EXCLUSIVE SHAMSA FORD: Nimepewa Talaka kwenye Watsapp/ Mume wangu alinidai DOLA MIA aliyowahi kunipa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- Shamsa Ford ameweza kufunguka Mengi kuhusiana na sababu nyingi zilizosababisha ndoa yake kuvunjika, madhaifu yaliyokuwa kwenye ndoa, sababu zinazomfanya aseme hataki mime wa shida na raha, mahusiano ya mtoto wake na aliyekuwa mums wake, na mengi mengine kuhusu ndoa yake ambayo hakuwahi kuyaongea popote
I m not yet married but when I watch this I realize my mom was a very strong woman. Wanawake wanapitia mengi kweli!
Yamwenzako Sikia Huku Yasikupate.Ya Allah Nijalie Mme Mwema Kwangu.
Nipo Njoo tu
Inshallah
Wapo wachache sana mpenzi, we omba tu mwenye hela awe na tabia nzuri au mbaya, maana wakiwa hawana hela wanatulia, ila wakianza kupata utajuta, so bora umpate mwenye nazo kabisaa
Pole sana shamsa Allah atakupa mume mwenye khery na wewe utasahau machungu yote nakupenda sana
Pole sana dada naumia sana. Hata mm nina mume wa aina hiyo ss wanawake tunapitia magumu sana.
@joyce Johnson Sana mungu yupo Kila mtu atasahau mitihani anayo pitia
Ameen yarrab 🙏
@@joycejohnson3394 pole sana Dada umeongea kwa hisia, .mngu akupe subra atakupa many kher na ww
Pole sana shamsa Ford umenikumbusha maisha nliopitia Kwenye ndoa yangu, mwenyezi mungu atupe subra wanawake wote na atufungulie yenye kheri na ss insha Allah
Ameen 🤲🤲🤲
Amen
Umenikumbusha mbl daaa😭😭😭😭 ee mungu tusaidie tusikose riziki👏👏👏
Da!shamsa pole sana umenifanya nitoe machozi pole sana,mungu atakupa mume mwema inshallah,lakini pia namshukuru zamaradi kwa kipindi kizuri kinafundisha na hata mimi nimejifunza kitu kutoka kwa shamsa.🙏❤
Nimejifunza mambo makubwa
Asante kwakipindi
Kama unasikiliza uku unaona coment ka mimi gonga like twende sawa
Tuko pamoja
Pole...! Nilichogundua hawa watu maarufu wanaishi maisha ya shida mno kuliko tunavyowaona mtandaoni...! Na wengi wanajikaza ili tu kulinda lile Jina lkn wanapitia mengi mno....! Kwanzia kwenye maisha Yao mpka mashabiki wenyewe....! UMAARUFU NI ZIGO LA MIBA
Kabisa yani bora sis tusiojulikan yetu yanaishia uswahilin hawa wasanii yanaishia katika mitandao
Hakika ni majanga tu
Kabisa
Wanateseka mno kuliko ata sisi mungu tusaidie👏👏
Pole dada Shamsa,kila linalokuepuka linakheri nawe...inshallah Allah atakujaalia mume wa kheri nawe,Rashid atabaki na shari zake na afahamu malipo ni hapa hapa duniani...Love from +254🇰🇪....
