BILIONEA WA MAPARACHICHI, SHAMBA EKA 1000, MILIONI 200 KWA MSIMU, NYUMBA, MAGARI YA KUTOSHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 177

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz หลายเดือนก่อน +93

    Kila uwekezaji unalipa ila chanzo cha mafanikio ni muwekezaji mwenyewe. Amefanya kilimo cha parachichi zaidi ya miaka 10 na bado anaendelea. Usiache unachokifanya Kwa kuhisi hakina maslahi mapana. Faida ipo. Mtangulize Mungu pia jikite kwenye kuongeza elimu juu ya unachokifanya... Utanishukiru baadae

    • @LastKakats
      @LastKakats หลายเดือนก่อน +3

      Amen

    • @zuhuraomary2782
      @zuhuraomary2782 หลายเดือนก่อน +2

      Uko sahihi 100%

    • @jephonaplatinumz8475
      @jephonaplatinumz8475 29 วันที่ผ่านมา +1

      Ata kama anauza big jii aendlee kusubiri kuna siku itamlipa?

    • @jakom254
      @jakom254 28 วันที่ผ่านมา

      Maeneo gani

    • @movie.reporter
      @movie.reporter 28 วันที่ผ่านมา

      Ukikuza mtaji utaenda na utauza vitu vingine. Mafanikio ni mchakato wa muda mrefu kaks​@@jephonaplatinumz8475

  • @halunimnenwa5224
    @halunimnenwa5224 22 วันที่ผ่านมา +23

    Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa

    • @user-pl1mp5sl4k
      @user-pl1mp5sl4k 4 วันที่ผ่านมา

      Anaonekana tu mwwnye roho nzuri

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j หลายเดือนก่อน +23

    Huyu mkulima ninamjua Sana kapambana kutoka chini mwache ale maisha ananithamu ya kazi

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 15 วันที่ผ่านมา +13

    ALIFAULU KWENDA SEKONDARI LAKINI BAHATI NZURI WAZAZI HAWAKUA NA UWEZO HIVO HAKUENDELEA NA SEKONDARI!!!!!! POWERFUL MINDSET

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 14 วันที่ผ่านมา +1

      Nini hukuelewa kijana alichaguliwa kwenda secondary uwezo wa wazazi wake ulikuwa mdogo Hivyo hakufanikiwa kuendelea na masomo akaishia la saba.

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo 14 วันที่ผ่านมา +1

      @@AlhajiIssa-jb9hr hujanielewa ndugu yangu

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 14 วันที่ผ่านมา +1

      @@patrickKitambo ok sorry.

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo 14 วันที่ผ่านมา +1

      @@AlhajiIssa-jb9hrnilicho maanisha angekua ni mtu mwingine baada ya kufaulu na wazaz kushindwa kumlipia ada angelaumu wazaz angesema..... bahati mbaya wazazi hawakua na uwezo ila badala yake yeye anasema bahati nzuri wazazi hawakua na uwezo ...kwaio anamtazamo chana na ndo unamfanya afanikiwe sabab angekua mwingine angekaa kwenye hiyo hali kila mara na wala asinge ona fursa zingine bali angebak kulaumu tu wazazi kila siku

  • @PastorsTz
    @PastorsTz หลายเดือนก่อน +40

    Nampenda sana huyu jamaaaa anaunyenyekevu sana,,hata ukikutana naye na ukienda kununua miche kwake utafurahi

    • @mussaelia8693
      @mussaelia8693 หลายเดือนก่อน

      Mzee naweza pata mawasiliano Yako
      Nataman nijue nijifunze

    • @halunimnenwa5224
      @halunimnenwa5224 22 วันที่ผ่านมา +1

      Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa

  • @princemimi2090
    @princemimi2090 2 วันที่ผ่านมา +2

    hii ngoma angeisimamia millard ayo tungejifunza mengi

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 19 วันที่ผ่านมา +2

    Me Wallah nimedhamilia nitaenda kuchukua mafunzo kwa hyu Mzalendo..Barikiwa kaka

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly หลายเดือนก่อน +5

    MashaAllah 🙏🙏🙏God bless 🙌

  • @LandrickXl
    @LandrickXl 29 วันที่ผ่านมา +19

    anakwambia kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo 😂 au hamjamskia kwasababu ana hela

    • @TonnyFord
      @TonnyFord 29 วันที่ผ่านมา

      😂

    • @osmanferdinand4527
      @osmanferdinand4527 24 วันที่ผ่านมา

      Alikua hapendi shule kabisa

    • @dominiclengwavi2208
      @dominiclengwavi2208 21 วันที่ผ่านมา

      Haha😂, hapo amenichekesha kweli.

