BILIONEA WA MAPARACHICHI, SHAMBA EKA 1000, MILIONI 200 KWA MSIMU, NYUMBA, MAGARI YA KUTOSHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 206

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz 4 หลายเดือนก่อน +104

    Kila uwekezaji unalipa ila chanzo cha mafanikio ni muwekezaji mwenyewe. Amefanya kilimo cha parachichi zaidi ya miaka 10 na bado anaendelea. Usiache unachokifanya Kwa kuhisi hakina maslahi mapana. Faida ipo. Mtangulize Mungu pia jikite kwenye kuongeza elimu juu ya unachokifanya... Utanishukiru baadae

    • @LastKakats
      @LastKakats 4 หลายเดือนก่อน +3

      Amen

    • @zuhuraomary2782
      @zuhuraomary2782 3 หลายเดือนก่อน +2

      Uko sahihi 100%

    • @jephonaplatinumz8475
      @jephonaplatinumz8475 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ata kama anauza big jii aendlee kusubiri kuna siku itamlipa?

    • @jakom254
      @jakom254 3 หลายเดือนก่อน

      Maeneo gani

    • @movie.reporter
      @movie.reporter 3 หลายเดือนก่อน

      Ukikuza mtaji utaenda na utauza vitu vingine. Mafanikio ni mchakato wa muda mrefu kaks​@@jephonaplatinumz8475

  • @halunimnenwa5224
    @halunimnenwa5224 3 หลายเดือนก่อน +31

    Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa

    • @PhilipoNdumbaro
      @PhilipoNdumbaro 3 หลายเดือนก่อน +1

      Anaonekana tu mwwnye roho nzuri

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 4 หลายเดือนก่อน +26

    Huyu mkulima ninamjua Sana kapambana kutoka chini mwache ale maisha ananithamu ya kazi

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 4 หลายเดือนก่อน +42

    Nampenda sana huyu jamaaaa anaunyenyekevu sana,,hata ukikutana naye na ukienda kununua miche kwake utafurahi

    • @mussaelia8693
      @mussaelia8693 4 หลายเดือนก่อน

      Mzee naweza pata mawasiliano Yako
      Nataman nijue nijifunze

    • @halunimnenwa5224
      @halunimnenwa5224 3 หลายเดือนก่อน +1

      Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 3 หลายเดือนก่อน +16

    ALIFAULU KWENDA SEKONDARI LAKINI BAHATI NZURI WAZAZI HAWAKUA NA UWEZO HIVO HAKUENDELEA NA SEKONDARI!!!!!! POWERFUL MINDSET

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nini hukuelewa kijana alichaguliwa kwenda secondary uwezo wa wazazi wake ulikuwa mdogo Hivyo hakufanikiwa kuendelea na masomo akaishia la saba.

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@AlhajiIssa-jb9hr hujanielewa ndugu yangu

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@patrickKitambo ok sorry.

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@AlhajiIssa-jb9hrnilicho maanisha angekua ni mtu mwingine baada ya kufaulu na wazaz kushindwa kumlipia ada angelaumu wazaz angesema..... bahati mbaya wazazi hawakua na uwezo ila badala yake yeye anasema bahati nzuri wazazi hawakua na uwezo ...kwaio anamtazamo chana na ndo unamfanya afanikiwe sabab angekua mwingine angekaa kwenye hiyo hali kila mara na wala asinge ona fursa zingine bali angebak kulaumu tu wazazi kila siku

    • @DorotheaEdwin
      @DorotheaEdwin 2 หลายเดือนก่อน

      Yuko sahihi ni bahati nzuri. Angeajiriwa asingefikia hatua hiyo.

