Msiwaamini wachina kwani Ulaya wanawashindwa pamoja na taifa moja la ki Afrika sitaki kulitaja jina wameshindikzna Ulaya.msiwaone ni watu wa maana hawana lolote.Kaeni macho wabongo wenzangu asilimia kubwa ni matapeli.
Responsibility ya mkuu ya wilaya inaingiliana na mahakama. Majukumu ya vyombo hivi vya serikali vina tofauti kubwa. Huwezi mtu huna elimu ya uhakimu uka fanya kazi ya uhakimu.. Kama serikali haito weka wazi majukumu na kuwezesha utendaji wa kazi bora serikalini, hii itazalisha kila mtu kufanya majukumu ya mwezake. Kama polisi atafanya kazi ya traffic halafu akikumata atakupeleka kwa traffic rafiki yake. Tunaomba mweshimiwa waziri mkuu atowe kauli yake kuhusu kuingiliana kwa majukumu ya utendaji kazi kwa vyombo vya serikali. Mheshimiwa Rais ameagiza kutatuwa matatizo ya wananchi na sio kuwa kama rais unaingiliya utendaji kazi ya vyombo vingine vya serikali. Kesi ya mchina ipo mahakamani. Wacha mkondo wa sheria uchukuwe utendaji wake. Mkuu wa wilaya au mkoa waelezwe majukumu yao. Lugha anayotumiya ni udhalalishaji wa haki ya mtu. Vipi tunataka wawezekezaji ikiwa hatuwezi kufuata job responsibilities. Jamani tutizame tunakwenda wapi na vipi.
Naona arusha kama tunarudi tena kile kipind cha magufuli ya kufanya kaz nje ya sheria na mahakama,mama alipoingia watu walipumua maana kuna utawala wa kisheria lakin sasa kuna ubabe ambao inawapa wakuu mamulaka ya kukuweka ndan masaa 48 na vyombo vya dola mamulaka kukukamata mda wowote ,anachofanya mkuu wa mkoa ni jambo nzuri lakin awe makin kuna watu watatumia nafas hiz kuwapiga watu haswa vyombo vya usalma
Sasa Mkuu wa Wiraya nae hajui Sheria? Anawagiza Police wakati anajua hiyo ni Kesi ya Madai na Police hawahusiki nayo? Au anataka amfungulie Kesi ya Kujipatia pesa kwa Njia ya Udanganyifu? Mutshindwa huko Mahakamani acheni Ujinga fungueni kesi ya Madai sio Police Juzi Wametoka Kushindwa Kesi kule Dar ya Serena Hostel kwa Ujinga wao
Msiwaamini wachina kwani Ulaya wanawashindwa pamoja na taifa moja la ki Afrika sitaki kulitaja jina wameshindikzna Ulaya.msiwaone ni watu wa maana hawana lolote.Kaeni macho wabongo wenzangu asilimia kubwa ni matapeli.
Duh izo hela ungenunua tu mpya pole sana mchina kala pesa nyingi
Eti aende polisi .kwani uyo OSS hakuwa polisi nchi hii inaujanja mwingi sana
Msiwaamini sana wachina wapo wabongo ni mafundi kuliko hao wachina
Umeona kuwa gari halishughulikiwi na bado unatoa pesa zaidi ya mara mbili 🤔
Tafuteni mike nyingine jamani moja tu ya kupokezana noma
Huyu jet lee kumbe nitapeli hivii 😂😂😂
How much is a ford ranger..
kama 120milion mpaka tz la mwaka 2023
😂😂 mcheza kamari huyoo
Geuzeni supu tu sheria iwafuate ninyi
Dah.. insurance elimu
Tapta hyuo
Responsibility ya mkuu ya wilaya inaingiliana na mahakama. Majukumu ya vyombo hivi vya serikali vina tofauti kubwa. Huwezi mtu huna elimu ya uhakimu uka fanya kazi ya uhakimu.. Kama serikali haito weka wazi majukumu na kuwezesha utendaji wa kazi bora serikalini, hii itazalisha kila mtu kufanya majukumu ya mwezake. Kama polisi atafanya kazi ya traffic halafu akikumata atakupeleka kwa traffic rafiki yake. Tunaomba mweshimiwa waziri mkuu atowe kauli yake kuhusu kuingiliana kwa majukumu ya utendaji kazi kwa vyombo vya serikali. Mheshimiwa Rais ameagiza kutatuwa matatizo ya wananchi na sio kuwa kama rais unaingiliya utendaji kazi ya vyombo vingine vya serikali. Kesi ya mchina ipo mahakamani. Wacha mkondo wa sheria uchukuwe utendaji wake. Mkuu wa wilaya au mkoa waelezwe majukumu yao. Lugha anayotumiya ni udhalalishaji wa haki ya mtu. Vipi tunataka wawezekezaji ikiwa hatuwezi kufuata job responsibilities. Jamani tutizame tunakwenda wapi na vipi.
Naona arusha kama tunarudi tena kile kipind cha magufuli ya kufanya kaz nje ya sheria na mahakama,mama alipoingia watu walipumua maana kuna utawala wa kisheria lakin sasa kuna ubabe ambao inawapa wakuu mamulaka ya kukuweka ndan masaa 48 na vyombo vya dola mamulaka kukukamata mda wowote ,anachofanya mkuu wa mkoa ni jambo nzuri lakin awe makin kuna watu watatumia nafas hiz kuwapiga watu haswa vyombo vya usalma
Hapa hakuna mkuu wa wilaya ni bwabwa tuu hilo hebu ajaribu hata kumsikiliza mtu mana ana haki
KUMEKUCHA XX
Sasa Mkuu wa Wiraya nae hajui Sheria? Anawagiza Police wakati anajua hiyo ni Kesi ya Madai na Police hawahusiki nayo? Au anataka amfungulie Kesi ya Kujipatia pesa kwa Njia ya Udanganyifu? Mutshindwa huko Mahakamani acheni Ujinga fungueni kesi ya Madai sio Police Juzi Wametoka Kushindwa Kesi kule Dar ya Serena Hostel kwa Ujinga wao
mwanangu wa casino