DIMBANI | BONDIA MFAUME MFAUME YUPO TAYARI KUZICHAPA NA HASSAN MWAKINYO / AAHDI KUUA ULINGONI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 มี.ค. 2022
  • Kwa story Zaidi tufuatilie kupitia Mitandao :
    ►Twitter / tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tanzania
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►TikTok / tv3tanzania
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 180

  • @sirmnyoroka7511
    @sirmnyoroka7511 2 ปีที่แล้ว +4

    Hongera Sana mfaume Kwa hekima ulizojaliwa maana Tambo hazipo kwenye lugha za matusi m/mungu akujalie

    • @abdihemed580
      @abdihemed580 2 ปีที่แล้ว

      Umeona ya mwakinyo kutoa povu lake la moyon hilaa mmesahau maneno kibao yalitoka kwenu kumponda na kumzarau mwakinyo kafanya vizur kumtusi uyoo nisie muelewa

  • @mussabinford9872
    @mussabinford9872 2 ปีที่แล้ว +10

    Anafanan na Ahmed ally kdg uyu mfaume

  • @kawezaseleman5794
    @kawezaseleman5794 2 ปีที่แล้ว +4

    Mdogo wangu nimekuelewa sana mfaume

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 2 ปีที่แล้ว +5

    Akuombe msamaha tu lakini kwa ulingo mwakinyo ni levo ya juu atakuua kabisa kwanza huna afya ya kupigana na mwakinyo

    • @hafidhali815
      @hafidhali815 2 ปีที่แล้ว

      Ngumi hazipo ivyo we boya

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 ปีที่แล้ว

      " unamjua may weather wewe bondia namba moja duniani,hassani mwakinyo ni bondia gani sasa,mwakinyo kiduku atamchana chana akubali uone

    • @dinopaul2618
      @dinopaul2618 2 ปีที่แล้ว

      Mfaume aliwahi kumvunja bondia taya asante

  • @samsonmaiko6089
    @samsonmaiko6089 2 ปีที่แล้ว +7

    Kaka Naku kubali Sanaa!!! Ila mwakinyo humuwezi maishaaa!!!!

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 2 ปีที่แล้ว

      Mwakinyo Kikukuu Mguuni anamuogopa mfaume mfaume, mfaume mfaume Ni Hatari brooo ameshammvunja fuvu Mohamed matumla so fikiria Kwanza kuhusu Hilo, Kama Mwakinyo Ni mzuri SASA Anaogopa Nini Mbona kuna kijana mmoja mtanga sijui Yule Mwakinyo alipiga Nae sparring na Mwakinyo alimpiga na Akasema nilikuwa nampa Adabu cos Alikuwa Anaongea Sana

    • @FrankMuge-rc1nv
      @FrankMuge-rc1nv 11 หลายเดือนก่อน

      Mfaume bado kindagate xana kwa mwakinyo

  • @mambadumejr4801
    @mambadumejr4801 2 ปีที่แล้ว +4

    Achen maneno mabondia wa Tanzania fanyani mazoezi pigen kazi

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 ปีที่แล้ว

    The Golden boy mfaume, mfaume 💓💓💓💓💓

  • @masudimillanzi994
    @masudimillanzi994 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwakinyo anatamba xana ila kiukweli mfaume umuwez mwakinyo mapambano kibao unabebwa xana apah bongo

  • @ijsound5149
    @ijsound5149 2 ปีที่แล้ว +3

    Hizi kiki mnatupigisha story maboya nn ww na mwakinyo lenu moja vichwa maji

  • @frankhaule8570
    @frankhaule8570 2 ปีที่แล้ว +3

    Ngumi nkat ya nguzo za hip-hop Sasa mnavyoanza Taarabu ndo nashndwa kuwaelewa

  • @michaelyona2479
    @michaelyona2479 2 ปีที่แล้ว +3

    Piga mwakinyo anadharau sana , Kuna watu wapo mtaaa wanapiga gumi kinoma ni vile hawaja mulikwa tu, alikaataaa kwa twaaha kiduku akikataa na hili yeye ndo wakike.

