VITASA | Said Mkola vs Said Bwanga (TKO) | Dar Boxing Derby 29/06/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 มิ.ย. 2024
  • Said Mkola amechezea TKO kutoka kwa Said Bwanga katika vita kati ya Mbagala na Manzese. Ilikuwa fight moja ya maana mno, raundi zote nane zikiwa na moto mkali, huku kila upande ukionja sakafu kabla ya raundi ya nane…
    Tazama pambano zima, tazama TKO ilivyotokea
    Lilikuwa ni pambano la saba katika mapambano ya utangulizi Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby uliofanyika Uwanja wa Posta, Kijitonyama Dar es Salaam.
    Main Card ilikuwa ni Nassib Ramadhan vs Juma Choki.
    #NyieHamuogopi #DarBoxingDerby #Vitasa
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 42

  • @mohamedabdalla5302
    @mohamedabdalla5302 2 วันที่ผ่านมา +3

    Said Bwanga Nimependa Boxing Yake Huyu Dogo Ni Full Package 🔥🔥

  • @abduryjumbe7447
    @abduryjumbe7447 2 วันที่ผ่านมา +5

    Champions ni mmoja tuuu Bwanga Mbagala finest na dada Yao sada Mkola tushamlamba

  • @user-ye7ij4nr2o
    @user-ye7ij4nr2o วันที่ผ่านมา +2

    Bondia wangu sku zote ni bwanga mpeni sana shavu ana kitu 🔥 🙌🙌

  • @SaidiApollo
    @SaidiApollo 2 วันที่ผ่านมา +2

    Familia nakuona mbali sana BWANGA..KAZA KAKA AMINI ILO NATAKA YULE MTOTO WA KIZULU UMKALISHE AMINI FAMILIA

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 2 วันที่ผ่านมา +1

    Bwanga🎉🎉🎉❤❤ mkola bado Sana ww kanyonye

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka วันที่ผ่านมา +2

    bwanga ni chanpioni

  • @MadiniMadinariBorntofight
    @MadiniMadinariBorntofight 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Big up sana Mkola punch ziko na unarusha mawe

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka 2 วันที่ผ่านมา +1

    bwanga unatisha Sana nakupa BG up

  • @greysonmandai132
    @greysonmandai132 2 วันที่ผ่านมา +2

    mshindi kapatikana kihalali toka mwanzo huu dogo alikuwa makini sana ,ila ni mabondia wazuri sana waendelee kukaza buti

  • @SaLuChampeZ
    @SaLuChampeZ 2 วันที่ผ่านมา +2

    Sawa Bwanga kashinda lakini refaree kazingua ili mtu ahesabiwe bas lazima aliemueka chini mwenzio arud kweny kona ndo refaree aanze ku count lakini Bwanga bado yuko hapo hapo araf refaree anahesabu hii sio Sawa kabisa

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 2 วันที่ผ่านมา +2

    Said bwanga yuko anjua kam davis tank

  • @ogenylaurent7961
    @ogenylaurent7961 2 วันที่ผ่านมา +2

    Punguzeni Mahaba

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 วันที่ผ่านมา +1

    Bwanga na mkola wote mabondia wazur

  • @RegnaldZamberi
    @RegnaldZamberi 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ize

  • @ogenylaurent7961
    @ogenylaurent7961 2 วันที่ผ่านมา +2

    Bwanga kabebwa

  • @Hemed-b2v
    @Hemed-b2v 2 วันที่ผ่านมา +1

    Bwanga kashinda kihalali kaza dogo utafika mbali unajuwa kajanja

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 22 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    kweli hii ilikuwa derby maana sio mchezo

  • @user-ze8hp1ls6t
    @user-ze8hp1ls6t 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kushindwa sio rahisi na kutoa droo marufuku

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mbagala boy wajna bwanga

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 2 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu bwanga ndy wa madafu au mkola

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 วันที่ผ่านมา

    CHAMPION

  • @abubakarjumakhamisi370
    @abubakarjumakhamisi370 2 วันที่ผ่านมา

    Mechi drooo

  • @Ram_1893
    @Ram_1893 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Vijana wameonyesha ubora mkubwa sana
    Aliyepata matokeo chanya amestahili
    🥊

  • @DatzKay-dz9wv
    @DatzKay-dz9wv วันที่ผ่านมา

    Ila azam max mnazingua sisi tulioko nje ya nchi tunapata tabu sana

  • @SalumkifuLukwe-wk7sp
    @SalumkifuLukwe-wk7sp 2 วันที่ผ่านมา +1

    Bwaaaaaaaaaanga

  • @ndarnationsoundtz
    @ndarnationsoundtz วันที่ผ่านมา

    Uyo mtot ndo anamhitaji ibra class ataxia uwanjani

  • @FatumaPepeyu
    @FatumaPepeyu วันที่ผ่านมา

    Bwangaaaaaaaaaaaaa

  • @user-ob6cm8gs2y
    @user-ob6cm8gs2y 2 วันที่ผ่านมา +1

    Acha taarab ww kigugumiz

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en วันที่ผ่านมา

    Watangazaji wasenge

  • @RegnaldZamberi
    @RegnaldZamberi 2 วันที่ผ่านมา

    19:05

  • @salumabdallah852
    @salumabdallah852 2 วันที่ผ่านมา

    Bwanga AK 47

  • @ogenylaurent7961
    @ogenylaurent7961 2 วันที่ผ่านมา +1

    Nyie mnao ongea mna mapenzi na Bwanga ila kachapika tu

    • @athumanimakange9346
      @athumanimakange9346 2 วันที่ผ่านมา

      Wewe hizo body panchi ndio kachapika, bwanga yeye alikua anascore kichwani tu

    • @user-zg6ne2nn9w
      @user-zg6ne2nn9w วันที่ผ่านมา

      Kuna watu wengine hawajui ngumi wasikusubue bro​@@athumanimakange9346

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 วันที่ผ่านมา

    Safi Bwanga aliangushwa Ila refa hahumuhesabia ola Saidi Bwanga ali
    po muangusha Saidi Mkola kabla hata hajarudi kwenye Kona yake refa ameanza kumhesabia!!. Hii ni dhuluma, tunataka pambano hili na like la Nasib vs Choki yarudiwe. Semunyu....Semunyu...Semunyu .....turudishie haya mapambano mawili tafadhali.

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂kama hutaki dhulma ulitakiwa uongelee na raundi ya 3 Mkola alivyopelekwa chini nae hakuhesabiwa.

    • @abduryjumbe7447
      @abduryjumbe7447 วันที่ผ่านมา +2

      Jibizaneni mukumaliza tulieni sisi kazi tushamaliza

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 วันที่ผ่านมา

    Saidi Mkola amedhulumiwa Kwani ameshinda round nyingi zaidi, round aliyoipoteza Ni hiyo aliyopata knock down basi Sasa iweje mshindi awe Saidi Bwanga? Mbona Kiduku alipigwa knock down na Dullah Mbabe round ya kwanza Kisha akashinda round zilizofuata na akapewa ushindi wake? Majaji Mungu anaeaona watu wanamwaga jasho hapo ulingoni mjue!!!

    • @athanasmgungusi9996
      @athanasmgungusi9996 วันที่ผ่านมา

      Washamba wamemdhurumu , hawa was waswahili ni shida sana . Mkola ameshinda very clean . Amescore kuanzia raundi ya 1 hadi ya 7

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @@athanasmgungusi9996 mliangalia pambano tofauti na hili labda

  • @JosephevansLyimoo
    @JosephevansLyimoo 2 วันที่ผ่านมา +2

    Bwanga mtu mbadi