THE CLASSIC H BABA ;SIPEND KUISHI NA KTU MOYONI/UKINCHUKIA HAINA SHIDA/NILIANZA SHIKA PESA NINA 4YRS
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 มิ.ย. 2024
- Ni zamu ya mkali H baba ndani ya kipindi cha The Classic ambapo ameshare nasi hadithi kadhaa za kusisimua za maisha yake na maisha yake ya kimuziki,hii ni sehemu ya kwanza
Jabir big up sana kipindi babkubwa ❤
Watu wapo wa kuwahoji achana na machawa hawa mtafute sir Nature kiroboto tutapata story tamu sio hawa
Sijui unachojisifiaga nin we mbwa hta kenya na uganda tu hujulikan,,yaan we ndo unajua kila kitu kenge weee
Ni majigambo tuu
Mdogo wangu HAMISI kwenye kuvaa mwanza nzima wewe ndio unavaa sio kweli
Watu wamepiga pamba wewe ulikua bado
Kuna makorobi white sox na beach boy wazee wa guba yoo
H baba hawezi maliza MB zangu og aliyekuwa chawa
Jabili ww ni fundi wa hizi mamb broo
Asante bro
Sina kipindi kingine tofauti na power break fast pamoja na the classic tu ndio nasikilizaga
Shukran sana kamanda
Na hiyo nyimbo unayo isema umeimba n king kiba...ukija itoa mutakosana xna...haitaki kwa xai...itaua vibe yake...😅
Huyu si msanii wa kuitwa show kubwa kama hii. 😢
Kuvi chaka
Tatizo H Baba interviews zake zote zimejaa kushindana,majigambo, lawama,ujuaji mwingi yaani haamini katika records zake, haamini kama watu tunamfahamu na tunamkubali sana malalamiko kibao kama mtoto wa kambo😂😂 sijui ndo ushamba wa kisukuma
Ww dogo wasukuma wameingiaje hapo jishikirie
Wasukuma wanefata nn hap Acha ukabila wa kimtandao ww hao wasukuma washamba usemao ndio waliotoa raisi Bora kuliko yoyote hapa tz ambaye alipokufa mpaka baba na mama yako walilia Acha kutukana watu.
😂😂😂😂😂😂😂
Tambo za kijinga we mtoto wa mabatini umeanza lini kuvaa mwanza nzima😂😂😂😂fala kweli gemu la 90s ulikuwepo ww
Bora nirudie tu interview ya Saigon
Jabir aliingia cha kike sana kumuita huyu..nilisema hapo , jamaa sio mtu wa uhalisia .. uongo mwingi sana. Na hiki kipnd sio cha kusikilza watu kama hao.
@@yudaogonyi2383 kipindi cha uhalisia analeta uongo