JIJI LA ARUSHA LAKANUSHA MADAI YA MDAU WA UTALII, MKURUGENZI AWEKA BAYANA/WAKIENDA VIJANA WANATSHIWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- #jambotv
Siku chache baada ya Mwenyekiti wa chama cha mawakala wa utalii Tanzania (TATO) Wilbard Chambulo kuituhumu Halmashauri ya jiji la Arusha kudai kuwa ameilipa Halmashauri hiyo milioni 24 kwenye kodi aliyokuwa akidaiwa lakini akashangazwa kuona taarifa za malipo alizopatiwa zinaonesha kuwa amelipa milioni tatu (3) pekee hivyo kuibua hisia hasi na madai ya uhujumu wa fedha za umma kwa baadhi ya maafisa wa Halmashauri ya jiji hilo leo, Jumatatu Aprili 15.2024 Halmashauri hiyo imekanusha vikali madai hayo
Akizungumza na wanahabari ofisini kwake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo Mhandisi Juma Hamsini amesema madai ya Chambulo ambaye ni mfanyabiashara na mdau wa masuala ya utalii wa muda mrefu si ya kweli, kwa kuwa baada ya kuibua tuhuma hizo Halmashauri ya jiji la Arusha na ofisi ya Katibu Tawala mkoa wa Arusha ilifanya ufuatiliiaji wa taarifa za mifumo ya kikodi za Chambulo (kwa kuwa hakuna fedha inayopokelewa mkononi), na baada ya ufuatiliaji huo wamejiridhisha masuala kadha wa kadha yanayoleta utata wa ushiri wake kwenye ulipaji wa kodi za serikali hususani zile anazopaswa kulipa kwenye Halmashauri hiyo
Mhandisi Hamsini amesema inadaiwa kuwa Chambulo anamiliki kampuni mbili tofauti ambazo ni 'The Tanganyika Wilderness Camps Limited' na 'Tanganyika Wilderness Camps Limited' ambazo kampuni zote hizo licha ya kwamba zinafanya shughuli zake kwenye maeneo mbalimbali lakini usajili wake umefanyika Arusha, lakini namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN) inayotumika ni moja jambo ambalo linaleta majawabu kuwa mmiliki wa kampuni hizo ni mtu mmoja ambaye ni Wilbard Chambulo
Hata hivyo Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa kwenye kumbukumbu za kikodi inaonesha kuwa mauzo ya mfanyabiashara huyo Kwa mwaka yanafikiwa bilioni 90 ambapo katika fedha hiyo kodi anayopaswa kulipa Halmashauri ni milioni 200 na ushee ambayo kimsingi anadaiwa kwa kuwa licha ya kwamba anaeleza kulipa milioni 24 lakini 'demand note' aliyotumiwa na Halmashauri ni milioni tatu (3) pekee
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Mm ni guide wa utalii miaka mingi mr.chambulo ni mlipaji mkuu wa taxi pia amesaidia sana tanapa visima hadi magari.
Ni kweli kabisa
Sasa hapo unamjibu nani kwanini barua hiyo usingeitoa sikuileile wewe ni mwizi hata Kwa macho inaonekana. Na mipete Yako ya uganga
Shida hamsomi alama za nyakati, yaani Mh. Makonda chuma yupo hapo mnaleta utani. Haya shauri yako, boss Makonda yupo kazini
Makonda safi safi sana umemtoa nyoka pangoni mbona mkurugenzi kabla ya makonda kuja? kwahiyo moto wa makonda umekuibua mzee
Nimefanya kazi kwenye hiyo miaka 12 Tanganyika ni moja siyo mbili labda herufi zimekosewa kuandikwa pia huyo Kaburu siyo mbabaishaje
Huyu mkurugenzi alikua wilaya ya serengeti. Ni mbabaishaji sana
Hivyo tena
Huyu mkurugenzi kafanya tofauti na maagizo ya mkuu wa mkoa. Hizo documents nadhani ni siri hapaswi kuzionyesha hadharani, sio maadili
Wapigaji bado wapo,
Kama kampuni ni mbili mulikubalije itumie TIN namba moja
Kuna viashiria vya upigaji hapo
Kabisa
Ndugu Mto mmoja anauwezo wa kua na kampuni zaidi ya moja lakini Tin ikawa ni moja tu.
