Safi sna kiongozi umefanya kazi nzuri. Wote mlio comment kwa kumlaumu mkuu wa Mkoa ndo wale wale tu wanachadema maana nyie hata mtu afanye mazuri ni lawama tu. Weka ndani hata mwaka akasome namba sisi ni mbele kwa mbele haturudi nyuma.
@@khamisrajab980 ni mwna ccm org na matusi usidhani yanasaidia jibu kisomi pengn lbd uwe hunaenda shule huna haja ya kutukana maana chadema hawakulishii familia yako wala hakuna unachofaidika nacho ndugu shida zako zitabaki pale pale wapo wanaokula ruzuku ya milioni mia tano. Ila ccm tunafaidika maana miundombinu inaimarishwa tunaitumia na nyie sote lkn pesa zenu mnazopewa na serikali hiyo hiyo mnayoshinda mnaikashifu hazijulikani zinafanya kazi gani.
@@khamisrajab980 khamis pole sana na utatukan sana lkn chadema hamjielew nyie hamna ubinadam na wanyam wakubwa msojua kutetea matatizo ya wengine pole kwa kuumia
Tumezoea kupinga hata jema.Makosa hayaangalii vyama. Kumbuka waliomkataa ni watendaji ambao waliamulishwa kwa kutumia cheo. Angefanya wa ccm mungepiga makofi lakini kafanya chadema kaonewa.
Safi sana ifike hatua watu tuheshimu sheria na utendaji Ally happy jitahidi kabisa kurekebisha matatizo baadae Muwe wazalendo muongoze nchi Unajua mwalimu wa zamu akiwa mkali hata vilanja nao wanatenda kazi vizuri..
Hapi ndugu I am a lawyer too...tunatakiwa kuanza na investigation then Arrest... sisi ni nchi mwanachama wa mikataba ya kimataifa hasa ya mwaka 1966 ya haki za binadamu nadhani unaijua ambayo ni ICCPR na ICESCR... usisahau hilo... awe ameonea au hakuonea bado kuna rights zake ndani ya katiba na sheria za nchi....na miongozo mbalimbali... vyama tofauti lakini ni raia wa nchi moja hiihii sote tu watanzania
Acha ushabiki wa kikuda nyumba ivunjwe kwa mujibu wa sheria ss huyo mzee wa watu nyumba yake ivunjwe moja tu mtaa mzima isitoshe hata alikupanga akafuatwa na ana watoto 9ingeku ww ungekubali hizo nyumba za ubungo unazozifikira kuvunjwa zilishalipwa boya ww
Hawa vijana ni malimbukeni....huwezi kuwa kiongozi uka-treat wawakilishi wa wananchi namna hii..kuongoza watu kunahitaji hekima na busara....huu ni udhalilishaji uliovuka mipaka..mimi ni mtu hatari sana ??? ni kauli ya kipuuzi kabisa...hii si sawa!!!!
Aisee kuwa mpinzani yataka kuwa na moyo mgumu sana, kinachotafutwa hapa ni mama wa Chadema wengine wanaingia tu. Mkuu wa Mkoa angetafta namna nyingine ya kulifanya jambo hli kwa sabab ya chain ya wanaotajwa kuwa wengi na wapo. Mama amewaambia wachunguze watapata majibu na ikumbukwe kwamba watendaji wa serikali wote ni makada wa CCM hakuna mahali ambapo viongozi wa upinzani watatetewa
Mheshimiwa mungu akubariki kwa kuwateteya wanyonge# nasikiya uchunguzi sana baadhi ya viongozi kwa dhuluma wanayoifanya ktk utendaji kz wao mungu wasimamiye viongozi wenye upendo na wananchi wao
Acha usenge, mtu unamumwima furusa ya kijitetea kwa kuwa umekuja umemukamia, nyumba ngapi nyie CCM mmewambolea watu, huku Kimara Bomoaboa inawalaza watu nje mpaka leo
A good leader is a listener, sikiliza mtu aongee amalize kisha toa maamuzi, It is one of the leadership skills, ila hata hiyo ya kukatiza katiza nayo ni skill pia ingawa mwisho wake huwa kuna upande ambao unaelemewa
MWESHIMIWA HAPI,TUNA KUSHUKURU KWA KAZI UIFANYAO MKOANI IRINGA,WAHEHE WAPOLE SANA LAKINI SIYO WAOGA KABISA KUNA MAMBO AMBAYO HAWAWEZI KUYAVUMILIA NA KUBWA ZAIDI KUVUNJIWA HESHIMA AU KUDHARAULIWA MBELE ZA WATU IKISHA FIKA MHEHE KUSEMA (SWELAA)BASI NDIO DUKUDUKU LAKE ATALITOA NA HATARI.
Kisheria mam lazma akamatwe kwnza mpk ahojiwe na uchunguzi uwendelee lakn mama anaonekana anamjua anaehusika na kubomoa nyumba anaogopa kumtaja sasa kisheria lazma akamatwe akahojiwe ndo atasema ukwel
Tunakushukuru mama Samia kwa kumwondoa huyu Dikteta Hapi, nilichokiona hapa Hapy hafai ktk uongoz maana ni mdhalilishaji kama yule jamaa wa Arusha, niombe Samia Rais wetu mpendwa Fungulia kesi huyu Hapy
Uongozi unaoacha alama si kuweka watendaji ndani.. nlitegemea ungehoji idara inayohusika kama huyo mzee alijenga sehem sahihi au vip we RC unakurupuka tu!!!
We Mungu utoaye haki ya kweli, nakuomba uwaongoze viongozi wetu waweze kutuongoza kwa haki bila ubaguzi wa rangi, dini, jinsia, umri, kipato wala chama. Amina
this man is a true leader mamae namkubali uyu jamaaaa aseee...
may the lord protect u my niqqah
Safi sna kiongozi umefanya kazi nzuri. Wote mlio comment kwa kumlaumu mkuu wa Mkoa ndo wale wale tu wanachadema maana nyie hata mtu afanye mazuri ni lawama tu. Weka ndani hata mwaka akasome namba sisi ni mbele kwa mbele haturudi nyuma.
mgosi philemon hata mm ni mwanachadema lakini Mkuu wa mkoa Yupo sahihi kabisa awekwe ndani uyo mama anachuki binafsi sio kaz ya chadema anayoifanya
@@khamisrajab980 ni mwna ccm org na matusi usidhani yanasaidia jibu kisomi pengn lbd uwe hunaenda shule huna haja ya kutukana maana chadema hawakulishii familia yako wala hakuna unachofaidika nacho ndugu shida zako zitabaki pale pale wapo wanaokula ruzuku ya milioni mia tano. Ila ccm tunafaidika maana miundombinu inaimarishwa tunaitumia na nyie sote lkn pesa zenu mnazopewa na serikali hiyo hiyo mnayoshinda mnaikashifu hazijulikani zinafanya kazi gani.
Mgosi 😂😂😂 tenaaaa
@@khamisrajab980 khamis pole sana na utatukan sana lkn chadema hamjielew nyie hamna ubinadam na wanyam wakubwa msojua kutetea matatizo ya wengine pole kwa kuumia
Tumezoea kupinga hata jema.Makosa hayaangalii vyama.
Kumbuka waliomkataa ni watendaji ambao waliamulishwa kwa kutumia cheo.
Angefanya wa ccm mungepiga makofi lakini kafanya chadema kaonewa.
Inauma sana huyu baba mungu amuwezeshe apate nyumba yakumtosheleza na familia yake
Safi sana ifike hatua watu tuheshimu sheria na utendaji
Ally happy jitahidi kabisa kurekebisha matatizo baadae
Muwe wazalendo muongoze nchi
Unajua mwalimu wa zamu akiwa mkali hata vilanja nao wanatenda kazi vizuri..
Uongozi ni dhamana tu,
Mungu tusaidie sana.
Asante mku wa mkoa mungu akubariki katika kazi yako
Mbaya zaidi Yule Afisa TRA aliyedai rushwa ya mill 2 namuona akichangia elfu hamsini 50000
"Huwezi kuwa kiongozi ukatumia madaraka yako kukandamiza watu... "
R.C Ally Hapi..
Source: youtube video above
Mwenyez MUNGU enderea kumuongoz kumrinda kumsimamia na kuzidi kuimalisha afya yake kiyongoz wetu mkuu wetu wa mkowa
Mungu AMBARIKI SANA RC
Hapi ndugu I am a lawyer too...tunatakiwa kuanza na investigation then Arrest... sisi ni nchi mwanachama wa mikataba ya kimataifa hasa ya mwaka 1966 ya haki za binadamu nadhani unaijua ambayo ni ICCPR na ICESCR... usisahau hilo... awe ameonea au hakuonea bado kuna rights zake ndani ya katiba na sheria za nchi....na miongozo mbalimbali... vyama tofauti lakini ni raia wa nchi moja hiihii sote tu watanzania
tumepata janga la uongozi
Pumba tu
Mama unaroho ngum penyewe umezaa
Hatari ni mungu tu, Kama wew ni mtu hatari siku yako ya kufa goma usife Au pambana na izilaeli asiitoe rohoyako.. Hapo utakua mtu hatari.