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 3 หลายเดือนก่อน +3

    Me Wallah nimedhamilia nitaenda kuchukua mafunzo kwa hyu Mzalendo..Barikiwa kaka

  • @stephenmmbago4975
    @stephenmmbago4975 4 หลายเดือนก่อน +8

    Really story is inspiring alot vijan tupambane

  • @innocentgerald1889
    @innocentgerald1889 3 หลายเดือนก่อน +18

    TRA liked your post 😁

  • @patrickmlimbila7715
    @patrickmlimbila7715 3 หลายเดือนก่อน +7

    kumbe na sisi tuna bilionea ok safi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 หลายเดือนก่อน +5

    MashaAllah 🙏🙏🙏God bless 🙌

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 4 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Ubarikiwe sana nifika zawadi yako hipo usaidia jamii undelea hiyo

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 2 หลายเดือนก่อน +4

    HII INTERVIEW ANGEFANYA Millard ayo Tungeelewa zaidi

    • @SalehAlly-ft9gi
      @SalehAlly-ft9gi หลายเดือนก่อน

      Umeon jamaa ajuwi kuojii

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu huwapinga wajikuzao, lakini huwapa, wanyenyekevu neema.

  • @doglassepimack8172
    @doglassepimack8172 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu jamaa ali amin katika kidogo alicho nacho wengi wa watanzania una weza mpa project ambayo ana weza tengeneza pesa lakini Wana taka mafanikio kwa muda mfupi ni washudia wengi

  • @edwinbigambo3998
    @edwinbigambo3998 9 วันที่ผ่านมา

    Kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 2 หลายเดือนก่อน

    Kijana wa saizi anazani mshikaji kapata huo utajiri mwaka mmoja au miwili iliyopita tafadhali muandishi umesahau kumuuliza bwana steve time interval,downfalls kukusanya huo utajiri💪💪💪💪💪

  • @princemimi2090
    @princemimi2090 3 หลายเดือนก่อน +4

    hii ngoma angeisimamia millard ayo tungejifunza mengi

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 3 หลายเดือนก่อน +5

    Bora walikufukuza kaz za usafi maana ungekufa maskini, mungu huwa nina makusudi

  • @E.A.C.t
    @E.A.C.t 3 หลายเดือนก่อน +3

    kila kitu kinawezekana ,amini fanya kazi na omba mungu tu

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 3 หลายเดือนก่อน +10

    Wale wa kutaka mafanikio ya wiki tatu kama broiler long term project hawataki.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi vichwaaa adimu Sanaa umetufunza mnoo ❤🙏🏿

  • @LandrickXl
    @LandrickXl 3 หลายเดือนก่อน +21

    anakwambia kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo 😂 au hamjamskia kwasababu ana hela

    • @TonnyFord
      @TonnyFord 3 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @osmanferdinand4527
      @osmanferdinand4527 3 หลายเดือนก่อน

      Alikua hapendi shule kabisa

    • @dominiclengwavi2208
      @dominiclengwavi2208 3 หลายเดือนก่อน

      Haha😂, hapo amenichekesha kweli.

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mwamba alikua hapendi umande😂😂😂😂😂

    • @josephlugongo6357
      @josephlugongo6357 3 หลายเดือนก่อน +2

      Huenda angesona asinge kuwa hapo hivyo bahati nzuri yake ni kutokusoma.

  • @raiderinfos1472
    @raiderinfos1472 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mahojiano mazuri but mtangazaji umekosa mtaji wa maswali watu wengi wanajua kuhusu kulima na uvunaji lakini kuna changamoto sana kwenye swala la soko nani ananunua au wapi wanauza na utaratibu upoje ujaongelea kabisa.

  • @doreenchuwa3630
    @doreenchuwa3630 3 หลายเดือนก่อน +7

    Ila watangazaji mnaboaga, sasa nyumba mara magari yote hayo ya nini ??? Ulizeni maswali ya msingi .

  • @PatrickMsemwa-u9v
    @PatrickMsemwa-u9v 16 วันที่ผ่านมา

    Aliye elimika ni yule anayetumia elimu yake KWA faida yake na ya jamii inayo mzunguka kama huyu jamaa wa maprachichi Bigap!!!!