Mbona inshu ndogo hii itisha mdahalo baina yake na wee muwe live tuone nan mbabaishaji😊
Sawa kabisa
Watueke live banaa…
Itaondoa huu ubabaishaji
Mkurugenzi kajikanyaga...umeitishaje kikao kuelezea Mambo ya mkuu wako aliyokuagiza..?
Dah! huyu jamaa Muongo sana mama Samia tumbua huyu mtu
Jamaaaan jamaniii mkurugenzi jamani sali sala ya mwisho mwaka huu ni wako mama wa nchi anakupotcry😢😢😢😢
Juma 50 we ni mwizi sana tunakujua we ni mwizi kabisa umetoka serengeti kwa wizi mzee acha kukwepa we mwizi tuu
Hivi watendaji wa Arusha mna nini lkn mbona wababaishaji sana?
Huyu hana akili, hiyo The Tanganyika mnayo leseni ya biashara ? Hiyo control number ulipataje ya The Tanganyika bila TIN number?
Mkurugenz hautatoboa kwa hiliiiii. Tuko paleeee tumekaaa. Kaburu ni mtu anayesifika sanaaa kwenye mambo ya kulipa kodi hua hana kona kona. Kwa acheni kubambikiza watuu
Ameyatimba
😅😅😅Nimekuja hapa
Mbona kayakanyagaa
Hongera sana Kiongozi kwa makusanyo mazuri ya jiji, nakumbuka hili suala la kulipa kidogo kidogo tulilijadili katika vikao mbalimbali baina ya wafanyabiasha na wewe binafsi
Ww mwehu pia huyu ni mwizi tu
Siku utafatwa utaambiwa hujalipa awe amezilamba ndio utaelewa😂😂
Veep bado unampa hongera au haituhusu😅😅😅
Sasa mkutano sio wako unaelezea nini ?? Maana yake unamjibu boss wako au
MKURUGENZI UMEKWISHA
Kwann watoe control number moja kwa kampuni 2
hawa majambazi ukiwaibua wanaanza kukutafutia visingizio vya kisenge kisenge
Unahakiri sana jamaa kama mimi
Mkurugenzi umeeleweka vizuri sana!!..nafikiri hapo ni mkanganyiko mdogo tu..sasa mnatakiwa mkae kama mlivyoelekezwa na Makonda
kwanza alie leta sheria za wazungu service levy ni sheria za wazungu na hizi wazungu wanachajiwa kwasababu ya bill za nyumba na umeme na maji ndio maana zikaitwa jina hilo
Kwishaaa bora ungesbria tu aisee mana hpa uliyatafta mwenyewe Makonda hataki unafki
Kiukweli maelezo yako yako clear mkuu ki professional
Yapo clear kwenye makaratasi ila kiuhalisia wamempiga labda kama hujawah kupita huko
Mmh mkurugenzi amelemewa na Mapete mengi
Kinga za watu
😂😂😂😂
Hautaelewka mpaka muwe nae hapo ana kwa ana. Hao waandishi sio watalamu. Mruhusu auditor ama mtaalamu wake wa kodi nae awepo. Hata wewe ukiulizwa umetuelewesha nini hUwezi eleza.
Mkurugenzi umecheza pabaya aiseee😂😂😂😂😂😂yaan umechuchumaa cha kikeni
Nipewe mimi hii nafasi yako yaan watu watafurahi
Mbona hukuongea hivyo kwenye kikao cha makonda na mwenye kampuni akiwepo pale. Jiji la arusha wapigaji msitumie nguvu kubwa sana kujitetea. Unachofanya hapo ni kumtafutia makosa mfanyabiashara.
