MCHINA ADAIWA KUWALIZA WATU ZAIDI YA TSH MILIONI 50 ARUSHA, "USIJITOE UFAHAMU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 19

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 23 วันที่ผ่านมา +3

    Msiwaamini wachina kwani Ulaya wanawashindwa pamoja na taifa moja la ki Afrika sitaki kulitaja jina wameshindikzna Ulaya.msiwaone ni watu wa maana hawana lolote.Kaeni macho wabongo wenzangu asilimia kubwa ni matapeli.

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 23 วันที่ผ่านมา +1

    Duh izo hela ungenunua tu mpya pole sana mchina kala pesa nyingi

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 23 วันที่ผ่านมา +1

    Eti aende polisi .kwani uyo OSS hakuwa polisi nchi hii inaujanja mwingi sana

  • @chriskimuto1425
    @chriskimuto1425 23 วันที่ผ่านมา +1

    Msiwaamini sana wachina wapo wabongo ni mafundi kuliko hao wachina

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 23 วันที่ผ่านมา +2

    Umeona kuwa gari halishughulikiwi na bado unatoa pesa zaidi ya mara mbili 🤔

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 23 วันที่ผ่านมา +1

    Tafuteni mike nyingine jamani moja tu ya kupokezana noma

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 23 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jet lee kumbe nitapeli hivii 😂😂😂

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 23 วันที่ผ่านมา +2

    How much is a ford ranger..

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 23 วันที่ผ่านมา +1

      kama 120milion mpaka tz la mwaka 2023

  • @TheBastarrrd
    @TheBastarrrd 21 วันที่ผ่านมา

    😂😂 mcheza kamari huyoo

  • @user-qg3nu1kv2n
    @user-qg3nu1kv2n 23 วันที่ผ่านมา +1

    Geuzeni supu tu sheria iwafuate ninyi

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 22 วันที่ผ่านมา

    Dah.. insurance elimu

  • @user-gc7hi6js2d
    @user-gc7hi6js2d 17 วันที่ผ่านมา

    Tapta hyuo

  • @jsabood
    @jsabood 21 วันที่ผ่านมา

    Responsibility ya mkuu ya wilaya inaingiliana na mahakama. Majukumu ya vyombo hivi vya serikali vina tofauti kubwa. Huwezi mtu huna elimu ya uhakimu uka fanya kazi ya uhakimu.. Kama serikali haito weka wazi majukumu na kuwezesha utendaji wa kazi bora serikalini, hii itazalisha kila mtu kufanya majukumu ya mwezake. Kama polisi atafanya kazi ya traffic halafu akikumata atakupeleka kwa traffic rafiki yake. Tunaomba mweshimiwa waziri mkuu atowe kauli yake kuhusu kuingiliana kwa majukumu ya utendaji kazi kwa vyombo vya serikali. Mheshimiwa Rais ameagiza kutatuwa matatizo ya wananchi na sio kuwa kama rais unaingiliya utendaji kazi ya vyombo vingine vya serikali. Kesi ya mchina ipo mahakamani. Wacha mkondo wa sheria uchukuwe utendaji wake. Mkuu wa wilaya au mkoa waelezwe majukumu yao. Lugha anayotumiya ni udhalalishaji wa haki ya mtu. Vipi tunataka wawezekezaji ikiwa hatuwezi kufuata job responsibilities. Jamani tutizame tunakwenda wapi na vipi.

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 22 วันที่ผ่านมา

    Naona arusha kama tunarudi tena kile kipind cha magufuli ya kufanya kaz nje ya sheria na mahakama,mama alipoingia watu walipumua maana kuna utawala wa kisheria lakin sasa kuna ubabe ambao inawapa wakuu mamulaka ya kukuweka ndan masaa 48 na vyombo vya dola mamulaka kukukamata mda wowote ,anachofanya mkuu wa mkoa ni jambo nzuri lakin awe makin kuna watu watatumia nafas hiz kuwapiga watu haswa vyombo vya usalma

  • @Kalongotv
    @Kalongotv 15 วันที่ผ่านมา

    Hapa hakuna mkuu wa wilaya ni bwabwa tuu hilo hebu ajaribu hata kumsikiliza mtu mana ana haki

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 21 วันที่ผ่านมา

    KUMEKUCHA XX

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 23 วันที่ผ่านมา

    Sasa Mkuu wa Wiraya nae hajui Sheria? Anawagiza Police wakati anajua hiyo ni Kesi ya Madai na Police hawahusiki nayo? Au anataka amfungulie Kesi ya Kujipatia pesa kwa Njia ya Udanganyifu? Mutshindwa huko Mahakamani acheni Ujinga fungueni kesi ya Madai sio Police Juzi Wametoka Kushindwa Kesi kule Dar ya Serena Hostel kwa Ujinga wao

  • @gracemlengu4857
    @gracemlengu4857 17 วันที่ผ่านมา

    mwanangu wa casino