  • @G-JMK69
    @G-JMK69 3 หลายเดือนก่อน +1

    Risk taking
    Wengi ambao hawajasoma sana, huwa hawahitaji mahesabu mengi ili kufanya jambo, hufanya kwa imani tu, ndio maana wanatajirika.
    Msomi anataka afanye kwanza mahesabu meeeengi aone kama kuna faida ndipo achukue hatua.
    At the end anapoteza nguvu ya kuanza.
    Hongera sana mkuu. 🤝

    • @Saidmarez
      @Saidmarez 3 หลายเดือนก่อน

      Fact

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 3 หลายเดือนก่อน +1

      malo bila daftari hupotea bila habari km hvy basi kampuni zote zingekua zinaamrishwa tu fany hv fanya vile

  • @tumsifukatabazi
    @tumsifukatabazi หลายเดือนก่อน

    nakupenda sn kwanamna unavyo tuhamasisha sn kuhusu kilimo cha prachichi

  • @BeatusKitwange
    @BeatusKitwange 4 หลายเดือนก่อน +6

    Ingependeza pia kujua uhakika wa soko

  • @jacksonhyera2230
    @jacksonhyera2230 หลายเดือนก่อน

    Huyu mheshimiwa namjua st benedict

  • @pceodhc
    @pceodhc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana kaka!

  • @numbibonzo4238
    @numbibonzo4238 4 หลายเดือนก่อน +9

    Kwa bahati nzuri Wazazi hawakua na uwezo😅

    • @joshuajustustz
      @joshuajustustz 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbe umeisikia hiyo😂

    • @numbibonzo4238
      @numbibonzo4238 4 หลายเดือนก่อน +4

      @@joshuajustustz yah kumbe kuna muda wazazi kutokua na uwezo wa kuku somesha inawzkn ikawa ni bahati nzr huenda ange soma asinge fika alipo

    • @joshuajustustz
      @joshuajustustz 4 หลายเดือนก่อน

      @@numbibonzo4238 nadhani ulimi uliteleza

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ulimi hauna mfupa jaman

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@numbibonzo4238Ndio ni nzuri Kwa upande wake na Sasa ni bilionea😂😂😂

  • @sililubala8845
    @sililubala8845 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwa vile ulivyoeleza mafanikio ulioyapata mpaka sasa na uzoefu ulionao kwa masiliano zaidi kukupata wapi? au email yako Asante

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu ni mfanikiwa wa Ukweli. Lakini huyo Mlokoxi Nina mashaka sana sana ktk mapesa yake.

    • @Alphakadege-m2j
      @Alphakadege-m2j 2 หลายเดือนก่อน

      Nyie ndio walewale

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 2 หลายเดือนก่อน

      @@Alphakadege-m2j Akina nani? Freemasons au waizi?

    • @aishaabrahaman9957
      @aishaabrahaman9957 2 หลายเดือนก่อน

      Hujui biashara ya pombe wewe

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana CEO

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 4 หลายเดือนก่อน +12

    anavosimulia kama rahisi vile

    • @Quran-hidayat01
      @Quran-hidayat01 4 หลายเดือนก่อน

      Kama jana na leo

    • @johnlongoy7952
      @johnlongoy7952 3 หลายเดือนก่อน

      Eheee nilikuwa natafuta kamati ya roho mbaya nimewapata 😅😅

    • @Quran-hidayat01
      @Quran-hidayat01 3 หลายเดือนก่อน

      Hakumanisha unavo hisi kamanisha katika kutafuta ili ufanikiwe inachukuwa mda na ndomana kasema anavoongeya kama kitu rahisi bro hiyo sio rohombaya ina taka subra naujikaze sana​@@johnlongoy7952

    • @doglassepimack8172
      @doglassepimack8172 3 หลายเดือนก่อน

      Commitment ndio iliyo mfikisha hapo

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@johnlongoy7952😂😂😂😂😂

  • @WilfredMsechu
    @WilfredMsechu หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @RashidRamadhani-b5o
    @RashidRamadhani-b5o 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mpambanaji tuko nyuma yako

  • @ahmedkitandu8403
    @ahmedkitandu8403 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ivi kwann darasa la 7 ndo watu ambao wamefanikiwa kmaisha ndo matajiri kuliko waliofka vyuoni??

