Wanaume tumekuwa wa kusungiziwa eti tunawatelekeza wanawake! fanyeni utafiti kwa wanaume mjue tatizo kama lipo kwa mwanamke au mwanaume kuachana kwako, siyo kuangalia upande mmoja !
Dada mtangazaji hii interview ungemuachia PJ awahoji maana wewe inaonekana huna habari za kutosha. Wakati mwingine jitahidi kujuwa angalau undani wa unaowahoji.
Mechi za yanga zilizo pita
Much respect Sugu
Hii nzuri sana
Jongweeeee wakongwe kazi iendelee
Sugu the genius
Maono ya mbali kuwakumbuka malegends
Ksingo+sugu 👍
💪✊🏾
Kija unaboa
Wanaume tumekuwa wa kusungiziwa eti tunawatelekeza wanawake! fanyeni utafiti kwa wanaume mjue tatizo kama lipo kwa mwanamke au mwanaume kuachana kwako, siyo kuangalia upande mmoja !
#MWANAUME ANATAKIWA KUWA NA WANAWAKE #7 MTUACHE BHANAH
Dada mtangazaji hii interview ungemuachia PJ awahoji maana wewe inaonekana huna habari za kutosha. Wakati mwingine jitahidi kujuwa angalau undani wa unaowahoji.