuuliza hasemi sasa nani kasema umuwekee vyakula humo??? Hivi kwann mtu unajitoa sadaka namna hiyo??? Kah!

  • @alh2875
    @alh2875 4 ปีที่แล้ว +9

    Kwel dkt upo vzr mm nimezaa watto watatu nasitumii kitu ila niko vzr

    • @magrethshakinenge5024
      @magrethshakinenge5024 4 ปีที่แล้ว

      Ttz wanawake wanahangaika sana

    • @radhiambwana8787
      @radhiambwana8787 3 ปีที่แล้ว

      @@magrethshakinenge5024 wanatafuta matatizo kwalzm ujuwe ukita kuwa namaumbile mazr nikazi ndogo tu lkn hawajui kwavile wameweka uzungu mbele.

    • @marysdiosa8764
      @marysdiosa8764 3 ปีที่แล้ว

      @@radhiambwana8787 nieleweshe my dear

    • @malikihassani1185
      @malikihassani1185 3 ปีที่แล้ว

      @@radhiambwana8787 tueleweshe

    • @allykafirihittu9261
      @allykafirihittu9261 2 ปีที่แล้ว

      @@radhiambwana8787 inakuwaje

  • @anissahmohamed935
    @anissahmohamed935 3 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa maneno yako

  • @lydiaaloyce150
    @lydiaaloyce150 3 ปีที่แล้ว +2

    Usimshaur mtu kutumia shabu inaua chembe za ulinz kwa Bibi then inaleta mwasho

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 4 ปีที่แล้ว +3

    Doctor mie nimekupend unaelezea vzr had raha

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 ปีที่แล้ว

    Dr Isaack nakupenda mno na mwanao anavokufanana had nywele you are so muaaah bro I like the way you are

  • @davidlema3554
    @davidlema3554 4 ปีที่แล้ว +2

    Thanks

  • @zinaibrahim7004
    @zinaibrahim7004 4 ปีที่แล้ว

    asante

  • @abbassingo4598
    @abbassingo4598 2 ปีที่แล้ว

    Ninapenda. Sauli. Akodocta

  • @samuelpamelo7128
    @samuelpamelo7128 4 ปีที่แล้ว

    Njo muzuri wanawake wa kitu nawa congomani

  • @lidyakimaro5882
    @lidyakimaro5882 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya cmu ya huyu doctor

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 ปีที่แล้ว

    Ushaur mwingi wakati clinic sio kusikia waganga kienyeji mitaani acha kabisa

  • @marymassawe8655
    @marymassawe8655 หลายเดือนก่อน

    Makahaba ndio wanaohangaika na si wanandoa.

  • @user-xw7pd1zy4x
    @user-xw7pd1zy4x 4 หลายเดือนก่อน

  • @lulushayo8333
    @lulushayo8333 3 ปีที่แล้ว

    Nikweli nikwamda tu ukisha fanya tendo kunarudia kawaida

  • @mwajumamafita7809
    @mwajumamafita7809 4 ปีที่แล้ว +7

    Hiv Kama niahali ya kawaida wanawake tunakwama wapi ,,tunajiathir kwann

    • @aishasaid5702
      @aishasaid5702 4 ปีที่แล้ว +2

      Wengine wakijifungua watot huwa wakubwa wanawatanua misuli shoga mwanaume anakukimbia maana ladha inapotea kabisaaa ni lazima hata ufanye japo mazoezi ya kurejesha kawaida lasivyo mume utamkosa

    • @aishasaid5702
      @aishasaid5702 4 ปีที่แล้ว +1

      Wengine maumbile yao mazuri afadhali

    • @shamimuabubakari3508
      @shamimuabubakari3508 4 ปีที่แล้ว

      Yaan sijui tunakwam wapi we sehem kama ile kweli ukaiweke shabu mara nyanya unatak kuirosti tena aaaaaah jaman kama kubwa yangu kama ndog yangu yaaan ahat nizae iwe kwa bwawa najua ndo mungu alovyonikadiria lakin si kujitia midude isoelewek mwish ndo hayo magonjwa yaajab yanaiubuka

