"NIKIFA NIZIKWE KIISLAM MAASKOFU NIONYESHENI WAPI KWENYE BIBLIA WATU WANAZIKWA NA SANDUKU"? MH: RC

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 380

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 3 หลายเดือนก่อน +37

    Mshaallah mungu akupe imani ya dini ya kiislam haraka hujachelewa na vitabu vya haki vinatuelewesha mazuri tutakapo fika tumboni mwa Ardhi inshaallah mungu akuongoze sana ulivyo tamka ❤🎉Amina

    • @شعبانحبي
      @شعبانحبي 3 หลายเดือนก่อน +1

      🎉

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy 3 หลายเดือนก่อน

      Ameen

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu siyo mungu au andika MUNGU

    • @Azza-o8c
      @Azza-o8c 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@iviejustified8109mungu sio Jina, Jina ni Allah

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 3 หลายเดือนก่อน

      @@menelus911mene5 haha dah waswahili tumetekwa ufahamu....
      Kwahiyo kiarabu ni lugha nzuri zaidi kuliko lugha yako mama???
      Eh Mwenyezi Mungu uturehemu sisi waja wako maana hatuna ufahamu kabisaaa

  • @ReginaldLema
    @ReginaldLema 3 หลายเดือนก่อน +17

    Haimpi shida Mungu umekufa na kuzikwaje,bali Mungu anafurahia sana kifo cha mwenye haki na aliye mcha Mungu ktk matendo mema wakati wa uhai wako.
    Hivyo haijalishi utazikwa na jeneza au la.fikiria wale wanaofia baharini au kwenye vita na bila kuzikwa.Jiongezee Bro.

    • @ramak.9587
      @ramak.9587 3 หลายเดือนก่อน +1

      Umesema Mungu alikufa😂😂ghai! Huoni ata aibu

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc 3 หลายเดือนก่อน

      Mnafeli wapi,dunia ya Leo matendo ni mabaya,lugha chafu,dhuluma,utapeli ,ubinafsi ,roho mbaya, lakini mtu unajivuna ni mkristo au muislam na una vigezo vya kuingia peponi, tubadilike tabia . tiketi ya huko ni matendo na utu wema , jeneza , mkeka,sanda hazina thamani.

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa 3 หลายเดือนก่อน

      Tengua maneno huyu anañia ya kusilim waislam ameelewa kuwa ndo dini mbele ya mungu nyingine ni mitaji ya watu mfano mtu anajiita nabii au mtume na waumini wanaona sawa tu sasa. Kwenye waislam hakuna unabii wa kujitangaza bali unatoka kwa mungu kupitia malaika anapewe Nene

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 3 หลายเดือนก่อน +1

      Naona unajifariji heti kuzikwa vyovyote unashindwa kutambua kuwa Allah ametupangia kanuni kwa kila kitu,Uislamu ndiyo dini ya kila mtu toka kwa Adam mpaka kihama kinasimama huko ulipo siko jitambue mapema ili ujinasue haya Mtu Yesu naye alikuwa ni Muislamu kweupe!

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@ramadhanwilbard8196sawa baba,atakupa na makahaba 72 ukalawit mpka uchoke, mbingu iliyojaa kila aina ya uovu, hyo ni shetan hana mbingu, labda pepo ambayo haipo

  • @chezariboy
    @chezariboy 3 หลายเดือนก่อน +10

    Chalamila mhuni mzuri sana anaejua namna ya kutetea ugali na mwaliko wake lakini Hana kiroho kabisa.. hongera sana kwa kulinda heshima kwa waliokutuma uende na waliokukaribisha kimwili,, shikamoo salut kwako.

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy 3 หลายเดือนก่อน

      Muhuni gani na kaongea ukweli mtupu Wapi yesu katiwa katika sanduku? Kama muhuni basi toeni ilo andiko alilowaomba mababa askofu?

