Nime umbwa mwanamke!! Kuzaa ni baraak za mwenyezi Mungu!!! Ivi hivi nilivyo ,, najipenda na najiaami saaaaaaaaaana. Wanawake tuachane na mambo ya dunia.
Dr. Isack huwa uko vzr kaka, nakuelewa kupitia njia Panda you're good Dr kaka,God bless you. Hafu hao wanawake wanaoangaika kuwa na maku ndogo ktk uhalisia haiwezekani. Tofuti na hapo basis wasizae au wakae ivoivo bila kuzaa au kukutana na mwanaume kama kweli, maana hawezekani umeshakuwa MTU mzima hutaki kubaliana na matokeo unataka kujirudisha utotoni kwanini usiukubali uhalisia? Eti maku ndogo basi usizae na uitunze K yako bila kutanana na mwanaume ili uendelee kuwa nayo ndogo. Na ndio maana mnapata Fungal infections, PID, cervical cancer etc.
Mwanamke anaeangaika kwa na vitu vya ajabu masikini ili mladi tuu amfuraishe mwanaume amuone Bora alafu mwisho siku Wala sio wako uyo ataenda kwa mtu ambae ata ahangaiki ,,anaejikunali ,,na kujiamini ,,,,,,duuu inatia uluma ila mungu azidi kutupigania VIUMBE vyake tunaohangaika na maisha ya kupendwa na kujipendekeza ,,,mwisho siku safari ni moja tuu
Shetani yuko kazini, mpaka Mungu akaruhusu mwanamke kuzaaa alijua nn anafanya, Ila sbb tunamiungu yetu vichwani tunaugua vichaa vya kumtumikia mwanadamu lazima tutalipa garama. tunaugua vichaaa vya ngono kuhangaika kumridhisha mwanaume ambae hata kwenye umri wa miaka 20 alikuwa anakucheat bila sbb hio, PROBLEM NIKWAMBA WANAWAKE TUNA INFERIORITY. love yoself jiamini, kula healthy fanya maxoezi natural period
Wanawake ni jeshi kubwa ndio maana Dunia ipo busy kuhakikisha vita ya wenye kwa wenyewe haiishi, unatengenezewa kichaa ili ujiue mwenyewe kwisha positivity ije kwenye artificial na negative kwenye reality. Kwamba Mwanamke anaetakiwa kujiamini niyule ambae mwanadamu kafanikisha kumuunda tena kwa sayansi hahahahaha Devil is busy
mm mwenyew mazoez yamenisaidia sana nipo tight na nina watoto wawili na mme wang ananishangaa......kuhus wanaum hata akioa bikra bado atachepuka tu....
Wanawake wengi wanatawaliwa na group kila mmoja anakwambia lakwake mm miaka yote natumia kuywa maji mengi sana na maumbile yangu yapo salama nasijawai kuumwa uti wala fangasi kuywa maji mengi mwanamke wlau lita tatu kwa siku adi 5 kisha ukiga jitaidi kjikausha maji sehem zako au ukitoka kkojoa ukinawa kausha uke wako kwa taulo safi uwezi ingia ktk changamoto
Niliwahi tumia iyo shabu once. Uke ulikuwa mdogo but unakuwa uke kama unaukakasi yani akuna raha yyt. Na baada ya mda unahisi muwasho flan. Kiukwel sishauri mtu atumie ni mbaya sana nashukuru mungu nilijitambua kwanzia apo nikaona ni upumbavu sikurudia tena. Kiukwel ni vizur sana kujikubali
Ni kweli kbsaa dada..baadae unapofanya makamuzi Na wako WA halali duuuh inakua taabu balaa..hio kitu Ina speed Kali ya kukausha umbile la kike..pia nahisi kama Ina madhara flani HV.
Emungu tuepusha wanasema hat kokwa za embe likely ndan unaanik likikauka unasag ungaunga wak unaweka kwenye maj ya uvuguvug kisha unamaw kutwa mal tatu kijik cha chakul jamn
Yes, it's psychological. Watu wote ni tofauti. Ila wadada acheni panics. In general, wanawake wembamba ni wapana na deep kuzidi wale wanene. Ila problem is more psychologically.