    • @shamimuabubakari3508
      @shamimuabubakari3508 4 ปีที่แล้ว

      @@aishasaid5702 mpenzi hiyo kufanya hayo mazoez sawa ni ya kawaid maan ni mazoezi na sikutia mavitu mengin pia nikifanya hayo isiporud nasumbuka na nini jaman mungu alivyoruhusu nizae kwan hakujua mie ntakuaje baadae iweje nimkosoe aaaaaah huyo mume kama akinikimbia na anikimbie tu na wala haniumiz yaan jaman mie namshukur sana mungu kwa kunipa roho ya kutokujali mwanaume kuniacha au kunikimbia dah hilo kwangu nishaliwwk mgongon kabis akimbie tu aniache

  • @IreneAbuu-ub9fy
    @IreneAbuu-ub9fy หลายเดือนก่อน

    Mbona mesijuikubana maumbile

  • @Qs3557
    @Qs3557 10 หลายเดือนก่อน

    Oya we tira Yan kuhangaika na kutaka k isitanuke n Kwa ajir ya bwanaako au unauza Kwa watu wakubwa Yan ww had unakera xo Kwa kufoc dawa huko,. Nitafute mi ninadawa uje gheto

  • @khawlathassan7545
    @khawlathassan7545 3 ปีที่แล้ว +1

    Mabadiliko lazima tuvumiliane

  • @samuelpamelo7128
    @samuelpamelo7128 4 ปีที่แล้ว

    Docta. Sisi's drc nayo maji ni zahabu asiikaushe iyo pasha kabisa

  • @user-vp8og6ij2q
    @user-vp8og6ij2q 11 หลายเดือนก่อน

    Hayo maj nusu ndo unatumia kwa siku nzima

  • @zamdakimaro2973
    @zamdakimaro2973 4 ปีที่แล้ว +3

    Wanawake tunateseka na huu ulimwengu da mbona hapo zamani mama zetu walikuwa sawa tu

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 4 ปีที่แล้ว

      Sababu watu wanakula makemiko sana masoda na mavitu yasukari wao ivyo vitu walikuwa awapati

    • @happykoteihappy-vd7ce
      @happykoteihappy-vd7ce ปีที่แล้ว +1

      Uke unatanuka sababu ya kubadilisha badilisha wanaume

  • @rehemaathuman6669
    @rehemaathuman6669 2 ปีที่แล้ว

    We tira una shida una Ng,Ang,ania Sana dawa uletewe na nini mbona mzuli unaonekana tuu ,,,,acha mambo yako ,,

  • @iddiadam857
    @iddiadam857 4 ปีที่แล้ว +4

    Phsychological problems😯😯

  • @asmamajuto2639
    @asmamajuto2639 3 ปีที่แล้ว

    Asant san

  • @christinahillary3417
    @christinahillary3417 4 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ninashida na Dr issac maro na cjui nampataje yani nina shida sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mi sitaki ,siweki kitu kwenye uke ,ni ujinga tu!

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  6 หลายเดือนก่อน

      Kweli hakuna haja yakuweka vitu huko,nikujitafutia tu matatizo

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 6 หลายเดือนก่อน

      @@thexoshowtira 🙏🙏

  • @IreneAbuu-ub9fy
    @IreneAbuu-ub9fy หลายเดือนก่อน

    Tunawezaje

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 ปีที่แล้ว +2

    Haina ladha ya chumvi

    • @annamasale3893
      @annamasale3893 4 ปีที่แล้ว +1

      Hahaaaa shabu haina radha yachumvi zingekuwa na chumvi uko ukeni wangewashwa wasingetumia kwasabab sehem yasir ni laini kwaiyo kuweka kitu Kama chumvi mtu asingeweza angeumia

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 4 ปีที่แล้ว

    Kwel kabisa dr wengi uhis wana tatizo lakini si kweli

  • @shukurumustafa478
    @shukurumustafa478 3 ปีที่แล้ว

    Duuuh

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore 4 ปีที่แล้ว

    Jee Dr. Issac ni mtoto wa Dr. Maro, gynecologist alokuwa na clinic yake kariakoo, Dar Es Salaam?

