Mandonga ulitaka uheshimike usiwe mtu wa maigizo wakati wote! Wakati mwingine karibu kua smart. Unavyo mzungumzia Mwakinyo hivyo wakati Watanzania wote tunamjua na uwezo wake tunaujua na tunajua kua anaubingwa ambao haujawahi kumilikiwa Tz, bondia nambari 12 ktk viwango vya WBO duniani, Bondia nambari moja Afrika, WBO champion, Bondia aliyempiga KO mtu ambaye haujawahi kupigwa KO, Bondia aliyempiga KO Bondia ambaye haujawahi kupigwa na bondia yeyote Africa, Leo wewe hutambui haya unamuongelea Kama unavyowaongelea mabondia wa kawaida tu!! Halafu unadai kua wewe ndio icon ya boxing TZ!! Hapo hututendei haki wa Tz! Bora unyamaze tu bro.
Mandonga ulitaka uheshimike usiwe mtu wa maigizo wakati wote! Wakati mwingine karibu kua smart. Unavyo mzungumzia Mwakinyo hivyo wakati Watanzania wote tunamjua na uwezo wake tunaujua na tunajua kua anaubingwa ambao haujawahi kumilikiwa Tz, bondia nambari 12 ktk viwango vya WBO duniani, Bondia nambari moja Afrika, WBO champion, Bondia aliyempiga KO mtu ambaye haujawahi kupigwa KO, Bondia aliyempiga KO Bondia ambaye haujawahi kupigwa na bondia yeyote Africa, Leo wewe hutambui haya unamuongelea Kama unavyowaongelea mabondia wa kawaida tu!! Halafu unadai kua wewe ndio icon ya boxing TZ!! Hapo hututendei haki wa Tz! Bora unyamaze tu bro.
Acha hasad mandonga huwezi kuizungumzia ngumi pasipo kumtaja mwakinyo
Huyuuu toka apingweee ngumii za kichwaaa hayupooo sawaaaa kawaidaa yakeee manenoo vitendoo hakuna
Hana point
Mandonga leo ni nimeamini huna akili yani ww ni tahira kabisa sasa mwaka 1920 nyerere c hajazaliwa
Nyerere kazaliwa 1922
Yee ananyota ngapi
acha chuki na hasadi
Sio magia ni majia
Ilo choko
alo wataja wote mabaasha zake😅😅😅😅
Hmmmmmh samaki chuki😅😅😅😅
WIVU TU KUOGA AAAH
Kuma ww huna maneno