Bongo Project
Bongo Project
  • 229
  • 281 430
Q CHILLAH - Full Interview na Bongo Project
Fuatilia mahojiano haya kamili ya Q Chillah na timu ya Bongo Project. Ametusimulia mengi sana humu. Usikose!
#qchillah #bongoproject #bongofleva #qchief #tanzania
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org/
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: bongo_project
Facebook: Bongo-Project-102566415873260
TikTok: www.tiktok.com/@bongoproject
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org
มุมมอง: 84

วีดีโอ

Q CHILLAH - Alikuwa na Haya ya Mwisho Ya Kusema | Komasava NOO! - Part 3
มุมมอง 212วันที่ผ่านมา
Sehemu ya mwisho ya mahojiano kati ya Bongo Project na Q Chillah. Usikose #qchillah #qchief #bongoproject #bongofleva #tanzania Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake. WEBSITE bongoproject.org/ SOCIAL MEDIA Instagram: bongo_project Facebook...
Q CHILLAH - Walinikamia Sana | Niliacha Mpira Nikaingia Kwenye Muziki - Part 2
มุมมอง 361วันที่ผ่านมา
Sehemu ya pili ya mahojiano kati ya timu ya Bongo Project na mkongwe Q Chief, Q Chillah. Fuatilia kiundani #qchief #qchillah #tanzania # bongoproject #bongofleva Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake. WEBSITE bongoproject.org/ SOCIAL MEDIA Instagram: ins...
Q-CHILLAH - Huyu Hapa Q Chillah, Q Chief, Savimbi - Sikiliza Story Yake Ya Kusisimua - Part 1
มุมมอง 63814 วันที่ผ่านมา
Leo tuko na mmoja wa wasanii bora kabisa wa muda wote kwenye tasnia ya Bongo Fleva, Mkali Q Chillah, Q Chief. Fuatilia mazungumzo haya kujua historia nzuri kabisa ya mwanamuziki Abubakar Katwila. Usikose #qchief #qchillah #bongofleva #bongoproject #tanzania Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za...
BANANA ZORRO - Full Interview na Bongo Project
มุมมอง 13921 วันที่ผ่านมา
Interview nzima kati ya timu ya Bongo Project na Banana Zorro. Usikose hii! Banana amezungumzia mengi ya safari yake ya muziki na maisha. #bananazorro #bongoproject #bongofleva #tanzania Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake. WEBSITE bongoproject.org/ SO...
BANANA ZORRO - Muziki Una Pesa Ya Kutosha | Sihitaji Kazi Nyingine - Part 3
มุมมอง 8328 วันที่ผ่านมา
Sehemu ya tatu na ya mwisho ya mahojiano kati ya timu ya Bongo Project na Banana Zorro. Usikose hii amezungumzia mengi ikiwemo utajiri uliopo kwenye kazi ya muziki, familia yake na mengine mengi. #bananazorro #bongoproject #bongofleva #tanzania #bband Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa...
BANANA ZORRO - Muziki Zamani Ulitawaliwa na LOVE | Ampa Sifa Harmonize - Part 2 #bongofleva
มุมมอง 159หลายเดือนก่อน
Sehemu ya pili ya mazungumzo kati yetu na Banana Zorro. Ametiririka mengi huku akielezea vibao vyake pendwa vya zamani ikiwemo mama yangu, zoba, nzela, na nyingine nyingi. Amezungumzia pia tofauti ya muziki wa sasa na zamani. usikose! #bananazorro #bongoproject #bongofleva #tanzania Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, his...
BANANA ZORRO - Huyu Hapa Banana Zorro | Anadunda Town Bila Ngoma Mpya - Part 1
มุมมอง 1.5Kหลายเดือนก่อน
Leo tuko na bingwa wa mavokali, BANANA ZORRO. Anatusimulia mengi juu ya safari yake ya muziki na maisha. Usikose hii! #bananazorro #bongoproject #bongofleva #tanzania Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake. WEBSITE bongoproject.org/ SOCIAL MEDIA Instagram...
BIZMAN - Full Interview na Bongo Project
มุมมอง 287หลายเดือนก่อน
BIZMAN kutoka Inafrika Band - Wana Indege amekuja na mengi sana leo katika meza ya Bongo Project. Hii ni interview maridhawa tuliyofanya naye na ameelezea kwa kina safari yaku ya muziki na maisha kiujumla. Ametuimbia vibao vyake vingi pendwa pia ikiwemo Ametoroshwa. Usikose hii! #bizman #bongoproject #bongofleva #tanzania #inafrika Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi...
BIZMAN - Rushwa Kwenye Bongo Fleva | Bila Pesa Nyimbo Hazipigwi - Part 3
มุมมอง 412หลายเดือนก่อน
Sehemu ya mwisho ya mazungumzo yetu na Bizman. Amezungumzia rushwa na changamoto kwenye muziki wa Bongo. Amezungumzia safari za Ulaya za Inafrika Band na mengine mengi. Usikose! #bizman #bongoproject #bongofleva #tanzania #inafrika Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja ...
BIZMAN - Chanzo Cha Kuingia Bongo Fleva Kutoka Kwenye Band - Part 2
มุมมอง 763หลายเดือนก่อน
Tunaendelea na mazungumzo na Bizman. Hapa ametuonesha umaestro wake kwenye muziki wa Bongo na jinsi alivyohusika na vibao kibao. Tunaona pia jinsi alivyotoka kwenye muziki wa band na kuingia Bongo Flava #bongofleva #bizman #bongoproject #tanzania #inafrika Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za ...
BIZMAN - Ametoroshwa Ni Story Ya Kweli Na Ya Kusikitisha | Ilimkuta Kaka Yake - Part 1 #bongofleva
มุมมอง 2.7Kหลายเดือนก่อน
BIZMAN - Ametoroshwa Ni Story Ya Kweli Na Ya Kusikitisha | Ilimkuta Kaka Yake - Part 1 #bongofleva
AY MASTA - Full Interview na Bongo Project #ay #bongofleva #tanzania
มุมมอง 897หลายเดือนก่อน
AY MASTA - Full Interview na Bongo Project #ay #bongofleva #tanzania
AY alianza kuwa nominated(KORA) nje kabla ya Bongo | Asisitiza Time management #ay #kora
มุมมอง 1.2Kหลายเดือนก่อน
AY alianza kuwa nominated(KORA) nje kabla ya Bongo | Asisitiza Time management #ay #kora
AY - Kushinda Kesi Ya Mabilioni | Biashara Nje ya Muziki | Kufanya Movie USA - Part 2
มุมมอง 3.3Kหลายเดือนก่อน
AY - Kushinda Kesi Ya Mabilioni | Biashara Nje ya Muziki | Kufanya Movie USA - Part 2
AY Akizungumzia Kibao Chake Cha Yule
มุมมอง 252หลายเดือนก่อน
AY Akizungumzia Kibao Chake Cha Yule
AY - Moja ya Wasanii Matajiri Tanzania? Afunguka... - Part 1 #ay #tanzania #yule remix
มุมมอง 8Kหลายเดือนก่อน
AY - Moja ya Wasanii Matajiri Tanzania? Afunguka... - Part 1 #ay #tanzania #yule remix
MAKAMUA - Full Interview na Bongo Project
มุมมอง 2272 หลายเดือนก่อน
MAKAMUA - Full Interview na Bongo Project
MAKAMUA - Alikataa Show Akanyimwa Tuzo | Anaamini Kwenye Mazindiko Ili Kazi Ziende - Part 3
มุมมอง 1762 หลายเดือนก่อน
MAKAMUA - Alikataa Show Akanyimwa Tuzo | Anaamini Kwenye Mazindiko Ili Kazi Ziende - Part 3
MAKAMUA - Tulitoswa East Coast Team | Bifu Likaanza | Tukaanzisha Kundi Letu - Part 2
มุมมอง 3962 หลายเดือนก่อน
MAKAMUA - Tulitoswa East Coast Team | Bifu Likaanza | Tukaanzisha Kundi Letu - Part 2
MAKAMUA - Wakali Kwanza Bado Ipo | Ajibu Tuhuma Za Madawa Ya Kulevya - Part 1
มุมมอง 9882 หลายเดือนก่อน
MAKAMUA - Wakali Kwanza Bado Ipo | Ajibu Tuhuma Za Madawa Ya Kulevya - Part 1
DAZ BABA - Full Interview na Bongo Project
มุมมอง 7922 หลายเดือนก่อน
DAZ BABA - Full Interview na Bongo Project
DAZ BABA - Alikuwa Na Haya Ya Mwisho Ya Kusema | Tuishi Kwa Upendo - Part 3
มุมมอง 1662 หลายเดือนก่อน
DAZ BABA - Alikuwa Na Haya Ya Mwisho Ya Kusema | Tuishi Kwa Upendo - Part 3
DAZ BABA - Je Ni Kweli Alitumia Madawa? | Atoa Ushauri Kwa Vijana - Part 2
มุมมอง 1K2 หลายเดือนก่อน
DAZ BABA - Je Ni Kweli Alitumia Madawa? | Atoa Ushauri Kwa Vijana - Part 2
Daz Baba - Jinsi Wimbo Wa Barua wa Daz Nundaz Ulivyopatikana
มุมมอง 5172 หลายเดือนก่อน
Daz Baba - Jinsi Wimbo Wa Barua wa Daz Nundaz Ulivyopatikana
DAZ BABA - Huyu Hapa Daz Baba Daz Mwalimu | Amefunguka Yote - Part 1
มุมมอง 3K2 หลายเดือนก่อน
DAZ BABA - Huyu Hapa Daz Baba Daz Mwalimu | Amefunguka Yote - Part 1
Waziri Avamia Jukwaani Kuimba Na AY | Lord Eyez, Joho Makini, Fid Q, Sugu Ndani
มุมมอง 2042 หลายเดือนก่อน
Waziri Avamia Jukwaani Kuimba Na AY | Lord Eyez, Joho Makini, Fid Q, Sugu Ndani
AIBU! AY Awaacha Watu Midomo Wazi
มุมมอง 2142 หลายเดือนก่อน
AIBU! AY Awaacha Watu Midomo Wazi
D Knob - Ukitaka Tuzo Fanya Haya | Hizi Ndio Siasa za Tuzo za Muziki
มุมมอง 652 หลายเดือนก่อน
D Knob - Ukitaka Tuzo Fanya Haya | Hizi Ndio Siasa za Tuzo za Muziki
Je Unataka Kufanya Muziki? Sikiliza Ushauri Kutoka Kwa D Knob
มุมมอง 1192 หลายเดือนก่อน
Je Unataka Kufanya Muziki? Sikiliza Ushauri Kutoka Kwa D Knob

ความคิดเห็น

  • @selemanblonzo4483
    @selemanblonzo4483 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hiyo Interview irudiwe kabisa ,jamaa kasema amezaliwa mafinga iringa sasa wimbo wa kigoma all stars na yeye anajiita wa kigoma inakuaje tena katokea iringa ?

    • @bongo_project
      @bongo_project 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Braza. Sehemu uliyozaliwa haina uhusiano na kabila lako au nyumbani kwenu. Sidhani kama Kigoma All Stars ilikuwa ni ya wasanii waliozaliwa Kigoma

  • @abdallahlyimomrwana9134
    @abdallahlyimomrwana9134 วันที่ผ่านมา

    Shida ya huyu kiumbe kuongea kwingi kazi hafanyi 😂😂

  • @user-bs4mx5wo7n
    @user-bs4mx5wo7n 2 วันที่ผ่านมา

    Unankumbusha mbali

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 5 วันที่ผ่านมา

    Ukowapi ww

  • @osca_kitomari_journalist
    @osca_kitomari_journalist 5 วันที่ผ่านมา

    Pamoja kaka naomba kufahamu 'Indege' ni lugha gani

  • @osca_kitomari_journalist
    @osca_kitomari_journalist 5 วันที่ผ่านมา

    Where is MISHI✍️

  • @AishaJuma-s2j
    @AishaJuma-s2j 6 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mb dogg tunamiss nyimbo zako na zinanikumbusha mbali.xana jamani

  • @MsemaKweli-gk9sp
    @MsemaKweli-gk9sp 6 วันที่ผ่านมา

    safe Sana bloo nimeipenda iyo

  • @ntambaracelestin7149
    @ntambaracelestin7149 8 วันที่ผ่านมา

    Ferooz tunakukumbuka zamaan kbs

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py 9 วันที่ผ่านมา

    Acheni shobo Kila kitu kinamuda wake

  • @Lafta_Rapkey
    @Lafta_Rapkey 10 วันที่ผ่านมา

    Nipee tano nami nikurushee mpaka kucheee eehhh Daz Nundaz 🔥🔥

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 10 วันที่ผ่านมา

    Mahadhi ya nyimbo flani ya kihindi

  • @MohammedaminAbdullahi-ou5zh
    @MohammedaminAbdullahi-ou5zh 11 วันที่ผ่านมา

    Ferooz unatambulika adi uku Somalia..yako ni talanta ya kuzaliwa nayo

  • @user-qk2dp9dx2l
    @user-qk2dp9dx2l 11 วันที่ผ่านมา

    Kaka Mimi ni shabiki sugu kwako tuu Hadi sasa mwamba alikuwa anajuwa kabisa

  • @SamuelRuhogo
    @SamuelRuhogo 11 วันที่ผ่านมา

    Kk rudi tena stidioni svp wewe ni mkali sana kuliko wasani wote wa Tanzanie

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 13 วันที่ผ่านมา

    Aminia

  • @mrisho_ikandilo
    @mrisho_ikandilo 13 วันที่ผ่านมา

    Hatar

  • @christopherjames3684
    @christopherjames3684 14 วันที่ผ่านมา

    Maneno ya busara na ya hekma sana brother chilla.

  • @charleskakooza9270
    @charleskakooza9270 16 วันที่ผ่านมา

    Latifah ilikuwa noma sana braza men

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 17 วันที่ผ่านมา

    💯

  • @blessedrider3285
    @blessedrider3285 17 วันที่ผ่านมา

    Yeeeesaya much respect broda

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 19 วันที่ผ่านมา

    "Wametoka Nairobi wamekuja kwenye hii house party" Q chiller

    • @bongo_project
      @bongo_project 18 วันที่ผ่านมา

      Naikubali sana hiyo ngoma. Inaitwa Wiper (Carolina)

  • @wankwapilakitundu3796
    @wankwapilakitundu3796 19 วันที่ผ่านมา

    th-cam.com/video/UznwVTkvXxI/w-d-xo.htmlsi=hQPCxBTCpQmEbt5F

  • @mulondakiyomarodriguerodri7261
    @mulondakiyomarodriguerodri7261 19 วันที่ผ่านมา

    musani nzuri sana ❤❤

  • @brandyshowlife1028
    @brandyshowlife1028 20 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji Ajui kutangaza anachekacheka

    • @bongo_project
      @bongo_project 17 วันที่ผ่านมา

      Angalia interviews nyingine…

  • @user-xm4rj1jr7p
    @user-xm4rj1jr7p 20 วันที่ผ่านมา

    Mi mshabiki wako mpaka leo toka miaka hiyo ya siulinambia❤❤❤

  • @shimirimanaramaky4410
    @shimirimanaramaky4410 23 วันที่ผ่านมา

    ❤😂🎉😢😮😅😊

  • @emperorrashka1490
    @emperorrashka1490 23 วันที่ผ่านมา

    Ferooz is a legend

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 24 วันที่ผ่านมา

    Legend kitambo sana

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 24 วันที่ผ่านมา

    Neno kuipigania sana industry mnalitumia vibaya. Hawa wasanii wasasa zamani waliingia kwenye shows zenu na wengine walishawacheck hamkuwapa shavu wala nn,wamepambana wako pale alafu wewe unataka shavu au kushare kazi yako wakati wako ulishapita hata akiacha kazi zake akadeal na wewe jua ananadrop live. Jiongezeni kama hamkujipanga kuja kulea wajukuu basi kaeni tu kimya inatosha

  • @user-tb3hi9he5f
    @user-tb3hi9he5f 24 วันที่ผ่านมา

    Vipaji vya kweli

  • @munjy11tutorials
    @munjy11tutorials 28 วันที่ผ่านมา

    Hebu mtangazaji next time muulize AY nini kilimsukuma kuandika ule mstari Take money money, get money money, make money money, weka mkwanja mezani ndio kisha nichane......

  • @veekenzo
    @veekenzo 29 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji sauti yako tunaisikia kwa tabu sana. Next time fanyia kazi

    • @bongo_project
      @bongo_project 29 วันที่ผ่านมา

      Hii interview tulipata tatizo kidogo la audio

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 29 วันที่ผ่านมา

    Rafiki song is the best ever by Banana

  • @brendonmarube6893
    @brendonmarube6893 29 วันที่ผ่านมา

    Unazidi kunifurahisha mkurugenzi😂

  • @AkwanySteveArt
    @AkwanySteveArt หลายเดือนก่อน

    Am from 🇰🇪 but you remain the legend of Bongo 🫶🏾✨

  • @gideonaketch7705
    @gideonaketch7705 หลายเดือนก่อน

    I still love the song upto date

  • @Avibrtz
    @Avibrtz หลายเดือนก่อน

    Sasa kama niwamafinga Iringa kwenye Kigoma all stars alifata nini hahaha ujue hawa watu wanatuchanganya na kama wale madogo makomando sijui niwawapi

    • @bongo_project
      @bongo_project หลายเดือนก่อน

      Amezaliwa mafinga. Havihusiani na kabila wala alipokulia.

  • @ngomagenius
    @ngomagenius หลายเดือนก่อน

    USHAURI: Next time ukirecord kipindi kama hiki na mkapreview na kuona sauti ya maswali haisikiki au iko chini Editor aandike maswali yadisplay maana inakua haileti maana sana swali halisikiki ila mtu anajibu inabidi kua makini kuelewa tofati na mtu akisikia swali Pia kunogesha zaidi mnaweza kua mnaongezea cuts za picha zao za zamani wakiwa stage,studio au picha zao za zamani vide audio kama kionjo inaweza kua issue kwasababu ya copyrights ,picha kama mtandaoni hamzipati waombeni wasanii huwa awanakua nazo .KAZI NJEMA

    • @bongo_project
      @bongo_project หลายเดือนก่อน

      Shukrani sana. Wazo zuri ni vile tu Mambo ni mengi sana…tutajitahidi ila siku za usoni.

  • @user-js5ww2mf7h
    @user-js5ww2mf7h หลายเดือนก่อน

    God is the unmovable mover

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x หลายเดือนก่อน

    Good talent Tundaman

  • @ZavaraTv
    @ZavaraTv หลายเดือนก่อน

    Poa sana Wazee, #bongo_project

  • @ElizabethJoseph-lk2mw
    @ElizabethJoseph-lk2mw หลายเดือนก่อน

    Aiiiii.... Huhaaaa