THE CLASSIC WITH JAY MOE PART2 EP1: IDEA YA WIMBO MVUA NA JUA/KUA NA NJAA YA MAFANIKO KAMA ANAANZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 พ.ค. 2024
- Jay Moe amerudi tena kwenye sehemu ya pili ya kipindi cha The Classic kwa ajili ya kuendeleza hadithi za maisha yake na nyimbo zake zenye maudhui classic kabisa ambapo hapa anaanzia wimbo wake classic na maarufu sana wa Mvua na Jua
huyu jamaa Jabir Salehe ana kipaji na ubunifu wa ajabu sana kwenye kutengeneza contents za interviews ... Heshima kwako kaka Jabir Kuvifacts .Ishi miaka mingi kwa kutengeneza contents muhimu na imesaidia kuondoa vile vitu ambavyo tulikua hatuvifahamu au tulivifahamu kitofauti...Big up bro you the Legend
Asante sana 🙏🏾
Anajua sana Huyu Jamaa...Hiki ni Kipindi Bora zaidi cha Burudani Tanzania
Mimi apa mtansiamehee mkisema dizasta ni mkali, growing up listening to prof, mo tek, chindo and the likes mkisema dizasta ni story teller mkali naona uongo
moja ya hazina kubwa kabisa katika tasnia ya mziki wa hip hop!
Jay moe unajua saaaana kakaa,na pia ni story teller mzuuuri #appreciate you bro
Legendary Jay to the Mo, or More Tech
NYIE WASANIII WA SAHV MJIFUNZE KUFANYA INTERVIEW KAMA HAWA WAKONGWE
elimu inachangia brother kenny.
umchukue D VOICE utegemee aongee hivyo
Big Brother Jabir nakubar sana mzee # Jay moe
Mteule! Mbakiaji! Mawazo Juma Mchopanga Mo Tec Au Jay moe Tan twist zako na Lyrics speed na flavor Aje Bishoo! Mgumu Msomi wote watakaa ... Treasure
Madin juu ya ulimi... naomba nikione broh.. #jaymoe
Not Only the best presenter, kuvi ni hiphop head since wayback enzi za THE JUMP OFF... Hapa na mchopanga ni the bad meets evil.
Upo pw sana Mo..endelea kukaza bro
leo umeng'aa mzee jabir
😀shukran
Nimefurahi sana Jay moe kuitaja Sumbawanga ❤.. Sumbawanga ni moja ya Wilaya ndani ya Mkoa wa Rukwa. Kwa wasio fahamu ni Mkoa wa Rukwa ni kati ya Mikoa mitatu inayozalisha zaidi Mazao ya chakula Nchini Tanzania.
mwapoleni mkwaii
Nilikuwa naomba kila siku ziende hatimayee kumekucha shikamoo jabirsalehe
Mkali wa mashairi
Introduction, main body na conclusion hatari sana
Jay Moe ni best Story teller in the Hip Hop game
interview ni kali sana ile bro ao watangazaji wengine hawaulizi chochote wapo tu wamekaa kama masanamu
Hongera sana jabir Interviews zako zote ni kali aiseee watangazaji wadogo wanamengi ya kujifunza kwako
Kuvi kibonge tozi sikudai kaka kwenye hili ila ukituletea GK ndohatuta kudai kabisaaaaaa!!
Wasani wa zamani akili kubwa,wa sahvi hmn kituuuu
True sasahivi kuna ubwege mwingi tu
Nowdays
Jay Moe kaumiza sana na hiyo Tuxedo 😂😂
Jabir uishi miaka mingi mzee
Amiin kaka,Nashukuru sana kamanda👏🏿
Zee la kujibrand mtu wa maana kabisa 😁 🤜 🤛 wewe thanks for classic intavyuu
Mr kuvi.. Mlete siku moja jcb makala ndani ya classic
Country wizzy the best rapper ever
Narudia tena Jay Moe ni miongoni mwa Wasanii wachaache wanaoweza kupokea swali, kulimeza vizuri na kuliBreakdown kisawasawa Jawabu lake. 🔥🧠
th-cam.com/video/BntqDlof0iA/w-d-xo.htmlsi=va4fGKQ2r3UqECe2
Sijui ni kwanini,
Lkn natamani huyu jamaa afanyiwe tena mahojiano nahisi ana madini meeengi san ambayo bado hatuja yasikia.,….
Icon
@jay moe tambua kuwa hayo maswali unayoulizwa na @jabir hauwezi ulizwa representer yyte hapa tz
huyu ndo bwana aliezaa na didaa
Moe Tech🔥
He has I Q. All the way from US.
Jay moe & Chid benzi are the greatest ever in music industry of Tanzania. Tukiachana na yoote ambayo Chid benzi anakutana nayo ila jamaa na Huyu Jay moe ni wakali wa misimu yote
Chid Benzi ni overrate mtoe hapo
@@kaporosalum6123 Aaah tafadhali sana me nawaweka sahani moja tena kwa fact kabisa. Ana tuzo nyingi kuliko Famous, ana kolabo nyingi kali kuliko famous ila famous ana ngoma kali hits kuliko chidi so nawaweka sahani moja mzee
Kama tuzo ni kigezo kuna wasanii wakali kama Nas,Talib Kweli and Common wasingeweza
Wasanii wa zamani walikuwa na vipaji sana
Wasanii wa zamani walikuwa na vipaji sana
Mapema ndo best
akili nyingi, utulivu wakutosha
Kiukweli katika show ambazo nazikubali hapa tz ni hii the classic Yani huwa nikiikosa huwa najihisi kuumwa kwani huwa inanikumbusha mbali sana Kiukweli Jabil ulibuni kitu kizur sana ningefanikiwa kukutana nawewe ningekupa Maya yako.
Tukikaa huwa tunafungua koti la suti. Muwe mnawakumbusha 😂
mungu akinipa mtoto wa pili namwita jabir Atakama mm mkristo
Heshima kubwa hii kaka,Asante sana 🙏🏾
kibong bitoz G O T hv kofia unachkulia wap
jmo na mwana fa akili kubwa👞🙌🙌🙌🙌🙌
Mo.again
Naungana na wewe
Huwa najiuliza hivi hivi visanii vya sasa ukimuacha countrboy watakuwa na stori zakuadidhia😂😂😂😂
Ukienda sehemu nyingine unaulizwa maswali ya kijinga ambayo hayana maana ndio maana wengine wanakataa kufanya intervew ili kuepuka upuuz wao