Uummhh da zama tunapata shida the voice iko chini mnooooooooooooo hatuenjoy tunafanya kuek cm kwa masikio
😀😀😀
Kweli
Mbona sauti inasikika Sana Tu
Umeonaee
Kweli na mie nilijua ni Simu yangu kumbe ni sauti ipo chini
Wallah iyi interview imeniliza😭😭😭😭😭. Ila pole Shamza Ford. Namungu kunasiku utapata mume sahihi kwako. You deserve to be happy again 😍😍😍😘. InshaaAllah
Huyu dada ana imani yadini ila hajapata mume wa kumtunza angekuwa mbali ishallah utapata mume mwengine mwenye hari na wewe
Kabisa
Kabisa walah
Fatma Mhamed amenii
Amin
mwatum saidi fact’s
Shamsa dada angu ww ni mtu wa kuigwa kwa jinsi ya maisha yako ulivoishi na unavoishi kwa sasa,hakika ya ndoa kweli ni jambo la kustahamili nimehakiki kutoka kwako pia,kweli ww ni mwanmke unaejua kuishi kwa ndoa,Allah akuzidishie subra na uvumilivu akupe mwanaume anaestahiki kuwa na mke ww....Ameen
Shamsa ni beautiful talented and hard working you don't need a man to be complete tafuta hela enjoy na mwanao
😳😳
Truly said,,,mm pia nimepitia nkaja ona c lazima mwanaume awepo ndio life isonge Mungu kama kakujalia mwana huyo mwana ndio atakupea furaha na ujasiri wa kuendelea na maisha
Ma sha Allah shamsa umestiri vizuri MUNGU akuzidishie stara Leo na kesho Qiyama,Ameen
Amiin ya Rabb
Mmmmh ndoa sio kitu cha mchezo u have to pray before kuingia huko
Kuolewa ni maisha magumu sana ukipata mume mpumbavu.Yaani ni janga kubwa .pole sana Shamsa
Nimependa sana maneno yako.kweli ukipata mume mpumbavu ni shida
Nimejifunza kuwa mke ni zaidi ya cheo...Mungu akupe kila lililo jema Shamsa.
Yani da shamsa umeongelea maisha yangu kabisa kumbe tuko wengi.mola Atatuwezesha inshallah.
Pole sana my dear changamoto tunapitia wengi sana ila furaha yetu ipo2 tuzidi kumuomba mungu
@@violethabel5548 Aamiin
Da chemsa yako na yangu yana fana na ni subra tu
Jamani wanaume mbona ivo muokopeni mungu
@@jaliasaidi7934 ninyi mnamuogopa mungu
Tujipongeze wanawake kwa uvumilivu tuliojaaliwa👏👏hy ni mmoja kati ya wanawake wengi wanaoteseka kwenye ndoa ama mahusiano!!....tuamke jamani asiekupenda usimpenda.
Jamani hamna ndoa ngumu Kama mme wako ana majibu ya mkato au makali hata akupe nini huwezi kuwa na furaha. Wengi wao huonekana wapole sana nje. I understand you Shamsa very well. Be strong 💪🏽 be happy.
It's so painful
Matilda Chilambo true
Aiseee sana tena huwezi wazania
Yaani ni kweli kabisa
Pole dada shamsa mi huwa nakupenda na ninjivunia kukuona unapambana kwenye kazi
You are more than a human Shamsa Mashaallah. You did the right thing Shamsa Mashaallah. Much love❤❤❤
MashaAllah tabarakaAllah shamsa umependeza Sana, zama tuko pamoja sauti Leo ndogo Sana
Honestly your simply a good wife..you sacrificed alot for your husband and family..God bless you Shamsa..
98% ya ndoa wanaume ndio wanachangia ndoa kuvunjika.. Na wake zao kwenda nje sababu ni wao. Wanawake kuwa wajeuri wanachoka sababu ni wao. Wanawake wameumbwa na subra sana alhamdulilah... Lakini dah ni wanaume wachache sana wanaojua utamu wa ndoa.
Nikweli kabisa, mwanaumu unaitaji kuwa na pesa au kipato ili uweze kumtuza mkeo. Lakini wanaume wengi asilimia 70 hawna kipato kizuri na ndio wenye mapenzi yakweli .Mwenye pesa tena umemkuta nazo huwezi mkakaa mpange au kushauriana lazima utakua kama mtumwa wa kila kitu.Nini chakufanya ili yasiwakute manyanyaso .tamaa tupa mbali
Usiwe mwanamke wakuchagua sura
Au mfupi au mnene .
