🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ค. 2024
  • 🔴#Live: MCHUNGAJI HANANJA Afunguka MAZITO, DIAMOND Kuchukua NYOTA ya MARIOO | HOTPOT..
    Karibu kutazama kipindi cha HOTPOT upate umbea wa motomoto, na leo tumepiga stori na mchungaji Hananja ambaye ameeleza kuhusu mambo mengi yanayoendelea Duniani.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 82

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 2 ปีที่แล้ว +7

    baba mchungaji nakusikiliza na kukuelewa kutoka Manchester UK. Mwenyezi Mungu abariki kazi ya mikono yako

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 2 ปีที่แล้ว +3

    MCHUNGAJI POWA NAMKUBALI SANA NA USANII PIA KAHETIMU..NAMFANANISHA NA SHEIKH KIPOOZEO VERY STRAIGHT AND WELL SPOKEN

  • @jamil1547
    @jamil1547 2 ปีที่แล้ว +4

    😅😅😅 Asante sana mimi ni muislam lakini nampenda sana huyu mchungaji

    • @kachabisnea8815
      @kachabisnea8815 ปีที่แล้ว +1

      Usipende ktangaza udini kumbuka hizi dini zote ni za kuletwa

  • @nasambulilian380
    @nasambulilian380 ปีที่แล้ว +1

    Ina pendeza sana ❤❤Amen 🙏🙏🇸🇦🇸🇦

  • @levinachuwa7622
    @levinachuwa7622 7 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji Hananja unatisha 😆 Mwenyezi Mungu akubariki daima . Umekuwa msaada mkubwa kwa jamii. Àsante kwa mafundisho ya Neno la Mungu na tafakari. Binafsi nakuombea maisha marefu kwa UTUKUFU wa Mungu❤❤

  • @hadija846
    @hadija846 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubari sana baba pamoja sana wakati wote🙏😍

  • @mathewmekemanuel1113
    @mathewmekemanuel1113 ปีที่แล้ว +1

    Mchu ngaji hongela kwa kujibu maswali magumu💯💯

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji nimekuelewa sana yan mungu kakubari akiri

  • @richardnawety707
    @richardnawety707 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏 barikiwa Mchungaji

  • @Fauqdaq
    @Fauqdaq 6 หลายเดือนก่อน

    Genius pastor ♥️ 💯

  • @charlesatanaschishsyela2563
    @charlesatanaschishsyela2563 ปีที่แล้ว

    Nashukuru Sana global na mchungaji

  • @user-uv5jf6he8r
    @user-uv5jf6he8r 7 หลายเดือนก่อน

    Baba nakupenda saana Kwa taarifa zako

  • @user-yp6om3lg3g
    @user-yp6om3lg3g 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo mzee noma kweli kweli

  • @anastaziashilole2436
    @anastaziashilole2436 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @devievicent2735
    @devievicent2735 2 ปีที่แล้ว +2

    Father unaakili sanaaaaa

  • @allykashindi3367
    @allykashindi3367 7 หลายเดือนก่อน

    mungu awe pamoja naye amuweke miaka 10000 duniani.

  • @kellycconrard4185
    @kellycconrard4185 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana mchungaji hananji

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 ปีที่แล้ว +6

    Nilichokigundua hapa huyu mchungaji ana uelewa mkubwa Sana na anajalibu kuwaelewesha hawa watangazaji Ila hawa watangazaji wapo na chuki na diamond na wcb ndio maana mada ya uchawi wa kwa mondi wakati hawana ushahidi wowote wao lengo lao mchungaji awasapoti wapate trend Ila mchungaji kashawaelewa na amewakwepa kwa akili na kuwapa elimu.

  • @nyzerjnl7960
    @nyzerjnl7960 ปีที่แล้ว

    KUNA WENGNE WAALIMU, MAKUHANI NA WAZEE WA KANISA NAMKUBALI SANA PASTOR HANANJA

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 ปีที่แล้ว

    Safi sana paster,, uchawi ni ujinga tu!!

  • @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
    @RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 7 หลายเดือนก่อน

    Amen ❤❤❤

  • @tanunewstz
    @tanunewstz ปีที่แล้ว

    Ni sawa

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 2 ปีที่แล้ว

    Huyu mchungaji noma sana

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 ปีที่แล้ว

    Mbona raha, kumsiliza huyu Mchungaji ni raha na kuna point za kuondoka nazo. Mungu abariki kinywa Chako kizidi katika kunena hekima ya Mungu

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 ปีที่แล้ว

    Nimewamiss jamani nawapenda sana

  • @Fauqdaq
    @Fauqdaq 6 หลายเดือนก่อน

    ♥️

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji bwana

  • @mashoo6781
    @mashoo6781 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa anabahati kuwa hapo kituon sauti haiendan kabisa anaongea kama dem

  • @nicksamkivvy749
    @nicksamkivvy749 ปีที่แล้ว

    Genius

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji anasemahuyu 😁😁😁 lakin yoote yanaingia akilini masha Allah

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 7 หลายเดือนก่อน

    Huyuu mchungaji ana hekima na unyenyekevu wa juu. Biblia anaijua hii ni zawadi kubwa sana

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa nyie waandishi mmekosa weredi. Mchungaji kawakomoa mnamuuliza umbea. Huyo anaakili