    • @madiwarongomba6
      @madiwarongomba6 2 ปีที่แล้ว +1

      Ngumi sio ugomvi na Zina sheria yake Kama levo inaruhusu wapigane lakini tujiulize yupo nafasi yangapi kwenye nafasi za mabondia huyu mfaume

  • @barakamusapolekidoti957
    @barakamusapolekidoti957 2 ปีที่แล้ว +1

    Oyaa champion wa town akijichanganya mng'oe meno ya nyuma yote

  • @abdallaabeid3587
    @abdallaabeid3587 2 ปีที่แล้ว

    Hongera kaka umeongea point na huo ndo mchezo unavyotakiwa uwe. Mmoja akikosea mwengine asikosee nyote ni mabondia wetu Ila mambo mengine so mazuri kwa nyinyi kujibizana hivyo

  • @madodofamily5906
    @madodofamily5906 2 ปีที่แล้ว +3

    Hapo mfalume mfalume unafeli mwakinyo huwezi fanya maisha mengine tu Yani hapo bongo. Hakuna wa kumpinga wewe we Endeleanga tu na Taarabu yako ya kizadhamo nilikua nakukubali San Ila kwasasa noshakukataa Alifu niongeze na kusema hivi Mfalume mfalume wee Akili hnaxo kabisa mwakinyo huwezi MWACHE to Aitwe mwakinyo Basi

    • @ezekiakyando5944
      @ezekiakyando5944 2 ปีที่แล้ว

      Mwakinyo si daraja uvuke kirahisi kama unavyofikiri.

    • @champion11537
      @champion11537 2 ปีที่แล้ว

      mbona hasan anakimbia,amajua kitAh

  • @sharifuanuary4816
    @sharifuanuary4816 2 ปีที่แล้ว

    Mfaume the best Tanzanian

  • @kamalhankhamis4374
    @kamalhankhamis4374 ปีที่แล้ว

    Nakukubali Mfaume

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 ปีที่แล้ว

    Nyie mbona hamuendi nje? Mwenzenu Mwakinyo anazichapa nje Sana.

  • @jacksonngusi4767
    @jacksonngusi4767 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwakinyo akuwez Yan

  • @ahmedawadh2460
    @ahmedawadh2460 2 ปีที่แล้ว +2

    Nzigo uwekwe mezani...

  • @user-rc8fx6li8t
    @user-rc8fx6li8t 10 หลายเดือนก่อน

    Namikweli huwezi kusheza box kwenye t

  • @asilaally4660
    @asilaally4660 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwakinyo humuwez

  • @carentemu9141
    @carentemu9141 2 ปีที่แล้ว

    Njaaa hiyo

  • @tondicharlessanga6902
    @tondicharlessanga6902 ปีที่แล้ว +1

    We fala 2 huna loloteeeeee

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 ปีที่แล้ว +1

    Wew na wenzako jitafuteni mna wivu Sana na Champez..Mwakinyo sio level yenu mkaushieni mtengeneze records zenu na ninyi na sio kumtaka taka TU kat sio saizi yenu

  • @kamugishaernest6227
    @kamugishaernest6227 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani wanadamu bhana yani mwanadamu anataka aonekane kupitia mgongo wa mwingine.. wewe kwa Mwankinyo huwezi kumaliza naye atakuua labda kwa kuwa unajua kukimbia kimbia kama kuku

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 2 ปีที่แล้ว

    Mfaume leo umeongea vizuri sana sema huku mwisho ndio umeharibu kidogo.....ukumbuke chanzo cha kutoelewana kwenu ni pamoja na ww mwenyewe kutompa Mwakinyo heshima yake tangia mapema jambo ambalo limemkwaza sana! Lengo la kuomba na spaa na ww kitaani ni kuonyeshana tu nani mwamba lkn vigezo vya kupanga ring rasmi hauna kwa sasa hivi dhidi ya mwakinyo....sisemi kwamba huwezi kumpiga make kwenye ring lolote linaweza kutokea ila maoni yangu nafikiri muheshimiane mpendane mshirikiane ili ndondi nchini zikue zaidi lkn hata mpeane michongo lkn mkiendekeza bifu zisizokuwa na kuchwa wala miguu tutarudi nyuma sana.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 ปีที่แล้ว +2

    mwakinyo hawez kurndelea kwa sababu hız
    1. Hana Adamu displin
    2. kujıona wakat bado
    Mike Tyson alkuwa mtııfu mpka mwısho aliiheshm wanaboxer wezake n.k

  • @banzmozes8099
    @banzmozes8099 12 วันที่ผ่านมา

    Hapana kwakuvimba kule tafuta Kaz nyingine

  • @user-nn5ut6uc1l
    @user-nn5ut6uc1l 11 หลายเดือนก่อน

    Atakuu wayule mwakinyo noma

  • @tumuhadam8963
    @tumuhadam8963 2 ปีที่แล้ว +2

    Wewe ni wakike

  • @Africa822
    @Africa822 2 ปีที่แล้ว +1

    Hili game ata shinda mwakinyo kwa point

  • @albanomgaya6122
    @albanomgaya6122 2 ปีที่แล้ว

    Ww kwa mwakinyo bado sana bana acha

  • @aminangombe8815
    @aminangombe8815 ปีที่แล้ว

    Akuwezi kaka acha nae,,, ety awezi kupoteza jina lake kwa ela ndogo .. mbona Babu tale alisema ataje ela anayotaka likaogopa

  • @twintangastone9489
    @twintangastone9489 ปีที่แล้ว

    Wewe ni wakupigana na mwakinyoo kweliii aaaaa wapi

  • @jumahatibu9240
    @jumahatibu9240 2 ปีที่แล้ว

    jipange broo

  • @abasichibe4116
    @abasichibe4116 2 ปีที่แล้ว +1

    Mfaume huna maajabu broo ila una maneno mengi sana ndio yanakufanya watu wakujue we nani ila hata rekodi zako hazisisimui bora hata Dullah Mbabe anaweza kuongea kitu watatnzania tukamuelewa coz rekodi zake zinasisimua mzee na kingine mwakinyo ametafsiri maana ya kukuita mtoto wa kike mzee ni maneno ya kisport sizani kama kuna tatizo hapo na ukilinganisha tambo ma majigambo ndio yanaleta motisha kwenye boxer.

  • @halimahmwalimu-fo9ri
    @halimahmwalimu-fo9ri 10 หลายเดือนก่อน

    Mfaume kunakitu kimekuuma kutoka kwamwakinyo kwanza auna ngumi nzito unacheza shootu pialali umempiga kichwa chapombe

  • @mchinadizainabushi8905
    @mchinadizainabushi8905 ปีที่แล้ว

    Uko makini sana kwenye boc

  • @strikerforce4949
    @strikerforce4949 2 ปีที่แล้ว +1

    Mfaume akiamua anaweza mvunja jamaa fuvu. Punch yake ni hatari. Alikuwa amuue Mohammed Matumla mpaka leo atumsikii. Mwakinyo punguza shobo sio kila chaka la kuvamia

  • @lama6310
    @lama6310 2 ปีที่แล้ว +1

    😂

  • @jamesngadaya2791
    @jamesngadaya2791 2 ปีที่แล้ว

    Hiv sparing anazotak mwakinyo bila kuandaa ring hua anatk nn

    • @cricwambali1352
      @cricwambali1352 2 ปีที่แล้ว

      Anajua akicheza na wao kwa ling atawapa brand so anajua anacho kifanya

  • @sharifuanuary4816
    @sharifuanuary4816 2 ปีที่แล้ว

    Number moja zaidi ya kimwakinyo

  • @Ram_1893
    @Ram_1893 2 ปีที่แล้ว

    Endelea kujisifu kisha na yeye aendelee kutengeneza heshima kwenye masumbwi pamoja na pesa

