VITASA | Said Mkola vs Said Bwanga (TKO) | Dar Boxing Derby 29/06/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025
  • Said Mkola amechezea TKO kutoka kwa Said Bwanga katika vita kati ya Mbagala na Manzese. Ilikuwa fight moja ya maana mno, raundi zote nane zikiwa na moto mkali, huku kila upande ukionja sakafu kabla ya raundi ya nane…
    Tazama pambano zima, tazama TKO ilivyotokea
    Lilikuwa ni pambano la saba katika mapambano ya utangulizi Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby uliofanyika Uwanja wa Posta, Kijitonyama Dar es Salaam.
    Main Card ilikuwa ni Nassib Ramadhan vs Juma Choki.
    #NyieHamuogopi #DarBoxingDerby #Vitasa

ความคิดเห็น • 54

  • @mohamedabdalla5302
    @mohamedabdalla5302 7 หลายเดือนก่อน +3

    Said Bwanga Nimependa Boxing Yake Huyu Dogo Ni Full Package 🔥🔥

  • @abduryjumbe7447
    @abduryjumbe7447 7 หลายเดือนก่อน +5

    Champions ni mmoja tuuu Bwanga Mbagala finest na dada Yao sada Mkola tushamlamba

  • @MrishoMakamba
    @MrishoMakamba 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bondia wangu sku zote ni bwanga mpeni sana shavu ana kitu 🔥 🙌🙌

  • @SaidiApollo
    @SaidiApollo 7 หลายเดือนก่อน +3

    Familia nakuona mbali sana BWANGA..KAZA KAKA AMINI ILO NATAKA YULE MTOTO WA KIZULU UMKALISHE AMINI FAMILIA

  • @AminChampion-t4k
    @AminChampion-t4k 28 วันที่ผ่านมา +1

    Chuma bwanga. Alilamba sakafu vzr 2

  • @MadiniMadinariBorntofight
    @MadiniMadinariBorntofight 7 หลายเดือนก่อน +2

    Big up sana Mkola punch ziko na unarusha mawe

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bwanga🎉🎉🎉❤❤ mkola bado Sana ww kanyonye

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka 7 หลายเดือนก่อน +2

    bwanga ni chanpioni

  • @MishiKitengo
    @MishiKitengo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Raund 1mpaka ya2 kashinda mkola ya3 kashinda bwanga yanne mpaka 7 kashinda mkola ya8 kashinda mkola ila aliteza angalia kwamakini ngumu

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bwanga na mkola wote mabondia wazur

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 7 หลายเดือนก่อน +3

    Bwanga kabebwa

  • @edunyedetembaa5322
    @edunyedetembaa5322 6 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @RegnaldZamberi
    @RegnaldZamberi 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ize

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 7 หลายเดือนก่อน +1

    Side Bwanga 💪

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka 7 หลายเดือนก่อน +1

    bwanga unatisha Sana nakupa BG up

  • @SaLuChampeZ
    @SaLuChampeZ 7 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa Bwanga kashinda lakini refaree kazingua ili mtu ahesabiwe bas lazima aliemueka chini mwenzio arud kweny kona ndo refaree aanze ku count lakini Bwanga bado yuko hapo hapo araf refaree anahesabu hii sio Sawa kabisa

  • @Hemed-b2v
    @Hemed-b2v 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bwanga kashinda kihalali kaza dogo utafika mbali unajuwa kajanja

  • @Ram_1893
    @Ram_1893 7 หลายเดือนก่อน +2

    Vijana wameonyesha ubora mkubwa sana
    Aliyepata matokeo chanya amestahili
    🥊

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 7 หลายเดือนก่อน +3

    Said bwanga yuko anjua kam davis tank

    • @liaonaoliver18
      @liaonaoliver18 7 หลายเดือนก่อน

      tank unamjua vzr kaka

  • @greysonmandai132
    @greysonmandai132 7 หลายเดือนก่อน +2

    mshindi kapatikana kihalali toka mwanzo huu dogo alikuwa makini sana ,ila ni mabondia wazuri sana waendelee kukaza buti

  • @FabianMkirikiti-fn9mb
    @FabianMkirikiti-fn9mb 20 วันที่ผ่านมา

    Mkola kaonewa ushindi wa kwake

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 7 หลายเดือนก่อน +1

    kweli hii ilikuwa derby maana sio mchezo

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mbagala boy wajna bwanga

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 7 หลายเดือนก่อน +3

    Punguzeni Mahaba

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 7 หลายเดือนก่อน

    CHAMPION

  • @JosephevansLyimoo
    @JosephevansLyimoo 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bwanga mtu mbadi

  • @Rolemodel_wa_taifa
    @Rolemodel_wa_taifa 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie mnao ongea mna mapenzi na Bwanga ila kachapika tu

    • @athumanimakange9346
      @athumanimakange9346 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe hizo body panchi ndio kachapika, bwanga yeye alikua anascore kichwani tu

    • @MmafiaMmoja
      @MmafiaMmoja 7 หลายเดือนก่อน

      Kuna watu wengine hawajui ngumi wasikusubue bro​@@athumanimakange9346

    • @donmafarasi2443
      @donmafarasi2443 7 หลายเดือนก่อน

      Ujui ngumi wewe akijifunze acha majungu

    • @donmafarasi2443
      @donmafarasi2443 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@MmafiaMmojani kweli kabisa ana anachokijua uyo

  • @SalumkifuLukwe-wk7sp
    @SalumkifuLukwe-wk7sp 7 หลายเดือนก่อน +1

    Bwaaaaaaaaaanga

  • @RegnaldZamberi
    @RegnaldZamberi 7 หลายเดือนก่อน

    19:05

  • @TheReporter-A47
    @TheReporter-A47 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu bwanga ndy wa madafu au mkola

  • @abubakarjumakhamisi370
    @abubakarjumakhamisi370 7 หลายเดือนก่อน

    Mechi drooo

  • @FatumaPepeyu
    @FatumaPepeyu 7 หลายเดือนก่อน

    Bwangaaaaaaaaaaaaa

  • @KambiAsso
    @KambiAsso 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kushindwa sio rahisi na kutoa droo marufuku

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 7 หลายเดือนก่อน

    Umepigwa

  • @salumabdallah852
    @salumabdallah852 7 หลายเดือนก่อน

    Bwanga AK 47

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 7 หลายเดือนก่อน

    Saidi Mkola amedhulumiwa Kwani ameshinda round nyingi zaidi, round aliyoipoteza Ni hiyo aliyopata knock down basi Sasa iweje mshindi awe Saidi Bwanga? Mbona Kiduku alipigwa knock down na Dullah Mbabe round ya kwanza Kisha akashinda round zilizofuata na akapewa ushindi wake? Majaji Mungu anaeaona watu wanamwaga jasho hapo ulingoni mjue!!!

    • @athanasmgungusi9996
      @athanasmgungusi9996 7 หลายเดือนก่อน

      Washamba wamemdhurumu , hawa was waswahili ni shida sana . Mkola ameshinda very clean . Amescore kuanzia raundi ya 1 hadi ya 7

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@athanasmgungusi9996 mliangalia pambano tofauti na hili labda

    • @yunusmbonde8890
      @yunusmbonde8890 7 หลายเดือนก่อน

      Watazamaji wengi hamjui shiria ya ngumi hamuoni penat nyie mnaangalia bod mkola Bodo Hana nidham ya 32:59 mchezo yeye mwewe kadondoka mala mobili hasemi ajipange tena

  • @ndarnationsoundtz
    @ndarnationsoundtz 7 หลายเดือนก่อน

    Uyo mtot ndo anamhitaji ibra class ataxia uwanjani

  • @AliJustine-t9w
    @AliJustine-t9w 7 หลายเดือนก่อน +1

    Acha taarab ww kigugumiz

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en 7 หลายเดือนก่อน

    Watangazaji wasenge

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 7 หลายเดือนก่อน

    Safi Bwanga aliangushwa Ila refa hahumuhesabia ola Saidi Bwanga ali
    po muangusha Saidi Mkola kabla hata hajarudi kwenye Kona yake refa ameanza kumhesabia!!. Hii ni dhuluma, tunataka pambano hili na like la Nasib vs Choki yarudiwe. Semunyu....Semunyu...Semunyu .....turudishie haya mapambano mawili tafadhali.

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 7 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂kama hutaki dhulma ulitakiwa uongelee na raundi ya 3 Mkola alivyopelekwa chini nae hakuhesabiwa.

    • @abduryjumbe7447
      @abduryjumbe7447 7 หลายเดือนก่อน +2

      Jibizaneni mukumaliza tulieni sisi kazi tushamaliza

    • @donmafarasi2443
      @donmafarasi2443 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@rogertuga007nikweli kabisa ata mkora akuhesabia haki bin hami😂😂

    • @FabianMkirikiti-fn9mb
      @FabianMkirikiti-fn9mb 7 หลายเดือนก่อน

      Nipo na wewe naunga mkono hoja

  • @DatzKay-dz9wv
    @DatzKay-dz9wv 7 หลายเดือนก่อน

    Ila azam max mnazingua sisi tulioko nje ya nchi tunapata tabu sana