EXCLUSIVE: DAHUU WA CLOUDS - AELEZEA STORY YAKE YA KUONANA NA MZUNGU AMBAE HAKUWA ANAFAHAMIANA NAE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ม.ค. 2021
- Zamaradi Mketema amefanya mahojiano na Dahuu wa Clouds FM kupitia Leo Tena ambae ameongea mambo mengi ambayo hajawahi kuongea popote pale
Familia yake, mume wake, kazi yake, safari yake, mafanikio yake na mengi mengine - บันเทิง
One of the excellent interviews Zamaradi. Wote muko vizuri inakufanya upende kusikiliza mwanzo mwisho. Dahuu mbali ya kuwa very strong lady amshukuru Allah kwa kumpa bahati pia ya kufanikiwa katika mambo mengi. Namuona atafika mbali zaidi namshauri aanze sasa kufikiria pakubwa zaidi ya kuwa hapo alipo Inahalah atafanikiwa.
One of the best interview 👌 nimeenjoy Sana❤️❤️❤️❤️
Imani ni kilakitu kwenye maisha asa ukimuamini mungu
Ata mm nimesafili sijui napoenda sijui naenda kwa nani na atalugha sijui lkn nashukulu nipo mbaka Leo hii kuamini mungu tu
Fantastic, mume wako ni kama wangu surely umeongea kweli wanawake wengi wanapenda wanaume ambao wako proud na wake zao,ila hii inategemea na aina ya mwanamke
Nice interview 👏🏾👏🏾👏🏾 Hongera sana husna.wewe ni jembe. Mzungu anasemaga “you can't beat a person who never gives up”
dahuu nakukubalii sanaa upo real hana kuigizaa maishaa mungu akupe maisha marefu kwenye ndoto zako
Dahuu mashalwa M.mungu akuongoze kwa kila jambo nimekupenda bure mtu mwenye khofu ya M.mungu. M.mungu akupe umri swali wa kufanya mema.
Alhamdulillah, MashaAllah ☺ nimeelimika na nimeburudika. Nakukubali dada Husna, dada Zama hongera kwa exclusive nzuri
waooo, hongera ktk safari ya maisha mwiko kukata tamaa
Nampenda sana da huu na mpenzi sana wa leo tena,una sauti nzuri mnoo dada na kipindi chenu mnaelemisha sanaa jamii nawapenda
Jm watu wanatoka mbali. Very nice interview.Dahu Mashaalah.
Akili nyingi sana Da'huu, yaani umakini kama wote, nimefiatilia hii interview mwanzo hadi mwisho kwakweli binafsi nimekuelewa sana. Mungu akuhifadhi akupe kila lililo jema.
Nakupendaga sana da huu
GEA plz wow Nampenda sana huyu dada na GEA plz nataka kuwajua wote kwenye kipindi chao "LEO TENA" Ila sio mwijaku hao wengine NAOMBA ZAMA PLZ PLZ🎊🎊🎊🎊🙏 Asante ZAMA WANGU NIMEFURAHI KUMSIKIA HUSNA
😂😂😂😂Nimecheka eti ila sio mwijaku
Kweli Mwijaku mh hapanaa, bora Mussa Hussen au wamweke MTU mwingine
Daah nimecheka chozi limenitoka nimejifunza kitu kutoka kwako da huu mungu azid kukupa uwezo zaid inshaallah upo vizuri
Yaani nlivyockia story yako, ndo nimezidi kukupenda da huu, nakupendaga sana.
Nme enjoooooy sanaaa kuskiliza best interview cc @zamaradi @dahuuu
Interviews zako da Zama zina vingi vya kujifunza, keep it up
Nimecheka sana.... ETI WATU WA ECONOMY NDO WANAOCHELEWESHA SAFARI 🤣🤣🤣🤣 tutafuteni pesa jamani
Hahahahahahahah
Daah kumbe mussa kaacha kazi jamani daah nimeingia simanzi 😢 naamini ipo siku atarudi tuu kama ilvyokua kwa Gardner na fetty
Kuajiriwa hakulipi mkuu unaweza zeeka huna pesa so ngoja akatafute pesa
Da Huu namkubali sana yupo smart kichwan
Nimempenda sanaaaaaaaa Husna Abdul baada ya kusikiliza hii interview. So real and much enjoyed. Congratulations to both of you. Salute!!!!!
Two black beauties
The Best interview in zamaradi tv,inspiration na jaribu kustop lakini nashindwa ameniteka hisia
Hongera sana huu, wewe ni shujaa, mchakarikaji usiyekata tamaa. Hayo ndio maisha bila.kukata tamaa
Such a sweet dad,
Money is not everything but love is❤️❤️, BIG UP TO ALL SUPPORTING DADS.
Husna Nimekupenda Bure, you are such a strong woman, umenifanya nikutazame kwa namna tofauti sana.
Nimejifunza kitu kikubwa maishani kua binadamu hatakiwi kukata tamaa katika maisha ..Best interview ever Zama your the best!!!
Majibu ya uongo yanaisha,,True
Watangazi wanaojielewa Nawapenda sana 😍😍😍😍😍😍
Nampenda sana dahuu ana moyo watofauti sana ana ubaguzi namuelewa sana🙏
Da huu umenipa moyo sana wa kutokukata tamaa, nitapambana hadi mwisho nitafanikiwa. Asante sana mmy nakupenda sana
Wooow,nice to see you da huu,,hyo sauti yako tu naioendaga nikiickiaa
Anafanyaaa vizuur sanaaaa sanaaaa kwenye Media Husnaa Abdul
Daaah it's real so inspiring.... Mbarikiwe
Yani kwanza hii sauti nikiisikia leo tena tu!nakua naamani then nakupenda sana dahuu
Da zama tuletee mama dangote jamani mbona anavingi vyakumuoji
🤣🤣🤣, ulivyo na hamu naye🤣🤣
Best interview
My kind of presenter, I love love the interview. You're inspiring to young people
Zmz* lollop 0r
Nimeipenda hii interview sana nimejifunza vingitu kwa daahu
Interview 🔥🔥 nakupenda da huu utangazaji wako ,sauti yako ipo on fire
Zamarad you are so brilliant lady ur interviews are amazing
💕💕💕 Dahuu elewaa tuuu unapendwaa na Mimi
Asante dahuu hiyo safariii🙌🙌
Interview nzuri sana. Allah Akujalie Husna na kwenye kujihifadhi Allah Akujalie ujihifadhi. Na Zama pia.
Good interview
Umlete na Geah jmn hajawai fanyiwa interview
Amewahiii kufanyiwa na SALAMA.
Nice interview kwakweli... 🔥🔥
Amazing unajua kuelezea Da huu
Nakukubali dahu
Historia ya safari ya da huu nimeipenda sana
Nimefarijika sana kusikia majibu kuhusu Musa Hussein.
Mmependeza sn zama na da huu yn mko na rangi nzr ambayo haitumii mkorogo hongeren sn
Best interview wallah💞💞🎉🎉💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Da huu nimekuelewa sana hapo WALAA TAMSHI FIL ARDHI HAUNAA 😍
Nakupenda Sana dada husna jamani natamani ungekua dada kwangu unahelima Sana mungu akutunze kipenzi 🌹🌹❤️❤️
Hapo kwenye ticket Mpaka machozi yamenitoka, this is so inspiring.
Thanks dada zamaradi kwa kumleta dahuu
Da huu kama mm yaani hakuna kitu kama kupikiwa yaani nikipikiwa naona kama hakijawiva mtt wangu lazima nimpeleke hadi shule roho yangu ndio Inakua na raha
Daaaaaah Dahuu yupo safi sana
Nampenda huyu dada
Nimejifunzaa sanaaa❤️❤️
First exclusive interview ya zama, mtu hajalia😂. Da Huu u r great mama
Uclinganishe malays nahuyo dada
U took it negative cz kila anaelia it's not about umalaya, wapo wengi wamehojiwa na wanalia kwa vitu tofaut. It depends dada
Pole sana
Nice Interview... Umesahau kuzungumza Radio Uhuru na Vunja Ukimya..
Nakupenda sana husna uko nabusara sana
Masha Allah Da huu😍😍
Genius 💡& incredible 👩 🙋💦😘
Da zana intavew ya da huu ni bora na haichoshi mmependeza sana
Love it
Nampenda sana da huu jmn Mungu akubariki
Hongera kwa malezi ya family
Nakupenda zama sana
Nimempenda mahojiano yenu. Pia zama nafurahi sana unapomfanyia mtu entervew
napenda sauti yako daahuu
JOHN Pasco happy birthday to me mwana familia wa clouds from.. kinondon mtaa changanyiken mbuyun
Nakupenda Husna Abdul sana
Very true! hakuna cha kawaida.
42:28 ❤️
zama leta waki na rayvanny waki na mbosso waki na worper waki shishi tujue mengi dada plz
Interview 🔥🔥👏ila studio inaelekea ina joto
Nakupendaga da uuuu
Up vizuri
Napenda kuwa kama wewe zama 😍😍
HUSNA UMENICHEKESHA KILA UKIRUDI ANAKUONESHA RAMANI YA ULAYA! INGAWA HAJASAFIRI😂😂😂😂😂😂😂
Safi
❤️❤️❤️❤️
Nampenda sana huyu tena sana da huuu na da geah
Ma shaa Allah da Huu hopefully you will embrace Hijjaab...you are young and fresh till today was perceiving you so differently. Much love to you and your family
Thanks Zamaradi.
This was fabulous ❤❤❤
Nice interview
Very strong woman
Yaan nmekupenda bure da huu
Da huu hiki kipengele ulichomuongelea mwijaku msikipitishe kwenye zilizokiki maana ulivyompamba mwijaku mtamsumbua josee Mara 😂😂😂
Da Huu nimekuelewa vyema, nimejifunza, nimefurahi na zaidi nimejifunza
Nimefurahia kipundi mmekuta mulizwaji na mulizaji na nimejifunza mengi nimewapenda
Dahuuu arudi tena jamanii,akuelezea ilikuaje akaajiliwa clouds leo tena??!nimempenda bureee😍😍
Da huu mm nakupenda sana ALLAH akuzidishie
Baada ya Mussa Hussein kuondoka sijisikii kusikiliza leo tena sijui kama nitazoea natamani kumusikia popote
Wanakubar sana dada zang mung awabark
Dahuu 😍😍
Asante Zamaradi,asante sana,bonge la interview.Asante Husna.Nawapenda sana!Mbarikiwe!
Muomben mussa arud plz mm ata kusikiliza sikuiz siyo San imeniuma San
Kweli dear Mussa yupo vzrii sana na yupo na utani katika kuuluza swali lakini ndio swali na yupo straight, ila mwijaku mh hapana yule sidhani kama kasomea kuhusu utangazaji,
Ata mm nampenda sana musa Hussein
Nawapenda Sana
Hongera Da Huu..!
Daaah the story is very interesting and soooo touching da Huu ww kweli ni mpambanaji Allah akufungulie zaidi