SHUHUDIA MREMBO MDOGO ANAYEMILIKI MJENGO MKALI GOBA | ATAJA SIRI YA MAFANIKIO YAKE "Sili bata..."

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

ความคิดเห็น • 127

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 ปีที่แล้ว +10

    Big up Jirani hao ndo wanawake wenye akili njema. Nimependa " sio mtu wa starehe". Nimeamua kumake money na kuinvest".

  • @tabutabu8900
    @tabutabu8900 ปีที่แล้ว +4

    Hata mie na ndoto kama ya huyu dada inshallah ngoja nipambane,hongera dada❤💪💪

  • @zulfarashid5060
    @zulfarashid5060 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana dada ata mimi nikiimaliza itakuya ya kifahari maana nimeipania

  • @lovenessmahsen3433
    @lovenessmahsen3433 ปีที่แล้ว +2

    Kate kama Kate Hongera shoga angu.... 😘

  • @neemaisaac8356
    @neemaisaac8356 ปีที่แล้ว

    Hongera dada nami natamani niwe na nyumba hongera sana Mungu awe pamoja nawe

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 ปีที่แล้ว +2

    Nimekupenda dada sana sana

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 ปีที่แล้ว +2

    Huwa nafurahi sana pindi ninapo ona Tanzania vijana Wanafanya maendeleo kama haya

  • @mama_mlezi7744
    @mama_mlezi7744 ปีที่แล้ว +10

    Eee Mungu nisaidie na Mimi🙇🏼‍♀️🙏

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Hongeren nyumba nzur na ya bint nsur❤

  • @saidathumani5747
    @saidathumani5747 ปีที่แล้ว +6

    Nyumba haijaonyeshwa vizuri,camera man na editor inabidi waangalie wengine hasa ulaya na sa/Nigeria/ke jinsi ya kuonyesha nyumba.sauti zingikuwa zinaskika in background huku nyumba inaonyeshwa kwa mapana kuliko watu na maelezo

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 ปีที่แล้ว

      Yaani hata sijaona vizuri kwakweli.

    • @michaelmwalupale3354
      @michaelmwalupale3354 ปีที่แล้ว

      Nami nilitaka kuandika comment ya namna hii yani crew ya production na editors wamefeli sana. Wanaonyesha mtangazaji badala ya kuonyesha nyumba.

  • @bartondidas849
    @bartondidas849 ปีที่แล้ว

    hongera sana dear zuli😊

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 ปีที่แล้ว +2

    Nyieeee! Mungu nisaidie.

  • @Mariethakay
    @Mariethakay ปีที่แล้ว

    Nyumba yatatu hongera dia simchezo ee Mungu nipe kazi namimi niweze kujenga

  • @aishanmakeki568
    @aishanmakeki568 ปีที่แล้ว

    Mashallah hongera saaaaaaaana

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 ปีที่แล้ว +2

    Zinapunguza gharama lakini zinavuja wakati wa mvua ,,,, tatizo ni nini ama mafundi bado hawajapata ujuzi na nchi yetu mashaallah ina Mua sasakulinganisha na mataifa mengine ambayo mvua zashida aiiiii

  • @emilianikakiziba
    @emilianikakiziba ปีที่แล้ว +1

    Eee Mungu nisaidie na mimi nijenge kama hiyo Amina. Inshallah

    • @love98910
      @love98910 6 หลายเดือนก่อน

      Karibu upate ramani 0769502576

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo931 ปีที่แล้ว +1

    Mungu nisaidie na mm nipate kwangu

    • @love98910
      @love98910 6 หลายเดือนก่อน

      Karibu upate ramani utaanza kujenga soon 0769502576

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 ปีที่แล้ว +3

    Dada zuri hongera sana dear,nimependa sana dizain ya nyumba yako naweza kupata contact zako nami nahitaji kufanya ujenzi kama huo.

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 ปีที่แล้ว

    Haya mwijaku umeona maisha sio kelele

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 ปีที่แล้ว

    Huo usasa mkajenge na madhabahu za Mungu

  • @KhadijahAlly-jz7rl
    @KhadijahAlly-jz7rl ปีที่แล้ว

    Maa Shaa Allah, pazuri

  • @HamadiNgulungo-zf1zc
    @HamadiNgulungo-zf1zc ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana dada

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 ปีที่แล้ว

    Mmh mashaalah

  • @katemilaya9773
    @katemilaya9773 ปีที่แล้ว

    🙌🙌👍 Kazi nzuri

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana kwa nyumba nzuri lakini miundombinu mmmmhhh wapi na London

  • @asiamohamedy2643
    @asiamohamedy2643 ปีที่แล้ว

    Mashaa Allah

  • @samniza1763
    @samniza1763 ปีที่แล้ว +2

    Sijaziona London, zipo sana uarabuni sio ulaya. Halafu London hakuna nyumba za watu za kawaida nzuri hivyo kwa sababu hakuna ardhi, hizi nyumba zipo nje ya London. London nyumba nyingi ni magorofa/Flats za kuweka watu wengi.

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 ปีที่แล้ว

    Hongera mdada, mfano wa kuiga

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 ปีที่แล้ว

    Choo kama chumba changu khaaaa dada shikamoo hongera

  • @SurprisedBakedBread-ng8vw
    @SurprisedBakedBread-ng8vw 6 หลายเดือนก่อน

    Nimependa

  • @bernaldyakobo
    @bernaldyakobo ปีที่แล้ว

    Jan bless u sister🎉🎉

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 4 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @nancymrs359
    @nancymrs359 ปีที่แล้ว

    HONGER sana ZURI.

  • @chapter2719
    @chapter2719 ปีที่แล้ว

    Hongera lakini taa za disco nyumbani sijaelewa na sakafu ikipigwa deki mtadondoka vyumba 7 vya nini ?

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 ปีที่แล้ว +2

    Kabla ya yote muwe mnawauliza na kazi wanazofanya kwa mnavoongea kwa urahisi wengine tunaweza kukufuru kwa mungu

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 ปีที่แล้ว

    Mashallah big up dada

  • @monikaswai4188
    @monikaswai4188 11 หลายเดือนก่อน

    Hajatuambia amewezaje kufikia hapo, kukataa bata sio sababu ila angetuambia amewekezaje ndo angetuinspire

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 ปีที่แล้ว +1

    Daaa nyumba mzur sana

  • @helenandreas3814
    @helenandreas3814 24 วันที่ผ่านมา

    Huwezi kupewa code za mafanikio,

  • @shadiathemedshadiathemed8699
    @shadiathemedshadiathemed8699 ปีที่แล้ว

    Vzr Sana 💥💥

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 ปีที่แล้ว

    Hongera dada

  • @Mnuanofilms
    @Mnuanofilms ปีที่แล้ว +4

    HII hata kama sijaona vizur lakini mpaka sasa naona imetumika MILION 800 hongera sijui umepata wapi hii pesa hebu tuambizane vijana

    • @ginimbifamily3995
      @ginimbifamily3995 ปีที่แล้ว +2

      😄😄😄 Aisee umenifurahisha san kwel...iv unajua Million 800 wew? Nyumba ake ni nzur ten ni kali san ila kwa Hiyo pesa unayosema sio labda kidogo Million 300 adi 400...Kwa mtu ambae ameshawah kujenga atakubaliana na mimi

    • @gloriamwanjali9371
      @gloriamwanjali9371 ปีที่แล้ว +1

      Inaweza finally vema tu kama ni mtu wa ujenzi wa viwango

    • @ericmambele1230
      @ericmambele1230 ปีที่แล้ว

      800 uongo wewe

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 ปีที่แล้ว

      @@ginimbifamily3995 Inaonekana hata pesa unazo, niazime milioni 10 jamani 🙆🙆

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 ปีที่แล้ว +5

    Cameraman hajaitendea haki hii video very poor

  • @simonmarwa
    @simonmarwa ปีที่แล้ว +1

    Dada chooni weka Bidee kwa kujisafisha unapomaliza haja zako.Simon,Italy

    • @sagboison6297
      @sagboison6297 ปีที่แล้ว

      Ziko aje

    • @africanchild4525
      @africanchild4525 9 หลายเดือนก่อน

      System hiyo ipo kwenye vyoo vya kisasa vinakuja vimewekewa maji na vitufe unabonyeza tu inakusafisha yenyewe na ukimaliza unabonyeza kitufe kingine cha kukupuliza upepo kukausha maji.

    • @EmiliaYona-g9e
      @EmiliaYona-g9e หลายเดือนก่อน

      ​@@africanchild4525😅😅😅 hadi kupuliza yote hayo

  • @Evelyn-gd5dv
    @Evelyn-gd5dv ปีที่แล้ว

    Mwamposa on the beat Sema Hongera umetumia akili maana mwingine angekuwa na mwamposa na angeishia kudai mawigi

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 ปีที่แล้ว

    Nyumba ndio kila kitu🙏

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh wanaloga ili kuwapata wazungu wakajenga,lkn ingekuwa tunajua historia yake ya upambanaji kidogo tungeunga mkono

    • @salmabamba2751
      @salmabamba2751 ปีที่แล้ว

      Maisha ya watu Yana siri kubwa dear

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 ปีที่แล้ว +1

    Acheni wivu , mdada ame jitahidi kabisa ongera sana

  • @omanmct135
    @omanmct135 ปีที่แล้ว

    Naic

  • @henrymoghu5087
    @henrymoghu5087 ปีที่แล้ว

    Nic

  • @hilderandrew8565
    @hilderandrew8565 5 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl ปีที่แล้ว +1

    Unakuta kk ndio ume mtelekeza huyu dada unaweza jutia

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 ปีที่แล้ว

    Lakini si mtazeeka😂😂😂😂

  • @NanyondoJoseph
    @NanyondoJoseph ปีที่แล้ว

    Choo icho kinasumbua sana kwenye swala la kubonyeza maji

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 ปีที่แล้ว

    Mmeboa sana, tunataka kuona nyumba sio kuona sura zenu na ma-bla bla kibao

  • @The7101987
    @The7101987 ปีที่แล้ว

    Hela wanapata wapi hawa?
    Mbona Me natafuta sana sizipati jamani

  • @nataemsuya
    @nataemsuya ปีที่แล้ว

    ❤❤

  • @iuseyoutube620
    @iuseyoutube620 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaha... That was President Reagan... yes he did say " It's not what your Government do for you, is what you can do for your Government" . The best President we ever had in America.. and Trump

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 ปีที่แล้ว

    Uje na Njombe Kuna nyumba huku ni balaa

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 9 หลายเดือนก่อน

    huyo zuri ana chura hatare

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 10 หลายเดือนก่อน

    1.3 kagorofa je sisi tutaweza

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 8 หลายเดือนก่อน

    Haf London mtaa gani huo tupe jina

  • @frolandunguru4489
    @frolandunguru4489 ปีที่แล้ว

    Saluti kwako zuri

  • @MamodelPark
    @MamodelPark ปีที่แล้ว

    Af mwijaku anakuja kupiga kelele

  • @zawadibernard8232
    @zawadibernard8232 ปีที่แล้ว +1

    Mwamposaaaaaaa

    • @euniceahadi1496
      @euniceahadi1496 ปีที่แล้ว +1

      Wengine wote hawajaelewa code 😂

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 ปีที่แล้ว

    Nipe namba ya zuri nimuoe😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MizeKombeSuleiman-id1rp
      @MizeKombeSuleiman-id1rp ปีที่แล้ว

      😂

    • @trecygohy7847
      @trecygohy7847 ปีที่แล้ว +1

      Wanaume mnavyopenda vya Bure. Huna haya, ukiingia kwny ndoa wewe n mkia tu, akili Bado ndogo sana. Ataolewa na mwanaume mwenye akili na sio jitu kama wewe unayesubiri ugali na kwenda chooni

    • @salmsalmo931
      @salmsalmo931 ปีที่แล้ว +1

      Wanaume wanapenda wanawake wanaopambana hawataki mwanamke mzigo

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 ปีที่แล้ว +12

    Siri ya mafanikio ni pamoja na kuwachuna wanaume mafala

    • @bone102
      @bone102 ปีที่แล้ว +10

      usiwe mjinga kiasi hcho pambana na wewe sio unamuonea wivu mtoto wa kike

    • @joyce55727
      @joyce55727 ปีที่แล้ว +4

      Kwan hao wanao chunwa hawana akili????

    • @veronicatweve8908
      @veronicatweve8908 ปีที่แล้ว

      @@bone102 😂😂

    • @gloriamwanjali9371
      @gloriamwanjali9371 ปีที่แล้ว +9

      Tena Goba kuna wanawake wengi wenye mijengo. Maisha ni priority. Kuna wengine walio na pesa pesa zao wanatumia kwa show off wengine kama hao wanaakili njema. Amesema hana starehe ila anapenda kuwekeza kwenye ujenzi. She is simple, beautiful, determined and visionary aka focused

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 ปีที่แล้ว +1

      Nenda kwa wachune na wewe

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 ปีที่แล้ว

    Hongera dada