Mfaume noma sana lecapten
Mfaume umeisha huna uwezo wa kupigana pialali
Mfaume muimba taarabu
Mpige mpaka umuuwe mana sasa hivi shangingi yeye😂😂uyo mfaume 😅😅
Mfaume acha uoga yaani sasa ivi ume kwisha kabisa ..mapafu ya kuku siku izi umekuwa kama mwimba taarabu..😂😂
😂😂😂😂 mfaume mchupa tiu
Mwakinyo alimwambia mapafu ya tausi
Mfaume noma sana lecapten