SHUHUDIA MREMBO MDOGO ANAYEMILIKI MJENGO MKALI GOBA | ATAJA SIRI YA MAFANIKIO YAKE "Sili bata..."

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 มิ.ย. 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 119

  • @mama_mlezi7744
    @mama_mlezi7744 ปีที่แล้ว +8

    Eee Mungu nisaidie na Mimi🙇🏼‍♀️🙏

  • @tabutabu8900
    @tabutabu8900 11 หลายเดือนก่อน +4

    Hata mie na ndoto kama ya huyu dada inshallah ngoja nipambane,hongera dada❤💪💪

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 ปีที่แล้ว +10

    Big up Jirani hao ndo wanawake wenye akili njema. Nimependa " sio mtu wa starehe". Nimeamua kumake money na kuinvest".

  • @neemaisaac8356
    @neemaisaac8356 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada nami natamani niwe na nyumba hongera sana Mungu awe pamoja nawe

  • @zulfarashid5060
    @zulfarashid5060 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana dada ata mimi nikiimaliza itakuya ya kifahari maana nimeipania

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว +2

    Nimekupenda dada sana sana

  • @lovenessmahsen3433
    @lovenessmahsen3433 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kate kama Kate Hongera shoga angu.... 😘

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huwa nafurahi sana pindi ninapo ona Tanzania vijana Wanafanya maendeleo kama haya

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana kwa nyumba nzuri lakini miundombinu mmmmhhh wapi na London

  • @KhadijahAlly-jz7rl
    @KhadijahAlly-jz7rl 11 หลายเดือนก่อน

    Maa Shaa Allah, pazuri

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 ปีที่แล้ว +2

    Dada zuri hongera sana dear,nimependa sana dizain ya nyumba yako naweza kupata contact zako nami nahitaji kufanya ujenzi kama huo.

  • @bartondidas849
    @bartondidas849 6 หลายเดือนก่อน

    hongera sana dear zuli😊

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 6 หลายเดือนก่อน

    Hongeren nyumba nzur na ya bint nsur❤

  • @saidathumani5747
    @saidathumani5747 ปีที่แล้ว +5

    Nyumba haijaonyeshwa vizuri,camera man na editor inabidi waangalie wengine hasa ulaya na sa/Nigeria/ke jinsi ya kuonyesha nyumba.sauti zingikuwa zinaskika in background huku nyumba inaonyeshwa kwa mapana kuliko watu na maelezo

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 ปีที่แล้ว

      Yaani hata sijaona vizuri kwakweli.

    • @michaelmwalupale3354
      @michaelmwalupale3354 11 หลายเดือนก่อน

      Nami nilitaka kuandika comment ya namna hii yani crew ya production na editors wamefeli sana. Wanaonyesha mtangazaji badala ya kuonyesha nyumba.

  • @HamadiNgulungo-zf1zc
    @HamadiNgulungo-zf1zc ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana dada

  • @katemilaya9773
    @katemilaya9773 ปีที่แล้ว

    🙌🙌👍 Kazi nzuri

  • @asiamohamedy2643
    @asiamohamedy2643 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaa Allah

  • @aishanmakeki568
    @aishanmakeki568 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah hongera saaaaaaaana

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera mdada, mfano wa kuiga

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 8 หลายเดือนก่อน

    Mmh mashaalah

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 11 หลายเดือนก่อน

    Mashallah big up dada

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 ปีที่แล้ว +2

    Nyieeee! Mungu nisaidie.

    • @nancymrs359
      @nancymrs359 11 หลายเดือนก่อน

      Amen atakusaidia.

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 11 หลายเดือนก่อน

    Choo kama chumba changu khaaaa dada shikamoo hongera

  • @nancymrs359
    @nancymrs359 11 หลายเดือนก่อน

    HONGER sana ZURI.