Vanessa Goodluck Vanessa Angekuwa mwanaume anafanyiwa hayo mge shangilia
Fact
Vanessa good luck
BIG UP AND EXCELLENT
Pingakazi hali hapi wewe ni kiongozi wa mfano kwa kutetea
wa nyonge mungu akujalie sana
Leo hii inaonekana nyumba iliobomolewa no hiyo moja tuu serekali mpaka Leo imebomoa nyumba ngapi na watu waliobomolewa mpaka Leo wanalala nje
Acha ushabiki wa kikuda nyumba ivunjwe kwa mujibu wa sheria ss huyo mzee wa watu nyumba yake ivunjwe moja tu mtaa mzima isitoshe hata alikupanga akafuatwa na ana watoto 9ingeku ww ungekubali hizo nyumba za ubungo unazozifikira kuvunjwa zilishalipwa boya ww
Hizo ni kampeni mnafanya
Ali hap yupo iringa 2 hawezi enda kila mkoa kama mkuu wako wa mkoa haitumi kama hy hayo ni juu yako
Super work from you Rc, chapa kazi
Nakubali apige kazi
Upo vzr Sana mkuu wa mkoa wa iringa mungu akulinde 🙏
Hongela
Wanaokuponda awajui uchungu wawatanzania kazi nzuri sana mkuu wamkoa nimefurai sana mueshimiwa appy ally
Cheo ni zamana ongera mkuu chapa kazi
ishu sio siasa kiongozi gani unasimamia mwananchi wako anabomolewa nyumba yake ingekua sheria basi wangebomolewa wote nyumba,safi sana rc happi
Yaani.hadi mwili unanitetemeka huyu mbayaa kwelii yaani mkuu Allah akupe maisha.marefu.
sikudhani kama happy ni hatari, nimeamini ni hatari na kazi ya kuongoza watu haiwezi!
Be blessed
hapi unajizalilisha na ccm yako maana unalazimishauongowenu wa naccm uwe ukweli na kk zenu tumezichoka
👏👏👏 kazi nzur mh hap kaz, big up kwa mh Rais
Mashaallah
Ewee Allah mola wote, ihifadhi Tanzania
Mzee nguvu ulizotumia Ni nyingi sana kuuwa sisimizi
Nimecheka kwa sababu uyo mama atakushinda kesi ilo eneo nikweli ni hifadhi!!! Subiri utayapta majibu yake!!! Hahaha, poor happi!!!
pumbavu Huyu
Mimi ni mtu hatari sana! Kauli hii ingesemwa na opposition kungetokea kitu gani??
wapuuzi kwenye uongozi wa kichaa
Sijapenda kwakweli huu ni uzalilishaji
CHADEMA mnahaha mtanyooka paka awamu hii iishe
Ni uongozi usiokuwa na sheriakuna polisi mahakama mpaka mkuu wa mkoa anakuwa juu ya sheria za nchi .
T shirt la kijani kweli mambo ni moto
Hawa vijana ni malimbukeni....huwezi kuwa kiongozi uka-treat wawakilishi wa wananchi namna hii..kuongoza watu kunahitaji hekima na busara....huu ni udhalilishaji uliovuka mipaka..mimi ni mtu hatari sana ??? ni kauli ya kipuuzi kabisa...hii si sawa!!!!
Kwa sasa hana jipya na yeye.anaota joto ya jiwe
Aisee kuwa mpinzani yataka kuwa na moyo mgumu sana, kinachotafutwa hapa ni mama wa Chadema wengine wanaingia tu. Mkuu wa Mkoa angetafta namna nyingine ya kulifanya jambo hli kwa sabab ya chain ya wanaotajwa kuwa wengi na wapo. Mama amewaambia wachunguze watapata majibu na ikumbukwe kwamba watendaji wa serikali wote ni makada wa CCM hakuna mahali ambapo viongozi wa upinzani watatetewa
Mkuu pamoja sana sasa naanza kukuelewa mungu akuogoze
Safi Sana mkuu wa mkoa hlo limama sukuma ndani
This is how Tanzania government work. Very sad!!! Sounds like a kamukinji government
Baraka and
Mheshimiwa mungu akubariki kwa kuwateteya wanyonge# nasikiya uchunguzi sana baadhi ya viongozi kwa dhuluma wanayoifanya ktk utendaji kz wao mungu wasimamiye viongozi wenye upendo na wananchi wao
Fatuma Hassan mmmm
MAKUBWA, ILA MKAE MKIJUA SIKU YA HUKUMU HATUTAULIZWA TILIKUA NANI DUNIANI ..YANGU MACHO NA MASIKIO
acha kujisifu kijana,unajua tu Leo,kesho huijui
Minakupenda tu mkuuu salute
sijawahi ona uongozi wa aina hii!
