MAKONDA ASHIKWA NA HASIRA BAADA YA WATANZANIA KUITWA WAKIMBIZI NDANI YA NCHI YAO"SIJUI NISEMENINI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2024
  • #AdilTV

ความคิดเห็น • 104

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h 4 หลายเดือนก่อน +15

    Jammani sio tuu kua waziri mkuu hata urais anafata kuwa rais baada ya mama Samia kumaliza 5 Tena ni makonda au kasim majaliwa🤲🙏🤝

    • @chire4574
      @chire4574 4 หลายเดือนก่อน +2

      Majaliwa ni msani...makonda na Bashiru au pole pole ndo wanafaa

    • @jackisonmlaari4556
      @jackisonmlaari4556 4 หลายเดือนก่อน +1

      We ni pwa samia utampa wewe sisi hatuwezi kumpa

    • @mduduzindlela9540
      @mduduzindlela9540 4 วันที่ผ่านมา

      Mweshimiwa please gombea uraisi unafaa kasilimia 100 %0

  • @HurumaAntony
    @HurumaAntony 15 วันที่ผ่านมา +1

    Anafaa kuwa raisi kabisa jamn akika uyu ni mwamba wetu ❤❤❤❤❤

  • @user-ce2wi1ht8g
    @user-ce2wi1ht8g 2 วันที่ผ่านมา +1

    Saruti
    Makonda
    Munguakuweke
    Ameen
    😭😭😭😭😭😭🤲🏾😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🏾😭😭😭🇿🇦🇿🇦😭🇹🇿🥰🤲🏾🤲🏾🤲🏾🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾🙏🙏🙏🙏🙏🙏☝🏿☝🏿

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 4 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda moyo uliyonao kwa sijui nisemaje nafsi yako ni ya kipekee , mungu akuzidishie hekima❤❤

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 7 วันที่ผ่านมา

    Asante Mheshimiwa Makonda unasaidia Wanyonge asante

  • @yusuphsobo7997
    @yusuphsobo7997 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akusimamie zaidi mwamba

  • @humaidalnaamani7859
    @humaidalnaamani7859 4 หลายเดือนก่อน +5

    Ukweli huyu dada hafai kabisa kuwa mkuu wa sehemu yeyeote ile katika serikali maana anaonyesha ana lishwa pesa ndogo ndogo kwa kila sehemu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 4 หลายเดือนก่อน +7

    makonda jujuju ju zaidi unafaa kuwa waziri mkuu

  • @user-gk9wq5pl6l
    @user-gk9wq5pl6l 4 หลายเดือนก่อน +2

    KATIBU MWENEZI KUNA HUTUBA YA KIONGOZI MKUU WA NCHI ANASEMA WATU WENYE KUINGUSHA SEPIKARI WACHOMOLEWE MMOJA MMOJA

  • @user-hs3ih2fe8g
    @user-hs3ih2fe8g 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu nimwema impendeze mungu uwe raisi utukufu tunauona pambana kaka

    • @petersonmwenda3994
      @petersonmwenda3994 4 หลายเดือนก่อน

      😂 Tanzania mko na bahati sana,hapa Kenya hatuna mtetezi,huko Kenya maskini Hana haki......
      Siku mja nitaishi Tanzania

  • @robertkiarie2154
    @robertkiarie2154 3 หลายเดือนก่อน

    This guy one day will be the Tanzania president mark my words Kiarie from Kenya

  • @loemamayor8287
    @loemamayor8287 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu wa Mbingu na Nchi akusimamie Baba Makonda unafanya Kazi ya Mungu.

  • @willsontigiti8363
    @willsontigiti8363 4 หลายเดือนก่อน

    Pole makonda kwa kazi nakuombea kaka yangu

  • @user-dx9gf7vx1r
    @user-dx9gf7vx1r 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi kweli hao Viongozi wanaitwa wataalam wanna wazazi kweli na hao wazazi wao wananyanyaswa

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ongezeko la watu angalieni

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q 4 หลายเดือนก่อน +1

    Aaaa kweli tunapigwa wananchi natunanyanyasika sana pia anaesema magufuri alikuwa anamtuma makonda kuuwa watu mna uhakika achen ushetan kumsakama makonda wawatu apige kazi

