Mondi alitaka kumshitaki kipindi kile anasema yule mtoto wa tanasha niwake sababu wamefanana sema alimuomba radhi akaachana na kesi bt jamaa amekua mtu wa kutopoka sana
Nipo tofaut sana kifup mwijaku aliongea kwa uchungu na hasira kwa sababu unajua ukishajua nini unafanya kwenye maisha halafu mtu akaja kukupangia au kuzungumza shit lazma upanic ndio kwanza kaz mpya inasiku mtu anatokea na kuanza kuongea utumbo wangap wameshawah kuhama media wakubwa kuliko mwijaku asemwe ivyo? Aisee ukitaka ugombane na mnafiki pata mafanikio 😂
Yani huyu chawa mwijaku domo lake utazani alizaliwa njiti siku nikisikia kapelekwa jera sikuhiyi na nitajikamatisha na bange nimfaate keko akivuliwa kusachiwa nione.hipsi lake
Huyo masudiiii😂😂😂 anauchumiiii huo au na ww mzeee bagiiii zauzeeniiii😂😂😂😂😂 mwijaku chawa wa mama samia utamfanya nn kikubwa huyo aache kuuza. Ubhufuma😂😂😂😂😂
Kama alivyo sema wakili Mahalani wao itabidi waonyeshe ushahidi wa madhara ambayo masoud ameyapata kutokana na makampuni na influence ambayo alikuwa nayo kupotea Huwezi jua labda alikuwa na mkataba na makampuni kwa zaidi ya miaka kumi,kama hayo makampuni yamesitisha mkataba kwa hiyo matarajio yake ya miaka kumi inakuwa imepotea kama jumla inafika hiyo B. 5 Mahalama itafahakishwa kabla ya kutoa hukumu
Jamani bilioni 5 mwijaku si watakichukua kile kigorofa chake Cha mkopo watachukua magari yake hadi mke wake na mtoto hadi boxer zake na bado watamdai mpaka roho yake afe kabisa ila kamchafua sana masudi Ile statement madawa ya kulevya kaaribu kizazi wakina Chid benz basi tena pauline zongo hamorapa
Anguko la Mwijaku ndio linaweza likaanzia hapa kiuchumi maana yale makampuni yanayompa udhamini kutangaza bidhaa zao hazitafanya hivyo tena kwa vile watu watazipuuzia bidhaa zao kwa vile huyu jamaa ameshapata kashafa ataachwa akae tu Crown
Mwijaku ana nguvu sana serekal ya tanzania na sijui hii nguvu katoa wapi yaan anaweza fanya kitu yyte na serekal inamuangalia dah ni only tanznian hii mambo 😢😢😢😢😢
Mnaleta ukoron mnatukana watu na kuwadhalilisha tu mna namba za rais, mwijaku uwe na mipaka ya kutafuta kwako pesa sio lazima udhalilishe watu ili upate ubalozi
HESHMA IKIVUNJWA KWA GHAMA YEYOTE HATA KWA KUOMBA RADHI HAIRUDI! ILI KUSAFISWA MUATHIRIKA BASI NI MAHAKAMA PEKEE! MASOUD UTAJIRI WAKE SIYO PESA AMEWEKEZA KWENYE HESHMA! MWIJAKU ANALIJUWA! KAKUSUDIA KUCHAFUWA VIBAYA!! BORA ANGEMWAGIA MAVI MASOUD ANGEJI TOALISHA!!
Tusingie san nchi za wenzetu kwa hili maan nchi za wenzetu kuna sheria nyingi san lakn hatujawafiki hata kidog,aombe tu msamaha maan watu wengi na viongoz wanandikiwa vibaya kweny mitandao
Kitu nimegundu wa tanzania wengi hatujui sheria. ila kiukweli ukizingua unaumizwa na sheria vibaya mno, kuna watu wameingia kwenye umasiki kwasababu ya kuvunja sheria
Kipanya bhana! Yeye kila leo unazodoa na kudhalili watu wengi pamoja na wanasiasa! Wahenga wanasema mkuki kwa nguruwe! Muda mwingine unasamehe maisha yanaenda! Ndo maana namuonaga siku zote yeye ni mtu wa kujikweza na kujitoa anajua sana vitu! Yote kwa yoye auamzi ni wake! Ila pia ni nafasi ya Mwijaku kujifunza kuwa na nidhani na kiasi kwenye maneno yake!
Tatizo sio kipanya tatizo ni taasisi zilizowekeza kwa kipanya izo shutuma zina effect kwa wawekezaji jamaa atakua hana noma ila investors wanatakaaisafishe taasisi
Hapo mtajua kwanini Muha Anaishi kigoma mkimfatilia sana jamani kigoma kunauchawi ni hatari utaona mwijaku kaenda kigoma akirudi 😂😂😂😂😂😂😂 haya mtaona tu dar mvua kubwa inanyesha na imeleta mahafa na yatamkuta wakili na Mteja wake
Mshikaji anaropokaa sanaa masood hanagaa tabu na mtu kabisaa sio mtu wa skendoo sijui kimemtumaa nn huyoo mwijaku kumzalilishaa jmaaa
Kani kasemaje
@@sadamyakubu1006 Tumia mb kujua mambo na fuatailia matukio maana inaonekana hujui kabisa kama Mwijaku alimkshfu MAsudi Kipanya
Jamaa kafanana na Prof lipumba yule wa CUF
Mdomo uliponza kichwa😂
Tunasubiri kwa hamu hizo fedha tuongeze mtaji. Mdomo unatengeneza pesa😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kila wakati amekuwa akiomba radhi kuomba radhi kila wakat kunamtia kiburi huyu apelekwe tu mahakaman
Kweli masudi nimekubali sana mwijaku anaongea sana
😂😂😂😂
Huyu mwijaku mtu mzima hovyo mdomo utamponza kila siku yeye tu kuomba radhi 😂😂😂😂😂
Mshenzi mwijako
Ameshazoea kuwatukana Kina mond Sasa amekalia kisu cha moto
@@WahidaHilaly Mond pia huwa namshangaa pamoja na kutukanwa na kudhalilishwa bado anampokea mara ingine huyu cha domo
Mwijaku amezidi lopo lopo sana, mi nashangaa hata Diamond amekua akimchukulia powa tu japo anamkashifu sana kwa vitu ambavyo haina ushahidi!
Mshamba 😂😂😂wewe
Daimond amefikaje hapa
Mondi alitaka kumshitaki kipindi kile anasema yule mtoto wa tanasha niwake sababu wamefanana sema alimuomba radhi akaachana na kesi bt jamaa amekua mtu wa kutopoka sana
HIYO.YA TATU MTEGO MWIJAKU AKIKUBARI AMEISHA
mdomo umeponza kichwa 😁😁🤣🤣
Nyingi.sana ila wot ❤1❤❤❤❤❤❤❤❤
Nipo tofaut sana kifup mwijaku aliongea kwa uchungu na hasira kwa sababu unajua ukishajua nini unafanya kwenye maisha halafu mtu akaja kukupangia au kuzungumza shit lazma upanic ndio kwanza kaz mpya inasiku mtu anatokea na kuanza kuongea utumbo wangap wameshawah kuhama media wakubwa kuliko mwijaku asemwe ivyo? Aisee ukitaka ugombane na mnafiki pata mafanikio 😂
Shida ni kwamba kipanya hakutaja jina la mwijaku kwenye maelezo yake japo kwa akili za kawaida utasema ni mwijaku ndio anazungumziwa lakini hakutajwa
Menina yukowp tunywe wine leo ❤❤❤ simpendii huyuu
PELEKA MAHAKAMANI ILI LIWE FUNDISHO KWA WAROPOKAJI KAMA MWIJAKU.DOTTO MAGARI NA KWA MBALI BABA LEVO.
Sisi tunashukulu Mwijaku kutufahamisha k,p anauza ngada,,Mwijaku hajawah kuongea uongo hahaha😂😂
Tunashukuru sio tunashukulu
KWANINI ameomba msamaha maana yake amekosea
Mwingine huyu mtaro wake unataka kuziburiwa😂
😂
Uchawa umevuka mipaká 😂😂
Mwijaku nimtumuhmu ndomnatuna tambamjni daaaisee bongo kweli noma
Inackitisha sna 🙏🙏🙏🙏kila mzua janga hula na wakwao cjui ndio inavyokuwagaaa🙏🙏🙏
Samia alisemaga wanaume nchi hii ni wambea kuliko hata wanaume sisi sasa naanza kuelewa
Alimdhalilisha menina sasa mungu anaanzakujib 😅 hakikisheni mmemnyooshaa haswAaaaaa
Masoud kipanya is legend hapa tanzania Hana propaganda mbaya mitandaoni wewe mwaijaku wa juzi tuu mpyaa hapa mjini domo lako limekuponza
Huyu ni Musiba namba 2. Uchawa una hasara kubwa na maadui wengi
Tunakuona una refresh mind kelele nyingi
Uyuu mwijaku apigwee faini tuu
WOTE WANAJAAAAAA😂😂😂😂
Yani huyu chawa mwijaku domo lake utazani alizaliwa njiti siku nikisikia kapelekwa jera sikuhiyi na nitajikamatisha na bange nimfaate keko akivuliwa kusachiwa nione.hipsi lake
Kwa nini asifungwe ata miaka miwili tuuu maana anajiamini sana kutukana watu sasa kayatimba kwa masudy afunguwe tuu✌️
Hata akiuza hili gorofa lake halifiki b5, labda akamuombe mo zile b 20 ampe 5😂😂😂😂
Huo mdomo unavyoiongea bilioni tano sasa😂😂😂😂utazani unaeiongea unayoo
😂😂😂 ingekua tukimkosea mungu anatuishia pesa sijui tingeweza Jifunze ni kusamehe
😂😂😂😂😂😂😂@@husna34562
anayo pesa uyo sikila siku ana tamba yeye bingwa yeye mjanja kaka kipanya chukua pesa yako mshamba sana uyo
BILION 5.3 😂
Yaan mwijaku mpaka namuonea huruma issue kama iko serious sana
Mazoea yawe na mipaka jamani
Huyo masudiiii😂😂😂 anauchumiiii huo au na ww mzeee bagiiii zauzeeniiii😂😂😂😂😂 mwijaku chawa wa mama samia utamfanya nn kikubwa huyo aache kuuza. Ubhufuma😂😂😂😂😂
Kwahiyo huyo mamako ndio anamtuma atukane watu
@@judyngowi391 hupendiii ukweli
Wewe unajua ukweli upi?
Kama alivyo sema wakili Mahalani wao itabidi waonyeshe ushahidi wa madhara ambayo masoud ameyapata kutokana na makampuni na influence ambayo alikuwa nayo kupotea Huwezi jua labda alikuwa na mkataba na makampuni kwa zaidi ya miaka kumi,kama hayo makampuni yamesitisha mkataba kwa hiyo matarajio yake ya miaka kumi inakuwa imepotea kama jumla inafika hiyo B. 5 Mahalama itafahakishwa kabla ya kutoa hukumu
Iyo ninja nawivu 😂😂
Ameyakanyaga 😂
Jamani bilioni 5 mwijaku si watakichukua kile kigorofa chake Cha mkopo watachukua magari yake hadi mke wake na mtoto hadi boxer zake na bado watamdai mpaka roho yake afe kabisa ila kamchafua sana masudi Ile statement madawa ya kulevya kaaribu kizazi wakina Chid benz basi tena pauline zongo hamorapa
Watu msitafte kutajirikia kwa watu sasa hiyo b 5 siniutajiri kabisa
Sheria Haina huruma na mtu ndugu, ukikosea watu wanakuumiza tu
Faida za mdomo. 😂😂
😂😂😂😂😂 jakuu boy
Chukua b 5 izo halafu uzigawe kwa mayatima umtie adabu kama mau zinde anavozalilisha wanaume
Anguko la Mwijaku ndio linaweza likaanzia hapa kiuchumi maana yale makampuni yanayompa udhamini kutangaza bidhaa zao hazitafanya hivyo tena kwa vile watu watazipuuzia bidhaa zao kwa vile huyu jamaa ameshapata kashafa ataachwa akae tu Crown
Mwijaku ana nguvu sana serekal ya tanzania na sijui hii nguvu katoa wapi yaan anaweza fanya kitu yyte na serekal inamuangalia dah ni only tanznian hii mambo 😢😢😢😢😢
Angalia ile ishu ya menina aisee
Ni mbaya sana lakini, haitakiwi kuwa hivi
Kwani alisemaje
Yani mwijaku anavyo tikiza nchi utazani yeye ni mungu hivi kwanini lakini? Yani natamani hata sikumoja nisikie amekufa jinsi ninavyo nchukia
Kipanya Kaza Kamba Hakuna kuregeza Kaka mwijak awe mfano kwa wengne waropokaj🤣🤣🤣
DEFAMATION CASE mnyoosheni Mwijaku
😂😂 watamfira
Mmmh
Mdomo umeponza kichwa😂😂😂
Achen utapel nyny
Kwa hiyo akiomba msamaha na sisi tuamini kuwa siyo kweli😂😂eti jmn
Hahaha aha mnataka mwijaku aombe radh ili mmpafue vizur hiyo hela masudi anayo au keshaishikaga au ndo ile unaomba kitu ambacho hunaa
Mnaleta ukoron mnatukana watu na kuwadhalilisha tu mna namba za rais, mwijaku uwe na mipaka ya kutafuta kwako pesa sio lazima udhalilishe watu ili upate ubalozi
Hili liwe fundisho kwa machawa wote wamezidi kujitoa ufaham na kuzalilisha watu bora mupeleke uko mahakamani tuu akalipe fine 😂😂😂😂
Mashart tyuu kuogaa aaaaaah
Naona uchawa nikaz
Yan
Unachafua uku
Una sifia uku
😅😅😅
Kafanya nini jmn eeh kuna sisi😢😢😢tupo buy na kusaka 😢fulusi
Yani ata sielew 😢😢😢
HESHMA IKIVUNJWA KWA GHAMA YEYOTE HATA KWA KUOMBA RADHI HAIRUDI! ILI KUSAFISWA MUATHIRIKA BASI NI MAHAKAMA PEKEE! MASOUD UTAJIRI WAKE SIYO PESA AMEWEKEZA KWENYE HESHMA! MWIJAKU ANALIJUWA! KAKUSUDIA KUCHAFUWA VIBAYA!! BORA ANGEMWAGIA MAVI MASOUD ANGEJI TOALISHA!!
Tusingie san nchi za wenzetu kwa hili maan nchi za wenzetu kuna sheria nyingi san lakn hatujawafiki hata kidog,aombe tu msamaha maan watu wengi na viongoz wanandikiwa vibaya kweny mitandao
Achen utapel
Ile ghorofa ni ya B 1.3 sasa kwa fine ya B 5 ni jela au kijijini kwao kazula mimba
KUTAKA KUWAFULAISHA WATU KWA MDOMO MLEFU SASA KIMEMVUDIA😂😂😂
Mwijaku kakosea, lakini hivi vina njaa
Funga huyoo
mwijaku safi sana funguka
Unamtia ujinga mwenzako jela siku hizi zipo nje nje haya😂
Atoe ushahidi sasa, mbuzi nyie
Hizo billion 5 unazo
Kitu nimegundu wa tanzania wengi hatujui sheria. ila kiukweli ukizingua unaumizwa na sheria vibaya mno, kuna watu wameingia kwenye umasiki kwasababu ya kuvunja sheria
Afungwe tu
Bora afungwe kwakuwa ana sifa sana na ana ropoka sana jamaa mdomo wake auna chupi anakera sana
Uchawa utamponza mbwa huyu.... yeye kutwa kusifia ujinga sasa ccm wamsaidie maana masud anaonekanaga ni mpinzan kwa zile katun zake
Hivo mnavozitaja bilion 5 nyie mnazo mnaweza kuzitoa njaa tu zinawasumbua nyote na mwijaku wenu
Safi sana Mwijaku Ana kiherehere kingi
Akafungwe jela mbona babalevo alitumikia maisha ya ngome
Kwani amefanyaje huyo mwijaku
ASIYEFUNZWA NA MAMAE HUFUNZWA NA ULIMWENGU MY POINT
Anaongea ka Lisu
Alimsema nini Masoud kipanya
Ashughulikiwe
Kipanya bhana! Yeye kila leo unazodoa na kudhalili watu wengi pamoja na wanasiasa! Wahenga wanasema mkuki kwa nguruwe! Muda mwingine unasamehe maisha yanaenda!
Ndo maana namuonaga siku zote yeye ni mtu wa kujikweza na kujitoa anajua sana vitu! Yote kwa yoye auamzi ni wake!
Ila pia ni nafasi ya Mwijaku kujifunza kuwa na nidhani na kiasi kwenye maneno yake!
Tatizo sio kipanya tatizo ni taasisi zilizowekeza kwa kipanya izo shutuma zina effect kwa wawekezaji jamaa atakua hana noma ila investors wanatakaaisafishe taasisi
Mhhhhh
😂😂😂😂😂 Yani mmekuwa Mahakama kwa kutoa adhabu ya 5B😂😂😂😂😂
Umeona siyo? 5B 😂😂😂😂
Nashangaa
Semeni nyie basi, mlitaka aloe ngapi
Hakuna lolote hapo mwijaku msomi kaza kamba anataka kukuharibia na wew haribu tu
Mbona kipanya anaga shida jaman tatizo mwijaku anaropokaropoka kama amekunywa maji ya chooni
Huyu mwajabu bilion 5 atainya wapi?
Hv inayopanga faini si ni mahakama
kama sijasikia vizuri alipe B tano au M TANO
Tatizo kuropokaa
Mdomo komaa 😮
Basi hata pesa mukipata zitakupeleka wapi upuzi kila mtu huwo ni taama
Mwijaku anazidi kulopoka afaza akili hikae
B5 😂😂 ahaa
Huo mdomo unavyoiongea bilion tano sasa😂😂😂😂 utazani unaoiongea unayo mijitu mingine bwanaa hata kama ni umesoma sheria unaonekana mtu hovyooo
We team mwijaku mtakoma na midomo yenu michafu... uwongo na kudhalilisha hadhi ya mtu kwa jamii ni kosa..
@@josephlorri431 peleka tako zako mbele hukooo
@@aidankakulu398 wewe shoga? Hatutumii kisamvu
@josephlorri431 shoga ni wewe unaeonea tamaa maendeleo ya watu mbwa masikini mkubwa wewe utakufa na ujinga wako wa akili Fala wa maisha wewe
Jakuboy mfate roma hama bongo wanataka kukupoteza hawa😂😂😂
😂😂😂
Wanaume wengi hawapendani mmemkaanga jaku boy sio poa
Safi sanaa huyu mwijaku kiherehere kitamuisha kumanina zake anadhalilisha sanaaa watu
Anatakiwa kukomeshwa ,amemzoea diamond
Nahisi diamond kunasiku atamtolea uvivu kawatukana mpaka akina hadija kopa
Nimke wa diomond ndo sababu jamaa hajali
@@ladislausmoris9638 na hadija kopa ,diamond huwa anamuacha sababu anajua ana njaa, akina kajala wote kashawatukana ...huyu mshenzi
Hapo mtajua kwanini Muha Anaishi kigoma mkimfatilia sana jamani kigoma kunauchawi ni hatari utaona mwijaku kaenda kigoma akirudi 😂😂😂😂😂😂😂 haya mtaona tu dar mvua kubwa inanyesha na imeleta mahafa na yatamkuta wakili na Mteja wake
Masudiii ataaga chezea kg
Bilioni tano anazo?
Lkn tuludi nyuma kipanya hio billion 5 amewai kushika
Wala tusirudi nyuma tuanzie hapa,kwanza wew umewahi ata kuandika tarakimu za billion 5
Tuanze na wewe milioni moja unewahi kushika
kwan wewe mwijaku unakiherehere chanin ukome
Acheni tamaa ukiona mtu anakanyumba kadogo mnataka matatizo yenu ayamalize yeye
Mbuzi wewe, nadhani kwa kuwa hujakshfiwa wewe