    • @GafiziSalama
      @GafiziSalama 3 หลายเดือนก่อน

      Nilazma povu liwatoke

    • @Azza-o8c
      @Azza-o8c 3 หลายเดือนก่อน

      Chalamila kakuacha mbali sana

    • @HassanNdauka-x1z
      @HassanNdauka-x1z 3 หลายเดือนก่อน

      Alichokinena kinatoka moyoni, kwasababu ajalazmisha

    • @HusnaSharifu
      @HusnaSharifu 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nchi yetu haina dini so Dini za kuletewa zisitugombanishe na MTU mwema haegegemei upande wowote maaana muumin wa kweli hutambua kuwa maisha ni ya kiroho siyo kimwili

  • @Saum-o1w
    @Saum-o1w 3 หลายเดือนก่อน +14

    Karibu sna haujachelew
    Karibu ktk dini isiyo na Shaka ndani yake❤

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 2 หลายเดือนก่อน +1

    WALLAAH! Chalamila nimezaliwa kweny uisilam ni na miak 40 leo umenitoa machozi, Namuomb mungu anipe fedha tukahiji kwa pamoja inshallah

  • @tumusiimeomukama3151
    @tumusiimeomukama3151 2 หลายเดือนก่อน +2

    Lengo la dini zote ni kuwa watu wema na kila dini ina mafundisho yake kwo mtu anaye tumia jukwaa kulinganisha dini ujue ni mtu dhahifu na anaishi kwa kuwapendezesha binadamu si Mungu (ni popo) tuheshimiane Mungu anatuheshimu wote tunao muomba na wasio muomba Upendo unashinda majungu. Dini ya kweli ni matendo mema. Kama unasali ambapo wanasema mzarahu mtu hasiye wa dini yako nawe umepotea. ❤

  • @MohammedHamdanSalim
    @MohammedHamdanSalim 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Allah akubariki kaka yangu karibu tk dini yetu ya kiislam

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jy 3 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah mungu akujalie uwe na mwisho uliokuwa mwema mh.mkuu wa mkoa. Ameen

  • @mohamedkige2535
    @mohamedkige2535 3 หลายเดือนก่อน +3

    Akili nying san Haujawah kuniangusha kweny fact zako❤❤❤❤

  • @mahamuduhassan8511
    @mahamuduhassan8511 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hamna uadui ispokua kwa madhwalim tu niseme shekhe Alhadi ahsante kwa kuonyesha upendo kwa kila mtu bila ya kubagua!!! Shukrani ssana

  • @azzaliy8109
    @azzaliy8109 3 หลายเดือนก่อน +4

    It is very clear short good speech ii

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 หลายเดือนก่อน +6

    Abubakar chalamila. Maashaallah. Idhajaah nnasurullahi walfatuh.

    • @Mr.A_Shark
      @Mr.A_Shark 3 หลายเดือนก่อน +2

      Wara ayta nnasa yadighuluuna finidiniAllah afuwaja......

    • @kilamasta1357
      @kilamasta1357 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@Mr.A_Shark
      Fasabbih bi hamdi rabbika wastaghafirhu inna hukaana tawwaaba.

    • @salhanassor5201
      @salhanassor5201 3 หลายเดือนก่อน +2

      Itakapokuja nusra ya m.zimungu na ushindi..na ukawaona watu makundi kwa makundi wakiingia katika dini ya m.zimungu.. basi mtukuze mola wako na umuombe msamaha hakika yeye ni mwingi wa kukubali toba.....Allah yaa Alaam

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 2 หลายเดือนก่อน

    Jazakallahu khaira yarrab🙏🙏🙏🙋

  • @شعبانحبي
    @شعبانحبي 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akuongoze uweze kusilimu

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 หลายเดือนก่อน +4

    Naami kabisa kuwa Mungu anatupenda sote. Na mungu amemuumba kila mtu na kipaji chake cha tofauti.
    Wengine viongozi wengine waongozwaji, wengine waajiri wengine waajiriwa, wengine wapishi hodari kwenye mahoteli makubwa wengine walaji wazuri na watafutaji pesa wazuri. Wengine waalimu hodari wengine wanamichezo. Kila mtu angetambua kipaji chake na kukitendea haki basi dunia yetu ingikuwa pepo ndogo.
    Maana kila.kipaji kingeleta matunda alivyokusudia na mungu na amani ingetawala dunia.

