AFANDE SELE - Azungumzia Maisha Asili, Maisha ya Shamba, Siasa na Falsafa Zake - Part 4
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2024
- Tumeendelea mazungumzo na Afande Sele. Anazungumzia maisha yake ya bush, uhusiano na wasanii wenzake wakongwe, siasa, na mengine mengi. Usikose hii
#afandesele #bongofleva #bongoproject #morogoro
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org/
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: / bongo_project
Facebook: / bongo-project-10256641...
TikTok: / bongoproject
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org - บันเทิง
Afande amedominate sana session hyo...anaongea sana tena madini haswa...muongoza kipindi umefanya la maana kumpa nafas aongee...ana mengi sana ya kutusimulia na kutufundisha...Asante kwa kumualika kwenye show...hakika hii ni bora kuliko zote.
Shukrani kamanda
Mtangazaji anaitwa nan anajitajid sana kum interview mtu tunaenjoy haingilii mazungumzo anamsikiza afande
Mtangazaji anaitwa Bavuga. Unaweza kutucheki hapa Instagram @bongo_project au @bavuga_jr
Very fact
Simba Zee nakukubali sana kaka
Afande sele huyu jamaa ana akili kubwa sanaa na anajua sana mwenendo wa hii Dunia na mabadiriko yake. Nimepata elimu kubwa toka kwenye hii interview yake na Bongo project.
Yuko vizuri sana…tokea kitambo. Shukrani kwa kucheki interview
Simba zee afand sele
Kipindi kizuri ila mtazamo tofauti mtangazaji unahoji kizamani ujajipanga kimaswali jifunze kuhoji fatilia kipindi cha jabir Saleh the classic ya e FM utanielawa Kaka japo kipindi kizuri
Tunaelewa mzazi ila vipindi haviwezi kuwa sawa.
Mko sawa sanaaa yaani mnauwaa kaka pia watu wasifosi tufanane.@@bongo_project
Yaani kaka wa bongo project uko sawa sana unampa msanii muda mwingi Ili afunguke yote tunayo hitaji madini hayo.
jabir saleh anauliza maswali kiujuaji sana., anajifanya anajua kila kitu kiasi cha kutunyima wafatiliaji kujua vitu vingi. Hii interview ya afande ni nzuri mno.., afande kapewa fursa ya kuongea mpk vitu ambavyo tulikua atuvijui .. salute kwako host🫡
@@ayoubbilali1050 unajuwa unachokisema kweli
Siku hz ....Kisu kinakata pande mbili
Huyu jamaa ana vingi Dana vya kudeliva ila nazani nafasi sahihi ajapata