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli kwa njombe ni moja ya wakulima wakubwa, ni mpambanaji jamaa

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kiongozi Mungu akupe maono makubwa

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk 3 หลายเดือนก่อน +1

    labda msim upi mzuri kwakilimo cha viazi kwa kupata faida kubwa

  • @RoseMkupala-xw7jo
    @RoseMkupala-xw7jo 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kaka,mi natamani kulima parachichi ila sina utaramu nitakupataje naomba namba yako,tafathali

    • @benedictmfoi3680
      @benedictmfoi3680 4 หลายเดือนก่อน

      Nenda njombe katembelee mashamba ujifunze

    • @BalengaTanda-fz4cl
      @BalengaTanda-fz4cl 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂namba ya billionaire ya nini jaman

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 3 หลายเดือนก่อน +1

    Stivini Jones Muimbila

  • @emanuelmsaky8074
    @emanuelmsaky8074 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi shamba la heka moja shilingi ngapi sahiv hapo njombe

  • @Laizer3
    @Laizer3 4 หลายเดือนก่อน +6

    Ivi kwanini watu walioishia la 7 wanawazidi utajiri wasomi wa vyuo vikuuu?

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 4 หลายเดือนก่อน

      Lakini pia hao waloishia la 7 wanazingatia kwa uaminifu mkubwa na kwa umakini sana ushauri wa wasomi,, ndomana wanafanikiwa, tofauti na wasomi, wao wanatabia ya kudharau. Ndo maana wasomi wengi hawafanikiwi.

    • @joshuajustustz
      @joshuajustustz 4 หลายเดือนก่อน

      NIDHAMU

    • @kachorionlinetv497
      @kachorionlinetv497 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wasomi Wengi hawataki Kujishusha na Kuanzia Chini Kufanya Kazi Ndogo Ndogo Lakini aliemaliza la 7 hasubiri Bali anaanzia Popote...

    • @franklyn7439
      @franklyn7439 3 หลายเดือนก่อน +3

      Kati ya wasomi na wasiosoma matajiri wengi ni wasomi. Story za matajiri wasiosoma zinavutia zaidi ndio maana ni maarufu. Msomi akiwa tajiri watu hawastuki

    • @G-JMK69
      @G-JMK69 3 หลายเดือนก่อน

      Risk taking ability

  • @habyhabib7538
    @habyhabib7538 3 หลายเดือนก่อน

    Ukishakua muandishi jitahidi unapofanya uchunguzi hakikisha taarfa ziwe sahihi
    Sio kupotosha wananchi
    Inakera sana kupotosha jamiiii

    • @MoviesAde
      @MoviesAde 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa kampotosha nani??? Anae hojiwa it’s true ana shamba na nimkulima, yeye anauliza tu maswali na mkulima anajibu, kapotosha nini sasa?? Acha makasiriko na jaribu kujifunza huku ukiweka positivity in things, Dah! Comment yako ya roho mbaya sana

    • @habyhabib7538
      @habyhabib7538 3 หลายเดือนก่อน

      @@MoviesAde
      Nenda saloon urudi u comment!acha manung'uniko au unataka utumiwe maparachichi ??ulitoka kwa laisa haya umehamua ktk maparachichi,sio lazima kila mahal u comment!tuliza kizaga hapo

  • @WilfredMsechu
    @WilfredMsechu หลายเดือนก่อน

    Wewe hinajini gani

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kilimo!! Jichanganye!!!!😅😅😅😅😅😅

  • @melch3097
    @melch3097 3 หลายเดือนก่อน +1

    Welldone

  • @Revelation1412.
    @Revelation1412. 4 หลายเดือนก่อน +2

    Daah,
    Nmejifunza mengi kwa huyu jamaa

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana.

  • @florenciamassawe4925
    @florenciamassawe4925 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni huduma gani zinazohitajika kwenye miti ya parachichi 6:15 6:18

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 4 หลายเดือนก่อน +1

    Eeet anamajiniii jmn pambana ufanikiwee usaidie ndgu zako

  • @MikeTheoberty
    @MikeTheoberty 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nemes ze Don

  • @RamadhaniSelemani-bn1fz
    @RamadhaniSelemani-bn1fz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda kilimo

  • @PIGSTz
    @PIGSTz 4 หลายเดือนก่อน +4

    Everything is possible

  • @josephtesha872
    @josephtesha872 3 หลายเดือนก่อน

    My hoppy one day💓

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 3 หลายเดือนก่อน

    KAKA STEVEN MBONA SISI WENZENU TUNAUZA KWA HASARA?WENZETU MNAUZAJE MPAKA MNANUFAIKA HIVYO?