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 ปีที่แล้ว +5

    Cameraman hajaitendea haki hii video very poor

  • @chapter2719
    @chapter2719 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera lakini taa za disco nyumbani sijaelewa na sakafu ikipigwa deki mtadondoka vyumba 7 vya nini ?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @user-jz2ju2wx2m
    @user-jz2ju2wx2m 11 หลายเดือนก่อน

    Nyumba yatatu hongera dia simchezo ee Mungu nipe kazi namimi niweze kujenga

  • @SurprisedBakedBread-ng8vw
    @SurprisedBakedBread-ng8vw วันที่ผ่านมา

    Nimependa

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 ปีที่แล้ว +1

    Zinapunguza gharama lakini zinavuja wakati wa mvua ,,,, tatizo ni nini ama mafundi bado hawajapata ujuzi na nchi yetu mashaallah ina Mua sasakulinganisha na mataifa mengine ambayo mvua zashida aiiiii

  • @user-st3jh2sj1b
    @user-st3jh2sj1b 6 หลายเดือนก่อน

    Jan bless u sister🎉🎉

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kabla ya yote muwe mnawauliza na kazi wanazofanya kwa mnavoongea kwa urahisi wengine tunaweza kukufuru kwa mungu

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 ปีที่แล้ว

    Hongera dada

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 ปีที่แล้ว +1

    Daaa nyumba mzur sana

  • @shadiathemedshadiathemed8699
    @shadiathemedshadiathemed8699 ปีที่แล้ว

    Vzr Sana 💥💥

  • @samniza1763
    @samniza1763 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sijaziona London, zipo sana uarabuni sio ulaya. Halafu London hakuna nyumba za watu za kawaida nzuri hivyo kwa sababu hakuna ardhi, hizi nyumba zipo nje ya London. London nyumba nyingi ni magorofa/Flats za kuweka watu wengi.

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 6 หลายเดือนก่อน

    Huo usasa mkajenge na madhabahu za Mungu

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 6 หลายเดือนก่อน

    Haya mwijaku umeona maisha sio kelele

  • @henrymoghu5087
    @henrymoghu5087 11 หลายเดือนก่อน

    Nic

  • @nataemsuya
    @nataemsuya ปีที่แล้ว

    ❤❤

  • @omanmct135
    @omanmct135 ปีที่แล้ว

    Naic

  • @simonmarwa
    @simonmarwa ปีที่แล้ว +1

    Dada chooni weka Bidee kwa kujisafisha unapomaliza haja zako.Simon,Italy

    • @sagboison6297
      @sagboison6297 ปีที่แล้ว

      Ziko aje

    • @africanchild4525
      @africanchild4525 2 หลายเดือนก่อน

      System hiyo ipo kwenye vyoo vya kisasa vinakuja vimewekewa maji na vitufe unabonyeza tu inakusafisha yenyewe na ukimaliza unabonyeza kitufe kingine cha kukupuliza upepo kukausha maji.

  • @monikaswai4188
    @monikaswai4188 5 หลายเดือนก่อน

    Hajatuambia amewezaje kufikia hapo, kukataa bata sio sababu ila angetuambia amewekezaje ndo angetuinspire

  • @Officalnaph
    @Officalnaph ปีที่แล้ว +4

    HII hata kama sijaona vizur lakini mpaka sasa naona imetumika MILION 800 hongera sijui umepata wapi hii pesa hebu tuambizane vijana

    • @ginimbifamily3995
      @ginimbifamily3995 ปีที่แล้ว +2

      😄😄😄 Aisee umenifurahisha san kwel...iv unajua Million 800 wew? Nyumba ake ni nzur ten ni kali san ila kwa Hiyo pesa unayosema sio labda kidogo Million 300 adi 400...Kwa mtu ambae ameshawah kujenga atakubaliana na mimi

    • @gloriamwanjali9371
      @gloriamwanjali9371 ปีที่แล้ว +1

      Inaweza finally vema tu kama ni mtu wa ujenzi wa viwango

    • @ericmambele1230
      @ericmambele1230 ปีที่แล้ว

      800 uongo wewe

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 ปีที่แล้ว

      @@ginimbifamily3995 Inaonekana hata pesa unazo, niazime milioni 10 jamani 🙆🙆

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 10 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni wivu , mdada ame jitahidi kabisa ongera sana

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 10 หลายเดือนก่อน

    Nyumba ndio kila kitu🙏

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo931 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu nisaidie na mm nipate kwangu

    • @love98910
      @love98910 วันที่ผ่านมา

      Karibu upate ramani utaanza kujenga soon 0769502576

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 หลายเดือนก่อน

    Haf London mtaa gani huo tupe jina

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl 11 หลายเดือนก่อน +1

    Unakuta kk ndio ume mtelekeza huyu dada unaweza jutia

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh wanaloga ili kuwapata wazungu wakajenga,lkn ingekuwa tunajua historia yake ya upambanaji kidogo tungeunga mkono