Mimi huwa siamin kbs hbr za eti ukijifungua njia huwa regevu ni uwongo ulienda shule , mungu muachen aitwe mungu , kwa uumbaji alio mjaalia mwanamke, amin hata uzae mala 5 , yaan wewe upo fiti tu .
nakupenda tira,,,, ila wnaume zetu hawa hua wanamaneno makali na mneno yenye kumktisha mwanmke tamaa kikubwa ni kusimama na mungu kwani wtt ambao unajifungua Leo ndio ambao watako hangaika na wewe baadae ila mwnume sio mwnao, kwahyo kikubwa ni kusimama na mungu tu tusipoangalia wanawake wengi tutaumia na kuzidi umia
Ila kama mme wako anakupenda hatojali hayo ila kwa sababu ni kizazi cha zinaa ndiyomaana mnaweka mpaka viungo vya mboga , mashabu ni hatari kama ipo ipo tu
We umesha zaa na unafaham fika kua ukisha zaa maumbile yanabadilika ss unatumiaje vit vya ajab uyu mwanaume Kam atatak kukuach et kwa sabb ya uke mpan mwach aenda tu atabadilisha wanawak mpaka
@Ritha Msacky ni shida kubwa sana kutojikubali tunabadili nywele, rangi, kucha , kope na hii kubwa kuliko eti utumie shabu (Alum) kubana uke ni kujitafutia kansa siku zijazo.
wanawake wafunga hilizi na mafundo ya kiganga na uchawi na kuwakabidhi mabinti zenu kwa mashetani jehanamu inawasubiri. Pia wanawake wasio na utii na nidhamu ya kumuogopa Mungu
Wanawake tunaangamia kwakukosa maarifa, now unazaa kwa uchungu na bado tunaomba visu vije kuchonga sehemu zetu ili tuwafurahishe wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Eehh Munguuu tuokoe ile laana uliotupa ukasema “ NATAMAA YENU ITAKUWA JUU YA MWANAUME NA ATAKUTAWALA “ inafanya kazi.
Wanawake sijui tunakwama wapi haki, tuliumbwa waerevu kuliko kiumbe chochote duniani lakini tunaacha viumbe hivyo dhaifu kuliko sisi wanatuendesha.... Kama anaenda eti uke umeongezeka huyo mwanamume hajitambui muache aende usijitese
Yote hayo ni kwaajili tu yakumridhisha mwanaume acheni kujichosha wanawake utatia vyakutia huko ukeni lkn mwenzio akishamiliza hafikirii tena hicho ulichompa na hata akifikiria ucdhani kua hatoenda kwengine ataenda na kuenda tena na sio kwa mtu mmoja bali ni kwa wanawake tofauti tofauti hivyo ndivyo wanaume walivyo mpaka kiama kitafika na kitawakuta wakiwa hivyo. Unatakiwa kujiamini na kujikubali jinsi ulivyo ugonjwa wa kutokujiamin ni mbaya sana Unakuta mtu mweuc hajiamini jinc alivyo anaamua kujichubua anakuwa mweupe lkn ngozi ikishachoka anakua mwekundu na anatisha Jamani hebu tuacheni haya mambo uke hauhitaji viungo zaid ya kuusafisha vzr kwa maji masafi tu Kwanza huyo anaeingia humo ukeni hana ulimi Wala hana muda wakuonja hiyo radha ya hivyo viungo akiingia kaingia na akitoka katoka kainama ukimuuliza hasemi sasa nani kasema umuwekee vyakula humo??? Hivi kwann mtu unajitoa sadaka namna hiyo??? Kah!
Wengine wakijifungua watot huwa wakubwa wanawatanua misuli shoga mwanaume anakukimbia maana ladha inapotea kabisaaa ni lazima hata ufanye japo mazoezi ya kurejesha kawaida lasivyo mume utamkosa
Yaan sijui tunakwam wapi we sehem kama ile kweli ukaiweke shabu mara nyanya unatak kuirosti tena aaaaaah jaman kama kubwa yangu kama ndog yangu yaaan ahat nizae iwe kwa bwawa najua ndo mungu alovyonikadiria lakin si kujitia midude isoelewek mwish ndo hayo magonjwa yaajab yanaiubuka
@@aishasaid5702 mpenzi hiyo kufanya hayo mazoez sawa ni ya kawaid maan ni mazoezi na sikutia mavitu mengin pia nikifanya hayo isiporud nasumbuka na nini jaman mungu alivyoruhusu nizae kwan hakujua mie ntakuaje baadae iweje nimkosoe aaaaaah huyo mume kama akinikimbia na anikimbie tu na wala haniumiz yaan jaman mie namshukur sana mungu kwa kunipa roho ya kutokujali mwanaume kuniacha au kunikimbia dah hilo kwangu nishaliwwk mgongon kabis akimbie tu aniache
Oya we tira Yan kuhangaika na kutaka k isitanuke n Kwa ajir ya bwanaako au unauza Kwa watu wakubwa Yan ww had unakera xo Kwa kufoc dawa huko,. Nitafute mi ninadawa uje gheto
Hahaaaa shabu haina radha yachumvi zingekuwa na chumvi uko ukeni wangewashwa wasingetumia kwasabab sehem yasir ni laini kwaiyo kuweka kitu Kama chumvi mtu asingeweza angeumia
Kha nyanya ikikaa siku mbili tatu wadudu sasa kweli ukaiweke kwenye uke jamani wanawake tunakwama wapi sasa hiyo nyanya si unaipeleka kwa bacteria wabaya waliokuwa kwenye uke wazidi kukushambulia, tujiongeze wanawake uko chini atasabuni zingine azitakiwi kuko sensitive sana kam vidole tu havitakiwi sasa hiyo nyanya duh
Mwanaume kama hajaridhika na wewe lazima atachomoka tu. Hata ufanye nini. Bora doc bora natural ways tu. Naijuwa hyo walileta job kwetu wadada wengi walinunuwa ila badae mh hapana mm sitaki
Je kama mtu aliongezewa njia wakati wa kujifingua kuna uwezekano wa uke kurud katka hali yake yaani mtu kajifungua kawaida lkn alichanika ukeni mpk akashonwa
Tulioanza kuscroll comments kabla ya kuangalia video tujuenae
Nime umbwa mwanamke!! Kuzaa ni baraak za mwenyezi Mungu!!! Ivi hivi nilivyo ,, najipenda na najiaami saaaaaaaaaana. Wanawake tuachane na mambo ya dunia.
Waache wahalibikiwe na kansahao
Nampenda huyu dokta jaman his personality, so humble, down to earth , barikiwa sana dokta Isaack
Nmependa ushauri wa Dr kwamba kitu chochote ambacho hakijafanyiwa utafiti kwa maabara lazima kiwe na madhara.Tahadhari kwetu kina wanawake
Dr. Isack huwa uko vzr kaka, nakuelewa kupitia njia Panda you're good Dr kaka,God bless you. Hafu hao wanawake wanaoangaika kuwa na maku ndogo ktk uhalisia haiwezekani. Tofuti na hapo basis wasizae au wakae ivoivo bila kuzaa au kukutana na mwanaume kama kweli, maana hawezekani umeshakuwa MTU mzima hutaki kubaliana na matokeo unataka kujirudisha utotoni kwanini usiukubali uhalisia? Eti maku ndogo basi usizae na uitunze K yako bila kutanana na mwanaume ili uendelee kuwa nayo ndogo. Na ndio maana mnapata Fungal infections, PID, cervical cancer etc.
Maumbile ya mwanamke kadri anavyokuwa ndivyo kunavyozidi kutanuka kikubwa tukubali maumbile na asili yetu tuloumbwa nayo Allah atuongoze
Mwanamke anaeangaika kwa na vitu vya ajabu masikini ili mladi tuu amfuraishe mwanaume amuone Bora alafu mwisho siku Wala sio wako uyo ataenda kwa mtu ambae ata ahangaiki ,,anaejikunali ,,na kujiamini ,,,,,,duuu inatia uluma ila mungu azidi kutupigania VIUMBE vyake tunaohangaika na maisha ya kupendwa na kujipendekeza ,,,mwisho siku safari ni moja tuu
Wooh nmefurahi kukuona Dr issac nkusikiaga tu kwenye njia panda penda sana ww
Shetani yuko kazini, mpaka Mungu akaruhusu mwanamke kuzaaa alijua nn anafanya, Ila sbb tunamiungu yetu vichwani tunaugua vichaa vya kumtumikia mwanadamu lazima tutalipa garama. tunaugua vichaaa vya ngono kuhangaika kumridhisha mwanaume ambae hata kwenye umri wa miaka 20 alikuwa anakucheat bila sbb hio, PROBLEM NIKWAMBA WANAWAKE TUNA INFERIORITY. love yoself jiamini, kula healthy fanya maxoezi natural period
Uko sahihi kabisa
@Anna kattoa kweli kbisa.Siri ipo katika kujipenda na kujijali ila sio kufanya kitu kikudhuru kisa unataka umfurahishe mumeo
Wanawake ni jeshi kubwa ndio maana Dunia ipo busy kuhakikisha vita ya wenye kwa wenyewe haiishi, unatengenezewa kichaa ili ujiue mwenyewe kwisha positivity ije kwenye artificial na negative kwenye reality. Kwamba Mwanamke anaetakiwa kujiamini niyule ambae mwanadamu kafanikisha kumuunda tena kwa sayansi hahahahaha Devil is busy
Asante kwa ushauri ...sitafanya upuuz kujiwekea makolokolo katk nyuchi yangu
mm mwenyew mazoez yamenisaidia sana nipo tight na nina watoto wawili na mme wang ananishangaa......kuhus wanaum hata akioa bikra bado atachepuka tu....
Sintohainga na chchote ntabak na uhalisia wangu Mungu alikuwa na sbbu na ndo maana alituumba kwa kusud maalum
Mbona unanyoa nywele kwapani na sehemu za Siri usimuache mungi
Wanawake wengi wanatawaliwa na group kila mmoja anakwambia lakwake mm miaka yote natumia kuywa maji mengi sana na maumbile yangu yapo salama nasijawai kuumwa uti wala fangasi kuywa maji mengi mwanamke wlau lita tatu kwa siku adi 5 kisha ukiga jitaidi kjikausha maji sehem zako au ukitoka kkojoa ukinawa kausha uke wako kwa taulo safi uwezi ingia ktk changamoto
Asante sana doctor pamoja na dada tira
Niliwahi tumia iyo shabu once. Uke ulikuwa mdogo but unakuwa uke kama unaukakasi yani akuna raha yyt. Na baada ya mda unahisi muwasho flan. Kiukwel sishauri mtu atumie ni mbaya sana nashukuru mungu nilijitambua kwanzia apo nikaona ni upumbavu sikurudia tena. Kiukwel ni vizur sana kujikubali
Ni kweli kbsaa dada..baadae unapofanya makamuzi Na wako WA halali duuuh inakua taabu balaa..hio kitu Ina speed Kali ya kukausha umbile la kike..pia nahisi kama Ina madhara flani HV.
Nimesoma comment zote ila yako imenifurahisha 🤣nimekumbuka rafiki yang ashawahi kutumia shabu
Emungu tuepusha wanasema hat kokwa za embe likely ndan unaanik likikauka unasag ungaunga wak unaweka kwenye maj ya uvuguvug kisha unamaw kutwa mal tatu kijik cha chakul jamn
Dr anaonekana mpole jamanii😍😍😍😍
ahasante dr.
Mmmm 🤔 huyu Dr, amesoma wacha tuuuu
Yes, it's psychological. Watu wote ni tofauti. Ila wadada acheni panics.
In general, wanawake wembamba ni wapana na deep kuzidi wale wanene.
Ila problem is more psychologically.
Mimi huwa siamin kbs hbr za eti ukijifungua njia huwa regevu ni uwongo ulienda shule , mungu muachen aitwe mungu , kwa uumbaji alio mjaalia mwanamke, amin hata uzae mala 5 , yaan wewe upo fiti tu .
