mm ni mpenzi wa ngumi ila kwa hawa mabondia mm wote wapo vizr sana
😢😢wote wakali na ninawakubali xn duuh 😢😢
Juma choki ushindi kwako mmm konde boy 4:03 ❤
Nassib ka drop I bet for juma choki
Nasibu ❤ juma❤ 😢😢😢😢 nina street kibao 😢😢 mumejua kuniumiza
daa huyu aliewapambanisha hawa watu anitafute ntampa clet moja la coka cola meja upo vizr
Mmmhhh!!??Nasibu mkali ana speed na choki mkali ana speed. Ila kura yangu nampa Juma choki Kwa sababu ana speed na pia ana makotakota,mvamizi. Nasibu akikutanaga na bondia wa namna hii ni shida sana kushinda.
kaka upo vzr sana
Juma choki ushindi kwako mmm konde boy
Choki mkali nasibu kwachoki bado
Juma choki atashinda mchezo
Weweee mwenyewe unakaa na ngumi zako zakukatika viuno
Nasibu awapiga wote wewe na juma choki
Mje Sasa kuangalia ngumi ..achaneni na yule mwimba taarabu...
Mmmh juma na mpenda nasibu pia nampenda 😢😢😢😢😢❤❤