MTIFUANO MZITO! MWANANCHI AMCHONGEA DC KWA MAKONDA - ''AMEDHULUMU SHAMBA - HUYOHUYO''....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2024
  • MTIFUANO MZITO! MWANANCHI AMCHONGEA DC KWA MAKONDA - ''AMEDHULUMU SHAMBA - HUYOHUYO''....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 82

  • @hamadimziraymziray-ry4vi
    @hamadimziraymziray-ry4vi 5 หลายเดือนก่อน +4

    ❤❤Makonda mung akupe maisha marefu Utete wanyonge❤❤❤❤❤

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 5 หลายเดือนก่อน +10

    Hadi sasa wananchi hawana imani na wakuu wa wilaya, Eee Mungu tusaidie 🎉❤❤🎉

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mh. Paul Makonda naomba uishauri serikali ifute mabaraza ya ardhi ya kata na ya wilaya maana yanasabsnusha migogoro... Kesi zote ziende mahamam

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mama Samia kazi uliyoifanya kwa kumuweka Makonda Mungu akubariki sanaaaa naamini umeona watanzania wanavyoteseka watendaji wako umewaona wanavyofanya wanataka Ccm ishindwe

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mama samia Mungu akubariki sanaaaa kumuweka MAKONDA anaiokoa ccm

    • @shangwefisima3993
      @shangwefisima3993 5 หลายเดือนก่อน

      Ana bahati Samia ccm ilikuwa kushnei ashukuru Makonda

    • @user-cu3dg8xd7q
      @user-cu3dg8xd7q 4 หลายเดือนก่อน

      Ccm imeshaoza 😢 tunasubiri mda tu , ccm inakandamizs wanachi na wala makonda hawezi kuikoa ccm ni lidudu linyonya damu

    • @shangwefisima3993
      @shangwefisima3993 4 หลายเดือนก่อน

      @@user-cu3dg8xd7q tuletee basi Chama chako Ili kikombie Nchi...Chenye mizizi kama CCM

  • @neemakerefu4876
    @neemakerefu4876 4 หลายเดือนก่อน +3

    Shida kubwa viongozi wengi hawaendi kusikiliza kero za wananchi .wamekaa ofisini tuu

  • @zainabukivale9571
    @zainabukivale9571 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mama samia naomba sana kuongea na wewe nashida ambayo naweza kupoteza maisha na nyumban YANGU pia naomba kuonana ata na makonda asante

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 4 หลายเดือนก่อน

      Makonda anasoma au mama samia wanasoma hizi comment?😂😂😂tafuta njia sahihi

  • @JudithFrad-nk1di
    @JudithFrad-nk1di 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ila mkuu wa wilaya kajitahidi sana , kujieleza

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna sehemu watendaji tumefeli, haiwezekani huu ndio uwe mbadala wa matatizo

  • @user-ns8nf9rf7z
    @user-ns8nf9rf7z 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ishi ulaumiwe kufa usifiwe hata magufuli enzi za uhai wake watu wengi walikuwa wanamsema vibaya ila alivofariki tu kila mtu bora magu, uongozi ni kazi sana na una lawama nyingi mkuu wa wilaya kajieleza vizuri sana, sisi ambao hatujui sheria tunazomea tu nakulopoka maneno ambayo sio sahihi, kamwe huwezi kumridhisha kila mtu kama unaakili timamu,tuwe na imani na viongozi wetu tusikalili kuwa kila kiongozi hatendi haki kwa wananchi

  • @nazarenajoseph2695
    @nazarenajoseph2695 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hunger makonda hakim tutapata masikini.

  • @addomapunda957
    @addomapunda957 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wananchi tusiwe was kushangilia bila kuwa sikiliza viongozi

  • @jastinyohanes6388
    @jastinyohanes6388 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa uelewa wangu mm rufaa haizuii kutekelezwa hukumu ya mwanzo ,kwa kuwa inakuwa hukumu ishatokewa

  • @user-wy4fv9vd7w
    @user-wy4fv9vd7w 4 หลายเดือนก่อน

    jembe la mama samia❣❣❣❣

  • @oscarcharles9624
    @oscarcharles9624 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤🎉makonda nil8kuaga sikuelewi sasa naanza kukuelewa

  • @norahfrank
    @norahfrank 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe kila mahala ni taabu na uchungu mwingi kwa wananchi. Duh ,duh.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wanyonge hawana hakiii kuna njama zimafanyika hawa upande wa pili hawana lawyer au pesa zimepeperushwa

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wote wanao fanya serekalini majambazi

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 หลายเดือนก่อน +2

    Watu Msiwe Mnashangilia2 Zingatieni Sana Elimu Anazotoa Makonda Kwenye Vikao Vyote Siku Ukiona Jipu Baki Nalo Siku Ikifika Ujue Utaanzia Wapi Kuyasema Kwa Viongozi Wa Juu Zaidi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 3 หลายเดือนก่อน

    Watu wa Serikali mara nyingi huchukuwa Rushwa ndio sababu kuna kushinda na kutoshinda

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 4 หลายเดือนก่อน

    DC kachemka, bado kesi Iko mahakamani

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 4 หลายเดือนก่อน

    Na hiyo kesi kama haikupita baraza la kata, hayo maamuz ya ushindi ni batili tupu

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kila mtu ana haki ya kuongea,

  • @nebartmwakibinga7064
    @nebartmwakibinga7064 5 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA NAMUOMBA YESU AKUTUNZE UJE KUWA KIONGOZI MKUU ZAIDI YA HAPO NAKUONA UKIENDA KUWA MTU MKUBWA MNO DUNIANI UNASAIDIA WANYONGE KAMA SISI BARIKIWA SAANA

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 หลายเดือนก่อน +2

    SEMA MAKONDA UNAJUA KUHOJ ATAR

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 5 หลายเดือนก่อน +1

      Makonda ni mzoefu. Alikuwa Mkuuwa Wilaya na Mkuu wa Mkoa tena Dar es Salaam.

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 4 หลายเดือนก่อน

    Sijapenda uyo mkuu wawilaya kujifanya mjuaji anamuuliza mwanasheria naweza ku challenge hapa

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda Piga kazi du napenda unavyo wabana Rais mama Samia S Hassan Mpe ruhsa aanze kutumbua ili kumuenzi Baba Rais magufuli

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 4 หลายเดือนก่อน

    Jamaa anauliza iv Dc anaweza kuchaleng

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 5 หลายเดือนก่อน

    Hao wanajua kunyosha maelezo kwa wanyonge..Lisa hawajui sheria

  • @user-qd1fc4mq6o
    @user-qd1fc4mq6o 4 หลายเดือนก่อน

    Mh. Makonda hao DC na. DED lao ni moja wanazurumu watu ardhi zao . Ndio maana swala linalo husu DED hukilalamika kwa DC ni kupoteza muda.

  • @dismaskanondo2049
    @dismaskanondo2049 4 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa mokonda ana akili kubwa si kawaida na uwezo mkubwa sana wa uelewa

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 5 หลายเดือนก่อน

    Mwenye nguvu anachukua

  • @jacksonkema7888
    @jacksonkema7888 5 หลายเดือนก่อน

    makonda chapa kazi usiogope

  • @user-hr2eo2on6w
    @user-hr2eo2on6w 5 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kama makonda,mam samia raisi wangu mpatie makonda hata uwazir mkuu,ana karama ya uongoz

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤makonda awa wanalamba sukari na kuendelea kuzalisha migogoro

  • @knaanadam8785
    @knaanadam8785 5 หลายเดือนก่อน

    Hi watanzania

  • @Naju645
    @Naju645 5 หลายเดือนก่อน

    Yaan kuna viongozi wanyonyaji utafikiri hawata kufa

  • @nazarenajoseph2695
    @nazarenajoseph2695 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda tutakufuata Irina unaenda lini Iringa?

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 5 หลายเดือนก่อน +4

    Samia tumbua wakuu was wiilaya ote Ni chanzo Cha migogoro.kila apitapo makoinda Ni wakuu wawilaya

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 5 หลายเดือนก่อน

    Tatizo mnaongizwa na viongozi wasio heshimu Sheria kama huyo Makonda. Hapo hawezi kuelewa kama hakuna zuio la kisheria lililo ombwa juu ya usitishaji wa hukumu ya kwanza ....

  • @RahmaYassinmlaponi
    @RahmaYassinmlaponi 4 หลายเดือนก่อน

    Yaan huyu makonda inatakiwa uwe naakili zambaali sana ndoutagundua kuwa anafanya sias kwenye mikutano yake

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 5 หลายเดือนก่อน

    Mama samia unaona unachaguwa wasaidizi wako unaletewa majina unateuwa ndio unaona sasa nakuomba bimkubwa muangalie makonda ndio taa yako sasa fukuza wote viongozi wa serikali uliowateuwa wanalala tu uko wanadhurumu wananchi

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 5 หลายเดือนก่อน

    Kwan hyu makonda anamamlaka ya kuwa shurutisha wateule wa rais

  • @julianpeter7165
    @julianpeter7165 5 หลายเดือนก่อน

    Ina maana hawa wabunge wako bungeni. Kumsifu raisi Tu ? Je hatuoni kuwa kuna haja sasa ya kuchanguwa viongozi kwa namna nyengine hata ya mambo badala ya kuyeuwa watu ambao raisi ki haki hawajuwi kabisa lakini likitokea basi tunamlau yeye haya yote INAONESHA KATIBA MPYA

  • @edwinmedson8961
    @edwinmedson8961 5 หลายเดือนก่อน

    Halafu anatokea mtu anasema makonda hajasoma jama hata mkuu wa wilaya anasubl

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน

      Makonda amesoma, kisomo kipi unazungumzia

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 5 หลายเดือนก่อน

    Makonda ni km Mungu wetu baada ya mwendazake kutuacha.

    • @user-tb2iq4fh9o
      @user-tb2iq4fh9o 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu afananishwi❤

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 4 หลายเดือนก่อน

      Ulaaniwe mtu kmfananisha na MWENYEZ MUNGU

    • @angelavayinga914
      @angelavayinga914 4 หลายเดือนก่อน

      @@personpeter2221 ulaaniwe wenyewe kenge wewe. Kila mtu ana maoni yake,achana na comment zangu pita kule.

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 4 หลายเดือนก่อน

      @@angelavayinga914 umeshafanya kufuru huwez kusema makonda ndo MUNGU wetu MUNGU wako ww na family yako mwehu ww

    • @angelavayinga914
      @angelavayinga914 4 หลายเดือนก่อน

      @@personpeter2221 mwehu mwenyewe

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 5 หลายเดือนก่อน

    Wakuu wa wilaya wanajifanya wanasheria ,mama Samia Tumbua huyo mkuu wa wilaya

    • @jackiefredrick586
      @jackiefredrick586 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa kosa gan

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน

      DC hana kosa.. ni taaluma ya watu

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 5 หลายเดือนก่อน +5

    Tuwe na akili za kuelewa haraka. DC kamwe hakuamuru shamba lilimwe. Rufaa imekatwa, iko kwa judge, na, hakuna amri yoyote ya mahakama kusitisha shughuli kwenye shamba husika wakati maamuzi ya Jaji yanasubiriwa; Ungekuwa wewe ndiye DC unafanyaje?
    Tuache kurahisisha mambo. Halafu hii ya kuwa kama unawadharirisha watumishi na viongozi wa Serikali siyo poa. Nchi haiongozwi na kuendeshwa hivyo. Athari zake ni mbaya.

    • @emmanuelbarua5784
      @emmanuelbarua5784 5 หลายเดือนก่อน +2

      Hujielewi

    • @kikongajoel5172
      @kikongajoel5172 5 หลายเดือนก่อน

      Wew unakula wp

    • @KennethMgona-jy4vc
      @KennethMgona-jy4vc 5 หลายเดือนก่อน +3

      Wew ni mchaw watu wana teseka wew una sema ana wazalilisha urahaniwe na family yako

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe unaroho ya kichawi

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 5 หลายเดือนก่อน

      Ww ni punda kweli

  • @RahmaYassinmlaponi
    @RahmaYassinmlaponi 4 หลายเดือนก่อน

    Hawa viangozi wabadilifu wametoka kwa wananchi so siajabu mwananchi akawa mbabaishaji pia maana kunawananchi huku mtaan kama wakipewa uongozi kwa 1 week bas hazima hiyo waiuze nakila raia apewe chake