Faida Za Karafuu na maajabu yake tibani DK/Sheikh: Jafari Mtavassy
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 พ.ค. 2021
- As, alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh habari zenu ndugu zangu katika channel yetu leo tutapata sehemu ya faida itokanayo na karafuu maashaallaah usiache kishea na Ndugu jamaa na marafiki like video na kaa tayari kupitia Mtavassy tv online youtube channel kupata mengi mazuri na yenye manufaa usisahau kumuombea Sheikh wetu duaa hata kwa kuitikia Salaam hapo kwa comment
- ยานยนต์และพาหนะ
ALLAHUMMA aamiina Sheikhe wetu kipenzi ubarikiwe kwa haya yoote mema unayotutendea na kipenzi chetu Sajd aje arithi elimu yako na apate zaidi kisha afanye kama ufanyavyo
Jazzakallah khairan ustadh jafar Allah akuzidishie ilmu zaidi ameen 🤲🤲🤲
wa, Salam warahmatullaahi wabarakaatu
Skh tuwekee kwenye description hapo ni siku ngapi matumizi na kipimo cha mafuta ya kuchanganya kwa mtu mwenye kupalalaizi
Walekumsalaam Karafuu hizi hizi
Abari zako kaka nimekufatilia nikasikia kuwa karafuu utibu bawasili unafanyeje kaka yangu iyo karafuu naangaika Sana na bawasili yangu niyandani aitoki Ila ninamaumivu makali kwenye choo kubwa kwandani namuwasho mwingi na mapaja yananiuma Sana kwa nyuma pamoja na kiuno nitumie nini kaka yangu nisaidie tafazari na Mungu wa mbinguni atakusaidia Sana.
Asante
Asante Shekh
Asante kaka
Ushtadh mimi naumwa nyonga mapaja miguu yote nafanyaje jaman maana nateseka sana dawa nyingi nishatumia lkn hali bado
Okay thanks
Doctor assalam aleikum warhamatullah wabarakatu mmimetumiaa uke mchanganyiko wa mafuta ila hee nikijipaka tu bas huishiwa nguvu na moyo huenda mbio je niendelee au niachane nae ?
14:37
Je kutafuna Inafaa izo karafuu
Aa je ukiwa na m'ba usoni waeza kutumia karafu
Naomba kuuliza doctor karafuu inaweza saidia kukuza nywelee??
ndio weka kwenye mafuta ya iana ya uto / miminika n.k
Nasumbuliwa naugonjwa wamisuli mwaka wasaba sasa
0656606014 nicheki kwa namba hioyo whatsup
Mm niko nashida ya mgongo kuma na kulemea kama nimekewa jiwe nashingo kuuma na kifua pia..kisha nasikia moto sana jee hii yaweza nisaidia ..sheikh..lakini nimeshukuru kwa hiyo elimu nyengine.
sawa nimesikia nitafute kwa whatsap +255 656 606014
@@MTAVASSYTvmambo vipi kaka