Kabisa mamii kuhangaikia hawa viumbe nikujishosha nakumkufuru mungu tu
Asanteee😘
Asante kwa somo
Dr Issac mzuri jamani
Dr isaak ast 🙏kwafunz.Allah akulip kilalaher 🤲,nilikua nimekat tam kuhus ukee kutanuk wakat yakuza nyum yakuz huw unatanuka😔il ww umewez kunifafanulia vizur😊🙏
DU NAMSHUKURU MUNGU KWA JINSI ALIVYONIUMBAAA ,SHOUT OUT TO MY LORD 🎉🎉
nakupenda tira,,,, ila wnaume zetu hawa hua wanamaneno makali na mneno yenye kumktisha mwanmke tamaa kikubwa ni kusimama na mungu kwani wtt ambao unajifungua Leo ndio ambao watako hangaika na wewe baadae ila mwnume sio mwnao,
kwahyo kikubwa ni kusimama na mungu tu tusipoangalia wanawake wengi tutaumia na kuzidi umia
Asanteni sana kwa darasa
Products zikija naomba mutujulishe plz im ready for any price
Chakula na usafi Ndio kitu muhimu zaidi.... ayo mambo mengine ninhatari sana
Ni kweli😂
Nimeipenda hii..je vipi kuusu mazoezi ya kegle
Je maji ya karafu nayo yaani cloves?
Nyinyi wanaume ndo mnapelekea wanawake kufanya hayo mnatuacha mwanamke akizaa tuu mnamuona hana thamani mnasema kashatanuka
Duuh so Amna akili Kama ndo ivyo
Asante kwa somo zuri
Ila wanaume bwana...wengine.wanapenda kubwa aa wengine ndogoooo😅😅😅
Kaka upo vzuri san hongera san bor ❤❤❤🔥👌
kweli docta uko vizuri sana kwenye majibu kama hiyo shabu
Khdija Ahmed ummependeza
Nakupenda sana doctor aizack
Ila kama mme wako anakupenda hatojali hayo ila kwa sababu ni kizazi cha zinaa ndiyomaana mnaweka mpaka viungo vya mboga , mashabu ni hatari kama ipo ipo tu
🤣waunga uke
Wanaume watatuua
We umesha zaa na unafaham fika kua ukisha zaa maumbile yanabadilika ss unatumiaje vit vya ajab uyu mwanaume Kam atatak kukuach et kwa sabb ya uke mpan mwach aenda tu atabadilisha wanawak mpaka
Jaman wanawake tunahaingaika kwa kila kitu sio nywele sio rangi mungu tusaidiee.....
@Ritha Msacky ni shida kubwa sana kutojikubali tunabadili nywele, rangi, kucha , kope na hii kubwa kuliko eti utumie shabu (Alum) kubana uke ni kujitafutia kansa siku zijazo.
@C Sato kweli kbisa.Sasa uangalie utumie kitu umfurahishe mume wako cku chache lkni baadae upate ugonjwa ata ufe umuache mumeo
Yaani tunajiua kufurahisha wanaume
Atusamehe
Acha ivo ivo nayo maji na ute ute ku mlimaji mzuri ni vyashara
kuna watu wanatumia mpka alovera nimecheka sana 😂😂
Asante
Mmmmmm!!!!? wenyewe tutaita service, ujinga mtupu
Jamani kuna bint alishaozesha kitumbua kwa ayo mambo acheni kubaliana na hari yako mwanamee atakuchepukia tu
Huyu kaka Mzr jaman khaa
wanawake wafunga hilizi na mafundo ya kiganga na uchawi na kuwakabidhi mabinti zenu kwa mashetani jehanamu inawasubiri. Pia wanawake wasio na utii na nidhamu ya kumuogopa Mungu
Jiamini.mwanamke hayo ni.matusi tu ya wqnaume hili.kukukosesha amani lakini tusi lake lisikuathini ukajiona una kasoro akunaga
kweli kbsa wanaume hua wanmaneno mbaya sana
Wanawake tunaangamia kwakukosa maarifa, now unazaa kwa uchungu na bado tunaomba visu vije kuchonga sehemu zetu ili tuwafurahishe wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Eehh Munguuu tuokoe ile laana uliotupa ukasema “ NATAMAA YENU ITAKUWA JUU YA MWANAUME NA ATAKUTAWALA “ inafanya kazi.
