THE CLASSIC DAZ NUNDAZ PART 2 ep1 : FEROOZ ALIFUKUZWA SHULE KISA MUZIKI/UTUNZI WA JUU WA BARUA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • Sehemu ya pili ya maongezi na moja ya makundi bora ya muda wote Daz Nundaz inaendelea ambapo wanaendela kutupatia hadithi muhimu za maisha yao na muziki.hii ni episode ya kwanza ya sehemu hii ya pili

ความคิดเห็น • 33

  • @jemaarsen6996
    @jemaarsen6996 หลายเดือนก่อน +2

    Interview kama hisi sisi ndio tunataka, mnatufanya sis tunao penda nyimbo kama za akina Daz nundas tu enjoy, pia msisahau kuniletea story Mr 💙💙💙💙🔵🔵🔵

  • @h.jrugashaula1296
    @h.jrugashaula1296 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu aendelee kuwapa nguvu. Nakumbuka mbali sana ninaposikiliza nyimbo zao kwa maana mziki wao una umri sawa na usikivu wangu. Nilianza kuwasikiliza tangu walipoanza Game.

  • @mohammedaliabdallah5508
    @mohammedaliabdallah5508 หลายเดือนก่อน +1

    Hili jahazi la Daz 😍

  • @aulidriver3102
    @aulidriver3102 หลายเดือนก่อน +1

    Nawakubali sana Daz Nundaz ❤❤

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 หลายเดือนก่อน +6

    Nimemuelewa mtangazaj at the beginning na Kwa uelewa wangu huenda hiyo ndio ilikuwa sababu ya kundi kupolomoka .. coz wakat ralumba alivytaka kuelezea tu feruz akamkata

    • @zclassicfashionz1573
      @zclassicfashionz1573 หลายเดือนก่อน

      𝐍𝐚𝐦𝐢 𝐬𝐢𝐣𝐚𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐭𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐮𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐳𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐧𝐠𝐨𝐦𝐚 𝐡𝐢𝐲𝐨

  • @timothymikola2317
    @timothymikola2317 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa wawili hawa walikuwa wanauwezo sana feruz na daz

  • @PauloRenatus-i9b
    @PauloRenatus-i9b หลายเดือนก่อน

    Sanaaaaa

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka7222 หลายเดือนก่อน

    Kwa Daz Shuka Rhymes ndio wimbo bora...

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 หลายเดือนก่อน +1

    Nipe tano

  • @DM_15
    @DM_15 หลายเดือนก่อน

    Nimejaribu kufanya utafiti kwa wasanii nimegundua wasanii wliokua wana imbaimba wengi wali poromoka kiuchumi na walio kua wanarap wengi wako strong kiuchumi kiasi fulani

  • @user-fj7wu8ph1q
    @user-fj7wu8ph1q หลายเดือนก่อน +2

    minakushauli kaka ungekuwa na studio apoapo wanapomaliza inte view wanaingia studio wanaacha nyimbo wamelekodi kisha inatoka niwazo2

  • @jumakabota1231
    @jumakabota1231 หลายเดือนก่อน

    Wimbo wa KAMANDA DAZ wa NUNDAZumefanana sana kimatini na wimbo KITAMBO KIDOGO wa BDP.

  • @darkrhymes2927
    @darkrhymes2927 หลายเดือนก่อน

    Ferouz kazngua, lazm kuwe na source ya idea, mnaandikaje wote bila wazo

    • @Lugongam
      @Lugongam หลายเดือนก่อน

      tayari imeshasemwa idea ilianza kwa critic, ferouz aka divert kutoka siasa iwe mapenzi walipoipenda wakai progress kwa pamoja

  • @erickodhiambo6994
    @erickodhiambo6994 หลายเดือนก่อน

    Hawa jama waliumiza vichwa vyao Kwa uandishi Wa nyimbo zao

  • @Lugongam
    @Lugongam หลายเดือนก่อน

    kupitia hii intavyuu ndio nimeelewa maana ya ule mstari wa kwenye starehe "Kz camp masela", kumbe muhuni alisomea Kizuka TPDF Secondary School hahaha, i can imagine ni jinsi gani alikuwa anamsumbua dingi yake #Iwasthere

  • @spartachize122
    @spartachize122 หลายเดือนก่อน

    Mi yaani kwa miaka yangu yote nilikua najua daz nundaz ni feruz na daz baba alafu wengine ni ft tu..... Kumbe kulikuwa na wengine dah i say

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 หลายเดือนก่อน

    Kuvi MISU

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata หลายเดือนก่อน

    Hiyo 2004 ilikuwa hatariiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @khalifasaid1131
    @khalifasaid1131 หลายเดือนก่อน

    Kuvi tuletee BDP

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  หลายเดือนก่อน

      Angalia interview za nyuma utawakuta

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y หลายเดือนก่อน

    mbona dazi nundazi kachoka sana ivyo

    • @markomlonganile5339
      @markomlonganile5339 หลายเดือนก่อน +1

      Unamaanisha Daz Baba? Nundaz ni kundi

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 หลายเดือนก่อน

      Mteja

    • @nyemondagalla608
      @nyemondagalla608 หลายเดือนก่อน

      Ulaji wa mboga za majani za kukausha kupita kiasi nihatari sana.

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 หลายเดือนก่อน

    𝐊𝐢𝐧𝐠 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐦𝐣𝐞𝐧𝐠𝐨𝐧𝐢....

  • @jrxavihernandez7319
    @jrxavihernandez7319 หลายเดือนก่อน

    WAPI PABLO?

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  หลายเดือนก่อน

      Amefariki

    • @khanafrica22
      @khanafrica22 หลายเดือนก่อน

      ​@@KuviFactsM.A.P

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 หลายเดือนก่อน

    𝐑𝐚𝐥𝐮𝐦𝐛𝐚 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐦𝐮𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐲𝐚𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐝𝐨 𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮 𝐳𝐨𝐨𝐨𝐭𝐞...