  • @michaelgodfrey5717
    @michaelgodfrey5717 2 ปีที่แล้ว +1

    wemfaume mfaume hauna ngumi kwanza hata usipewe gem hauna lolote

  • @jayznkovich8993
    @jayznkovich8993 2 ปีที่แล้ว

    Mfaume unajuwa bro lakin uyo wa tanga mchumba 2

  • @lama6310
    @lama6310 2 ปีที่แล้ว +1

    Bongo mabondia watakuja na kuondoka Ila hamna bondia Kama Mfaume..Duniani Kote hamna Mtu alishawaikumpiga mtu akampasua Fuvuu .. .

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 2 ปีที่แล้ว

      Kila siku anakimbia ulaya anachukua hela anapigwa

    • @mashalahwajimwaga1012
      @mashalahwajimwaga1012 2 ปีที่แล้ว

      Hivi ndg mnajua tusijifanye kama walevi unauhakika mfaume azichape na KIMBUGA BOY kweli au ugoro ndo unasumbua kwa sasa acheni bangi za chooni ifike mahala mheshimu mtu kwani kupambana mapambano mengi ndo kushinda au kama wakati umekuruka achana nao mfaume ngumi hajui hata kidogo mabondia tz ni 2 tu MWAKI NA KIDUNDA hawa wengine wapo na kiwango cha kawaida sana

  • @mahamudunangalapa1920
    @mahamudunangalapa1920 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona munaeneza chuki kwenye mchezo wa ngumi

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa bongo akuna kama mfaume anajua kucheza ngumi yani mchezo anaujua ao wengine wanatapa tapa tuu wapate ugal

    • @ezzepuritykamwene2121
      @ezzepuritykamwene2121 2 ปีที่แล้ว

      Huyu ndio bondia lkn TUACHE dharau mwakinyo si type yake, mwakinyo yupo mbali sana, mfaume huwa wa vituko tuko tu kukimbia hovyo afu Kuna pambano last Dec 2020 ,,alibebwa vibaya mno kapigwa af anapewa ushindi ambao ht mtanzania unaona aibu KBS. Hatukatai ni mzuri lkn bado kwa mwakinyo,, hta Tony rashid bado atamsumbua au ndio type yake.

  • @mchinadizainabushi8905
    @mchinadizainabushi8905 ปีที่แล้ว

    Nikweli mapigano nimoyo

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 ปีที่แล้ว

    Acha unafika mfaume We ndio wa kwanza kumuita muimba tarabu mwenzako

  • @khalidrashid8581
    @khalidrashid8581 2 ปีที่แล้ว +1

    Mfaume hamuwez Mwakinyo

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima 2 ปีที่แล้ว

      Tatizo si kumuweza ,mwakinyo sifs nyingi Hana adabu

  • @selemanigogo4669
    @selemanigogo4669 2 ปีที่แล้ว

    Yan mabondia wabongo hata mkizurumiwa sawa watu Mana ubondia wenu malipo sifa

  • @cmb6342
    @cmb6342 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka mwakinyo atakuumiza tulia wew

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 ปีที่แล้ว +2

    Achachuki mzee wewe pumzika

  • @nasibusaid4080
    @nasibusaid4080 2 ปีที่แล้ว

    Hao kwichikwichi unaowaita kumbuka uliwagopa ukajidai umaumia bega

  • @elizabethmajaliwa5189
    @elizabethmajaliwa5189 2 ปีที่แล้ว +2

    Ongelea yako , tafuta riziki yako achana na Mwakinyo hakuna unacholingana naye , kwanza we mswahili tu

    • @al-islammuongozo5635
      @al-islammuongozo5635 2 ปีที่แล้ว

      Sawa Wewe Mmarekani!!!naoma umekuja kuona mlima Kilimanjaro

    • @elizabethmajaliwa5189
      @elizabethmajaliwa5189 2 ปีที่แล้ว

      @@al-islammuongozo5635 Wewe naye toa tu maoni yako sio kujibia yangu ,inakuhusu Nini, au kazi yako kujibia media jibu wote Sasa walio changia , mbona unataka kunipangia Cha kuongea ulishasikia kwenye media tunapangiana ? Wote tumemsikia na tunamfahamu we kazi kwako kuchangia chochote unachoona Sasa unanifatilia mchango wangu unanipangia yaani , samahani Sana fuata yako

    • @elizabethmajaliwa5189
      @elizabethmajaliwa5189 2 ปีที่แล้ว

      @@al-islammuongozo5635 kwanza kwa akili yako huyo mlevi mwenzio niwa kumlinganisha ma Mwakinyo mtu mwenye malengo yake na akili yake sawa hategemei machawa wamsifie

    • @al-islammuongozo5635
      @al-islammuongozo5635 2 ปีที่แล้ว

      @@elizabethmajaliwa5189 Sawa me mlevi we sister wa kanisa gani vile???

    • @elizabethmajaliwa5189
      @elizabethmajaliwa5189 2 ปีที่แล้ว

      @@al-islammuongozo5635 hata cjui kwani inakuhusu Nini Wewe

  • @twintangastone9489
    @twintangastone9489 ปีที่แล้ว

    Ety bondia mzur zaidi yake

  • @jumambaraka988
    @jumambaraka988 2 ปีที่แล้ว

    Mpendane msilete chuki sio vizuri

  • @swalehsaid1531
    @swalehsaid1531 2 ปีที่แล้ว

    Kisha nikapambane na mwakinyo

  • @sadamramadhan9887
    @sadamramadhan9887 ปีที่แล้ว

    Yule hana akili achana nae mfaume nakukubali achan na mtu anae poteza viatu uwanja wa ndege

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 2 ปีที่แล้ว

    Kumbe Mfaume alishagongwa KO Mbaya na mstaafu wa ndondi Joshua Clottery mwenye miaka 43!! Sasa anajilinganisha vipi na Mwakinyo? Ameletewa kuchikuchi otahe amtumie Kama daraja ili naye awe na nyota nne Kama Mwakinyo pia ameshindwa na akachezea kichapo yeye!!Mfaume bado Sana!!

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 2 ปีที่แล้ว

    Safi mfaume

  • @alkamkamili8553
    @alkamkamili8553 2 ปีที่แล้ว

    Mfaume jitafakari kwanza acha wivu kaombe Mapambano na mabondiya wa manzese km nimzur mbna levo yk haufikii miaka yote

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba1143 2 ปีที่แล้ว

    Msio jua ngumi niwaambie tu mwakinyo hana uwezo wa kumpiga mfaume hivo

  • @bennysady469
    @bennysady469 2 ปีที่แล้ว

    Mwakinyo mwoga njee unapewa mabondia wachovu

  • @manlematz821
    @manlematz821 2 ปีที่แล้ว

    Ww boya tu

  • @omarymgaza2059
    @omarymgaza2059 2 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo lenu mna wivu wa maendeleo mpeni heshima hata Kama Ana mapungufu yake na si kumchukia halafu wewe sikuelewagi kabisa naona Kama mtu wa taarabu tu maneno meng Kaz hatuioni sijui hizo sifa unazo pewa zinatoka wp

    • @madodofamily5906
      @madodofamily5906 2 ปีที่แล้ว

      Huyo c mzaramo bwahna Hana maajabu yoyote bhwaha Aende kule

  • @josephchristianmhema5734
    @josephchristianmhema5734 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mwakinyo hana kitu hajui ngumi huyo uchampion wa utopoloni