Hataa Mimi najiulizaaa mbon hawakutoa hojaa alfuu piaa yulee anaonekanaa anauhakika kabisaaa na achokisema na wenzakeee itakuwaaa wanamuamin kabisaaa😅😅😅😅😅😅😅 huuu mwakaa watakomaa
Mh. Mkurugenzi kampuni haitambuliki kikodi kwa jina bali kwa TIN yake na ndio maana hiyo kampuni moja hazionekani kwenye mfumo wa tausi
Very eleborate
Hongera sana Mr HAMSINI
Ukiona msg za watu wasiofahamu na wanaokimbilia kukosoa utajua ndio utajua uhasama usio na msingi ambao watanzania tunajengeana
Mkurugenzi huyu achunguzwe haraka sana
Bana kusengenya ni mbaya sana ulikuwepo ungekataa palepale
Mpaka nywele kanyoa 😂😂
@@mariamcleophas272mmbeaaa weww kama Mimi nkajuaa nmeonaa tofaut😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu ni TAPELI bhana Muongo
Sawa kwanini hukumpinga pale pale
Ni nzuri mno
Kwanza kabisa waanze naye huyu ...angalia vidole vimejaa Tanzanite. Hawa ndio wezi wakuu
Freemason huyu Pete kama shetani lakini si shehe huyu kawaida yao
Kuna waadilifu wa kazi, na wasio waondolewe.. ila hutuwezi kuona kila mtu mwizi tuhukumu kazi yake. Bila hivyo tutafika pabaya. Akiwa kweli kakosea kwenye kazi hata mm naunga mkono aondolewe... ila kama anaongea ukweli tufike mahali tujue ukweli una maana. Si kila mtu anaemtaja Mungu ana Mungu... wapeni watu nafasi wafanye kazi na wahukumiwe kwa kadri ya matendo yao. Sijaona kosa lolote la huyu Baba.. kudeserve kelele zote zilizopo.
Wewe ni tapeli mwongo Utajuwa Hujuwi . Siyo yeye ni Wewe . Chambulo ni mlipaji Ushuru hakiki wewe ni dhalimu tapeli mlaa kodi za walipa kodi . MKUU MAKONDA ATAKUTIBUWA MTAKAPO KUWA WEWE TAPELI NA CHAMBULO MBELE YA MKUU MAKONDA Taka taka hii fagia mwizi mlaa kodi za wa tanzania 🇹🇿.
Huyu Mkurugenzi amesha pigwa chini tayari. Huyu si ndio yule aliye lia mbele ya JPM. Ni mwizi navwatu wenzake ngoja tume iundwe mtasikia niko pale nasubiri😂😂😂😂
Alilia nahisi ilikuwa mkoa wa mara
Mkurugenzi katafakari saiv kaburu atakiona, muheshimiwa usipaniki kaburu nimemsikiliza hajasema kama halmashauri wizi ila kazungumzia kuhusu utitiri wa kodi ubadilike! Hapo usijichanganye kiongozI.
Acha janja janja
Ushaumbuka
Nyinyi ni wezi hayo yote kwanini hamkukaa nae kabla ya mkuu wa mkoa kuitisha kikao hicho na kwanini hamkumpa clarifications hizo ili ajue yeye anasimamia wapi na kwa maana iyo mnataka kusema mkurugenzi huyo hajielewi !! Au haelewi nini anafanya ??!! Na kama ni kweli mnachokisema basi ofisi yenu haina utendaji mzuri kwa wateja wao inabidi mbadirike na si vinginevyo
Na mimi nimesema hivyo hivyo mpaka Makonda kaja ndio wanaanza kujambajamba. Na sasa hivi kila sehemu wanaanza kuweka lami😊
😂😂 Tetemeko limeanza 😅😅, kwanini hakujibiwa pale
Data hazihifadhiwi vichwani mwa watu zinakaa kwenye makaratasi na kompyuta hata kama ni wewe hauwezi kujibu papo hapo utatoa taarifa ya uongo halafu inakugharimu tuache kushabikia tusiyoyajua hata huyo RC hawezi kutembea na rekodi za ofisini kichwani hats mambo ya nyumbani kwake ya miaka hata mmoja uliopita hayajui yote
Mkurugenzi utaniambia hiyo barua umeipelekea kwenye kampuni ipi maana hakuna kampuni mbili yenye tin no moja?
Kivumbiii
MKURUGENZI MSENGE HUYU😂😂😂
duh!cheki ulivonilia mikausho kama kweli vile we noma😂😂tunasubil kikao cha pili mbivu na mbichi zitajulikana
Ndohapoo sasaa utafkiri sikuile hapakuwaa na muwakilishii waoo😅😅😅😅😅😅😅
Tayari yametimia 😅
Ili kukwepa mitafaruku kama inchi tunao wajibu wa kujua kila mkoa au kila wilaya anasyahili kulipa nini?, Ili kupunguza malumbano na tarifa za uongo. Huo ndiyo usomi na utanzania.
Kwa nini kama makampuni 2 tofauti control no ni moja hujamaa ni mwizi
Uwezi kuwa na mkurugenzi ana mapete kama mcheza mziki awezi kuwahudumia wananchi Sasa yeye analalamika Nini wakati mdau ukasema ukweli mama badilisha hao ndio wanakuvhafua awafanyi kazi ni mapete tu
hizi kodi zingekua zina katwa na tra ,moja kwa moja unapewa control number moja tu huu ni usumbufu sana
Nyie mmejichanganya kuna kitu mmekosea kuweni Makini..otherwise itawatokea Puani..Chambulo ana B 4 amarudishiwa na Bi Mkubwa hawezi kushindwa kulipa Deni la 200m
Wee utapoteza kazi ngoja kidogo tuone moto
Siku zote mlikuwa wapi hadi timu iundwe baada ya mteja kulalamika??
Hapo hamna tofauti usituchanganye mmekula pesa na lazima mcheue tu.
Kwa tanzania yetu magufuri ndo aliweza watu kama nyinyi
Hii serikali bado inatunza kumbukumbu zake kwenye majala aisee. Kwann msiweke nyaraka hizo online?
Hayo mapete mawili makubwa unayavaaje Mkurugenzi mzima, umekuwa Diamond Platnumz
Aibu hii
hapo kampuni ni moja tu wàsaidizi wamemshauri vibaya...Brela huwezi kusajili kampuni mbili zenye mfanano wa majina kama hivyo
Uchawi
Inawezekanaje kampuni mbili tin namba moja, na ninyi ndo watoaji wa tin namba na leseni ,umakini mdogo kwa watendaji wa manispaa ya jiji la arusha.
Alikuwa ameandaliwa kuwachafua huyo mzungu koko sasa ndiyo mtamwona RC wenu kama kweli ana hekima au la
Huyo hafai kabisa. Mtu mwongo ni mwizi pia.
Mkurugenzi umeyatimba. Bora usingejibu. Kama mkuu wa mkoa amesema timu iundwe, kiherehere cha nini?unataka kuwatoa watu katika reli?
Ataelewa shoo ya makonda
😅😅😅😅😅
Mh Paul makonda huyu mkurugenzi bado Hadi Leo Yuko mitaani Dah jamaa anapingana Na mkuu wake wa mkoa 😂
Kwa akili ya kawaida kweli ile hotel ya chambulo ya arusha inaweza ingiza sales za billion 90 kwa mwaka?!!
Why one TIN number ?
Hiyo tausi nayo unaizumgumzia kama iko effective mbona ina gota gotaga?
Alikuja huku baada ya kuumbuliwa na makonda leo
Mmmmmmh apo mwenyekiti kapigwa
Huyu ni janja nyingi
Mkurugenzi kaoshe kucha😅
TRA, aliulizwa akasema anawapa mkanganyiko wote kwa Mara moja. Yeye analipa kwa makambi yake yote mpka serengeti. Sasa mnataka alipie halmashauri ya serengeti kwenu??
Uwongo Mtupu,na Wizi Mtupu bila kusahau ubabaishaji mwingi hata maelezo Yako unaonekana Mbambaishaji Tu WEWE Mkurugenzi
Jaribu kufuatilia huko Brela.Kwa mifumo ya Brela huwezi kuwa na jina la kampuni inayotofautiana neno pekee
"THE" chunguzeni kwanza kwanini Brela wameweza kuzisajili hizo kampuni kwa majina yaliyofanana na kwa nia gani vinginevyo hiyo kampuni ni moja
Pumba kabisa...hv unatambua kwenye failure ya mfumo ndio kwenye mafanikio mpaka marekebisho ya mfumo yafanyike... Declare failure fanya marekebisho kisha songa mheshimiwa 😂
Chambulo chambulo be carefully...