Very sad.
John Kihiyo Kwaiyo mlizoea kuona nyumba zinabomolewa kiholela bila kuulizwa. kujenga kazi
@@gasperylwena1045 kama umejenga sehemu sio lazima ubomolewe mbona ss bima tumebomolewa
kwa hiyo za kimara na mahakama ilikataza kubomolewa na zikabomolewa zilijengwa kirahisi nini
Mtu hatari !!! Hufai kuwa kiongozi .
Kiongozi anaefaa anatakiwa kuwa mtaratibu na mwenye busars .
Nimesoma comment nyingi ila nilichokiamini Leo hata utende mema huwezi pendwa na wote
Kweli kuna wengine akili zao ndogo kweli
Acha usenge, mtu unamumwima furusa ya kijitetea kwa kuwa umekuja umemukamia, nyumba ngapi nyie CCM mmewambolea watu, huku Kimara Bomoaboa inawalaza watu nje mpaka leo
Safi sana..
A good leader is a listener, sikiliza mtu aongee amalize kisha toa maamuzi, It is one of the leadership skills, ila hata hiyo ya kukatiza katiza nayo ni skill pia ingawa mwisho wake huwa kuna upande ambao unaelemewa
Najuwa hapo anatimiza ilani yachama angekuwa ccm usinge sema akamatwe huo niuchama ndio unawasumbua
very good
wewe in MTU kama Mimi tu siyo MTU hatari mungu anakuona
Ccm kweli haina jipa kwani huyo hape hana kazi au kikitu
safi sana, kamata hao, ikiwezekana wachapwe viboko hadharani. safi sana
Nyumba imebolewa ,kila mtu alikuwa anakata,saiz wameingia lain, Asante mkuu wa mkoa
Mungu akubaliki Sana kiongozi mkuu wa mkoa
Sumu ya makonda inafanya kazi Makonda big up and big up
Hawezi kuwa mtu hatari. Ni mtumishi wa wananchi.
Rc hapi nimeupenda utendaji wa kazi yako mkuu
MWESHIMIWA HAPI,TUNA KUSHUKURU KWA KAZI UIFANYAO MKOANI IRINGA,WAHEHE WAPOLE SANA LAKINI SIYO WAOGA KABISA KUNA MAMBO AMBAYO HAWAWEZI KUYAVUMILIA NA KUBWA ZAIDI KUVUNJIWA HESHIMA AU KUDHARAULIWA MBELE ZA WATU IKISHA FIKA MHEHE KUSEMA (SWELAA)BASI NDIO DUKUDUKU LAKE ATALITOA NA HATARI.
Pole sana Mzee wangu,Mungu yupo Atatenda Haki,Muheshimiwa Mungu Akulinde Akutie nguvu,pamoja na watendaji wako.
Mmmh apo km NI itikadi lifatiliwe vizuri mwshon limeharibu picha zima
Huyu dogo Happy ni kiongozi bora Tanzania yaani Magufuli katuachia jembe bora sana
Kwa maaana hiyo sheria hazina kz ukimsikiliza vizur maana anapanga mpaka ciku ya kuwekwa ndan anatoa hukum tayar
Kufanya kazi kwa mihemko ni shida sana busara hakuna kabisa kwa kweli yajayo yanafurahisha
Tatizo kubwa LA nchi yetu ni Kuwa wanaongozwa na wanaoongozwa ni washabiki wa mambo ya hovyo hovyo
Mbunge wetu wa Iringa tunaomba tetea haki za watu wako
No right of speech /nimetoa machozi kwa yule mama kuto kusikilizwa na kutishiwa
Mungu anawaona
Sio kauli nzuri kumtisha mama
cheo dhaman broo
Nifikiri haya yana mwisho ndugu rejoice today but you mighty be carrying tomorrow. Continue time will tell.