  • @DogoRidhiwani
    @DogoRidhiwani 3 หลายเดือนก่อน +2

    Karibu sana katika dini yetu ya kislamu mbona ndo dini ALLAH anailidhia

  • @AbasiAbdi
    @AbasiAbdi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe MH RC

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akupe mwisho mwema bro Kila la her nakutakia kwenye maisha yangu

  • @GodyKaywanga
    @GodyKaywanga 3 หลายเดือนก่อน +4

    Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 safisana mungua atubalikisana

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 3 หลายเดือนก่อน +2

    Maashaallah, ukweli haujifichi

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 2 หลายเดือนก่อน

    Allah akuongoze katika njia ya haQ

  • @w4058
    @w4058 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunakuombea Allah akuineshe njia ya siratal mustaqima ili uzikwe kiislam moja ya masharti ni uwe mkweli muadilif unauhakika ndani ya nafsi yako kuwa unawajubika kuwa Muislamu

  • @ImmanueliPatrick
    @ImmanueliPatrick 3 หลายเดือนก่อน +4

    Muhimu ni kutengeneza maisha yako,maana mwili hauend popote ila kuyarudia mavumbi ardh,nafs yako ndiyo ya thaman mbele za Mungu

    • @GatekaFatma
      @GatekaFatma 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂Mmepatwa na nini nyie

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 3 หลายเดือนก่อน +1

    MASHA ALLAH 💚

  • @SalimMlocal-rk9hk
    @SalimMlocal-rk9hk 3 หลายเดือนก่อน +4

    Takbir

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu nijibu 8:39

  • @KaungaDory
    @KaungaDory 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu zetu Nyie mh

  • @HussainMaula-l1s
    @HussainMaula-l1s 3 หลายเดือนก่อน +3

    Karibu njia ya kuelekea peponi Allha akujaze kila la kheri

    • @JonathanNelson-l8h
      @JonathanNelson-l8h 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo ni njia ya kwenda kwenye mapepo sio peponi😂😂

  • @saidikambi9597
    @saidikambi9597 3 หลายเดือนก่อน +14

    Aitasaidia mzee kuzikwa kiislam kama unaamini toa shahada mzee

  • @AlawiKahema
    @AlawiKahema 3 หลายเดือนก่อน +2

    Allaah akuongoze

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 3 หลายเดือนก่อน +1

    From 🇧🇮 mashaallah

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 3 หลายเดือนก่อน +2

    ALLAHUAKBAR ❤❤❤❤

  • @MariamBut
    @MariamBut 3 หลายเดือนก่อน

    Ameanza kuelewa polepole Mungu akujalie

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezmungu akubariki

  • @AbdulazizAbdallah-i3b
    @AbdulazizAbdallah-i3b 3 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akbar...❤❤❤

  • @chemstry409
    @chemstry409 3 หลายเดือนก่อน

    ABUBAKAR BI SADKI.......MAASHA'ALLAH MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE KILA LENYR KHERI....❤❤❤

  • @sandejacob623
    @sandejacob623 3 หลายเดือนก่อน +34

    Mnawaza namna ya mtakavyozikwa badala namna njema ya kuishi maisha matakatifu? Uzikwe na sanduku , uliwe na samaki baharini, uzikwe bila sanduku, kwa vyovyote vile kama ni wa motoni ni motoni tu na kama ni wa peponi ni wa peponi tu,
    Waza kuishi kitakatifu sio namna utakavyozikwa, kuna mitume na watumishi wengi walikufa na kuzikwa kwa fedheha lakini matendo yao yaliwapeleka mbinguni.
    Takibir ,,,,

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy 3 หลายเดือนก่อน +3

      AllahuAkbar

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa umenena

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ubarikiwe sana Jacob

    • @stephen-CEO
      @stephen-CEO 3 หลายเดือนก่อน

      Wakristo tusomeni maandiko tuwache mchezo tafadhali 😂😂😂😂😂

    • @stephen-CEO
      @stephen-CEO 3 หลายเดือนก่อน +2

      2 Samweli 3
      31 Kisha Daudi alimwambia Yoabu, na watu wote waliokuwa pamoja naye, Rarueni nguo zenu, mkajivike nguo za magunia, mkamlilie Abneri. Naye mfalme Daudi akaifuata jeneza.
      32 Wakamzika Abneri katika Hebroni; naye mfalme akapaza sauti yake, akalia kaburini kwa Abneri, nao watu wote wakalia.

