Baba nakuelewa.mnooo
Karibu tena. Kwa.baba halisi
Nimekukubali sana MCHUNGAJI wote wangekuwa kama wewe tungesimama vyema kiroho
Safi sana Mzee kwa elimu nzuri.
Mungu akubaliki
LV❤
Safi mzee
Barikiwa sana
Waoooo 👌
nimejifunza kujifungia ndani ya box dont think in the box
mara kwa mara nikimwangalia huyu baba nacheka na najifunza mengi sana
Ama kweli Mungu kunaviumbe kavitunuku kama siyo kuvipendelea huyu mzee aishi miaka kedekede na ninamuombea awe na mwisho mwema.
Mchungaji unasema kweli wengine wanasema Mungu wa Hananja wanataja jina mwenye kanisani Mungu wa hapa mtu anatoa sadaka mpaka anaishiwa
Hakika wa wachungaji wamezini naye wamekunywa vinyo yake ufunuo 18:1na kuendelea
Duh ng’ombe hanenepei mnadani!
Paster Hananja I love you. Kwani mi nikibadilisha utanifanya nini...hahah
Mchungaji.utoke kanisani uende baa kila siku hapana tutoke kanisani tuende kwA waganga no ni.watanzania ndio ila njia zetu.ziko tofauti.mfano kuna harambee ya ujenzi wa kanisa unaita waimbaji wa bongo na waimbaji wa dini na.ngoma za asili mchungaji.hananja Mambo.ya.Mungu.ni.dhahiri na mambo ya.dunia ni.dhahiri.hatulaumu.ila vitu vinaonekana
Ila kweli kuliko kuimba mitusi Bora kusoma biblia
Jamaa anazipangua hoja nzito kwa hekima kubwa na mafunzo humo humo.
aliyeuliza maswali ya kipumbavu amepata jawabu
Hata akitaka kuwa mkiristo sisi hatujali kitu, hata hapo mwanzo hakuwa upande huu.
Kusoma Biblia Diamond wanaona shida wakati wao kutwa kucha mashehe wako busy kusoma Biblia na kukashifu ukristo badala ya kuhubiria watu wao.
@@ramadhanmahongole9293 wanasoma sana usijidai huelewi wanasoma ili kukosoa dini za wenzao
Hananja hujawahi kuniangusha
Daaah mondi aliona mbali kumtaka huyu jamaa Ila majizo akamuwahi ndio maana akam bomoa kwa kubeba vichwa vyake
Mchungaji Hannanja ,kwakweli wewe una akili nyingi sana. Watu waache kukurupuka kwa kujifanya tunazijua dini na maagizo ya Mungu
Mchungaji Hananja, ukweli wewe ni hazina, uko na madini mengi...ubarikiwe mungu akulinde
Unastahili udaktari wa heshima wa filosofia
Mbona shetani alisoma.biblia alibadilika.kuitwa.shetan ila kufanya nao mambo yao huwezi mfano kushiriki nyimbo dini na bongo fleva
Mchingani mtaalaam anamwaga madini hatari.
Nyinyi mnadini yenu na sisi tunadini yetu. Hakuna anaezuiliwa Ila uisilam una ukumbusho na kila muisilam anahaki ya kumkumbusha mwenziwe.
Hata huku USA makanisa ya wazungu hawatangazi sadaka!.Africa namakanisa yetu ndokunakutoza pesa.
Ww hujui maana ya sadaka. Hao kama hawatangazi sadaka, basi wana mambo Yao nyuma ya pazia.
Soma biblia vizuri uielewe usiige ya wazungu. Siku hizi huko uzunguni hakuna mungu, Bali Kuna miungu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee wa busara
Binafsi naona jukwaa la wasafi lingemfaa sana huyu mzee afu combination yake isiwe ya masanja na lilian kwa maoni yang sio kwa ubaya.huyu jamaa naona ni jeshi la mtu mmoja anatakiwa awe na kipind na partiner wake asiwe too much talker kama hao alionao sasa
Hata mimi niliwaza hivyo na kwa nia njema tu. Anajitosheleza peke yake si kwa michanganyo na ....
Tafakari
Hongera kwa kukombolewa kifikra Mchungaji