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 19 วันที่ผ่านมา +1

      Mwamba alikua hapendi umande😂😂😂😂😂

    • @josephlugongo6357
      @josephlugongo6357 14 วันที่ผ่านมา

      Huenda angesona asinge kuwa hapo hivyo bahati nzuri yake ni kutokusoma.

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Ubarikiwe sana nifika zawadi yako hipo usaidia jamii undelea hiyo

  • @stephenmmbago4975
    @stephenmmbago4975 หลายเดือนก่อน +8

    Really story is inspiring alot vijan tupambane

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 29 วันที่ผ่านมา +6

    Mungu huwapinga wajikuzao, lakini huwapa, wanyenyekevu neema.

  • @doglassepimack8172
    @doglassepimack8172 23 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu jamaa ali amin katika kidogo alicho nacho wengi wa watanzania una weza mpa project ambayo ana weza tengeneza pesa lakini Wana taka mafanikio kwa muda mfupi ni washudia wengi

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 21 วันที่ผ่านมา +2

    Hivi vichwaaa adimu Sanaa umetufunza mnoo ❤🙏🏿

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana CEO

  • @patrickmlimbila7715
    @patrickmlimbila7715 24 วันที่ผ่านมา +3

    kumbe na sisi tuna bilionea ok safi

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 18 วันที่ผ่านมา +3

    Bora walikufukuza kaz za usafi maana ungekufa maskini, mungu huwa nina makusudi

  • @E.A.C.t
    @E.A.C.t 24 วันที่ผ่านมา +3

    kila kitu kinawezekana ,amini fanya kazi na omba mungu tu

  • @pceodhc
    @pceodhc 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana kaka!

  • @user-hx9ps9nk5z
    @user-hx9ps9nk5z หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana.

  • @BeatusKitwange
    @BeatusKitwange หลายเดือนก่อน +6

    Ingependeza pia kujua uhakika wa soko

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 หลายเดือนก่อน +8

    Wale wa kutaka mafanikio ya wiki tatu kama broiler long term project hawataki.

  • @doreenchuwa3630
    @doreenchuwa3630 16 วันที่ผ่านมา +6

    Ila watangazaji mnaboaga, sasa nyumba mara magari yote hayo ya nini ??? Ulizeni maswali ya msingi .

  • @RamadhaniSelemani-bn1fz
    @RamadhaniSelemani-bn1fz หลายเดือนก่อน +1

    Napenda kilimo

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 3 วันที่ผ่านมา +1

    Stivini Jones Muimbila

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 หลายเดือนก่อน +1

    Welldone

  • @innocentgerald1889
    @innocentgerald1889 29 วันที่ผ่านมา +12

    TRA liked your post 😁

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kiongozi Mungu akupe maono makubwa

  • @user-qg3nu1kv2n
    @user-qg3nu1kv2n หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mpambanaji tuko nyuma yako

  • @user-rw8yu7xt4c
    @user-rw8yu7xt4c หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana kiongozi

  • @josephtesha872
    @josephtesha872 26 วันที่ผ่านมา

    My hoppy one day💓

  • @user-oo5ud3ts9b
    @user-oo5ud3ts9b หลายเดือนก่อน +1

    Nemes ze Don

  • @user-yl7cm2mf7e
    @user-yl7cm2mf7e หลายเดือนก่อน

    Ushauri mzuri sana

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412. หลายเดือนก่อน +2

    Daah,
    Nmejifunza mengi kwa huyu jamaa

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk หลายเดือนก่อน +1

    labda msim upi mzuri kwakilimo cha viazi kwa kupata faida kubwa

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 29 วันที่ผ่านมา +2

    Ni kweli kwa njombe ni moja ya wakulima wakubwa, ni mpambanaji jamaa

  • @gracekilacy512
    @gracekilacy512 หลายเดือนก่อน +1

    Nimecheka kwa sauti

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 23 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu ni mfanikiwa wa Ukweli. Lakini huyo Mlokoxi Nina mashaka sana sana ktk mapesa yake.

    • @user-kx7ob5rx4p
      @user-kx7ob5rx4p วันที่ผ่านมา

      Nyie ndio walewale

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 วันที่ผ่านมา

      @@user-kx7ob5rx4p Akina nani? Freemasons au waizi?