  • @zubermkumba3035
    @zubermkumba3035 3 หลายเดือนก่อน +1

    Saaaafi sana mkuu wa mkoa wa dar

  • @isakwisamwamlenga
    @isakwisamwamlenga 3 หลายเดือนก่อน +5

    Chawa na kiroboto wa Samia....shine mbaya sana.Mungu akusamehe Bure maana haujui ulitendalo

    • @GafiziSalama
      @GafiziSalama 3 หลายเดือนก่อน +1

      Asamehewe kwalipi mbona kwa yesu hapakuwa sanduku kwa ni mbao sizilikuwepo yakumsulubiya eko mbona ilipatikana acheni Mila zawadhungu

    • @mohamedkige2535
      @mohamedkige2535 3 หลายเดือนก่อน

      LTE ilo andiko acha ngonjela wap yes alizikwa na Jeneza

    • @SelemanIsmail-c3z
      @SelemanIsmail-c3z 3 หลายเดือนก่อน +1

      Sikiliza wee! Huu ndio uongozi! Unaangalia hadhira ikoje! Huu ni mkutano wa waislamu! Unataka aseme nini sasa? Aliyeuliwa na Samia na hivyo lazima 'acheze' na Samia! Utampinga aliyekuteua? Anthony Blinken 'anacheza' na Joe Biden. Hawezi kumpinga aliyemteua.

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 3 หลายเดือนก่อน

      Kama huna Mila za wazungu mbona huvai magome punguzeni mihemko

  • @MickRay-c5g
    @MickRay-c5g 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu azindi kukufungulia njia zaidi ktk elim

  • @AbdillahMassawe-k3e
    @AbdillahMassawe-k3e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tangu nikufahamu Mh Charamila sijawahi kuona umeongea Maneno Mazuri na Mazito kama haya. Mungu akuoneshe haki ili uweze kuifuata na akuoneshe Batwili ili uweze kuiepuka

  • @tatuluanda6581
    @tatuluanda6581 2 หลายเดือนก่อน

    Takbiriii

  • @KaungaDory
    @KaungaDory 3 หลายเดือนก่อน

    Tujitahidi kuheshimu Imani za watu tukumbuke Dini haimpeleki mtu mbingun Bali matendo mema. Kwan kuwa kiongozi wa Dini fulani ndio abague wengine au mnataka kusemaje😢😢😢😢 sio vzr we unaeongea watu wote niwa Mungu mmoja2

  • @HusseinHussein-y3h
    @HusseinHussein-y3h 3 หลายเดือนก่อน

    Maashaa Allah

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 3 หลายเดือนก่อน

    Uisilamu mchezo ila waisilamu wanafiki ndio wengi duniani kuliko wenye imani Allah anawasaulisha kwauwovuwenu mnakufa na kufruu yenu

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 หลายเดือนก่อน +1

    Utakuta familia moja imejengwa na watu wenye imani tofauti za kidini. Kila mwanafamilia awe mke au mume au mtoto wanatofautiana dini lakini wanaishi pamoja kwa misingi ya kifamilia siyo kidini. Upendo wa kweli ukitawala mahali wala tofauti za kidini hazionekani. Dini inakuwa swala la mtu binafsi zaidi anaweza hata kuhama dini akipenda.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 หลายเดือนก่อน +1

    Si kila.mtu ameumbwa kuongoza kisiasa. Hicho ni kipaji maalum toka kwa Mungu. Si.kila mfanya biashara ana kipaji hicho ndiyo maana biashara nyingine zinakufa nyingine hazikui na nyingine zinakua kubwa sana.
    Si kila mtu anaweza kuwa kiongozi ndiyo maana kuna waongozwaji tena wengi sana.
    Kila mtu amesimama kwenye kipaji.chake alichoumbiwa na Mungu dunia ingekuwa mahali pazuri sana pa kuishi na kufurahia. Kipaji ni zawadi toka kwa Mungu, mtu hacahagui Bali anaumbiwa.
    Kila.mtu angejitambua na kukuzai kipaji chake kwa faida yake na wengine. Mungu angefurahi sana.