Unaogopa hiyo mipete😂😂😂
Ubosi ni kazi ngumu sana Kama upo mbali na Mungu
Kodi zinapokuwa kubwa huwa zinachanganya na kukatisha tamaa!!..Shida watoza kodi sio wanafanya biashara, kwa hiyo wako kinadharia zaidi kuliko uhalisia!!!
Kama ulikuwa unajuaa the Tanganyika na Tanganyika ni ya mtu mmoja Sasa. Sawa wasomi came look this. Umekuja online weka live😂
Kwani haya maelezo huyu mkurugenzi anayatoa hapa ni kabla au baada ya kile kikao cha juzi na RC Makonda?
Iwapo kikao hiki na waandishi huyu mkurugenzi amekifanya baada ya hiki cha juzi kilichovuta hisia za wengi, basi, huu ni utovu wa nidhamu na subordination ya hali ya juu sana.
Ndio uyu Kuna kipindi alikuwa ana lialia ovyo kwenye mkutano wa Magufuri
Arusha wanajulikana ndio Maana kaletwa Makonda
Umeeleweka Mkuu
Mmmh!
Mkora, mwizi mkubwa amepatikana.
Hawezi kusema uongo, na hiyo timu inayoundwa itoke mbali na mkoa huu
Wazee wakubambikiziaaa watuuu.
Why tin namba ni moja????
Wacha ubabaishaji we mkurugenzi mbona unaitisha mkutano wa waandishi wa habari bila yeye kuwepo?? Angetakiwa naye awepo ndio ajibu hoja !! Wewe unatetea upigaji tu !!
Muheshimiwa watu wengi tu hapo halmashauri wanapokea pesa mikononi
Hayo mapete kwako kiongozi yana kazi gani? Au kwaajiri yaaaaa
😂
Atakula wapi akivua izo pete,anaishi Kwa chuma ulete
ndg ebu tujadili hoja iliyoko mezani sasa habari ya amevaa nn mbona mnahamisha magori?
Mumumuandikia baruwa yakupokea milion 3 hamkkumuandikia baruwa za kupokea milion 21
Mkurugenzi unajikologa kampuni mbili kwanini TIN numba moja?
Eti
Sasa mbona umeongea kabla ya tume
Makonda kadema arusha,kazi munayo.
Mmmmh
Umejichanganya DED unaacha kushughulikia maagizo unaitisha press conference hukijui chuma makonda
Mzee kuwa makini sana na mfumo usije bananishwa ukakosa majibu.mbona mfumo hautoi demand not.mpaka hard cop ndo mupeleke.
Haki haifichiki, hata uizike ardhini iko siku itaota kama uyoga.
Kampuni mbili haziwezi kua na TIN moja. Hii haiwezekani kuanzia brela mpaka TRA.
Second huruhusiwi kutaja taarifa binafsi za kampuni binafsi (private company) unless kuwe na swala la kisheria na upewe ruhusa kutoka mahakamani. Shida ya watumishi wa serikali wengi ni unprofessional. This is too unprofessional and a personal attack 🤕🤕🤕
Alichosema yeye ni SEVIS revi sio tra
Mwizi wewe waandishi ndo wamekuajiri? Chambulo huku kwetu karatu ni mlipaji mzuri na ameajiri wazawa
Kazi mnayo na huyo comed
The ndio nini hapo Bana nyinyi,, tunachoangalia ni wilderness
Sizani kama kuna kampuni mbili zenye tin no moja hili ni tatizo nyie jiji mnamatatizo mistake kutoa visingizio
huyu jamaa ana jielewa kweli kazi ya kusajili kampuni kwenye mfumo ni ya mfanya biashara au afisa biashara
Online registration anafanya muombaji
Yeye ana kosa gani?
Mkuu hizo Tanzanite tu inatosha kukupa page yako