Wewe Mwakinyo sisi watanzabia tunataka upambane na watanzabia wenzako ili tujue KWELI wewe ni champion Kwa hapa bongo uwezi jiita champez ikiwa ujawahi kumpiga mbongo ata mmoja jitambue Mwakinyo TUNAITAJI Pambano na mbongo yeyote unaye mtaka wewe fanya hivyo watanzania tumechoka Kwa porojo zako
Professional anajibu kiprofession zaidi
Mogadisho 😮😮😮
Professional unajielewa sana kaka na umeongea point na sio majungu
mogadishu
Wewe Mwakinyo sisi watanzabia tunataka upambane na watanzabia wenzako ili tujue KWELI wewe ni champion Kwa hapa bongo uwezi jiita champez ikiwa ujawahi kumpiga mbongo ata mmoja jitambue Mwakinyo TUNAITAJI Pambano na mbongo yeyote unaye mtaka wewe fanya hivyo watanzania tumechoka Kwa porojo zako
hhh profssnl kk tulia napia umeonesha umoja kuwepo
ukapasuane sasa na kiduku. sio unakwepa kwa kutaka mkwanja mrefu
Jifunze Kwa juma choki
Bondia mdomo mwingi mapambano machache😂😂😂😂😂
Nizamu