O-TEN - Huyu Hapa O-Ten Tulimfuata Morogoro | Amefunguka - Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2024
- Tulimfuata O-Ten Morogoro. Cheki hii interview akielezea safari yake ya muziki na maisha kutoka Morogoro, kujiunga na East Coast, bifu na Wanaume TMK, n.k Usikose
#oten #o-ten #bongoproject #bongofleva #morogoro #eastcoastteam #tanzania
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org/
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: / bongo_project
Facebook: / bongo-project-10256641...
TikTok: / bongoproject
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org
Kali
Nawakubali sana bomgo project
Kamili sana. Tunawakubali pia wafuatiliaji kama nyinyi
Mwamba namkubali sana bado yuko smart aisee si walisema amekuwa chizi mbona yuko sawa
Pambana mkuu wa mkoa umeibeba moro mabegani
Yeah story zimekuwa nyingi. Ndio maana tunawafuata kabisa kupiga nao story
TABLET IMECHOKA WEKENI COVER MAANA MMEKUSUDIA IONEKANE MKIIACHA HIVYO MNASHUSHA THAMANI YA PROJECT YENU
Ilipata ajali mzazi. Ila Shukrani tutalifanyia kazi
Hawa jamaa walijitunza sana tokea kipindi kile wapo kwenye spotlight lakini wana afya nzuri hiki ni kitu kikubwa sana
GM hotel naikubar sana inabonge la View Moro unaiona yote
benjamin ni dollar 100 ya marekani kwa kuwa ina picha ya benjamin, siyo kama oten alivyosema japo ni pesa
Hii interview imenifanya nikachek tena Nicheki aisee jamaa alikua mbele ya muda Sana dah 🤔
Alikuwa vizuri indeed!
Msela tupo naye bigwa hapa ila akomae
Philipo Nyandindi
Tuna omba mtafute dabo d aliimba kosa la malehemu
Sawa…Wapo wengi sana tutawatafuta tu.
Nisifiche ilishamsahau