    • @salmabamba2751
      @salmabamba2751 10 หลายเดือนก่อน

      Maisha ya watu Yana siri kubwa dear

  • @user-kp7gj9xq4b
    @user-kp7gj9xq4b 10 หลายเดือนก่อน

    Choo icho kinasumbua sana kwenye swala la kubonyeza maji

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 10 หลายเดือนก่อน

    Mmeboa sana, tunataka kuona nyumba sio kuona sura zenu na ma-bla bla kibao

  • @Evelyn-gd5dv
    @Evelyn-gd5dv 11 หลายเดือนก่อน

    Mwamposa on the beat Sema Hongera umetumia akili maana mwingine angekuwa na mwamposa na angeishia kudai mawigi

    • @NeemaTairo
      @NeemaTairo 11 หลายเดือนก่อน

      Kumbe anatoka na mwamposa

    • @priscamakendi2239
      @priscamakendi2239 11 หลายเดือนก่อน

      Mwamposa kaingiaje hapo😢😢

    • @dianamdaku9802
      @dianamdaku9802 11 หลายเดือนก่อน

      kheeee

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 10 หลายเดือนก่อน

      Ata me nilijua tu lazma awe na sponsor bhana Sio bure

    • @gracepatric4371
      @gracepatric4371 9 หลายเดือนก่อน

      mamazuri wawatu ❤

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 4 หลายเดือนก่อน

    1.3 kagorofa je sisi tutaweza

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 3 หลายเดือนก่อน

    huyo zuri ana chura hatare

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 6 หลายเดือนก่อน

    Uje na Njombe Kuna nyumba huku ni balaa

  • @The7101987
    @The7101987 10 หลายเดือนก่อน

    Hela wanapata wapi hawa?
    Mbona Me natafuta sana sizipati jamani

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 6 หลายเดือนก่อน

    Lakini si mtazeeka😂😂😂😂

  • @emilianikakiziba
    @emilianikakiziba 7 หลายเดือนก่อน

    Eee Mungu nisaidie na mimi nijenge kama hiyo Amina. Inshallah

    • @love98910
      @love98910 วันที่ผ่านมา

      Karibu upate ramani 0769502576

  • @mamodelmam
    @mamodelmam 5 หลายเดือนก่อน

    Af mwijaku anakuja kupiga kelele

  • @frolandunguru4489
    @frolandunguru4489 11 หลายเดือนก่อน

    Saluti kwako zuri

  • @iuseyoutube620
    @iuseyoutube620 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahaha... That was President Reagan... yes he did say " It's not what your Government do for you, is what you can do for your Government" . The best President we ever had in America.. and Trump

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 11 หลายเดือนก่อน

    Nipe namba ya zuri nimuoe😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MizeKombeSuleiman-id1rp
      @MizeKombeSuleiman-id1rp 11 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @trecygohy7847
      @trecygohy7847 10 หลายเดือนก่อน +1

      Wanaume mnavyopenda vya Bure. Huna haya, ukiingia kwny ndoa wewe n mkia tu, akili Bado ndogo sana. Ataolewa na mwanaume mwenye akili na sio jitu kama wewe unayesubiri ugali na kwenda chooni

    • @salmsalmo931
      @salmsalmo931 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wanaume wanapenda wanawake wanaopambana hawataki mwanamke mzigo

  • @zawadibernard8232
    @zawadibernard8232 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamposaaaaaaa

    • @euniceahadi1496
      @euniceahadi1496 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wengine wote hawajaelewa code 😂

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 ปีที่แล้ว +11

    Siri ya mafanikio ni pamoja na kuwachuna wanaume mafala

    • @bone102
      @bone102 ปีที่แล้ว +8

      usiwe mjinga kiasi hcho pambana na wewe sio unamuonea wivu mtoto wa kike

    • @joyce55727
      @joyce55727 ปีที่แล้ว +3

      Kwan hao wanao chunwa hawana akili????

    • @veronicatweve8908
      @veronicatweve8908 ปีที่แล้ว

      @@bone102 😂😂

    • @gloriamwanjali9371
      @gloriamwanjali9371 ปีที่แล้ว +7

      Tena Goba kuna wanawake wengi wenye mijengo. Maisha ni priority. Kuna wengine walio na pesa pesa zao wanatumia kwa show off wengine kama hao wanaakili njema. Amesema hana starehe ila anapenda kuwekeza kwenye ujenzi. She is simple, beautiful, determined and visionary aka focused

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 ปีที่แล้ว +1

      Nenda kwa wachune na wewe

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada