ความคิดเห็น •

  • @eliaspeter3318
    @eliaspeter3318 ปีที่แล้ว +7

    Hongera kwa kukombolewa kifikra Mchungaji

  • @CalorineMushi
    @CalorineMushi 5 หลายเดือนก่อน

    Baba nakuelewa.mnooo
    Karibu tena. Kwa.baba halisi

  • @safihunasingo5413
    @safihunasingo5413 ปีที่แล้ว +3

    Nimekukubali sana MCHUNGAJI wote wangekuwa kama wewe tungesimama vyema kiroho

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana Mzee kwa elimu nzuri.

  • @mucochanella1672
    @mucochanella1672 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubaliki

  • @fideliskassanga5615
    @fideliskassanga5615 ปีที่แล้ว +1

    LV❤

  • @SamweliDaudi-q7m
    @SamweliDaudi-q7m 8 หลายเดือนก่อน

    Safi mzee

  • @Jojiisraeli
    @Jojiisraeli ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana

  • @jeskamgudule6905
    @jeskamgudule6905 ปีที่แล้ว

    Waoooo 👌

  • @RonnieBertin-f7f
    @RonnieBertin-f7f 4 หลายเดือนก่อน

    nimejifunza kujifungia ndani ya box dont think in the box

  • @RonnieBertin-f7f
    @RonnieBertin-f7f 4 หลายเดือนก่อน

    mara kwa mara nikimwangalia huyu baba nacheka na najifunza mengi sana

  • @JosephBenjamin-bn2yt
    @JosephBenjamin-bn2yt ปีที่แล้ว

    Ama kweli Mungu kunaviumbe kavitunuku kama siyo kuvipendelea huyu mzee aishi miaka kedekede na ninamuombea awe na mwisho mwema.

  • @ibrahimjohn1783
    @ibrahimjohn1783 ปีที่แล้ว

    Mchungaji unasema kweli wengine wanasema Mungu wa Hananja wanataja jina mwenye kanisani Mungu wa hapa mtu anatoa sadaka mpaka anaishiwa

  • @petermathias8097
    @petermathias8097 ปีที่แล้ว +1

    Hakika wa wachungaji wamezini naye wamekunywa vinyo yake ufunuo 18:1na kuendelea

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 ปีที่แล้ว +3

    👍👍👍

  • @kiatu
    @kiatu ปีที่แล้ว

    Duh ng’ombe hanenepei mnadani!

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184 ปีที่แล้ว +3

    Paster Hananja I love you. Kwani mi nikibadilisha utanifanya nini...hahah

    • @henrynkya6917
      @henrynkya6917 ปีที่แล้ว

      Hivi unajua nimecheka😂..daah yuko vzr🙌

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 9 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji.utoke kanisani uende baa kila siku hapana tutoke kanisani tuende kwA waganga no ni.watanzania ndio ila njia zetu.ziko tofauti.mfano kuna harambee ya ujenzi wa kanisa unaita waimbaji wa bongo na waimbaji wa dini na.ngoma za asili mchungaji.hananja Mambo.ya.Mungu.ni.dhahiri na mambo ya.dunia ni.dhahiri.hatulaumu.ila vitu vinaonekana

  • @sakinahamis6443
    @sakinahamis6443 ปีที่แล้ว

    Ila kweli kuliko kuimba mitusi Bora kusoma biblia

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa anazipangua hoja nzito kwa hekima kubwa na mafunzo humo humo.

  • @RonnieBertin-f7f
    @RonnieBertin-f7f 4 หลายเดือนก่อน

    aliyeuliza maswali ya kipumbavu amepata jawabu

  • @oyay2821
    @oyay2821 ปีที่แล้ว

    Hata akitaka kuwa mkiristo sisi hatujali kitu, hata hapo mwanzo hakuwa upande huu.

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว +1

    Kusoma Biblia Diamond wanaona shida wakati wao kutwa kucha mashehe wako busy kusoma Biblia na kukashifu ukristo badala ya kuhubiria watu wao.

  • @LinosJohn-dp9xi
    @LinosJohn-dp9xi ปีที่แล้ว +1

    Hananja hujawahi kuniangusha

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 ปีที่แล้ว +1

    Daaah mondi aliona mbali kumtaka huyu jamaa Ila majizo akamuwahi ndio maana akam bomoa kwa kubeba vichwa vyake

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 ปีที่แล้ว +4

    Mchungaji Hannanja ,kwakweli wewe una akili nyingi sana. Watu waache kukurupuka kwa kujifanya tunazijua dini na maagizo ya Mungu

    • @piriminmkamati
      @piriminmkamati ปีที่แล้ว

      Mchungaji Hananja, ukweli wewe ni hazina, uko na madini mengi...ubarikiwe mungu akulinde

  • @florianmabanza1529
    @florianmabanza1529 ปีที่แล้ว

    Unastahili udaktari wa heshima wa filosofia

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 9 หลายเดือนก่อน

    Mbona shetani alisoma.biblia alibadilika.kuitwa.shetan ila kufanya nao mambo yao huwezi mfano kushiriki nyimbo dini na bongo fleva

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 ปีที่แล้ว +1

    Mchingani mtaalaam anamwaga madini hatari.

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 ปีที่แล้ว

    Nyinyi mnadini yenu na sisi tunadini yetu. Hakuna anaezuiliwa Ila uisilam una ukumbusho na kila muisilam anahaki ya kumkumbusha mwenziwe.

    • @irenekaluse3213
      @irenekaluse3213 ปีที่แล้ว

      Shida nn kwan?

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 ปีที่แล้ว

      @@irenekaluse3213. Acheni unafik na kusema msiyoyajua

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 ปีที่แล้ว

      Jikumbushe mwenyewe kwa umalaya unaofanya

    • @irenekaluse3213
      @irenekaluse3213 ปีที่แล้ว

      @@rogerabdallah439 😂😂😂😂😂😂😂😂hadi nimecheka

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 ปีที่แล้ว

      Tatizo hamjiamini

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 ปีที่แล้ว

    Hata huku USA makanisa ya wazungu hawatangazi sadaka!.Africa namakanisa yetu ndokunakutoza pesa.

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 ปีที่แล้ว +1

      Hawatangazi ila wanatoa sadaka kutotangaza ni utaratibu tu.

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 ปีที่แล้ว

      Ww hujui maana ya sadaka. Hao kama hawatangazi sadaka, basi wana mambo Yao nyuma ya pazia.
      Soma biblia vizuri uielewe usiige ya wazungu. Siku hizi huko uzunguni hakuna mungu, Bali Kuna miungu.

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @keiferuz4869
    @keiferuz4869 ปีที่แล้ว

    Mzee wa busara

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn ปีที่แล้ว

    Binafsi naona jukwaa la wasafi lingemfaa sana huyu mzee afu combination yake isiwe ya masanja na lilian kwa maoni yang sio kwa ubaya.huyu jamaa naona ni jeshi la mtu mmoja anatakiwa awe na kipind na partiner wake asiwe too much talker kama hao alionao sasa

    • @joezeno8
      @joezeno8 ปีที่แล้ว

      Kweli

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 ปีที่แล้ว

      Hata mimi niliwaza hivyo na kwa nia njema tu. Anajitosheleza peke yake si kwa michanganyo na ....

    • @LeahMuganyizi
      @LeahMuganyizi 7 หลายเดือนก่อน

      Mungu akutunze Mzee!!unazisoma akili za watu hatariiiiii

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184 ปีที่แล้ว

    Tafakari