  • @gracekilacy512
    @gracekilacy512 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimecheka kwa sauti

  • @fristonactary1371
    @fristonactary1371 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ShortKat Kaelezea! Jichanganye SASA🤣🤣🤣

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 3 หลายเดือนก่อน

    MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUONGEZEA KAKA ANGU

  • @SuleimanEdward-f1n
    @SuleimanEdward-f1n 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana kiongozi

  • @faridajuma7960
    @faridajuma7960 2 หลายเดือนก่อน

    Mawasiliano yake please

  • @hamisathuman-ef2ug
    @hamisathuman-ef2ug 3 หลายเดือนก่อน +3

    Usitoe namba zako mabinti washakutamani

  • @afrodailytv4335
    @afrodailytv4335 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi sehem kama arusha magugu unaweza kulima zao gani?

    • @Iamscoobyjr
      @Iamscoobyjr 2 หลายเดือนก่อน

      Karanga & mchele nafkiri na vitunguu vinafanya poa hapo

    • @afrodailytv4335
      @afrodailytv4335 2 หลายเดือนก่อน

      @@Iamscoobyjr vitunguu vinafanya vizuri sokoni nianze kufanya research?

  • @mariakabonge
    @mariakabonge 3 หลายเดือนก่อน

    Au naweza kukupigia wewe au ripotar wako please nikonecti na huyo ndugu me pia nimenunua shamba huko, please nisaidie

    • @husaynjibreel3605
      @husaynjibreel3605 2 หลายเดือนก่อน

      Niko apa hii inawezekana sana

  • @sheikhfadhilaljahdhamy6751
    @sheikhfadhilaljahdhamy6751 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shamba limeweza kufanya billionare

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 4 หลายเดือนก่อน +5

      Ulaya na marekani mkulima ni Tajiri huku kwetu tu ndo kinyume

    • @BARAKA-ns3jv
      @BARAKA-ns3jv 4 หลายเดือนก่อน

      Asante Kwa kumuelimisha. Huyo

    • @birianination7097
      @birianination7097 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@FahadAbubakari mbona huku wapo wengi tuu!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      @@birianination7097 ila c wengi

  • @hasirazahoro4938
    @hasirazahoro4938 3 หลายเดือนก่อน

    Halafu anatokea mvivu mmoja anamuita mchawi

  • @paschalkigala6628
    @paschalkigala6628 3 หลายเดือนก่อน

    Jichanganye.

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 3 หลายเดือนก่อน

    naomba namba yake

  • @Jigwa61
    @Jigwa61 2 หลายเดือนก่อน

    Namba ya kuwasiliana nae

  • @giftchristianmeela1409
    @giftchristianmeela1409 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wakenya wakiona hii wanahamia huko njombe 😅

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wahamie mara ngapi?

    • @zolongOne
      @zolongOne หลายเดือนก่อน

      Wananunua sana maparachichi kutoka Tanzania, wanafungasha huko Kenya halafu wanaexport kama product of Kenya kumbe maparachichi yametoka Tanzania.

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kila Biashara inalipa ukihadithiwa!!!😂😂😂😂

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 3 หลายเดือนก่อน

      Mbona yeye imemlipa? Issue sio kuhadithiwa issue ni kuingia shambani nakuanza ifanya

  • @kephathicke9452
    @kephathicke9452 3 หลายเดือนก่อน

    kuna hawa wa lasaba'A af kuna nyie wa chuo kusubiria kuajiriwa mpate 10M kwa mwezi

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiitaka pesa ya parachichi ni lazima uingie front kama hivyo. Kaa porini fuatilia kila hatua ya ukuaji wa miche, hadi utakapotoka baada ya miaka mi 3... vinginevyo hiki kilimo hakitaki simu...

    • @PeterMinde-y3b
      @PeterMinde-y3b 2 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni point kaka, tuache kilimo cha remote

  • @mariakabonge
    @mariakabonge 3 หลายเดือนก่อน

    Please milad naomba nitumie number zake

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 2 หลายเดือนก่อน

    TRA sent you a friend request

  • @willisonTheonest
    @willisonTheonest 3 หลายเดือนก่อน

    Balikiwa ukitaka Mali kaifate shambani

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ekari 100 siyo mchezo

  • @BernadetaMwemtsi
    @BernadetaMwemtsi 4 หลายเดือนก่อน

    Ushauri mzuri sana

  • @CharlesEdwardCvanoedward
    @CharlesEdwardCvanoedward 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna miche ile ya sh 20,000/ ni mizuri sana ni miezi nane unavuna nilinunua kwake Nemes

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 3 หลายเดือนก่อน

    Nina shamba la miti nauza lina eka 10 lipo ukange, Lupila makete..