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akutie Nuru uuone uislamu kua ndio Dini ya Haki na uongoke inshll

  • @FarhaMud-cp3ng
    @FarhaMud-cp3ng 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwakweli huyu muheshimiwa ukimskiliza kwamakini manenoyake nahisi mwenyezmungu ameshaanzakumpa ilham nahuenda ktk maishayake kablaya umautiwake itakuja kuslimu inshaallah

  • @Herson-yw6cn
    @Herson-yw6cn 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli kabisa

  • @AndrewPeter-d8k
    @AndrewPeter-d8k 3 หลายเดือนก่อน +2

    Umeongea hotuba safi sana

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo 3 หลายเดือนก่อน +10

    Yesu Asifiwe

    • @patrickmunishi2277
      @patrickmunishi2277 3 หลายเดือนก่อน +1

      Amen

    • @RafikimediaTZ
      @RafikimediaTZ 3 หลายเดือนก่อน

      Amen..

    • @Asiaha-l7q
      @Asiaha-l7q 3 หลายเดือนก่อน +3

      Kusifu anasifiwa kwa vile alichaguliwa na ALLAH kuwa nabii hapo hakuna tatzo acfiwe😂

    • @Azza-o8c
      @Azza-o8c 3 หลายเดือนก่อน +4

      Yesu abarikiwe na wakumbariki ni Allah

    • @mwalimulee2493
      @mwalimulee2493 3 หลายเดือนก่อน +2

      Huku tunasema.. Sifa njema ni za Allah.. Sasa nyinyi Yesu asifiwe kwa sifa zipi?

  • @LuluAquai
    @LuluAquai 3 หลายเดือนก่อน

    Baaraka llahu fik

  • @ambelemwaitebele6131
    @ambelemwaitebele6131 3 หลายเดือนก่อน +1

    Soma mwanzo 50 26 vizuri mzeee

  • @jafaryahmad4224
    @jafaryahmad4224 2 หลายเดือนก่อน

    wanajua kuwahcizi mashekh ...

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Allah atuongoze uje kwenye dini ya haki

  • @ambelemwaitebele6131
    @ambelemwaitebele6131 3 หลายเดือนก่อน

    Soma mwanzo 50;;26 vizuri mzeee

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hatari sana njaa ya mwili inatisha sana

    • @ramadhanirama7970
      @ramadhanirama7970 3 หลายเดือนก่อน

      Akili yako inakutuma kua bado ananjaa huyo? Pole sana

    • @ShaniaKing-o5d
      @ShaniaKing-o5d 3 หลายเดือนก่อน

      Da mihemko hiyo pole

  • @ReginaldLema
    @ReginaldLema 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi kama Mtumishi wa Mungu alieziumba Mbingu na Nchi,Ninakushauri kwanza kabisa na mapema mno ukawaombe Maaskofu msamaha tena hadharani kwa kuwasema vibaya na kuwadhalilisha mbele ya ndugu zetu Waisilam.
    Mungu amenihakikishia kwamba kama utafanya au kutekeleza haya maagizo ninayokupatia kutoka kwake kupitia mimi Mtumishi wake,utafilisika kisiasa na atakuondolea nafasi aliyokupatia.Mjumbe Hawawi!