  • @edwardsemwenda1751
    @edwardsemwenda1751 4 หลายเดือนก่อน +4

    Gairo kuna kazi uje

  • @user-fj1ww1oz4b
    @user-fj1ww1oz4b 4 หลายเดือนก่อน +1

    aisee mungu mkubwa mama yetu kutuletea makondaa abarikiwe

  • @user-kv1qr3gv9t
    @user-kv1qr3gv9t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda chapakaz baba tunaonewa sana

  • @user-dx9gf7vx1r
    @user-dx9gf7vx1r 4 หลายเดือนก่อน

    Mkonda Mungu akulinda. Watalam wa Ardhi ki ukweli hawa watu wanajiona miungu watu kwenye nafasi yao

  • @RamadhanMakau-ds6ju
    @RamadhanMakau-ds6ju 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda hapa hapa mzee

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenye Enzi Mungu tuhurumie nchi yangu Tanzania 🇹🇿 😢😢😢

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hii inaonyesha Wizara ya Ardhi ina matatizo

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndiye mwamba sasa anafaa sana makonda hoyeeeeee nakupenda sana mi chadema lakini kazi unafanya mwamba tuna ona

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda Mungu akutangulie tenda haki tunananyanyaswa sana na baadhi ya viongozi

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 4 หลายเดือนก่อน

    Umeanza vizuri sanga sada unaharibu

  • @Bizibaginajason
    @Bizibaginajason 4 หลายเดือนก่อน

    Adui wa binadamu ni binadamu mwenziwe.Mungu tout basi asaidie

  • @YefthaKornelio
    @YefthaKornelio 4 หลายเดือนก่อน

    Hongela kiongozi watu mzri san

  • @honhonhaule9232
    @honhonhaule9232 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sanaaa mh makondaaa

  • @josephjacob6054
    @josephjacob6054 3 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa Malinda fanyakaz ukimtanguliza mungu nchi hii wachawi wengi mno

  • @user-zk6hl8fe1s
    @user-zk6hl8fe1s หลายเดือนก่อน

    Jaman

  • @user-mo2iv1xo1g
    @user-mo2iv1xo1g 3 หลายเดือนก่อน

    Poleni,Hii dunia mwanadam zake ni futi siti lakini viongozi nikufinyilia mwananchi.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana makonda🎉🎉🎉🎉

    • @Monica-vq2iy
      @Monica-vq2iy 4 หลายเดือนก่อน

      Makonda naomba kuuliza et kasimu majaliw yuko wap makamo wa rais yuko wap

  • @user-tm4vr7jr5u
    @user-tm4vr7jr5u 7 วันที่ผ่านมา

    Boya kama huyo ndio mnafurahia na serikali ni ya ccm bado Makonda ni wa ccm sasa mabadiliko mtapata wapi kwendeni huko acheni uhuni huyo ni kujitamba tu

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 10 วันที่ผ่านมา

    JAMANI EBU FANYENI CHOCHOTE KWA HAO WANAKUJA KUVUNJA NYUMBA ZA WATU PIGENI MAWEE NA KILA SILAHA INAUMA SANA NYIE

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 7 วันที่ผ่านมา

    Maskini inauma Wananchi wengi hawajalipwa Fedha zao poleni sana Wananchi

  • @user-xk9ec7ru6d
    @user-xk9ec7ru6d 3 หลายเดือนก่อน

    Ukwel makonda unastahili kuwa kiongoz wa inch hii sab unajuwa kutenda hak na kusmamia hak mungu akusmamie

  • @simumbaken4902
    @simumbaken4902 4 หลายเดือนก่อน +1

    🙏

  • @masumbukosiyougomvi7900
    @masumbukosiyougomvi7900 4 หลายเดือนก่อน

    Mdogo wangu makonda, punguza, kwa mwendo huu inaonyesha tz tunasida saaaaana!

  • @user-zk6hl8fe1s
    @user-zk6hl8fe1s หลายเดือนก่อน

    Ok jaman

  • @user-zk6hl8fe1s
    @user-zk6hl8fe1s หลายเดือนก่อน

    Ok ok

  • @asnethfelician7268
    @asnethfelician7268 2 หลายเดือนก่อน

  • @pmanpjjp
    @pmanpjjp 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna watu wanajisahahuu sana kupewa madalaka kidogo wananyanyasa watu sio Viongozi Bora hata kidogo Awana sifa

  • @JibrilBanga
    @JibrilBanga 7 วันที่ผ่านมา

    Bonsoir

  • @user-bd2qf6fn7u
    @user-bd2qf6fn7u 3 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi kama kiongozi ni busara sio umri❤

  • @emmanuelmwamlima1027
    @emmanuelmwamlima1027 3 หลายเดือนก่อน

    Daaaah inchii yaan mpaka machozii😢😢

  • @iddipazi5142
    @iddipazi5142 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe kenya na Tanzania sote ni ndugu yani jinsi mnavyo nyanyasika hamuna tafauti na sisi mungu tusaidie

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 4 หลายเดือนก่อน

    Miaka 60 bado migogoro ya ARIDHI eti tuna wataharamu CCm mmeshindwa kiri

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 10 วันที่ผ่านมา

    KWANINIIII UYO MTU ASIKAMATWEEE NA ALIPEEE JE VIONGOZIII WAKO WAPIIII?? NA WANAFANYA NINI. JAMANI HASAAAA WANANCHI KUSUMBILIWA HIVIIII???

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 4 หลายเดือนก่อน

    Siasa tu hapa

  • @user-ks7bs8yk3p
    @user-ks7bs8yk3p 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna serikali dhaifu ila kuna watu wachache ambao ni dhaifu wanaisababishia serikali kuonekana ni dhaifu mimi ni mmoja wa janga kama hili natamani kumuona samia kama wao wanaweza kuona malalamiko yangu kama sio uhuni

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 4 หลายเดือนก่อน

    Sanga sawa hicho kidonda chawengi

  • @AntonDeus-ds9ns
    @AntonDeus-ds9ns 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda oyeeeeeee:

  • @user-fu9zd2dg5b
    @user-fu9zd2dg5b 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenezi makonda babati

  • @user-nr3my6cz5m
    @user-nr3my6cz5m 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda chapa KAZI from Lubumbashi drc mkongo

    • @atnasisarme1571
      @atnasisarme1571 3 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤😊😊😊😅😊

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 4 หลายเดือนก่อน

    Hats. Nzega kuna tabia ya kukwepesha ziara za viongozi

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t 4 หลายเดือนก่อน

    Jionee wenyewe mbaka sas selekari hinacho kifanya siy kabisa tunaungozi mubaya sana daaa mungu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 4 หลายเดือนก่อน

    Bro tatizo serikali inawataka viongozi wenye Elimu wezi kuliko wasiokuwa naelim naniwachapakazi tanzania hii aitaki waaminifu inataka watumishi wezi,matapeli,wazuluma , aiitaji watumishi waaminifu😂😂😂

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg 4 หลายเดือนก่อน

    😢mnafikiiii

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi397 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa Nini Marais wote hawajafanya hivyo Samia samiawatu wanatezwa

  • @michaelnziku5071
    @michaelnziku5071 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda kaza Buti mungu yupo poja na wewe

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wanaudhi mnooo😤😤

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda ushauri wangu ccm ikae pembeni kwanza wapewe zamu wengine

  • @Westetv
    @Westetv 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa mheshimiwa makondanini maanayamikutaniyako maanasionichochote ulichomsaidia huyomzee wawatu nafamiliazake

  • @kennychungu8887
    @kennychungu8887 4 หลายเดือนก่อน

    Nikweli huku mbarali Kuna tatizo wakulima tuna tatizo

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi397 4 หลายเดือนก่อน

    Arusha DC kivesi na kishimbo wamenyaganywa mashamba,na

  • @NkubaStar
    @NkubaStar 4 หลายเดือนก่อน

    hako katapeli tu hata ongea hiyo tu

  • @GwisuMachibya-vr1uf
    @GwisuMachibya-vr1uf 4 หลายเดือนก่อน

    .amonda tunakwitaji tabora tarafa ya bunge wilayani zeng

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 3 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wanaotuongoza wana viburi sana

  • @pmanpjjp
    @pmanpjjp 4 หลายเดือนก่อน

    Katiba mama izi gatiwe wasitimie vyeo kama fimbo yakuwapigia manyonge

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 9 วันที่ผ่านมา

    Malinda. Serekari. Ya ccm mumeshindwa

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 4 หลายเดือนก่อน

    Heee hee 😊😊

  • @YusuphNyumbu
    @YusuphNyumbu 4 หลายเดือนก่อน

    Ki ukweli baadhi ya viongozi wanaoteliwa na Mh rais hawatekelezi maelekezo ya mh wanafanya wananchi kuchukia chama na serikali yake awe makini nao.pongezi kwako mwenezi wetu kwa kuyana madudu

  • @user-if9gi2rx8f
    @user-if9gi2rx8f 4 หลายเดือนก่อน

    Ndio mkomo Kwa kuwapenda hao wa kijani

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t 4 หลายเดือนก่อน

    Apo unamwambia mama samia

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 4 หลายเดือนก่อน

    Unasema serikali imeona eneo ni la mhimu mwananchi hawana umhimu?

  • @jumannemagawa5095
    @jumannemagawa5095 4 หลายเดือนก่อน

    Kaacha mziki kawa bondia? Mbona mnachekesha?

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda tunakuomba hiloango limeandikwa sinsitira nikweri wamegeuzakilimo nawakati eneo laujenzi njoo mbeya vijijini kunamadudu

  • @DeusSalibinus
    @DeusSalibinus 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda sikumo gombeya

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh 4 หลายเดือนก่อน

    Siasa za rushwa

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 4 หลายเดือนก่อน

    Hawa viongozi wanakigombanisha chama kwa wananchi hii ni treason ni mapinduzi haya ya kukiondoa chama madarakani serikali inakata tawi chama kinayolikalia kitaanguka tu kama hakitatenda haki kwa wapiga kura

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere1564 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kila saa mueshimiw jibu swali mkundu ww

  • @HassanMakinda-w8x
    @HassanMakinda-w8x 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    O

  • @user-du6su6mh1h
    @user-du6su6mh1h 4 หลายเดือนก่อน

    Gombea Uraisi makonda wewe ni mtetezi

  • @user-ef3mp3yl9x
    @user-ef3mp3yl9x 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda. Baba. Unanigusasana. Kwanini. Usiweraisi. Kaziyababa. Magufuri. Unaifanya. Sawasawa. Ndiyoo. Uweraisi. Baba. Uweraisi. Watuwanateseka. Nawatuiviivi. Tuu. Baba. Unafanyavema

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 3 หลายเดือนก่อน

    Mchanganyo na siasa zisizo na tija

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 4 หลายเดือนก่อน +1

    Haa hivi nilisikiaga mama hataki Mabango" she ayaone huku😂watu Wana shida mpaka duh😮

    • @gfydfdf8869
      @gfydfdf8869 4 หลายเดือนก่อน

      Dada mwongo anaongea sana,,,,rafiki yake shetani jehanamu inakusubili mtailipa machozi watu,huonionefu,makonda tetea watu, Mungu atakubariki makonda,endelea kukutete haki ya wanyonge.. 9:29

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 4 หลายเดือนก่อน

    Mafuta ni yako wewe wa ccm mbona unaongea pumba unahurumia usafiri ni wako

  • @evaemil856
    @evaemil856 4 หลายเดือนก่อน

    Msiyatupe mabango yenu bado tunadai haki na kule Marangu Makonda maaskari wamevunja nyumba ya mama mmoja kisa wifi kadai ivunjwe kajionee mwenyewe.

  • @user-qh6jf8db1f
    @user-qh6jf8db1f 4 หลายเดือนก่อน

    ww ni jembe

  • @robertkiarie2154
    @robertkiarie2154 3 หลายเดือนก่อน

    This guy one day will be the Tanzania president mark my words Kiarie from Kenya

  • @emmanuelmwamlima1027
    @emmanuelmwamlima1027 3 หลายเดือนก่อน

    Daaaah inchii yaan mpaka machozii😢😢

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 4 หลายเดือนก่อน

    Miaka 60 bado migogoro ya ARIDHI eti tuna wataharamu CCm mmeshindwa kiri

  • @AlexMgimwa-pm2pi
    @AlexMgimwa-pm2pi วันที่ผ่านมา

    makonda chapa kazi tuko nawe

  • @robertkiarie2154
    @robertkiarie2154 3 หลายเดือนก่อน +1

    This guy one day will be the Tanzania president mark my words Kiarie from Kenya

    • @user-mt3jc6no5w
      @user-mt3jc6no5w 3 หลายเดือนก่อน

      I do agree with you ❤