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 ปีที่แล้ว +1

    Kila ck najifunza Walahi huyu mchunguji nimemjua wakati sahihi Allah amuweke

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 6 หลายเดือนก่อน

    Sauti Sauti Omoni Zake Mnazijua

  • @elizabethnyirato9856
    @elizabethnyirato9856 ปีที่แล้ว

    Huwezi kuwafahamu Hawa mpaka uwe deep kwenye baadhi ya mambo anatekeleza mission

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 ปีที่แล้ว

      Mission gani tumegee kidogo

  • @PidfourYoungTz
    @PidfourYoungTz 2 ปีที่แล้ว +2

    Kiiila siku diamond wasafi diamond wasafi hakunaga swaga tz

    • @denissylvester542
      @denissylvester542 2 ปีที่แล้ว

      Kwenye maombi nimemkubari Sana mchungaji

    • @denissylvester542
      @denissylvester542 2 ปีที่แล้ว

      Ila huyu mchungaji kichwa sana maana anavyotaja mistari ya Bibria utafikiri anasoma

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 ปีที่แล้ว

      @@denissylvester542
      💯 % uliwai kusafiri, basi moja na, watu wa maombi yaliwai kukuvurugia safari, yani sio bure na mimi pia maomba, kwa jina LA, YESU FAYER yesu moto FAYER yesu choma hao 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @KipsoiwetBillionaire
    @KipsoiwetBillionaire 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo kaka mtangazaji, anaongea kama mkenya sana. Jamani turudishieni mkenya wetu😂😂😂.

  • @sacg9783
    @sacg9783 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji yupo vizuri

  • @alexkwekatz9176
    @alexkwekatz9176 ปีที่แล้ว

    Naomba mrudie hiyo no please

  • @Given-Norman
    @Given-Norman ปีที่แล้ว

    Kwa habari ya nyimbo sikubaliani nae, huwezi kuchanganya nyimbo za dunia na nyimbo ya Injili

    • @muhasatv9245
      @muhasatv9245 ปีที่แล้ว

      Album mpya imetoka ya shetani

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji kiswahili chako cha kichaga

  • @elishaenock968
    @elishaenock968 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji nabalikiwa sana nikiskia maubili yako

  • @sospitajacksonmariserkamo2471
    @sospitajacksonmariserkamo2471 ปีที่แล้ว

    una tutia moyo sana swari kwako ukiandamwa na viongozi kwajiri ya nafazi zako

  • @thatkidluffy6390
    @thatkidluffy6390 2 ปีที่แล้ว

    Leo mumewezwa dija baby upo wapi leo

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 ปีที่แล้ว

    We kijana unauliza maswali ya aina Gani,unaulizaje watu wanapenda kufanya Nini kanisani?kwani wasichana warembo hawapaswi kwenda kanisani?

  • @ufahamueliyamanga5615
    @ufahamueliyamanga5615 ปีที่แล้ว

    Mchungaji yuko powa Sweden

  • @patyflaviank5199
    @patyflaviank5199 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani tuna omba tena mafundisho yake huyu mchungaji.

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa simuelewi ana sauti ndogo na mashauzi.

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mkaka mbona analembesha sauti ki mama

  • @gwakisamwakambulwe2491
    @gwakisamwakambulwe2491 ปีที่แล้ว

    Uyu mtangazaji wa kiume ana gene za kike.........normal gentleman hayupo ivo

  • @solangedhesi7813
    @solangedhesi7813 ปีที่แล้ว

    Nataka zile mafuta ya nyele nitazipata kivip

  • @kellycconrard4185
    @kellycconrard4185 ปีที่แล้ว

    Watangazaj mmezidiwa na mchungaji

  • @sacg9783
    @sacg9783 ปีที่แล้ว

    Ww mdada jamanii,hamonaize hajatembea na Paula mbona ww upo ivyo

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 2 ปีที่แล้ว

    Duhhh. Nikweli. Pasto. Sisi. Wote. Ni. Raia. Wa. Nchii. Mbilii

  • @karistojoseph4440
    @karistojoseph4440 ปีที่แล้ว

    Nimemkubali mchungaji hananja nitamtafuta

  • @hamisikibwana6642
    @hamisikibwana6642 2 ปีที่แล้ว

    MCHUNGAJI WEWE NI NOMA

  • @seifhassan7652
    @seifhassan7652 ปีที่แล้ว

    namkubali sana huyu mtu mzima anaejibu maswali

  • @hashimmlawizi7339
    @hashimmlawizi7339 ปีที่แล้ว

    Uyo mwimbaji anaitwa jen misso

  • @devievicent2735
    @devievicent2735 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji ungekuwa mganga was kienyeji wewe watu wasingekauka mana unajua kutabana atari

  • @julesngama2508
    @julesngama2508 2 ปีที่แล้ว +2

    Yesu ana rudi kwa kweli. Wokovu amuna kabisa kwa inchi iyi ya Tanzania. Wako kimwili sana. Daniel 12:1-4

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 ปีที่แล้ว

    Diamond kasha zima

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣

  • @paskalimallya5294
    @paskalimallya5294 ปีที่แล้ว

    Uyo mymtangazan sjampenda

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 ปีที่แล้ว

      Wapi wengi pale studio wake kwa, waume na, unasema huyo unamaanisha ni mtu mmoja, Nani Kati yao na, kwasababu gani?, Kakukosea nini?, Punguza chuki itakutesa sana, maana hata kukujua hakujui, wewe ndo unamuangalia utateseka sana, nakupa ushauri wangu wa bureeeee, badilisha, CHANEL

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 ปีที่แล้ว

    Mchungaji tishaaa hahaha 😆 😂

  • @magdalenamynusic5831
    @magdalenamynusic5831 7 หลายเดือนก่อน

    Nyie watangazi acheni hizo. Sasa diomond na hawasanii mnataka mchungaji awajibgu Nini mmebuginsana

  • @user-go6qe1xu1v
    @user-go6qe1xu1v 7 หลายเดือนก่อน