  • @vom84
    @vom84 4 หลายเดือนก่อน

    Parachichi ni hela

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba number jamani

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 3 หลายเดือนก่อน

      Ili iwaje Bi Salma si umeolewa ww?

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 4 หลายเดือนก่อน

    Natamani nipate mawasiliano yake

  • @mohamedaden8483
    @mohamedaden8483 4 หลายเดือนก่อน

    Maparachichi hayahaya ninayoyajua mimi?

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂we si kazaramooo parachch utalijulia wap

  • @asmahozza8468
    @asmahozza8468 4 หลายเดือนก่อน

    Tunapataje mawasiliano yake

  • @erickagwe8841
    @erickagwe8841 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni milionea au bilionea? Jamani tofautisheni B na M.

    • @RutaRubedi
      @RutaRubedi 3 หลายเดือนก่อน

      Faida ya kuvuna mara moja ni 200ml, akivuna mara tano tu tayari ni bilionea

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@RutaRubedikibongo bongo atakuwa ni Billionaire ila kidunia atakuwa millionaire

  • @NeemaShababi-nu8dr
    @NeemaShababi-nu8dr 4 หลายเดือนก่อน

    Vipi kuhusu mbengu

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndoto yangu ni kuwa bilionea wa kilimo cha Chinese,,,Nipo hapa nasaka mtaji.

    • @RutaRubedi
      @RutaRubedi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu ni mwema utafanikiwa

    • @PeterMinde-y3b
      @PeterMinde-y3b 2 หลายเดือนก่อน

      Acha ukenge kijana, labda ukalime hiyo chinese China 🤪😜

    • @siamnyone8403
      @siamnyone8403 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @Gersah
      @Gersah 2 หลายเดือนก่อน

      Amiin

    • @afrodailytv4335
      @afrodailytv4335 2 หลายเดือนก่อน

      Una masoko?

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mchawi tu

    • @jimodefighter
      @jimodefighter 4 หลายเดือนก่อน +1

      acha ufara co Kila ki2 uchaw

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo maana umekuwa masikini wa kutupwa kwasababu tu ya kuamini uchawi

  • @jewtv1732
    @jewtv1732 4 หลายเดือนก่อน +2

    NAMJUA HUYO JAMAA ANA MAJINI KINOMA

    • @SaidShemkieti
      @SaidShemkieti 4 หลายเดือนก่อน

      Majini au madini ?

    • @ikokijuma-zv7wd
      @ikokijuma-zv7wd 4 หลายเดือนก่อน +2

      Acha usenge we unamangap

    • @colletatesha5265
      @colletatesha5265 4 หลายเดือนก่อน +1

      Aisee ukiskia wachawi ndio uyu anaemsema mwenzie ana majini

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hata mimi nakujuwa wewe. Wewe ndio JINI lake kuu

    • @jamesnyamila2165
      @jamesnyamila2165 4 หลายเดือนก่อน +1

      Tafuta na wewe hayo majini

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 4 หลายเดือนก่อน

    Awagonje tra sasa

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 4 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni mali ya shamba wewe tra waende wapi

    • @KimaroGodliving
      @KimaroGodliving 4 หลายเดือนก่อน

      True.watamtembelea.

    • @kananiomwamirwenyagira8374
      @kananiomwamirwenyagira8374 4 หลายเดือนก่อน

      Mazao ya kilimo hayana kodi😂😂jiongeze ninushuru wa mazao tu..zile buku buku

    • @christopherjoseph8330
      @christopherjoseph8330 4 หลายเดือนก่อน

      Ushuru masokoni hapo shamba tra hawaendi

  • @EdwinByamungu
    @EdwinByamungu 2 หลายเดือนก่อน

    😂😅

  • @QueenStella-j8m
    @QueenStella-j8m 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana