THE CLASSIC KALAPINA : NLIJUTIA KUMTEKA SOLO THANG/KUMPOSA MR BLUE/UGOMVI NA MTOTO WA RAIS JK /BEEF

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • Hii ni interview ya The Classic na Mwanahiphop mahiri Kalapina ambae alikua kiongozi wa ukoo mkubwa wa hiphop wa Kikosi cha mizinga,Interview hii ilifanyika mwaka mmoja uliopita na Kalapina alituelezea kiundani kuhusu tuhuma nyingi ambazo zilizungumzwa juu yake,hii ni sehemu ya maongezi yake

ความคิดเห็น • 66

  • @darhustler
    @darhustler 8 หลายเดือนก่อน +7

    Hii ni interview bora sana kwangu kusikia na imeeleza vizuri sana hizo background gossips za bongo fleva kuhusu kikosi na hiphop. Pina is very nice guy 🖖

  • @alexmisheto7925
    @alexmisheto7925 8 หลายเดือนก่อน +7

    Watu wa Hip hop wanaakil sana

  • @nailahharith4745
    @nailahharith4745 8 หลายเดือนก่อน +5

    Those days I remember biliads hip hop ilikuwa real kinyama kikosi dah

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye3010 8 หลายเดือนก่อน +9

    Binadamu wanaomba mabaya/
    Mtaani kwangu wazee hawana haya/
    Wamejaa husuda chuki na roho mbaya/
    Hakika wasingetupenda Hata tungeimba kwanya

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 8 หลายเดือนก่อน +3

    Napenda kumsikiliza brother pina

  • @MichaelJohn-lb6uu
    @MichaelJohn-lb6uu 16 วันที่ผ่านมา

    Appreciation

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 23 วันที่ผ่านมา

    😝😝😝😝😝 jamaa ni storyteller mzuri sana . Hyu atafutiwe EP ingine

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni 6 หลายเดือนก่อน +1

    sema kalapina na ubabe tofauti sana he is so innocent ukimuangalia

    • @iHoppin25th
      @iHoppin25th 5 หลายเดือนก่อน

      Mwamba Mtu Guddi Sanaaa

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 8 หลายเดือนก่อน +10

    HAO WANAKATAANA,,MI NAFATILIA SANA INTV ZAO,,DUDU,,LORD,,KALA NA HIP HOP WENGI WANAOKUJA HAPO,,KILA MTU ANAJIONA YEYE NDO ALIKUWA MBABE KULIKO MWENZIE,,ILA TUNAWAAMBIA NYIE SIO MASELA MSINGEKUWA URAIANI.

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 8 หลายเดือนก่อน +5

      Hujielewi, Kwani msela lazma aende jela .?...kwenda jela ni UFALA ww .!

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@ismailmasoud6001 WE ndi fala kaka,,,si msela si umepinda?? Waliopinda wote wako chimbo wanasubiri kifo 😀,mnamuiga 2 pac kufa amfi 😃,,nyie mabinti tu

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 8 หลายเดือนก่อน +2

      @@hassanbakari4525 ...ukiona mtu Kenda JELA Kwa wizi au ugomvi ujue fala ..!..ndio maana ukiingia JELA uliowakuta wanakuuliza umekuja Kwa kesi aina Gani ..!

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 8 หลายเดือนก่อน +2

      @@ismailmasoud6001 ASA UNABISHA NN,,UKIWA MTUKUTU MANAKE WE UMESHINDIKANA,,,SEHEMU ZAKO NI MBILI TU,,KIFO NA JELA,,,,VINGINEVYO WEWE NI RAIA MWEMA TU...HAPO HUELEW NN APO

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 8 หลายเดือนก่อน +3

      @@hassanbakari4525 ...Kwani Kuna watukutu wangapi hawajaenda JELA na WEMA wangapi wameenda JELA..?..

  • @JimyMnyama
    @JimyMnyama 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kikosii Cha mzinga🔥🔥🔥

  • @MrishoMohamed-ey5zf
    @MrishoMohamed-ey5zf 6 หลายเดือนก่อน

    Nakubali sana the classic

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 7 หลายเดือนก่อน

    Napenda Sana the classic

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kalapina sikungi broh

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kalapina alikuwa shida sana

  • @cassanovarcousin7973
    @cassanovarcousin7973 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nabiii koko📌

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ashim dogo Kala Pina is the best hip hop bongo akuna tena atakuwa kama awa awa ndio wagumu kamili

  • @JimyMnyama
    @JimyMnyama 8 หลายเดือนก่อน +5

    Walikuwaa wababe sana adii kutekanaa😁

    • @simas.a1003
      @simas.a1003 8 หลายเดือนก่อน

      Game ilikuwa real sana. Mabifu ya Hip hop kama mbele. Ila hichi kikosi cha mizinga nakikubaligi sana 🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @JumaJuma-fu7ji
      @JumaJuma-fu7ji 8 หลายเดือนก่อน

      Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mabifu live na yaukweli

  • @hassaningorombe3477
    @hassaningorombe3477 8 หลายเดือนก่อน +1

    💯💯

  • @matolasalumu2625
    @matolasalumu2625 8 หลายเดือนก่อน +2

    Tuleetee yuni besti Kona walio imba tisheti na jinzi

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 8 หลายเดือนก่อน +2

    Muongo wewe Arusha before 2005 walikuwa wanafanya live, Via Via. Hii habari ya kujifanya pioneers ndio inaleta ego.