Naomba kujua mistar mpenzi Hahaha
Naomba niutafute sikupata muda upo kwenye mwanzo Mungu alipooanza kutoa laana kwa Adam na hawa subiri ntakupa soon
Wanawake sijui tunakwama wapi haki, tuliumbwa waerevu kuliko kiumbe chochote duniani lakini tunaacha viumbe hivyo dhaifu kuliko sisi wanatuendesha.... Kama anaenda eti uke umeongezeka huyo mwanamume hajitambui muache aende usijitese
Hahaha
Yote hayo ni kwaajili tu yakumridhisha mwanaume acheni kujichosha wanawake utatia vyakutia huko ukeni lkn mwenzio akishamiliza hafikirii tena hicho ulichompa na hata akifikiria ucdhani kua hatoenda kwengine ataenda na kuenda tena na sio kwa mtu mmoja bali ni kwa wanawake tofauti tofauti hivyo ndivyo wanaume walivyo mpaka kiama kitafika na kitawakuta wakiwa hivyo. Unatakiwa kujiamini na kujikubali jinsi ulivyo ugonjwa wa kutokujiamin ni mbaya sana
Unakuta mtu mweuc hajiamini jinc alivyo anaamua kujichubua anakuwa mweupe lkn ngozi ikishachoka anakua mwekundu na anatisha
Jamani hebu tuacheni haya mambo uke hauhitaji viungo zaid ya kuusafisha vzr kwa maji masafi tu
Kwanza huyo anaeingia humo ukeni hana ulimi Wala hana muda wakuonja hiyo radha ya hivyo viungo akiingia kaingia na akitoka katoka kainama ukimuuliza hasemi sasa nani kasema umuwekee vyakula humo??? Hivi kwann mtu unajitoa sadaka namna hiyo??? Kah!
🤣🤣🤣🤣
Usicheke kuna watu wanahangaika eti
Kwel dkt upo vzr mm nimezaa watto watatu nasitumii kitu ila niko vzr
Ttz wanawake wanahangaika sana
@@magrethshakinenge5024 wanatafuta matatizo kwalzm ujuwe ukita kuwa namaumbile mazr nikazi ndogo tu lkn hawajui kwavile wameweka uzungu mbele.
@@radhiambwana8787 nieleweshe my dear
@@radhiambwana8787 tueleweshe
@@radhiambwana8787 inakuwaje
Kweli kabisa maneno yako
Usimshaur mtu kutumia shabu inaua chembe za ulinz kwa Bibi then inaleta mwasho
Doctor mie nimekupend unaelezea vzr had raha
Dr Isaack nakupenda mno na mwanao anavokufanana had nywele you are so muaaah bro I like the way you are
Thanks
asante
Ninapenda. Sauli. Akodocta
Njo muzuri wanawake wa kitu nawa congomani
Naomba namba ya cmu ya huyu doctor
Ushaur mwingi wakati clinic sio kusikia waganga kienyeji mitaani acha kabisa
Makahaba ndio wanaohangaika na si wanandoa.
❤
Nikweli nikwamda tu ukisha fanya tendo kunarudia kawaida
Hiv Kama niahali ya kawaida wanawake tunakwama wapi ,,tunajiathir kwann
Wengine wakijifungua watot huwa wakubwa wanawatanua misuli shoga mwanaume anakukimbia maana ladha inapotea kabisaaa ni lazima hata ufanye japo mazoezi ya kurejesha kawaida lasivyo mume utamkosa
Wengine maumbile yao mazuri afadhali
Yaan sijui tunakwam wapi we sehem kama ile kweli ukaiweke shabu mara nyanya unatak kuirosti tena aaaaaah jaman kama kubwa yangu kama ndog yangu yaaan ahat nizae iwe kwa bwawa najua ndo mungu alovyonikadiria lakin si kujitia midude isoelewek mwish ndo hayo magonjwa yaajab yanaiubuka
@@aishasaid5702 mpenzi hiyo kufanya hayo mazoez sawa ni ya kawaid maan ni mazoezi na sikutia mavitu mengin pia nikifanya hayo isiporud nasumbuka na nini jaman mungu alivyoruhusu nizae kwan hakujua mie ntakuaje baadae iweje nimkosoe aaaaaah huyo mume kama akinikimbia na anikimbie tu na wala haniumiz yaan jaman mie namshukur sana mungu kwa kunipa roho ya kutokujali mwanaume kuniacha au kunikimbia dah hilo kwangu nishaliwwk mgongon kabis akimbie tu aniache