  • @waheedhamad4558
    @waheedhamad4558 2 ปีที่แล้ว

    Hz ni chuki t m naona lkn na mwakinyo apunguze kdg majigambo

  • @zahirrajab7713
    @zahirrajab7713 2 ปีที่แล้ว +1

    Choko wewe acha chuki mwakinyoo humuwez ata kutoa tumboo ilooo kuma wewe

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 2 ปีที่แล้ว

    Aliteleza tu kidogo binaadam co malaika

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 2 ปีที่แล้ว

    Pigana namabondia wa manzese mlogane vizuli

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 ปีที่แล้ว

    Mabondia wa manzese bwana

  • @carentemu9141
    @carentemu9141 2 ปีที่แล้ว

    Unakituwewe

  • @andrewmfuko6109
    @andrewmfuko6109 ปีที่แล้ว

    Juzi tu umezingua umempiga kichwa jamaa,inatokea ndio lkn round ya kwanza! Ulichoka saa ngapi? Au ndo profesional? Tunaomba urudi kwenye kazi ili upate heshima.
    Kiduku unaona anavohastle? Fanya vile tafadhari,kiduku ashaachana na habari za Mwakinyo

  • @jaswabe_tz
    @jaswabe_tz 2 ปีที่แล้ว

    Mfaume mwenyewe mweupe

  • @abuushaakir9582
    @abuushaakir9582 2 ปีที่แล้ว

    Mwakinyoo Hana nidhamuu hata kidogo kuita wenzake watoto wakike hii sii sawa. .mpuuzienii mwakinyoo nimtu limbukeni sanaaa ...maskinii wengii wakioata nimalimbukeni wamali kila mtu hunuona churatuu akipata...mwakinyoo aache majivuno maysha sio nyoofutuu akumbuke Kuna Kona ..mpimbavuu Kama Nini kanikeraa nlikua shabiki wake alkini kwahilii apite kushoto ...

    • @madodofamily5906
      @madodofamily5906 2 ปีที่แล้ว

      Nenda huko na wewe huja Jambo yoyote fanya uchunguzi kwanza ukiambiwa mwanao mwinzi wacha kubisha to

    • @abuushaakir9582
      @abuushaakir9582 2 ปีที่แล้ว

      Usimteteee mjinga akifanya ujingaa mwakinyoo limbukeni sana

  • @hamadeddymaclayz
    @hamadeddymaclayz 2 ปีที่แล้ว

    Mwakinyo muoga sana yule choko

  • @jacksonngusi4767
    @jacksonngusi4767 2 ปีที่แล้ว

    Bondia muaga yure akuwez mfaume

  • @abdihemed580
    @abdihemed580 2 ปีที่แล้ว

    Alafu mwakinyo akutaka kupigana n we kamua kukuoa povu tu Kama ngumi unaziweza mbn atuoni mapambano yako unakaaaa miezi kibaoo alafu unakuja tupigiaa kelelee tu

  • @husseinkisuni3688
    @husseinkisuni3688 2 ปีที่แล้ว

    Mwakinyo choko tyuu achanen nae

  • @enoshmhemakapaya
    @enoshmhemakapaya 2 ปีที่แล้ว

    Mm nishabiki wa mwakinyo ,,,,,,,Ila kwasasa mwakinyo anavikauli vya dharau saaana,,,,,alianza kumtukana matumla watu wakamshauli akaomba ladhi,,,,akaja akawatukana mabondia woote akidai wanaletewa ndizi,,,,,,na saiv anamwita mwenzie mtoto wakike.....,,,,,,,,,Kweli hivi watu mnaona kawaida tuu,,,,,ndio mfaume hawezi kumpga mwakinyo Ila kauli hizo sio poa aise Mungu anaweza kumshusha huyu

    • @madodofamily5906
      @madodofamily5906 2 ปีที่แล้ว

      Mjombaa fanya uchunguzi kwanza ukiambiwa mwanao mwinzi wacha kubisha Hawa mabodia wa bongo Wana hila wewe Sasa Kama huyo mbeba matofali Ni wakumtaka mzee baba mwakinyo kweli WAACHE ushabenga wao huo bwana weee

    • @coolruler6820
      @coolruler6820 2 ปีที่แล้ว

      Mtu anatukanwa kutokana na choko choko zake,,,,,hivi mtu uko form 4 halafu mtu anakuletea mtihani wa chekechea,,,,,lazima umtukane. Pamoja na yote huyu dogo hawezi kusimama na Hassan,,,mara ngapi tumeona kaenda nje kapigwa kama mbwa koko,,akirudi ni kujitetea tuu

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 2 ปีที่แล้ว

    Nyie wote ni wehu mwakinyo umaarufu kautafuta Kwa shida na gharama hajapewa na wahuni mtaani hata nyie nendeni ulaya mkautafute

  • @abdallahabbdy4097
    @abdallahabbdy4097 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtu havuti mabangi,fegi,mapombe kazi yake kusoma qur an madrasa ku swali mazoezi sana yupo top 10 duniani umri wake wa form five kwann akae kimya sasa asifiwe na nan mnataka … champez one mo time

  • @swalehsaid1531
    @swalehsaid1531 2 ปีที่แล้ว

    Faume mm nataka pambano na wewe je upo tayari mm ni mkenya

  • @abdihemed580
    @abdihemed580 2 ปีที่แล้ว

    We mfahume na dula mzaramu na kiduku mnakazi ya kumtaka mwakinyo amuwazi kufanya majambu Kama mwakinyo mjajulijana kimaraifa mnakazi kumuonea mafanikio pambaneni kimataifa muweze kupaaa so mwakinyo kanitukana nyiee mmemtukana marangapiiii mmemzarau marangapi

  • @chikusobo4670
    @chikusobo4670 2 ปีที่แล้ว

    Mwakinyo ajui ngum achesi namakuchi kuch wak sikuogop atamm kidik ukatae mufaum nae umukatae una akil ata dulanae unamuogopa amuna kit ww kilicho bakia uchez nakina Kira's naata kufunda tw

  • @jumanzige9644
    @jumanzige9644 2 ปีที่แล้ว +14

    mwakinyo kwa sasa hawezi kuombwa tu pambano akakubali, yule muwekee pesa na uwe kwenye level aliyo yeye sio hivyo mnavyotaka nyie, aje mumpige nondo apate ulemavu mjisifu, wengi mwakinyo wamemjua kimataifa sio ndani ya bongo na ukumbuke anshilia mkanda gani sasa na wewe una mkanda gani, nani dunia inamtambua kati yenu? mimi binafs hata sikuelewi yani , mwakinyo ndio matumla wa sasa, kairudisha ngumi kwenye hadhi yake.

    • @sirizawa3360
      @sirizawa3360 2 ปีที่แล้ว

      Sio pambano ni mazoezi ya kupimana ya kawaida

    • @deniskyangala3400
      @deniskyangala3400 2 ปีที่แล้ว

      Mwakinyo anashikilia mkanda gani kwani?

    • @jumanzige9644
      @jumanzige9644 2 ปีที่แล้ว +3

      @@deniskyangala3400 wa suruali

    • @witneyjerry1293
      @witneyjerry1293 2 ปีที่แล้ว

      @@jumanzige9644 🤣🤣🤣🤣

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 2 ปีที่แล้ว

      @@jumanzige9644 Alishavuliwa mikanda huyo shoga mwenzio

  • @bigmketotvonline9085
    @bigmketotvonline9085 2 ปีที่แล้ว

    Nawe ngumi zako mpk upigane na mwakinyo pandisha uzito upiganie ubingwa sio mihogo yako

  • @matymatiku7352
    @matymatiku7352 2 ปีที่แล้ว

    Mwakinyo hana ishu apigane na wavuta ugolo 2 ngumi awachie nyie

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 11 หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo muoga sana hana lolote

  • @azizintalla7348
    @azizintalla7348 2 ปีที่แล้ว +1

    acha kelele wewe mwakinyo unamjua au unaona tuh wenzako wanavo teswa unaona kawaida acha uje ufikiwe wewe

    • @lama6310
      @lama6310 2 ปีที่แล้ว

      Mbna yeye amuombe sparring

  • @ramadhanirashidi1821
    @ramadhanirashidi1821 ปีที่แล้ว

    Peleka usenge wako mbele

  • @christianmaganga2659
    @christianmaganga2659 2 ปีที่แล้ว

    Tafuta mapambano makubwa ukapigane nje

  • @kingkong1506
    @kingkong1506 2 ปีที่แล้ว

    Unaongea sana maneno ya kike ulipigana nje ukawa unajiangusha aa kwenda zako

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 ปีที่แล้ว +2

    Sasa wee bom dia na Profesional bingwa wako upi sasa

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 2 ปีที่แล้ว

    Huwez kuwa mzuri zaid ya mwakinyo ngumi zako bado kwa level ya mwakinyo.

  • @kamugishaernest6227
    @kamugishaernest6227 2 ปีที่แล้ว +1

    Mfaume humuwezi Mwankinyo hata kidogo yani wewe utakunya ulingoni kabisa kama sio kujamba 2.

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 2 ปีที่แล้ว +1

    Mfaume unasema umepigana mapambano mengi kuliko Mwakinyo je, umeshinda mangapi? Boxrec yako inatia kinyaa umepigwa Sana tengeneza rekodi kwanza wacha Mwakinyo sio wa levo yako.Kama ametaka sparing kwenye tiles kwanini umekataa? Ulimuonea huruma ya Nini? Kwani sparing kwenye majimu yenu mnaweka ringi? Na umefanya vizuri kukataa ungekubali angekuzimisha sakafuni. Una kinyota kimoja na nusu chako unajilinganisha na champion mwenye nyota nne!! Unajitambua kweli? Punguza maneno ndio maana mwenzie amekuota mtoto wa kike

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima 2 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo mwakinyo sifs nyingi Hana adabu

    • @zubedamuhamed1873
      @zubedamuhamed1873 2 ปีที่แล้ว

      😃sasa kama mwakinyo alipigwa ko mbaya na ramadhan kaoneka anaweza vep kumkalisha mfaume 😐tatizo mnakalilishwa kuwa jamaa ni bondia bora kampiga nani au hao walevi anaoletewa

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 ปีที่แล้ว

      @@zubedamuhamed1873Mnaweweseka Sana! Sasa hiyo KO mbaya amepigwa na Mfaume? Je, Mwakinyo amepiga wangapi hizo KO Mbaya!. Walipo rudiana huyo Kaoneka alikalishwa round ya kwanza sekunde ya nane Hilo hulijui? Mwakinyo ni bigwa Kama Mfaume anamtaka atafute promota agombee mkanda wa Mwakinyo ili yeye autetee. Tafuteni vigezo vya kucheza na Champion Mwakinyo sio kuuza sura mitandaoni. Mtu anashinda kwa KO hadi Uingereza Leo mnajilinganisha naye! Hivi mnajitambua kweli? Mmezoea kubebwa tu mkipigwa mnafunga ma POP mikononi ili mudanganye kuwa wakate mnapigana mikono ilikuwa imevunjika!!

    • @festonkandonga85
      @festonkandonga85 2 ปีที่แล้ว

      Mwakinyo sifa nyingi na mapambano niliyoyaona mengi ya hapa nyumbani kapigana na walevi tuuuu na kubebwa kwingiiii

    • @lama6310
      @lama6310 2 ปีที่แล้ว

      Achaa ujingaaa ww,.kuwa na akilii.Hujui Boxing kazi Ni kuongea upuuzi humu,,Kama yeye ana nyota nne na anajiamini professional mbona aombe sparring😌.alaf Mfaume kuwa na Record mbaya Ni kwa sabab anakutana na mabondia hatari ..kumbuka wote walikuwa nyota mbili, Mwakinyo kambatisha Yule mzungu ndo akapandaa.mpaka nyota nne..

  • @allymakata1208
    @allymakata1208 2 ปีที่แล้ว

    Ww hizo ngumi umejifunza wap kupign na mwakinyo au unatak kufa mfaume ww mtupu tuh Kama huyo kiduk wako