Master J aelezea jinsi Kick zilivyoathiri vipaji, "Wagosi walinivua BMW, wasanii hawajui Kiingereza"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 24

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 ปีที่แล้ว +2

    Kwer kuinvest ndo Kila kitu Yani,,mim mwenyewe ni chizi viwanja kama master j,,wow mungu atubariki na awabariki pia,,

  • @kiatu
    @kiatu ปีที่แล้ว

    Ni vizuri Tanzania tukawa na publishers wa nyimbo za songwriters/composers ambazo zinaweza kuwa accessed na wasanii wetu, hasa za kiingereza. Kuna watunzi wazuri ambao sio performers.

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 ปีที่แล้ว

    Master j nouma sana huu mziki kautoa mbali

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter ปีที่แล้ว +3

    JAMANI ENGLISH YA MZIKI SIO YA PRESENTATION

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 ปีที่แล้ว

    Mim ndomana nakupendaga master j Kwasababu unaongeaga point zoootee,,na wenye akili wamekuelewa

  • @geeva99
    @geeva99 ปีที่แล้ว

    Iyo kweli kabisa hata waandishi wa vitabu wana editors, sasa mistari ya kichovu watu wanaojielewa hatuwezi sikiliza inakuwa kama ni mazoezi ya kujifunza ujinga, bora huo wimbo wa zanzibar unasikilizika kwa mwaka huu kati ya nyimbo zenye english kwa mbali

  • @roman2270
    @roman2270 ปีที่แล้ว

    Well said MJ.

  • @razackkasanga5288
    @razackkasanga5288 ปีที่แล้ว

    That's Master J

  • @macdee_tv7622
    @macdee_tv7622 ปีที่แล้ว

    Interview nzuriii honestly

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 ปีที่แล้ว

    💪

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂💪🏽💪🏽🔥🔥 wachaneee

  • @Paplick9
    @Paplick9 ปีที่แล้ว

    Master jay 📌📌📌

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว +1

    KAZIA APO APO MWANETU.,MAUBUNIFU YAWE MENGI

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry1584 ปีที่แล้ว

    Mbona mme mkatilisha master aja maliza anayo ongeya

  • @multdealerGoldenKeyNegroMtata
    @multdealerGoldenKeyNegroMtata ปีที่แล้ว +1

    Master J. Is talking Real.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.

  • @aikalema5725
    @aikalema5725 ปีที่แล้ว

    Umeongea ukweli dunia ya sasa nani anakupa chombo chake utumie kwa lazima.

  • @DM_15
    @DM_15 ปีที่แล้ว +1

    Hio radio ilikua Ni RFA ILIKUQ INAPIGA NGOMA ZA BONGO HATARI

    • @bullermgana213
      @bullermgana213 11 หลายเดือนก่อน

      Clouds hiyo ya pili

  • @businesstanzania
    @businesstanzania ปีที่แล้ว

    Video Tofauti Na Audio Arafu Mnataka Mshindane Na Media Nyingine Zilizo Bora

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 ปีที่แล้ว

    kwaiyo basi.kwajibu hilo.master jay ndio.mana wengi wao ..wamejiingiza namatumiz.mabaya ya fedh walikua na pesa

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter ปีที่แล้ว +1

    NONESENSE 😅

  • @nassorsaid5231
    @nassorsaid5231 ปีที่แล้ว

    Mambo mengine sio lazima uyaongelee kama huyajui dc youngfly siyo rapper ni comedian halafu unasema kabisa ana rap for real LMAO