Mbona mesijuikubana maumbile
Oya we tira Yan kuhangaika na kutaka k isitanuke n Kwa ajir ya bwanaako au unauza Kwa watu wakubwa Yan ww had unakera xo Kwa kufoc dawa huko,. Nitafute mi ninadawa uje gheto
Mabadiliko lazima tuvumiliane
Docta. Sisi's drc nayo maji ni zahabu asiikaushe iyo pasha kabisa
Hayo maj nusu ndo unatumia kwa siku nzima
Wanawake tunateseka na huu ulimwengu da mbona hapo zamani mama zetu walikuwa sawa tu
Sababu watu wanakula makemiko sana masoda na mavitu yasukari wao ivyo vitu walikuwa awapati
Uke unatanuka sababu ya kubadilisha badilisha wanaume
We tira una shida una Ng,Ang,ania Sana dawa uletewe na nini mbona mzuli unaonekana tuu ,,,,acha mambo yako ,,
Phsychological problems😯😯
Hapo ndio kamaanisha nin ??nifafanulie kakangu
@@rosesamwelitenga4648 p
Asant san
Mimi ninashida na Dr issac maro na cjui nampataje yani nina shida sana
Wew keshaoa uyo🏃
@@rosesamwelitenga4648 😂😂😂😂 uwiii
Umenifurahish et kaisha oa😂😂
Mi sitaki ,siweki kitu kwenye uke ,ni ujinga tu!
Kweli hakuna haja yakuweka vitu huko,nikujitafutia tu matatizo
@@thexoshowtira 🙏🙏
Tunawezaje
Haina ladha ya chumvi
Hahaaaa shabu haina radha yachumvi zingekuwa na chumvi uko ukeni wangewashwa wasingetumia kwasabab sehem yasir ni laini kwaiyo kuweka kitu Kama chumvi mtu asingeweza angeumia
Kwel kabisa dr wengi uhis wana tatizo lakini si kweli
Duuuh
Jee Dr. Issac ni mtoto wa Dr. Maro, gynecologist alokuwa na clinic yake kariakoo, Dar Es Salaam?
T1tan/Gaming/Csgo & More
Mm sitokuja kujaribu kutia kitu chochote
Nibora ujikbali ulivyo mm pia sijawai waza kuangaika na mwili wangu
shoga usisubutu kutia shabu kwa bibi kwanza inachuna itanyambuka chichila yote iyo ushindwe atakumpa uyo babu。
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Dr , ni yako tafadhali
Dr, namba yako tafadhali
Ndiyo mwanzo ya kupata kansa,
Kwel kabisa
@Chistina Wallasch haswaa
Wangine wana tumiya alovera
😂😂
Kha nyanya ikikaa siku mbili tatu wadudu sasa kweli ukaiweke kwenye uke jamani wanawake tunakwama wapi sasa hiyo nyanya si unaipeleka kwa bacteria wabaya waliokuwa kwenye uke wazidi kukushambulia, tujiongeze wanawake uko chini atasabuni zingine azitakiwi kuko sensitive sana kam vidole tu havitakiwi sasa hiyo nyanya duh
Mwanaume kama hajaridhika na wewe lazima atachomoka tu. Hata ufanye nini. Bora doc bora natural ways tu. Naijuwa hyo walileta job kwetu wadada wengi walinunuwa ila badae mh hapana mm sitaki
🤣🤣🤣🤣🤣
Sihangaiki ng'ooo Kama hikichokwa nitaipandia maua
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Kipindi kizuri mno
Ahsanteee tunashukuru
tira naomba namba zako am in love with you😘
even me
Dawa ipo inapatikn supermarkets ina ubora zaid tena unaweka kwenye uji baada ya kujifungua...
Yaitwaje ndugu
Inaitwaje
Inaitwaje
Inaitwaje hiyo dawa bite
Haya bwana minakupenda tu we dada
Je kama mtu aliongezewa njia wakati wa kujifingua kuna uwezekano wa uke kurud katka hali yake yaani mtu kajifungua kawaida lkn alichanika ukeni mpk akashonwa
Panarudi kawaida haijalishi ulishonwa au la?maumbile yanarudi kama yalivyokuwa.
@@thexoshowtira mm nyuz zilitoka sijui unashauri aje
Papanuke tu kama fuko ila dawa noooo
Hahahahaaaaa umenifraish my
Tunawezaje