  • @nicholouspaschal3586
    @nicholouspaschal3586 8 หลายเดือนก่อน

    Hip hop forever

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kikosi cha mizinga block 41

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 8 หลายเดือนก่อน

    Noma Nabi coco

  • @dicsonmollel5915
    @dicsonmollel5915 2 หลายเดือนก่อน

    Nabii Choco namuongezea stress akisikia hzo vocal

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hamna ndefu?

  • @nasrikileo7291
    @nasrikileo7291 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sijui wanasahau au nini, age sawa ila kila mtu akiongea issue zinapishana, brother kuvi can u please intervene on my coment for learning purpose

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 8 หลายเดือนก่อน

      Kila mtu anavutia upande wake

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂pina

  • @ejtjr2647
    @ejtjr2647 29 วันที่ผ่านมา

    Kalapina was STUPID na hujui Hiphop . Mwili mkubwa akili KISODA.

  • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
    @EmanuelyMbagalla-rt2vm 8 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini hao watangazaji wamevaa barakoa?

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mapifu mengi na yaukweli

    • @Joseph-lu4yj
      @Joseph-lu4yj 4 หลายเดือนก่อน

      ila mkwara imezidi sana kuliko vitendo

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 8 หลายเดือนก่อน

    Sasa mnavaa ayo yanii intaviyu ainogi

  • @usercabal
    @usercabal 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka voda sio msanii ni msela wa maskanii

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi barokoa vipi tuambine..

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 8 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu Alishwahi kupata Corona, ila Mwenyezi Mungu aliweka Shani yake akapona.
      Kwahiyo bado anahisi kama bado ipo. Tahadhari kwake ni muhimu zaidi kwasababu ilishampata.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  8 หลายเดือนก่อน +3

      Sahihi intvw hiyo nlifanya wakati ndo nmeanza kupona hivyo bado nlikua navaa

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  8 หลายเดือนก่อน +4

      Nlikua natoka kuumwa covid mkuu

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@KuviFacts Sawa nimekuelewa, ahsante kwa kuniweka sawa

    • @Papifreshh
      @Papifreshh 8 หลายเดือนก่อน

      Nice

  • @MudaRamadhani
    @MudaRamadhani 8 หลายเดือนก่อน

    Mnazingua mabarakoa ya nini sasa hapo mmezingua kuweni wastaarabu

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 8 หลายเดือนก่อน +1

    Vipi humor ndani Corona dizaini flani kama imewarudia au ndio ugumu?

  • @user-rl8hn4ih1n
    @user-rl8hn4ih1n 8 หลายเดือนก่อน +2

    Sema fupi uyu jamaa uchoki kucheki intaview yak Yani

    • @jumajuma6612
      @jumajuma6612 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ndefu ipo nenda kwenye account ya E FM hii ya kitambo kuvichaka kairudia kwenye account yake

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 8 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa alikuwa so mgomvi ila alikuwa mbabe wa kundi ukimchokoza ndo anakuzingua

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata3650 8 หลายเดือนก่อน

    Kala pina amekua mtu mzima siku hizi ameacha ubabe wa kijinga.. bug up bro😂😂😂😂

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 8 หลายเดือนก่อน

    Ndio Leo nimeelewa kwanini kalapina wanamtaja saana wana hiphop,,,, alijulikana kwa ubabe na sio kwa mziki ua nafatili mziki wake lakini cjawahi kukutana na kibao Cha kutisha sana

    • @adinanimuhidini5894
      @adinanimuhidini5894 8 หลายเดือนก่อน

      Mstari wa mbele

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 8 หลายเดือนก่อน +2

      Kasikilize singeli na amapiano wewe. Hujui hip hop😢

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 8 หลายเดือนก่อน

      @@frankkajoba8372 naludia tena Kalapina hakua msaani wa kutisha kwenye hip hop ,,,, Kuna vichwa kama Sol seng walifanya makubwa kwenye game

    • @EmmanuelKibila-lk8pv
      @EmmanuelKibila-lk8pv 8 หลายเดือนก่อน

      U don't know

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 8 หลายเดือนก่อน

    Kalale mkundu wewe,hip hop waachie wenye akili,huna rhymes hujui mziki,kelele nyingi maku wewe,kaimbe taarabu,

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 8 หลายเดือนก่อน +1

      Duuu, ivi ww una akili kweli? Haya matusi ya chuki yanatoka mdomoni au?😢

    • @bobnasser862
      @bobnasser862 8 หลายเดือนก่อน

      Tulia mdogo wetu unaona unatatizo aupo sawa