MCHUNGAJI HANANJA ALIPUKA HAKUNA BINADAMU DUNIANI ALIYEENDA MBINGUNI NA KURUDI HII KUFURU KWA WATOTO

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 166

  • @seacresthotel8998
    @seacresthotel8998 4 หลายเดือนก่อน +4

    💥💥💥💥👏👏👏MUNGU akubariki sana mchungaji

  • @florachogo243
    @florachogo243 5 หลายเดือนก่อน +15

    Mtumishi huyu anajielewa, hongera, watu wanajitoa ufahamu

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 5 หลายเดือนก่อน +7

    Amina Mutumishi wa Bwana, karibu tena hapa kwetu IOWA STATE USA 🇺🇸.

  • @sultanalnaamani2156
    @sultanalnaamani2156 5 หลายเดือนก่อน +11

    Mchungaji Mungu akupe afya njema na umri mrefu
    Mzee wetu tunaomba nambari yako ya Cm ilituwetukiwasiliana kwa pamoja hakika nimependa mafundisho yako ni mazuri na ukweli sana upo vizuri
    Ahsante.

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 5 หลายเดือนก่อน +5

    Tupate wapi tena watumishi wenye ufahamu wa Neno la Mungu kama na huu?
    Eh Mungu litakase kanisa lako, tuko hatarini.

  • @japhetmnyeta1076
    @japhetmnyeta1076 5 หลายเดือนก่อน +8

    Mchungaji Ume quolify,ni kweli ili Kujua MUNGU yupo lazima pawe na utaratibu na utaratibu ni sifa ya MUNGU WA mbinguni

  • @arimazuri
    @arimazuri 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uko sahihi baba Mungu akubariki sana mtumishi

  • @alexiscirhuza
    @alexiscirhuza 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana baba kwa Mashauri Yako ambayo yana uhai. Mungu akupe maisha marefu

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI 5 หลายเดือนก่อน +7

    MCHUNGAJI NAKUPENDA SANAA WEWE HUNAUONGO WALA UBABAISHAJI

  • @GADAUNEWS
    @GADAUNEWS 5 หลายเดือนก่อน +5

    Asante mtumish Mungu akubarik Hananja

  • @saimonbikulaofficial
    @saimonbikulaofficial 4 หลายเดือนก่อน +1

    Isee hananja tukupe makanisa yoye ya tz uyanyooshe mama unamafindisho yakweli unafundisha uhusiano kati ya mwanadamu na mungu God bless you

  • @ruthaloyce1012
    @ruthaloyce1012 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa, Hananja kama Hananja!❤❤❤🌹🌹🌹chukua maua yakoo!

  • @RockofLifeChurch
    @RockofLifeChurch 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ambariki Mchungaji Hannanja
    Watu wengi hawana misingi.

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mchungaji hananja uko sahihi kabisaa.

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 16 วันที่ผ่านมา

    Baba mchungaji mimi ni Abdul Simba mungu akubariki baba yangu mimi ni mwisilam uwa nafata vipindi vyako wewe ni mkweli kabisa

  • @IsackTheonest
    @IsackTheonest 5 หลายเดือนก่อน +1

    ❤Mungu akubariki mchg, ww ni mwanga wa vijana

  • @twabwikemundela5770
    @twabwikemundela5770 4 หลายเดือนก่อน +1

    Amen mtumishi. Nimebarikiwa sana.

  • @user-uu8bd4vi9s
    @user-uu8bd4vi9s 5 หลายเดือนก่อน +14

    Mch umenyoka uko sahihi anae pinga hichi unacho sema akasome neno..Mungu akutie nguvu akulinde maisha yako yote.

    • @adronicoreveliano7151
      @adronicoreveliano7151 5 หลายเดือนก่อน

      Sure!

    • @adriannebatakanwa6904
      @adriannebatakanwa6904 5 หลายเดือนก่อน

      Kina Ezekiel hawakuchukuliwa katika Roho. Yohana akiwa kisiwa Patimo hakuchukuliwa na kuonyeshwa yatakayokuja? Usipotoshe watu japo si wote wanasema kweli lakini kuchukuliwa kupo tu. Omba neema ikuzukie.

    • @PatriciaAkena
      @PatriciaAkena 5 หลายเดือนก่อน

      Binadamu anpendi ukweli...nani anasugumunza na mungu kufuru kweli mungu bibilia inasema imani hati alitembea na mungu wapi hata musa mwenyewe..akumwona na kupenda bure

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 4 หลายเดือนก่อน

      Huyu mchungaji ni comedian wala hana wito wa Mungu ila alisoma theology tu. Kama hana muda wa kukaa magotini hawezi kutumiwa na Roho Mtakatifu.

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 4 หลายเดือนก่อน

      n​@@elishakayagwa9371wewe ndo komedian. Onyesha kwenye biblia mahali palipoandikwa kuna nabii aliyewahi kwenda mbinguni akakutana na Mungu, Mungu akamtembeza kwenye ufalme wake, kisha akarudi duniani.

  • @ElibarikiMbando
    @ElibarikiMbando 17 วันที่ผ่านมา

    barikiwa sana hananja;hua nakufuatilia saana

  • @imanihussein9457
    @imanihussein9457 5 หลายเดือนก่อน +4

    hananja upo vzr

  • @priscakitambi8639
    @priscakitambi8639 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr sana Mch. Mi nakukubali sana

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera na endelea vivi hivi mch Hananja, ulaghai wa baadhi ya wachungaji wachumia tumbo kwa kuwahadaa watu wanyonge na wasio na ufahamu mzuri ktk makanisa yao! Watakasirika kweli kwa vile umezianika hadharani mbinu zao ovu za kupumbaza watu; hata mienendo yao imejaa chukizo! Jamii yetu inapata faida kwa kuamshwa kupitia mafundisho yako kwa muongozo wa bibilia takatifu.

  • @hermannicholaus238
    @hermannicholaus238 5 หลายเดือนก่อน +4

    Njoo Moshi

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa 4 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji wetue tupe number za sin Ili tuwe tunawasiliana.kwamana Wewe naona elim unayo kabisaa.allah akuifadhi akupe nguvu zakuteteya dini zote

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 5 หลายเดือนก่อน +4

    Walokole wanauvuruga ukristo sanaa...

  • @user-wq4pl5dv6b
    @user-wq4pl5dv6b 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mtume mohamed

  • @eliabrandy
    @eliabrandy หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sn pastor chukua mataji

  • @user-uy5zk4lj5w
    @user-uy5zk4lj5w 4 หลายเดือนก่อน

    HALELUYA, MCHUNGAJI MUNGU AKUBARIKI KWA UKWELI WA NENO LA MUNGU KUPITIA BIBLIA TAKATIFU

  • @user-ty4ji9qm5r
    @user-ty4ji9qm5r 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Hananja

  • @williamkadote305
    @williamkadote305 4 หลายเดือนก่อน

    Muchungaji kwakweli unaongea sahihi, Na uko Baba watoto, ❤Sasa Muchungaji kwanini ulimi yako kila mara inatoka inje ? Kwakweli sio ma sighs zakisasa ?

  • @eliuschonjo7706
    @eliuschonjo7706 3 หลายเดือนก่อน

    Kucheza na akili za watu lazimaa uongezee uongoo !!! Ila hapo Kwa Mungu kuzungumzia uongo ni laana kubwa sana

  • @felisterjoshuamollel3930
    @felisterjoshuamollel3930 4 หลายเดือนก่อน

    Tunakukubali Sana mch. Hananja❤chukua maua yako 🎉🎉

  • @user-yq7yv5bb8j
    @user-yq7yv5bb8j 2 หลายเดือนก่อน

    Jaman mm nikimsiliza mch Hananja Roho inajaa amani tele.

  • @DonatiMlay
    @DonatiMlay 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mchungaji anasema ukweli mtupu manabii wa uwongo kwa ajili ya kuwapora hela waliokosa maarifa.