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 หลายเดือนก่อน +1

    Eeet anamajiniii jmn pambana ufanikiwee usaidie ndgu zako

  • @emanuelmsaky8074
    @emanuelmsaky8074 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi shamba la heka moja shilingi ngapi sahiv hapo njombe

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 หลายเดือนก่อน +10

    anavosimulia kama rahisi vile

    • @EDDY4D
      @EDDY4D หลายเดือนก่อน

      Kama jana na leo

    • @johnlongoy7952
      @johnlongoy7952 หลายเดือนก่อน

      Eheee nilikuwa natafuta kamati ya roho mbaya nimewapata 😅😅

    • @EDDY4D
      @EDDY4D หลายเดือนก่อน

      Hakumanisha unavo hisi kamanisha katika kutafuta ili ufanikiwe inachukuwa mda na ndomana kasema anavoongeya kama kitu rahisi bro hiyo sio rohombaya ina taka subra naujikaze sana​@@johnlongoy7952

    • @doglassepimack8172
      @doglassepimack8172 23 วันที่ผ่านมา

      Commitment ndio iliyo mfikisha hapo

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 19 วันที่ผ่านมา

      ​@@johnlongoy7952😂😂😂😂😂

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 หลายเดือนก่อน +1

    Ni huduma gani zinazohitajika kwenye miti ya parachichi 6:15 6:18

  • @gilbertkulaya815
    @gilbertkulaya815 24 วันที่ผ่านมา +1

    Risk taking
    Wengi ambao hawajasoma sana, huwa hawahitaji mahesabu mengi ili kufanya jambo, hufanya kwa imani tu, ndio maana wanatajirika.
    Msomi anataka afanye kwanza mahesabu meeeengi aone kama kuna faida ndipo achukue hatua.
    At the end anapoteza nguvu ya kuanza.
    Hongera sana mkuu. 🤝

    • @saidkhalfan8207
      @saidkhalfan8207 23 วันที่ผ่านมา

      Fact

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 22 วันที่ผ่านมา

      malo bila daftari hupotea bila habari km hvy basi kampuni zote zingekua zinaamrishwa tu fany hv fanya vile

  • @numbibonzo4238
    @numbibonzo4238 หลายเดือนก่อน +8

    Kwa bahati nzuri Wazazi hawakua na uwezo😅

    • @joshuajustustz
      @joshuajustustz หลายเดือนก่อน +1

      Kumbe umeisikia hiyo😂

    • @numbibonzo4238
      @numbibonzo4238 หลายเดือนก่อน +3

      @@joshuajustustz yah kumbe kuna muda wazazi kutokua na uwezo wa kuku somesha inawzkn ikawa ni bahati nzr huenda ange soma asinge fika alipo

    • @joshuajustustz
      @joshuajustustz หลายเดือนก่อน

      @@numbibonzo4238 nadhani ulimi uliteleza

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 หลายเดือนก่อน +1

      Ulimi hauna mfupa jaman

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 14 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@numbibonzo4238Ndio ni nzuri Kwa upande wake na Sasa ni bilionea😂😂😂

  • @sililubala8845
    @sililubala8845 9 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana kwa vile ulivyoeleza mafanikio ulioyapata mpaka sasa na uzoefu ulionao kwa masiliano zaidi kukupata wapi? au email yako Asante

  • @vom84
    @vom84 หลายเดือนก่อน

    Parachichi ni hela

  • @user-lg8xu9tt3b
    @user-lg8xu9tt3b หลายเดือนก่อน +4

    Everything is possible

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 หลายเดือนก่อน +2

    Kilimo!! Jichanganye!!!!😅😅😅😅😅😅

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 หลายเดือนก่อน

    Natamani nipate mawasiliano yake

  • @RoseMkupala-xw7jo
    @RoseMkupala-xw7jo หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kaka,mi natamani kulima parachichi ila sina utaramu nitakupataje naomba namba yako,tafathali

    • @benedictmfoi3680
      @benedictmfoi3680 หลายเดือนก่อน

      Nenda njombe katembelee mashamba ujifunze

    • @BalengaTanda-fz4cl
      @BalengaTanda-fz4cl 18 วันที่ผ่านมา

      😂😂namba ya billionaire ya nini jaman

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 28 วันที่ผ่านมา

    MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUONGEZEA KAKA ANGU

  • @hasirazahoro4938
    @hasirazahoro4938 27 วันที่ผ่านมา

    Halafu anatokea mvivu mmoja anamuita mchawi

  • @fristonactary1371
    @fristonactary1371 20 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ShortKat Kaelezea! Jichanganye SASA🤣🤣🤣

  • @paschalkigala6628
    @paschalkigala6628 16 วันที่ผ่านมา

    Jichanganye.

  • @NeemaShababi-nu8dr
    @NeemaShababi-nu8dr หลายเดือนก่อน

    Vipi kuhusu mbengu

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 14 วันที่ผ่านมา

    naomba namba yake

  • @habyhabib7538
    @habyhabib7538 21 วันที่ผ่านมา

    Ukishakua muandishi jitahidi unapofanya uchunguzi hakikisha taarfa ziwe sahihi
    Sio kupotosha wananchi
    Inakera sana kupotosha jamiiii

    • @MoviesAde
      @MoviesAde 21 วันที่ผ่านมา

      Sasa kampotosha nani??? Anae hojiwa it’s true ana shamba na nimkulima, yeye anauliza tu maswali na mkulima anajibu, kapotosha nini sasa?? Acha makasiriko na jaribu kujifunza huku ukiweka positivity in things, Dah! Comment yako ya roho mbaya sana

    • @habyhabib7538
      @habyhabib7538 21 วันที่ผ่านมา

      @@MoviesAde
      Nenda saloon urudi u comment!acha manung'uniko au unataka utumiwe maparachichi ??ulitoka kwa laisa haya umehamua ktk maparachichi,sio lazima kila mahal u comment!tuliza kizaga hapo

  • @asmahozza8468
    @asmahozza8468 หลายเดือนก่อน

    Tunapataje mawasiliano yake

  • @Laizer3
    @Laizer3 หลายเดือนก่อน +5

    Ivi kwanini watu walioishia la 7 wanawazidi utajiri wasomi wa vyuo vikuuu?

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 หลายเดือนก่อน

      Lakini pia hao waloishia la 7 wanazingatia kwa uaminifu mkubwa na kwa umakini sana ushauri wa wasomi,, ndomana wanafanikiwa, tofauti na wasomi, wao wanatabia ya kudharau. Ndo maana wasomi wengi hawafanikiwi.

    • @joshuajustustz
      @joshuajustustz หลายเดือนก่อน

      NIDHAMU

    • @kachorionlinetv497
      @kachorionlinetv497 หลายเดือนก่อน +1

      Wasomi Wengi hawataki Kujishusha na Kuanzia Chini Kufanya Kazi Ndogo Ndogo Lakini aliemaliza la 7 hasubiri Bali anaanzia Popote...

    • @franklyn7439
      @franklyn7439 หลายเดือนก่อน +3

      Kati ya wasomi na wasiosoma matajiri wengi ni wasomi. Story za matajiri wasiosoma zinavutia zaidi ndio maana ni maarufu. Msomi akiwa tajiri watu hawastuki

    • @gilbertkulaya815
      @gilbertkulaya815 24 วันที่ผ่านมา

      Risk taking ability

  • @sheikhfadhilaljahdhamy6751
    @sheikhfadhilaljahdhamy6751 หลายเดือนก่อน +2

    Shamba limeweza kufanya billionare

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน +5

      Ulaya na marekani mkulima ni Tajiri huku kwetu tu ndo kinyume

    • @BARAKA-ns3jv
      @BARAKA-ns3jv หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa kumuelimisha. Huyo

    • @birianination7097
      @birianination7097 หลายเดือนก่อน

      ​@@FahadAbubakari mbona huku wapo wengi tuu!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      @@birianination7097 ila c wengi

  • @ahmedkitandu8403
    @ahmedkitandu8403 28 วันที่ผ่านมา +3

    Ivi kwann darasa la 7 ndo watu ambao wamefanikiwa kmaisha ndo matajiri kuliko waliofka vyuoni??

  • @mariakabonge
    @mariakabonge 26 วันที่ผ่านมา

    Au naweza kukupigia wewe au ripotar wako please nikonecti na huyo ndugu me pia nimenunua shamba huko, please nisaidie

  • @mariakabonge
    @mariakabonge 26 วันที่ผ่านมา

    Please milad naomba nitumie number zake

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 หลายเดือนก่อน +1

    Ekari 100 siyo mchezo

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 26 วันที่ผ่านมา

    KAKA STEVEN MBONA SISI WENZENU TUNAUZA KWA HASARA?WENZETU MNAUZAJE MPAKA MNANUFAIKA HIVYO?

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b 23 วันที่ผ่านมา

    Balikiwa ukitaka Mali kaifate shambani

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 หลายเดือนก่อน +1

    Kila Biashara inalipa ukihadithiwa!!!😂😂😂😂

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 28 วันที่ผ่านมา

      Mbona yeye imemlipa? Issue sio kuhadithiwa issue ni kuingia shambani nakuanza ifanya

  • @hamisathuman-ef2ug
    @hamisathuman-ef2ug 29 วันที่ผ่านมา +3

    Usitoe namba zako mabinti washakutamani

  • @kephathicke9452
    @kephathicke9452 21 วันที่ผ่านมา

    kuna hawa wa lasaba'A af kuna nyie wa chuo kusubiria kuajiriwa mpate 10M kwa mwezi

  • @user-ku4xq4nd9v
    @user-ku4xq4nd9v หลายเดือนก่อน

    Kuna miche ile ya sh 20,000/ ni mizuri sana ni miezi nane unavuna nilinunua kwake Nemes

    • @samirhumud7408
      @samirhumud7408 หลายเดือนก่อน

      Ndugu umepanda sehemu gani?

    • @emmanuelmwajombe831
      @emmanuelmwajombe831 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-ku4xq4nd9v
      @user-ku4xq4nd9v หลายเดือนก่อน

      @@samirhumud7408 Iringa

    • @MarthaMgaya-zo4bi
      @MarthaMgaya-zo4bi 23 วันที่ผ่านมา

      😂😂​@@samirhumud7408

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 29 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaomba number jamani

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 28 วันที่ผ่านมา

      Ili iwaje Bi Salma si umeolewa ww?

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 หลายเดือนก่อน

    Awagonje tra sasa

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni mali ya shamba wewe tra waende wapi

    • @user-fv7ri6mw2n
      @user-fv7ri6mw2n หลายเดือนก่อน

      True.watamtembelea.

    • @kananiomwamirwenyagira8374
      @kananiomwamirwenyagira8374 หลายเดือนก่อน

      Mazao ya kilimo hayana kodi😂😂jiongeze ninushuru wa mazao tu..zile buku buku

    • @christopherjoseph8330
      @christopherjoseph8330 หลายเดือนก่อน

      Ushuru masokoni hapo shamba tra hawaendi

  • @giftchristianmeela1409
    @giftchristianmeela1409 20 วันที่ผ่านมา

    Wakenya wakiona hii wanahamia huko njombe 😅

  • @mohamedaden8483
    @mohamedaden8483 หลายเดือนก่อน

    Maparachichi hayahaya ninayoyajua mimi?

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂we si kazaramooo parachch utalijulia wap

  • @erickagwe8841
    @erickagwe8841 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni milionea au bilionea? Jamani tofautisheni B na M.

    • @RutaRubedi
      @RutaRubedi หลายเดือนก่อน

      Faida ya kuvuna mara moja ni 200ml, akivuna mara tano tu tayari ni bilionea

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@RutaRubedikibongo bongo atakuwa ni Billionaire ila kidunia atakuwa millionaire

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 16 วันที่ผ่านมา

    Nina shamba la miti nauza lina eka 10 lipo ukange, Lupila makete..

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 หลายเดือนก่อน +1

    Mchawi tu

    • @jimodefighter
      @jimodefighter หลายเดือนก่อน +1

      acha ufara co Kila ki2 uchaw

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 29 วันที่ผ่านมา

      Ndiyo maana umekuwa masikini wa kutupwa kwasababu tu ya kuamini uchawi

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 20 วันที่ผ่านมา

    Ukiitaka pesa ya parachichi ni lazima uingie front kama hivyo. Kaa porini fuatilia kila hatua ya ukuaji wa miche, hadi utakapotoka baada ya miaka mi 3... vinginevyo hiki kilimo hakitaki simu...

    • @PeterMinde-y3b
      @PeterMinde-y3b วันที่ผ่านมา

      Hiyo ni point kaka, tuache kilimo cha remote

  • @jewtv1732
    @jewtv1732 หลายเดือนก่อน +2

    NAMJUA HUYO JAMAA ANA MAJINI KINOMA

    • @SaidShemkieti
      @SaidShemkieti หลายเดือนก่อน

      Majini au madini ?

    • @ikokijuma-zv7wd
      @ikokijuma-zv7wd หลายเดือนก่อน +2

      Acha usenge we unamangap

    • @colletatesha5265
      @colletatesha5265 หลายเดือนก่อน +1

      Aisee ukiskia wachawi ndio uyu anaemsema mwenzie ana majini

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl หลายเดือนก่อน +2

      Hata mimi nakujuwa wewe. Wewe ndio JINI lake kuu

    • @jamesnyamila2165
      @jamesnyamila2165 หลายเดือนก่อน +1

      Tafuta na wewe hayo majini

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 หลายเดือนก่อน +1

    Ndoto yangu ni kuwa bilionea wa kilimo cha Chinese,,,Nipo hapa nasaka mtaji.

    • @RutaRubedi
      @RutaRubedi หลายเดือนก่อน +1

      Mungu ni mwema utafanikiwa

    • @PeterMinde-y3b
      @PeterMinde-y3b วันที่ผ่านมา

      Acha ukenge kijana, labda ukalime hiyo chinese China 🤪😜

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