Hatari
Daaaa,Mbn nmeona mapicha picha2 Iv ni kweli chuki za kisiasa bdo zipogo au!!!!
mbona hapo ndio siasa ya wazi.
Wajaman kazzi kubwa wakuu wa mkoa mnafanyaaaa hongeren sana
Mama ameomba mkuu wa mkoa afuatilie ki undani zaidi so ni swala linalo hitaji muda Lkn kwa mihemuko na kiki zaidi awamu ya tano ni staili mpya.
Vanessa Goodluck Angekuwa mwanaume huyo mgesema bora awekwe ndani mnataka Haki sawa hahaha piga kazi
Vanessa Goodluck this is not home of love brow
Kisheria mam lazma akamatwe kwnza mpk ahojiwe na uchunguzi uwendelee lakn mama anaonekana anamjua anaehusika na kubomoa nyumba anaogopa kumtaja sasa kisheria lazma akamatwe akahojiwe ndo atasema ukwel
Ndo maana mkuu wa mkoa kasema akamatwe ahojiwe na uchunguzi ufanyike ili ijulikane zaidi..
mtu hatari WAP wewe ni Mbwa tu kama Mbwa wengine fala wewe msikilize mtu kwanza amalize kuongea
This is what we call instance justice,,, Tanzania is unique,,,
dah sdhani km kuna ktu hapo tusubiri
Mama hajasikilzwa,maamuzi ya kutfta kiki,na matusi yote kwa mama kwel jmn,
Asikilizwe mara ngapi maana anaulizwa suala moja anatoa majibu matano, sweka lupango atakwenda kujieleza mbeleni huko
Hii ni siasa tu hamna jipya hapa CCM wanatumia fursa ya uongozi kuwakandamiza wapinzani
New leadership style
Safi sana
Mmmhhhhhhh siasa hiyo
Fuata sheria ya nchi acha mheuko
Kiukweli tanzania tuna wataka viongozi kama hawa wenye uchungu na wananchi wake hongera sana mkuu wamkoa iringa
Mtu hatari na yeye alitumbuliwa na mtu hatari. Huu ujinga wa viongozi wa CCM ndo unao filisi taifa letu. Hiki anacho fanya Happi ni Mob justice
DIWANI huyu wa CHADEMA Bogus sana
Safi sana baba
Tunakushukuru mama Samia kwa kumwondoa huyu Dikteta Hapi, nilichokiona hapa Hapy hafai ktk uongoz maana ni mdhalilishaji kama yule jamaa wa Arusha, niombe Samia Rais wetu mpendwa Fungulia kesi huyu Hapy
Ukizurumiwa ndo utaelewa alichokfny hapi.....ila kama unaropoka kuwa hajafnya sahihi hujawah zurumiwa
Christerbell Mwaruka kabisaa wamezid hao
Christerbell Mwaruka hajazulumiwa uliza ujibiwe huyu mama hana kosa
hizo ni siasa chafu
kisa mwenyekiti chadema et mlalamikaji amevaa tisheti ya ccm lazma abebwe tu
🎉
Uwezi kuwa kiongozi kutumia madaraka yako kukandamiza watu....🙏🙏🙏🙏 nukuuu
Polena sana mzee
mwache aongee sasa
Uongozi unaoacha alama si kuweka watendaji ndani.. nlitegemea ungehoji idara inayohusika kama huyo mzee alijenga sehem sahihi au vip we RC unakurupuka tu!!!
Cheo ni dhamana mzee baba ww sio hatari ww ni wakawaida sana...
Shubaamit
We Mungu utoaye haki ya kweli, nakuomba uwaongoze viongozi wetu waweze kutuongoza kwa haki bila ubaguzi wa rangi, dini, jinsia, umri, kipato wala chama. Amina
Vzr sana kka mkubwa
Tulizoea kuishi kwa mazoea acha wapate adabu maana mikoani viongozi wa vijiji wanadhurumu sana.
Mh, Kasesera Naomba namba yako, nakukubali sana.
Pole sana mkuu wa mkoa kwa maamuzi yako ila Mungu yupo atahukumu pia kama ww ni hatari bas sawa ila mm ni najua hatar ni MUNGU tu note hilo
Nimeshangaa sana
Madaraka ni ya dunian, ubabe hauna maana yoyote. Na uongozi ni wa muda tu
Nc
siasa imeharibu nchi