MASHARTI MATATU MAZITO ALIYOPEWA MWIJAKU "TULIMPA SIKU TATU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 208

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 9 วันที่ผ่านมา +23

    Mshikaji anaropokaa sanaa masood hanagaa tabu na mtu kabisaa sio mtu wa skendoo sijui kimemtumaa nn huyoo mwijaku kumzalilishaa jmaaa

    • @sadamyakubu1006
      @sadamyakubu1006 7 วันที่ผ่านมา

      Kani kasemaje

    • @madaiincubationcenter4947
      @madaiincubationcenter4947 7 วันที่ผ่านมา

      @@sadamyakubu1006 Tumia mb kujua mambo na fuatailia matukio maana inaonekana hujui kabisa kama Mwijaku alimkshfu MAsudi Kipanya

  • @eliaskasambala3408
    @eliaskasambala3408 9 วันที่ผ่านมา +13

    Jamaa kafanana na Prof lipumba yule wa CUF

  • @wallaceexpert4081
    @wallaceexpert4081 10 วันที่ผ่านมา +20

    Mdomo uliponza kichwa😂

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 10 วันที่ผ่านมา +13

    Tunasubiri kwa hamu hizo fedha tuongeze mtaji. Mdomo unatengeneza pesa😂😂😂

    • @YusufuAliy-cd6dc
      @YusufuAliy-cd6dc 9 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 10 วันที่ผ่านมา +20

    Kila wakati amekuwa akiomba radhi kuomba radhi kila wakat kunamtia kiburi huyu apelekwe tu mahakaman

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 10 วันที่ผ่านมา +13

    Kweli masudi nimekubali sana mwijaku anaongea sana

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 9 วันที่ผ่านมา +8

    Huyu mwijaku mtu mzima hovyo mdomo utamponza kila siku yeye tu kuomba radhi 😂😂😂😂😂

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly 8 วันที่ผ่านมา

      Mshenzi mwijako
      Ameshazoea kuwatukana Kina mond Sasa amekalia kisu cha moto

    • @madaiincubationcenter4947
      @madaiincubationcenter4947 7 วันที่ผ่านมา

      @@WahidaHilaly Mond pia huwa namshangaa pamoja na kutukanwa na kudhalilishwa bado anampokea mara ingine huyu cha domo

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 9 วันที่ผ่านมา +9

    Mwijaku amezidi lopo lopo sana, mi nashangaa hata Diamond amekua akimchukulia powa tu japo anamkashifu sana kwa vitu ambavyo haina ushahidi!

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 9 วันที่ผ่านมา

      Mshamba 😂😂😂wewe

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 9 วันที่ผ่านมา

      Daimond amefikaje hapa

    • @davidsonstevenson2653
      @davidsonstevenson2653 6 วันที่ผ่านมา

      Mondi alitaka kumshitaki kipindi kile anasema yule mtoto wa tanasha niwake sababu wamefanana sema alimuomba radhi akaachana na kesi bt jamaa amekua mtu wa kutopoka sana

  • @cryptoboy-5
    @cryptoboy-5 9 วันที่ผ่านมา +5

    HIYO.YA TATU MTEGO MWIJAKU AKIKUBARI AMEISHA

  • @starjay3052
    @starjay3052 9 วันที่ผ่านมา +10

    mdomo umeponza kichwa 😁😁🤣🤣

  • @KiboshoNjenge
    @KiboshoNjenge 6 วันที่ผ่านมา +1

    Nyingi.sana ila wot ❤1❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @frankmwinuka5941
    @frankmwinuka5941 6 วันที่ผ่านมา +4

    Nipo tofaut sana kifup mwijaku aliongea kwa uchungu na hasira kwa sababu unajua ukishajua nini unafanya kwenye maisha halafu mtu akaja kukupangia au kuzungumza shit lazma upanic ndio kwanza kaz mpya inasiku mtu anatokea na kuanza kuongea utumbo wangap wameshawah kuhama media wakubwa kuliko mwijaku asemwe ivyo? Aisee ukitaka ugombane na mnafiki pata mafanikio 😂

    • @adrianomaulaga1599
      @adrianomaulaga1599 4 วันที่ผ่านมา +2

      Shida ni kwamba kipanya hakutaja jina la mwijaku kwenye maelezo yake japo kwa akili za kawaida utasema ni mwijaku ndio anazungumziwa lakini hakutajwa

  • @fridamuss922
    @fridamuss922 2 วันที่ผ่านมา

    Menina yukowp tunywe wine leo ❤❤❤ simpendii huyuu

  • @witnesskagirigiri3763
    @witnesskagirigiri3763 10 วันที่ผ่านมา +4

    PELEKA MAHAKAMANI ILI LIWE FUNDISHO KWA WAROPOKAJI KAMA MWIJAKU.DOTTO MAGARI NA KWA MBALI BABA LEVO.

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 9 วันที่ผ่านมา +14

    Sisi tunashukulu Mwijaku kutufahamisha k,p anauza ngada,,Mwijaku hajawah kuongea uongo hahaha😂😂

    • @selector728
      @selector728 9 วันที่ผ่านมา +1

      Tunashukuru sio tunashukulu

    • @witnesskagirigiri3763
      @witnesskagirigiri3763 9 วันที่ผ่านมา +1

      KWANINI ameomba msamaha maana yake amekosea

    • @Memphisblue22822
      @Memphisblue22822 9 วันที่ผ่านมา +1

      Mwingine huyu mtaro wake unataka kuziburiwa😂

    • @hassankongolilo8408
      @hassankongolilo8408 8 วันที่ผ่านมา

      😂

  • @eliariro5514
    @eliariro5514 8 วันที่ผ่านมา +2

    Uchawa umevuka mipaká 😂😂

  • @AyubuMsindo
    @AyubuMsindo 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mwijaku nimtumuhmu ndomnatuna tambamjni daaaisee bongo kweli noma

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 8 วันที่ผ่านมา +1

    Inackitisha sna 🙏🙏🙏🙏kila mzua janga hula na wakwao cjui ndio inavyokuwagaaa🙏🙏🙏

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 วันที่ผ่านมา +1

    Samia alisemaga wanaume nchi hii ni wambea kuliko hata wanaume sisi sasa naanza kuelewa

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 7 วันที่ผ่านมา

    Alimdhalilisha menina sasa mungu anaanzakujib 😅 hakikisheni mmemnyooshaa haswAaaaaa

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 8 วันที่ผ่านมา +1

    Masoud kipanya is legend hapa tanzania Hana propaganda mbaya mitandaoni wewe mwaijaku wa juzi tuu mpyaa hapa mjini domo lako limekuponza

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 8 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ni Musiba namba 2. Uchawa una hasara kubwa na maadui wengi

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 9 วันที่ผ่านมา +1

    Tunakuona una refresh mind kelele nyingi

  • @RamadhanAlly-qg9hq
    @RamadhanAlly-qg9hq 2 วันที่ผ่านมา

    Uyuu mwijaku apigwee faini tuu

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 6 วันที่ผ่านมา +1

    WOTE WANAJAAAAAA😂😂😂😂

  • @OswardAbdalla
    @OswardAbdalla 9 วันที่ผ่านมา +1

    Yani huyu chawa mwijaku domo lake utazani alizaliwa njiti siku nikisikia kapelekwa jera sikuhiyi na nitajikamatisha na bange nimfaate keko akivuliwa kusachiwa nione.hipsi lake

  • @Shadia544
    @Shadia544 7 วันที่ผ่านมา

    Kwa nini asifungwe ata miaka miwili tuuu maana anajiamini sana kutukana watu sasa kayatimba kwa masudy afunguwe tuu✌️

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 10 วันที่ผ่านมา +9

    Hata akiuza hili gorofa lake halifiki b5, labda akamuombe mo zile b 20 ampe 5😂😂😂😂

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 9 วันที่ผ่านมา +4

    Huo mdomo unavyoiongea bilioni tano sasa😂😂😂😂utazani unaeiongea unayoo

    • @husna34562
      @husna34562 9 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 ingekua tukimkosea mungu anatuishia pesa sijui tingeweza Jifunze ni kusamehe

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂​@@husna34562

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 2 วันที่ผ่านมา

    anayo pesa uyo sikila siku ana tamba yeye bingwa yeye mjanja kaka kipanya chukua pesa yako mshamba sana uyo

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 2 วันที่ผ่านมา +1

    BILION 5.3 😂

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 8 วันที่ผ่านมา

    Yaan mwijaku mpaka namuonea huruma issue kama iko serious sana
    Mazoea yawe na mipaka jamani

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 9 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo masudiiii😂😂😂 anauchumiiii huo au na ww mzeee bagiiii zauzeeniiii😂😂😂😂😂 mwijaku chawa wa mama samia utamfanya nn kikubwa huyo aache kuuza. Ubhufuma😂😂😂😂😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 วันที่ผ่านมา

      Kwahiyo huyo mamako ndio anamtuma atukane watu

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 8 วันที่ผ่านมา

      @@judyngowi391 hupendiii ukweli

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 วันที่ผ่านมา

      Wewe unajua ukweli upi?

    • @connan9923
      @connan9923 8 วันที่ผ่านมา

      Kama alivyo sema wakili Mahalani wao itabidi waonyeshe ushahidi wa madhara ambayo masoud ameyapata kutokana na makampuni na influence ambayo alikuwa nayo kupotea Huwezi jua labda alikuwa na mkataba na makampuni kwa zaidi ya miaka kumi,kama hayo makampuni yamesitisha mkataba kwa hiyo matarajio yake ya miaka kumi inakuwa imepotea kama jumla inafika hiyo B. 5 Mahalama itafahakishwa kabla ya kutoa hukumu

  • @KKRR-ze8qu
    @KKRR-ze8qu 9 วันที่ผ่านมา

    Iyo ninja nawivu 😂😂

  • @Bumutz-po2df
    @Bumutz-po2df 10 วันที่ผ่านมา

    Ameyakanyaga 😂

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 10 วันที่ผ่านมา

    Jamani bilioni 5 mwijaku si watakichukua kile kigorofa chake Cha mkopo watachukua magari yake hadi mke wake na mtoto hadi boxer zake na bado watamdai mpaka roho yake afe kabisa ila kamchafua sana masudi Ile statement madawa ya kulevya kaaribu kizazi wakina Chid benz basi tena pauline zongo hamorapa

  • @Baira240
    @Baira240 9 วันที่ผ่านมา +3

    Watu msitafte kutajirikia kwa watu sasa hiyo b 5 siniutajiri kabisa

    • @Philosophy219
      @Philosophy219 8 วันที่ผ่านมา

      Sheria Haina huruma na mtu ndugu, ukikosea watu wanakuumiza tu

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 9 วันที่ผ่านมา

    Faida za mdomo. 😂😂

  • @ms123ru
    @ms123ru 10 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂 jakuu boy

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor9733 2 วันที่ผ่านมา

    Chukua b 5 izo halafu uzigawe kwa mayatima umtie adabu kama mau zinde anavozalilisha wanaume

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 7 วันที่ผ่านมา

    Anguko la Mwijaku ndio linaweza likaanzia hapa kiuchumi maana yale makampuni yanayompa udhamini kutangaza bidhaa zao hazitafanya hivyo tena kwa vile watu watazipuuzia bidhaa zao kwa vile huyu jamaa ameshapata kashafa ataachwa akae tu Crown

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 10 วันที่ผ่านมา +2

    Mwijaku ana nguvu sana serekal ya tanzania na sijui hii nguvu katoa wapi yaan anaweza fanya kitu yyte na serekal inamuangalia dah ni only tanznian hii mambo 😢😢😢😢😢

    • @josephmabula9658
      @josephmabula9658 10 วันที่ผ่านมา

      Angalia ile ishu ya menina aisee

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 วันที่ผ่านมา

      Ni mbaya sana lakini, haitakiwi kuwa hivi

  • @rhamlaally6930
    @rhamlaally6930 9 วันที่ผ่านมา

    Kwani alisemaje

  • @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
    @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs 7 วันที่ผ่านมา +1

    Yani mwijaku anavyo tikiza nchi utazani yeye ni mungu hivi kwanini lakini? Yani natamani hata sikumoja nisikie amekufa jinsi ninavyo nchukia

  • @franckmaya4068
    @franckmaya4068 7 วันที่ผ่านมา

    Kipanya Kaza Kamba Hakuna kuregeza Kaka mwijak awe mfano kwa wengne waropokaj🤣🤣🤣

  • @williamlukoo4640
    @williamlukoo4640 3 วันที่ผ่านมา

    DEFAMATION CASE mnyoosheni Mwijaku

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 9 วันที่ผ่านมา

    😂😂 watamfira

  • @bertyjorge5121
    @bertyjorge5121 9 วันที่ผ่านมา

    Mmmh

  • @iddikibwana9185
    @iddikibwana9185 9 วันที่ผ่านมา

    Mdomo umeponza kichwa😂😂😂

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 2 วันที่ผ่านมา

    Achen utapel nyny

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 8 วันที่ผ่านมา

    Kwa hiyo akiomba msamaha na sisi tuamini kuwa siyo kweli😂😂eti jmn

  • @frankmwinuka5941
    @frankmwinuka5941 6 วันที่ผ่านมา

    Hahaha aha mnataka mwijaku aombe radh ili mmpafue vizur hiyo hela masudi anayo au keshaishikaga au ndo ile unaomba kitu ambacho hunaa

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 10 วันที่ผ่านมา +4

    Mnaleta ukoron mnatukana watu na kuwadhalilisha tu mna namba za rais, mwijaku uwe na mipaka ya kutafuta kwako pesa sio lazima udhalilishe watu ili upate ubalozi

  • @twahaanyoni9120
    @twahaanyoni9120 7 วันที่ผ่านมา

    Hili liwe fundisho kwa machawa wote wamezidi kujitoa ufaham na kuzalilisha watu bora mupeleke uko mahakamani tuu akalipe fine 😂😂😂😂

  • @SHERANasibu
    @SHERANasibu 7 วันที่ผ่านมา

    Mashart tyuu kuogaa aaaaaah

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 9 วันที่ผ่านมา

    Naona uchawa nikaz
    Yan
    Unachafua uku
    Una sifia uku
    😅😅😅

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 9 วันที่ผ่านมา

    Kafanya nini jmn eeh kuna sisi😢😢😢tupo buy na kusaka 😢fulusi

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 9 วันที่ผ่านมา

    HESHMA IKIVUNJWA KWA GHAMA YEYOTE HATA KWA KUOMBA RADHI HAIRUDI! ILI KUSAFISWA MUATHIRIKA BASI NI MAHAKAMA PEKEE! MASOUD UTAJIRI WAKE SIYO PESA AMEWEKEZA KWENYE HESHMA! MWIJAKU ANALIJUWA! KAKUSUDIA KUCHAFUWA VIBAYA!! BORA ANGEMWAGIA MAVI MASOUD ANGEJI TOALISHA!!

  • @abdulyibrahim2125
    @abdulyibrahim2125 8 วันที่ผ่านมา

    Tusingie san nchi za wenzetu kwa hili maan nchi za wenzetu kuna sheria nyingi san lakn hatujawafiki hata kidog,aombe tu msamaha maan watu wengi na viongoz wanandikiwa vibaya kweny mitandao

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 2 วันที่ผ่านมา

    Achen utapel

  • @madidolla
    @madidolla 2 วันที่ผ่านมา

    Ile ghorofa ni ya B 1.3 sasa kwa fine ya B 5 ni jela au kijijini kwao kazula mimba

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 วันที่ผ่านมา

    KUTAKA KUWAFULAISHA WATU KWA MDOMO MLEFU SASA KIMEMVUDIA😂😂😂

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 9 วันที่ผ่านมา

    Mwijaku kakosea, lakini hivi vina njaa

  • @clauschristopher4478
    @clauschristopher4478 9 วันที่ผ่านมา

    Funga huyoo

  • @user-od8tg1yt3g
    @user-od8tg1yt3g 9 วันที่ผ่านมา

    mwijaku safi sana funguka

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 9 วันที่ผ่านมา

      Unamtia ujinga mwenzako jela siku hizi zipo nje nje haya😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 วันที่ผ่านมา

      Atoe ushahidi sasa, mbuzi nyie

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 2 วันที่ผ่านมา

    Hizo billion 5 unazo

  • @Philosophy219
    @Philosophy219 8 วันที่ผ่านมา

    Kitu nimegundu wa tanzania wengi hatujui sheria. ila kiukweli ukizingua unaumizwa na sheria vibaya mno, kuna watu wameingia kwenye umasiki kwasababu ya kuvunja sheria

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 6 วันที่ผ่านมา

    Afungwe tu

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 3 วันที่ผ่านมา

    Bora afungwe kwakuwa ana sifa sana na ana ropoka sana jamaa mdomo wake auna chupi anakera sana

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 6 วันที่ผ่านมา

    Uchawa utamponza mbwa huyu.... yeye kutwa kusifia ujinga sasa ccm wamsaidie maana masud anaonekanaga ni mpinzan kwa zile katun zake

  • @Shuu.A
    @Shuu.A 9 วันที่ผ่านมา

    Hivo mnavozitaja bilion 5 nyie mnazo mnaweza kuzitoa njaa tu zinawasumbua nyote na mwijaku wenu

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 10 วันที่ผ่านมา

    Safi sana Mwijaku Ana kiherehere kingi

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf 5 วันที่ผ่านมา

    Akafungwe jela mbona babalevo alitumikia maisha ya ngome

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 4 วันที่ผ่านมา

    Kwani amefanyaje huyo mwijaku

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n 9 วันที่ผ่านมา +3

    ASIYEFUNZWA NA MAMAE HUFUNZWA NA ULIMWENGU MY POINT

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 8 วันที่ผ่านมา

    Anaongea ka Lisu

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 9 วันที่ผ่านมา

    Alimsema nini Masoud kipanya

  • @alexjovin2981
    @alexjovin2981 6 วันที่ผ่านมา

    Ashughulikiwe

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 10 วันที่ผ่านมา +7

    Kipanya bhana! Yeye kila leo unazodoa na kudhalili watu wengi pamoja na wanasiasa! Wahenga wanasema mkuki kwa nguruwe! Muda mwingine unasamehe maisha yanaenda!
    Ndo maana namuonaga siku zote yeye ni mtu wa kujikweza na kujitoa anajua sana vitu! Yote kwa yoye auamzi ni wake!
    Ila pia ni nafasi ya Mwijaku kujifunza kuwa na nidhani na kiasi kwenye maneno yake!

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 10 วันที่ผ่านมา +1

      Tatizo sio kipanya tatizo ni taasisi zilizowekeza kwa kipanya izo shutuma zina effect kwa wawekezaji jamaa atakua hana noma ila investors wanatakaaisafishe taasisi

  • @waziriadam1022
    @waziriadam1022 7 วันที่ผ่านมา

    Mhhhhh

  • @user-xy6ed7ve6r
    @user-xy6ed7ve6r 10 วันที่ผ่านมา +6

    😂😂😂😂😂 Yani mmekuwa Mahakama kwa kutoa adhabu ya 5B😂😂😂😂😂

  • @frankmwinuka5941
    @frankmwinuka5941 6 วันที่ผ่านมา

    Hakuna lolote hapo mwijaku msomi kaza kamba anataka kukuharibia na wew haribu tu

  • @farajaphilipo8844
    @farajaphilipo8844 8 วันที่ผ่านมา

    Mbona kipanya anaga shida jaman tatizo mwijaku anaropokaropoka kama amekunywa maji ya chooni

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwajabu bilion 5 atainya wapi?

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u 10 วันที่ผ่านมา

    Hv inayopanga faini si ni mahakama

  • @dubai8594
    @dubai8594 4 วันที่ผ่านมา

    kama sijasikia vizuri alipe B tano au M TANO

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 7 วันที่ผ่านมา

    Tatizo kuropokaa
    Mdomo komaa 😮

  • @babubabz4507
    @babubabz4507 8 วันที่ผ่านมา

    Basi hata pesa mukipata zitakupeleka wapi upuzi kila mtu huwo ni taama

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 10 วันที่ผ่านมา

    Mwijaku anazidi kulopoka afaza akili hikae

  • @raymondmhozya8894
    @raymondmhozya8894 6 วันที่ผ่านมา

    B5 😂😂 ahaa

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 9 วันที่ผ่านมา +2

    Huo mdomo unavyoiongea bilion tano sasa😂😂😂😂 utazani unaoiongea unayo mijitu mingine bwanaa hata kama ni umesoma sheria unaonekana mtu hovyooo

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 9 วันที่ผ่านมา

      We team mwijaku mtakoma na midomo yenu michafu... uwongo na kudhalilisha hadhi ya mtu kwa jamii ni kosa..

    • @aidankakulu398
      @aidankakulu398 9 วันที่ผ่านมา

      @@josephlorri431 peleka tako zako mbele hukooo

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 9 วันที่ผ่านมา

      @@aidankakulu398 wewe shoga? Hatutumii kisamvu

    • @aidankakulu398
      @aidankakulu398 8 วันที่ผ่านมา

      @josephlorri431 shoga ni wewe unaeonea tamaa maendeleo ya watu mbwa masikini mkubwa wewe utakufa na ujinga wako wa akili Fala wa maisha wewe

  • @Baira240
    @Baira240 9 วันที่ผ่านมา

    Jakuboy mfate roma hama bongo wanataka kukupoteza hawa😂😂😂

    • @CasmirKiwale
      @CasmirKiwale 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @Happizo
    @Happizo 8 วันที่ผ่านมา

    Wanaume wengi hawapendani mmemkaanga jaku boy sio poa

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji 10 วันที่ผ่านมา +4

    Safi sanaa huyu mwijaku kiherehere kitamuisha kumanina zake anadhalilisha sanaaa watu

  • @saadabakar7750
    @saadabakar7750 9 วันที่ผ่านมา +1

    Anatakiwa kukomeshwa ,amemzoea diamond

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 9 วันที่ผ่านมา +1

      Nahisi diamond kunasiku atamtolea uvivu kawatukana mpaka akina hadija kopa

    • @ladislausmoris9638
      @ladislausmoris9638 9 วันที่ผ่านมา

      Nimke wa diomond ndo sababu jamaa hajali

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 9 วันที่ผ่านมา

      @@ladislausmoris9638 na hadija kopa ,diamond huwa anamuacha sababu anajua ana njaa, akina kajala wote kashawatukana ...huyu mshenzi

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 9 วันที่ผ่านมา

    Hapo mtajua kwanini Muha Anaishi kigoma mkimfatilia sana jamani kigoma kunauchawi ni hatari utaona mwijaku kaenda kigoma akirudi 😂😂😂😂😂😂😂 haya mtaona tu dar mvua kubwa inanyesha na imeleta mahafa na yatamkuta wakili na Mteja wake

  • @lukehaprimary2574
    @lukehaprimary2574 3 วันที่ผ่านมา

    Bilioni tano anazo?

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 10 วันที่ผ่านมา +1

    Lkn tuludi nyuma kipanya hio billion 5 amewai kushika

    • @barikilangoy4737
      @barikilangoy4737 10 วันที่ผ่านมา +2

      Wala tusirudi nyuma tuanzie hapa,kwanza wew umewahi ata kuandika tarakimu za billion 5

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 วันที่ผ่านมา

      Tuanze na wewe milioni moja unewahi kushika

  • @JacklinMtinda
    @JacklinMtinda 8 วันที่ผ่านมา

    kwan wewe mwijaku unakiherehere chanin ukome

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 9 วันที่ผ่านมา +3

    Acheni tamaa ukiona mtu anakanyumba kadogo mnataka matatizo yenu ayamalize yeye

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 วันที่ผ่านมา

      Mbuzi wewe, nadhani kwa kuwa hujakshfiwa wewe