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni4739 4 ปีที่แล้ว

    Mm sitokuja kujaribu kutia kitu chochote

    • @charlesmlonda622
      @charlesmlonda622 ปีที่แล้ว

      Nibora ujikbali ulivyo mm pia sijawai waza kuangaika na mwili wangu

  • @ummimohammed9359
    @ummimohammed9359 2 ปีที่แล้ว

    shoga usisubutu kutia shabu kwa bibi kwanza inachuna itanyambuka chichila yote iyo ushindwe atakumpa uyo babu。

    • @hermankamagi8689
      @hermankamagi8689 11 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @maryamshrazi1842
    @maryamshrazi1842 ปีที่แล้ว

    Dr , ni yako tafadhali

  • @chistinawallasch2827
    @chistinawallasch2827 4 ปีที่แล้ว +2

    Ndiyo mwanzo ya kupata kansa,

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 4 ปีที่แล้ว +4

    Wangine wana tumiya alovera

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 4 ปีที่แล้ว +3

    Kha nyanya ikikaa siku mbili tatu wadudu sasa kweli ukaiweke kwenye uke jamani wanawake tunakwama wapi sasa hiyo nyanya si unaipeleka kwa bacteria wabaya waliokuwa kwenye uke wazidi kukushambulia, tujiongeze wanawake uko chini atasabuni zingine azitakiwi kuko sensitive sana kam vidole tu havitakiwi sasa hiyo nyanya duh

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 ปีที่แล้ว

    Mwanaume kama hajaridhika na wewe lazima atachomoka tu. Hata ufanye nini. Bora doc bora natural ways tu. Naijuwa hyo walileta job kwetu wadada wengi walinunuwa ila badae mh hapana mm sitaki

  • @mariamukajiru2302
    @mariamukajiru2302 3 ปีที่แล้ว

    Sihangaiki ng'ooo Kama hikichokwa nitaipandia maua

  • @alenyema7738
    @alenyema7738 ปีที่แล้ว +1

    Kipindi kizuri mno

  • @amanimlay6304
    @amanimlay6304 4 ปีที่แล้ว +3

    tira naomba namba zako am in love with you😘

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho8431 3 ปีที่แล้ว +4

    Dawa ipo inapatikn supermarkets ina ubora zaid tena unaweka kwenye uji baada ya kujifungua...

  • @jacklinelyimo2672
    @jacklinelyimo2672 2 ปีที่แล้ว

    Haya bwana minakupenda tu we dada

  • @evasiwalima9681
    @evasiwalima9681 3 ปีที่แล้ว

    Je kama mtu aliongezewa njia wakati wa kujifingua kuna uwezekano wa uke kurud katka hali yake yaani mtu kajifungua kawaida lkn alichanika ukeni mpk akashonwa

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  3 ปีที่แล้ว +3

      Panarudi kawaida haijalishi ulishonwa au la?maumbile yanarudi kama yalivyokuwa.

    • @zenaomar8377
      @zenaomar8377 2 ปีที่แล้ว

      @@thexoshowtira mm nyuz zilitoka sijui unashauri aje

  • @dorischarwe8025
    @dorischarwe8025 4 ปีที่แล้ว +2

    Papanuke tu kama fuko ila dawa noooo

    • @latsister9846
      @latsister9846 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahahahaaaaa umenifraish my

  • @IreneAbuu-ub9fy
    @IreneAbuu-ub9fy หลายเดือนก่อน

    Tunawezaje