    • @JumaShaban-ec9ki
      @JumaShaban-ec9ki 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂kaomba andiko wapi yesu kazikwa na sanduku? Unatoa povu la kishabiki nilijua utaleta andiko

    • @mwalimulee2493
      @mwalimulee2493 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@JumaShaban-ec9ki😂😂

    • @ShaniaKing-o5d
      @ShaniaKing-o5d 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@JumaShaban-ec9kimi pia nimefungua comment nilijua andiko kaleta

  • @maymunakhelef2154
    @maymunakhelef2154 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah

  • @AshaRamadhani-px9ov
    @AshaRamadhani-px9ov 3 หลายเดือนก่อน +1

    Allahu Akbar

  • @rumonajarufu1346
    @rumonajarufu1346 3 หลายเดือนก่อน +4

    Very good speech

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa analeta udini kwenye nchi samia ni rais wa wote tena wote tupo sawa kwake

  • @allyboy4153
    @allyboy4153 3 หลายเดือนก่อน +1

    Silimu tenaa baba

  • @MathiasLima-b7v
    @MathiasLima-b7v 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani uripo watukana watu pare sokoni sambusa kuwa koma kama mrivyo koma kunyonya ziwa la mama zenu je mungu akuoni

  • @NaimaMasare
    @NaimaMasare 3 หลายเดือนก่อน +1

    Maneno ya kweli kabisa

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 3 หลายเดือนก่อน

    Ongela Sana

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 2 หลายเดือนก่อน

    ALLAAH akufungulie njia iliyonyook kwa harak

  • @mamyabui437
    @mamyabui437 3 หลายเดือนก่อน

    Subhanna Llah

  • @arafaabdillahsanjari
    @arafaabdillahsanjari 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pengine alishasilimu tayari ila hataki kuweka wazi

  • @qamalimisanya39
    @qamalimisanya39 3 หลายเดือนก่อน

    Hilijaaa linaakili sanaaa

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mlangurue kashawakataa wenzie...
    Maashallah karibu sana ktk dini nzuri dini tamu dini ya MUNGU al Islam din

    • @MohamedShaksi
      @MohamedShaksi 3 หลายเดือนก่อน +5

      Maneno yako ni kinyume na uislam

    • @MariaShehemba
      @MariaShehemba 3 หลายเดือนก่อน +1

      Dini tamu ya haki yenye watu wanaiita wenzao majina mabaya hiyo haki na usafi uko wapi njoo kwa Yesu mpendwa anayefundisha upendo na yeye mwenyewe anasema ni njia kweli na uzima mtu hata muona Mungu asipopitia kwake yohana14:6

  • @TimotheoNtibayaga
    @TimotheoNtibayaga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu jamaa mkuu wa mkoa ni zezeta kweli ana mihemuko

  • @mgazaabeid5873
    @mgazaabeid5873 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x 3 หลายเดือนก่อน +10

    Mwili ni kitu gan! Hata ukitupwa baharin au kuchomwa moto ni sawa kikubwa matendo yampendeze MUNGU

    • @salehpandu2250
      @salehpandu2250 3 หลายเดือนก่อน

      Mungu ameamua njia maalum ya kufanya hayo matendo ya kukufikisha mbinguni si njia yoyote

    • @ImaniTinda-h6x
      @ImaniTinda-h6x 3 หลายเดือนก่อน

      @salehpandu2250 kwamba ukizikwa na sanda ndo utamuoma MUNGU 😂😂😂😂😂😂

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 3 หลายเดือนก่อน +14

    Uwezi kuzikwa muislam mpaka usilim kwanza ...kama ukifa katika dini yako bado tutakuzika katika box.

    • @FadhilZaharan
      @FadhilZaharan 3 หลายเดือนก่อน

      Jiongeze uyo kashasilimu jiongeze wewe

    • @kadrimwingamno258
      @kadrimwingamno258 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kasema sisi wakristo...yupo na dini yake wakristo

    • @FadhilZaharan
      @FadhilZaharan 3 หลายเดือนก่อน

      @kadrimwingamno258 jiongeze

    • @RemyDuma-db5fd
      @RemyDuma-db5fd 3 หลายเดือนก่อน

      Wayaudi ndio Watu wa kwanza kuzikwa bila sanduku kabla ya Uislam na mwamadi alafu Watu weusi pia ulikuwa utamaduni wetu kuzikwa bila sanduku ila Wazungu ndio utamaduni wao kuzikwa kwenye sanduku.

    • @stephen-CEO
      @stephen-CEO 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@RemyDuma-db5fd2 Samweli 3
      31 Kisha Daudi alimwambia Yoabu, na watu wote waliokuwa pamoja naye, Rarueni nguo zenu, mkajivike nguo za magunia, mkamlilie Abneri. Naye mfalme Daudi akaifuata jeneza.
      32 Wakamzika Abneri katika Hebroni; naye mfalme akapaza sauti yake, akalia kaburini kwa Abneri, nao watu wote wakalia.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 หลายเดือนก่อน +3

    Tunaamini vigezo vya kumchagua au kumtetea kiongozi siyo dini anayoamini binafsi bali utendaji kazi wake kuanza kuitetea katiba, kutetea maslahi ya taifa lake na watu wake, kujitoa kwa ajili ya taifa lake, kutetea haki ya kila raia wake bila kujali dini, kabila, umri, elimu, jinsia au uwezo wake kifedha nk.
    Dini ni swala la mtu binafsi kuamini au kutoamini au hata kubadili dini...ni mapenzi yake.
    Tutampenda kiongozi kutokana na sifa zake na uwezo wake wa kuongoza na uzalendo wake kwa taifa na watu wake.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 หลายเดือนก่อน +2

      Nakubaliana na wewe.. usimtetee kiongozi kwa sababu ni wa imani yako... angalia uwezo wake wa uongozi.. tuache udini

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 3 หลายเดือนก่อน

      @josephlorri431 absolutely true

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 หลายเดือนก่อน

      @@marieconnect6389 uchawa umezidi.. this is too much now.. hadi kiongozi anaanza kuhoji imani yake kwenye jukwaa la imani nyingine ili kuwafurahisha..nao wanacheka bila kuelewa lengo lake

    • @stephen-CEO
      @stephen-CEO 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kapisa mkuu ...umesema vema

  • @HamisiHemedi-u8k
    @HamisiHemedi-u8k 3 หลายเดือนก่อน

    Allah Akibaru

  • @Noorabdulrahman-x1d
    @Noorabdulrahman-x1d 3 หลายเดือนก่อน

    Namuomba Allah azidi kukuongoza. Naakuonyeshe njia iliyo nyooka. Mpaka hapo ni muislam. Kilichobaki ni kutamka tu.Hongera sana.

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 3 หลายเดือนก่อน

    Natamani uwe mwenezi wa chama cha mapinduzi inshallah

  • @johnreuben9143
    @johnreuben9143 3 หลายเดือนก่อน

    Kasome 2Nyakati 16:14

  • @kimarobobdon
    @kimarobobdon 2 หลายเดือนก่อน

    Nikweli mimi ni mkiristu , lakini nawakubali sana waislam, kwani wakiwa kiongozi ua wana tuongoza vizuri sana,

  • @salimmohamud5390
    @salimmohamud5390 2 หลายเดือนก่อน

    Maulid si sunnah ya mtume muhammad

  • @RajabuAbdi-rs7sp
    @RajabuAbdi-rs7sp 3 หลายเดือนก่อน

    Taqbir mashallah

  • @salehkali5056
    @salehkali5056 3 หลายเดือนก่อน +6

    Huwezi kuzikwa kiislam wakati so muislam kwanza silimu ndo uzikwe kiislam

    • @RemyDuma-db5fd
      @RemyDuma-db5fd 3 หลายเดือนก่อน

      Wayaudi ndio binadamu wa kwanza kuzikwa bila sanduku kabla ya mwamadi na Uislam, Alafu Watu weusi pia ulikuwa utamaduni wetu kuzikwa bila sanduku, kuzikwa kwenye sanduku uliletwa na Wazungu

    • @stephen-CEO
      @stephen-CEO 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@RemyDuma-db5fd2 Samweli 3
      31 Kisha Daudi alimwambia Yoabu, na watu wote waliokuwa pamoja naye, Rarueni nguo zenu, mkajivike nguo za magunia, mkamlilie Abneri. Naye mfalme Daudi akaifuata jeneza.
      32 Wakamzika Abneri katika Hebroni; naye mfalme akapaza sauti yake, akalia kaburini kwa Abneri, nao watu wote wakalia.

    • @NeemaSulle
      @NeemaSulle 3 หลายเดือนก่อน

      Anaongea TU kulingana na mazingira ila usishadidie dini.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 หลายเดือนก่อน +2

    Najashi huyo .. mdogomdogo anaingia lnshaallah

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw 2 หลายเดือนก่อน

    Nchi hii inaviongozi vilaza wengine mungu wasaidir ona chalamila

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kwenye Yesu kufa, kwenye imani ya kiislamu Yesu hakufa wala kusulubiwa, mbona hata yeye mwenyewe alisema, Ishara yake kama ya Yona. Sema tu umependa ukifa uvishwe sana, na si kutiwa katika sanduku.

    • @nassirbajiji4055
      @nassirbajiji4055 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ishara yake kama ya Yona kwaamana Yona hakufa

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 3 หลายเดือนก่อน

      @@nassirbajiji4055 Naam Yona hakufa.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 2 หลายเดือนก่อน

    Kasomea BIBLIA Yako vizuri , haya mambo kabla hatujayaongea Bora kutafakari kwanza au kuwaza kwanza Bora kunyamaza . Kwenye jeneza Kuna mfano kwenye BIBLIA

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 หลายเดือนก่อน

    Umehana dini

  • @OmariGamuya-dz2oo
    @OmariGamuya-dz2oo 3 หลายเดือนก่อน

    Ina Lillah wayn Lillah rayuin, waislam maneno haya ya kuimarisha umoja miongoni mwa waislam yalitakiwa yatoke miongoni mwetu na siyo Kwa asiye muislam ni aibu tuamke.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu jamaa kichwa kinoma sana
    Hawa na siku zote watu wenye
    Vipara wanakuwa vichwa kinomaa

  • @SaidKigingi
    @SaidKigingi 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania Haina dini kama viongozi wa nchi wanavosema hapo yeye anamaanisha Nini au ndio chawa " dini ya Tanzania ni ccm mungu atusamehe "

  • @vicenttarimo2203
    @vicenttarimo2203 3 หลายเดือนก่อน

    Kifo ni mshahara wa dhambi kama hauja ishi Maisha kumpendeza Mungu lakini alioshi Maisha ya kumpendeza Mungu kufa kwake ni faidi atauridhi ufalme wa Mbingu

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud 3 หลายเดือนก่อน +2

    karibu kwenye dini ya haki mheshimiwa mkuu wa mkoa Allah akuonyeshe njia sahihi kabla ya mauti ishallah.

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 3 หลายเดือนก่อน +1

    HUWEZI KUZIKWA KIISLAMU SHARTI UWE MUISLAMU.
    KAMA UNYATAKA HAYO?
    MH:WAHI KUSILIMU HARAKA SANA KABLA YA KIFO KUKUFIKIA.
    KWA SABABU UKIFA KABLA YA KUSILIMU HILO UTAKALO HALITAWEZEKANA KUFANYIKA KWA SHERIA ZA KIISLAMU.

  • @AminaShabani-o2f
    @AminaShabani-o2f 2 หลายเดือนก่อน

    Hi

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kila mmoja uzikwa kwa dini yake aliyokuwa anaitumikia wakati wa uhai wake..

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 3 หลายเดือนก่อน +5

    Akitoka hapo atasema nilikuwa nachekesha!!

    • @theteacherchance6750
      @theteacherchance6750 3 หลายเดือนก่อน

      Allah atuongoze ktk haqi, tusiwe na nyuso mbili

    • @D.P.O
      @D.P.O 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @ramadhanirama7970
      @ramadhanirama7970 3 หลายเดือนก่อน

      Na akiwa ndan ya hyo sanda atachekesha pia

  • @hemedysaidy-b6k
    @hemedysaidy-b6k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa kwa maelezo yake nimemuelewa mno kwanza inaonyesha kabisa qur,an anaijua vzr bali bado tu hajataka kujidhihirisha na maana anajua kasema sura ya ng,ombe ambayo ni suuratul bakara na yaumuisho suurati nnaasi kama angekua hajasoma asingetambua sura hizo zinazungumzia nn Allaah amuongoe ndugu yetu huyu ktk kheri