  • @MILEMBEMASUKE-ds2fx
    @MILEMBEMASUKE-ds2fx 5 หลายเดือนก่อน

    What a paster....🙏

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel7862 4 หลายเดือนก่อน

    Ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO

  • @phinescah7353
    @phinescah7353 4 หลายเดือนก่อน

    Amesema ukweli kabisaa,i support the truth because the bible says you shall know the truth and the truth shall set you free

  • @japhetmnyeta1076
    @japhetmnyeta1076 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna roho ambayo itakua kwenye mwili ikamuona MUNGU na isitake kumrudia muumba wake Kwa uzuri aliokua Nao MUNGU thus why Mussa alipokwisha ona mgongo wa MUNGU alirudi na wazee wa Israel wakashangaa mng'ao na wakamkimbia

  • @user-tf4zb9fz1f
    @user-tf4zb9fz1f 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwacheni Mzee angee ukweri .

  • @user-gt9zw9jk6w
    @user-gt9zw9jk6w 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana

  • @costantineevarist5110
    @costantineevarist5110 5 หลายเดือนก่อน

    Amina mchungaji..Aliyepaa Ni Yesu tu.Wengine ni hadithi tu za uongo

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 หลายเดือนก่อน

      Hata Mtume Muhammad mwenyewe alidanganya umma eti alipaa na Buraq😂

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 5 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana baba

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 4 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi ananja 🙏

  • @hildaminja5148
    @hildaminja5148 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana. Unaweza kusaidia kizazi hiki

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 5 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanajiita manabii😢ni wa uongo 😢😢

  • @user-hg7ec5vc3f
    @user-hg7ec5vc3f วันที่ผ่านมา

    Yohana 3:13
    Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu.
    Ni kweli Baba upo sahihi Akuna alie enda mbinguni akarudi

  • @leonardpeter153
    @leonardpeter153 4 หลายเดือนก่อน

    Shetani ni mjanja sana watu wanawaogopa sana manabii wachungaji wanatumia nafasi hiyo kuvutia sana kwao ,Mungu ana mipaka yote yanawezekana kwake yeye aaminiye biblia aiimpi Mungu mipaka

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 4 หลายเดือนก่อน

    Hananja mungu akubariki sana kwakusema ukweli

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 4 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 asante kwa kuwaumbuwa wenzako wako kibiashara tu kuendesha maisha na watu hawana akili wanafata mkumbo tu

  • @davidmapugilo5283
    @davidmapugilo5283 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ufahamu, ufahamu, ufahamu, never speak of things you do not know

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde

  • @user-tr2mf3hp5s
    @user-tr2mf3hp5s 4 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana mzee wng

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e 5 หลายเดือนก่อน

    ❤😂 Amina kabisa true pst 🙏

  • @SifaelMpagike-gt1gz
    @SifaelMpagike-gt1gz 4 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ila kwenye biblia unawazidi sana kuijua! Wachungaji wengi wengi unawapiga fimbo!

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hata hao wengine wanajua, ila wanaitumia vibaya ili kufanikisha malengo yao ya hovyo😢😢😢

  • @littlelunie.7653
    @littlelunie.7653 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waambie na daniel alionyeshwa hakwenda mbinguni

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bado mitume ya Kinyakyusa😂😂😂

  • @kwamnkurumah8574
    @kwamnkurumah8574 5 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji hyu Nina mkubali Sana aise upo sahihi Nikipa mkubwa wao

  • @user-ri8ch2hs3m
    @user-ri8ch2hs3m 5 หลายเดือนก่อน +5

    Waambie baba wafunguke

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 5 หลายเดือนก่อน

    Haaa kweli kama unawaza sanaa unaweza ota kweri wanakufuru

  • @user-tl5oz3ws9m
    @user-tl5oz3ws9m 4 หลายเดือนก่อน

    Ukosawa sana badili muelekeo uokoke ukweli wote unaujuwa

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-cd9nk8yz2h
    @user-cd9nk8yz2h 4 หลายเดือนก่อน

    Binadamu mpaka akufe mara moja tuu ndio aende kwa mungu mbiguni

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9l 4 หลายเดือนก่อน

    Halafu huyo wa Arusha anajiita nabii mkuu,tofauti na maandiko maana kwa mjibu wa maandiko alie mkuu ni mmoja tu

  • @danielchaulema1670
    @danielchaulema1670 3 หลายเดือนก่อน

    Watu wangu huangamia kwakukosa maarifa

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 4 หลายเดือนก่อน

    Watu wanaenda kuzimu na mbinguni yaani sana Tena shida saana hii inatisha mpaka unajiuliza hii ni nini

  • @stephenlembo8986
    @stephenlembo8986 4 หลายเดือนก่อน

    Yesu hakuleta dini alileta wokovu.

  • @suzydeusy1405
    @suzydeusy1405 4 หลายเดือนก่อน

    Hamna mtu atamwona Mungu akiwa kwenye mwili huu

  • @japhetmnyeta1076
    @japhetmnyeta1076 5 หลายเดือนก่อน +2

    MUNGU si mchezo wazee

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa kama wanafunzi wa yesu walikua na wake mbona nyie wengine mnawambia msiowe?

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hilo swali huyu halimuhusu anamke na watoto na haamini Hilo la kutokuowa maana kuto kuowa ni Sheria ya warumi

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 5 หลายเดือนก่อน

    We mzee Uislam umesha ujua achana na Hao matapeli

  • @ChejoBuchejo-mm8bb
    @ChejoBuchejo-mm8bb 4 หลายเดือนก่อน

    Tz ni nchi ya watu wajinga sana ,,,yani tumejazwa uwoga tukawa mazuzu kabisa.....BORA NIWE NARUDI MASKANI KUTAMBIKA ,,,,,Asante mtumishi kusema UKWELI unaopotoshwa

  • @lukamwinuka2957
    @lukamwinuka2957 4 หลายเดือนก่อน

    Wambie hao wanaenda kuxim wanasema Kwa Mungu

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 5 หลายเดือนก่อน +3

    Upo sahihi Mtumishi

  • @user-hh1cx5xn8n
    @user-hh1cx5xn8n 4 หลายเดือนก่อน

    Unaongea ukwelii unwell unadumu binandamu hawataki kweli

  • @pcctMadale
    @pcctMadale 5 หลายเดือนก่อน +1

    PASTOR HANANJA UKO SAHIHI KABISA,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KWENDA MBINGUNI KUONGEA NA MUNGU,HAKUNA BINADAMU ANAWEZA KUONANA NA MUNGU NA AKAWA SALAMA!HATA MUSA HAKUWEZA!

    • @Kamkono
      @Kamkono 4 หลายเดือนก่อน

      Henoko ?

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 5 หลายเดือนก่อน

    Usihangaishwe nao Mchungaji

  • @bettmutahi1346
    @bettmutahi1346 4 หลายเดือนก่อน

    Urealy do have a problem

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 4 หลายเดือนก่อน

    Na tracksuit yangu😂😂😂

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa 4 หลายเดือนก่อน

    Sante paster wetu!!!wewe sahihi kabisa.waaambiye awo waache kupoteza Watu.

  • @JulianMakondo
    @JulianMakondo 5 หลายเดือนก่อน

    Sema watu wasimchukulie Mungu kikawaida , kusema ukweli Mungu anatisha na mwanadamu akimwona Mungu katika mwili huu wa damu na nyamu huyo mwanadamu hawezi kuishi , maana hata tuwe wasafi vipi Kwa utukufu Mungu alio nao tukimwona Kwa macho tu ya damu na nyama tunakufa

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u 5 หลายเดือนก่อน

      Na vile watu tumechanganywa ni hizo ushuhuda za walio enda mbinguni na kuzimu, au Mungu aliwachukua ili waje watufundishe jinsi kuzimu inavyotisha

  • @Zaka-hv9ui
    @Zaka-hv9ui 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mkweli mch Hananja

  • @gilbertmaganga9370
    @gilbertmaganga9370 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu namuelewa sana msema kweli

  • @AnthonyAnatory
    @AnthonyAnatory 4 หลายเดือนก่อน

    Kabisa wasanii hao wanaangalia maokoto

  • @user-fh1vu5xk3j
    @user-fh1vu5xk3j 5 หลายเดือนก่อน

    Wengi tunakuelewa,

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 4 หลายเดือนก่อน

    Pastor anajua mpk ndumu....Yani hua wanipunga xna bro...

  • @EvanceBoy1997
    @EvanceBoy1997 5 หลายเดือนก่อน

    Unaongea unbelievable yule ni tapeli 😅😅😅

  • @user-cf9tt4vg9e
    @user-cf9tt4vg9e 4 หลายเดือนก่อน

    UWO NI KWELI KABISA

  • @rosejefwa9806
    @rosejefwa9806 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa hao wazee wanakuja kukupakamafu wanakuwa wameyatowa wapii wanakiwanda?

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 4 หลายเดือนก่อน

    Ukristo ni dini ya maokoto

  • @saidiathumani6443
    @saidiathumani6443 4 หลายเดือนก่อน

    Mafarisayo walishindwa kumwelewa yesu vilevile kwa sababu ya ufahamu tangulizi ndani yao. Muumba ni sauti na anasikika kupitia mmoja aliemchagua, ni vigumu sana kumuelewa muumba kama huna unyenyekevu. Hata hivyo wapo waliokusudiwa ndio wanaoelewa kuwa muumba anafanya kazi na wale wampendao, aliowakusudia hata kabla ya chochote kuumbwa!!

  • @SaleheRichard
    @SaleheRichard 16 วันที่ผ่านมา

    MCHUGAJI SEMA UKWELI KABISA UMESOMA BIBLE KIUKWEL

  • @user-fh1vu5xk3j
    @user-fh1vu5xk3j 5 หลายเดือนก่อน

    Waelewa tunakuelewa

  • @saidali-xv8yh
    @saidali-xv8yh 4 หลายเดือนก่อน

    Hameni huko dini ya ukristo siya dini wapagani ndiyo wemekuiteni wakristo siyo Mungu wala yesu hakutmwa kwenu bali katumwa kwa wana wa israel.

    • @Asana-wi7yj
      @Asana-wi7yj 4 หลายเดือนก่อน

      Unahitaji kuelekezwa aliowaijilia hawakumpokea

  • @georgiakiluvia8029
    @georgiakiluvia8029 4 หลายเดือนก่อน

    P

  • @frankanyandwilemwakatika1059
    @frankanyandwilemwakatika1059 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atusaidie kuelewa maandiko na sababu ya kuja Yesu
    23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
    Yohana 4:23
    24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
    Yohana 4:24
    Tuache kufikiri kimwili Mungu anaongea na watu wake mpaka sasa ukiona haongei na wewe jichunguze mwenendo wako

    • @francofrederick972
      @francofrederick972 4 หลายเดือนก่อน

      Wanafanya mdahalo😅😅😅😅

  • @ProspertRubura
    @ProspertRubura 5 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo nikweli baba sema kweli

    • @sirajally8356
      @sirajally8356 5 หลายเดือนก่อน

      ukweli nikwamba una simama naukweli wana haribu baibo nimatapeli sana

  • @KassimJabu
    @KassimJabu 4 หลายเดือนก่อน

    Hananja vunambavu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 หลายเดือนก่อน

    Unachosema Hananja kweli kabisa wachungaji wengi ni wasaka tonge la wajinga ndiyo waliwao hasa wanawake wanakombwa haswaaa

    • @Kamkono
      @Kamkono 4 หลายเดือนก่อน

      Hananja mwenyewe ameajiriwa na K.K.K.T Hana uwezo wa kumtafuta MUNGU asiye mjua .