Kila jambo hapa chini ya jua tukimwomba Mwenyeezi Mungu atakukutanisha na mtu sahihi katika maisha yako
@@georgesteven447 hamna kitu tajiri wala maskini ni tabia ya mtu. Hapo shamsa alimkuta chidi na madeni kama yote na akayabeba yeye na anatunza familia yeye mpaka anauza vitu barabarani kama machinga. Wapo wenye utu atadhamini mlipotoka na wapo mashetani akipata ndo mtiririko wa michepuka unaanzia hapo..
Kila mtu apambane tu na hali yake ya uchumi tukutane kwa mapenzi, binadamu hawaeleweki
Kabisa Samiah El Busaidy
Nimelia sana nakuelewa sana maana uliyoyapitia ndio niliyoyapitia mimi wallah yaani mungu huyu umenikumbusha vingi Shamsa Allah atakupa mume mwema Inshaallah
Ni vzr mumuangalie Zamaradi maana yeye akiulizwa mahusiano yake na Ruge au mumewe mtishia bastola huwa hafunguki.
Msimpe nafac hivyo ilhali yake kayafungia kwenye chumba cha ndani cha moyo wake
Ana akili zamaradi hatakagi kuweka mambo yake wazi
Belinda Giliard kweli kabisa 😂😂😂
kweli kabilsa, kabla hajamuinterview mwanamke mwengine yeyote inabidi aeleze story yrke na ruge, ili wasichana wajifunze, coz rumour had it, she had a real bad experience for younger gals to learn kwa kuwa eye ni kioo cha jamii, na pia anainfluence wasichana venga hapa tanzania.
@@janekikoti2179 kwahyo hao anaowahoji wanafunguka ni matairaaaaa
Nalo neno dear
Nimejikunda nachukia kuolewa unaweza ukaolewa ukisema umechoka maisha ya kuishi single na kuonekana malaya bila hata kuufanya huo umalaya kumbe uko unakoenda ndo unaweza ukafanya hata zaidi ya ukahaba Allah awarahisie wanandoa wote kwa kweli mumelalia mengi pole saana daa shemsa Allah atakushindia kwa yote
Amiin
Lydia Akimana "
Lydia Akimana aipendez dear
Kwakeli wengi walio kwenye ndoa wanalia wanataka kutoka nje tulip nje tunataka kuingia... chamsingi m2 angalie furaha ya moyo wake maana moyo ndio unabeba maumivu na ma tam
Walioolewa wengi wanalia ndani kwa ndani....hakuna furaha....mi napenda furaha kwa kweli....naenjoy nikiwa single
Da zamaradi sauti imepunguwa saaana,pole Sana Dada kwakuvumilia mengi
Shamsa wew ni mvumilivu sana,sijawahi kukomenti kweny interview yeyte tang nimeanza kuftilia kipnd chako zamaradi ila hii ya shamsa kwakwel ni funzo kwangu
Shamsa you look good
napenda nguo yako imekupendeza saaaaaaana
USIVAE VIGAUNI VYAKO VIFUPI
YOUR VERY SPECIAL DEAR
This guy wanawaita Narcisist in English. Shamsa alikuwa anaishi kwa ndoa ina domestic abuse.....emotional abuse, psychological abuse, financial abuse......I wish my swahili was good. Lakini uki google Narcisist utawatambuwa wanaume au wanawake design hii. Si lazima akupige lakini vtuko vyao!.... na hii tabia si ya kabila fulani, wa Afrika or what. Wako wazungu, wahindi....iko very common na nafurahi watu siku hizi wanakuwa wa wazi...watu walikuwa wakivumila mengi kwasababu kwa nje watu wanamuona kama mtu wa maana.... wanajua kuficha mabaya yao....inasilitisha .Thank you Shamsa for opening up...lesson tu many people. Men and women.
Ndoa ndoa ndoano ndoa ni doa ndoa ntaendelea kuziona kwa watu nimepitia magumu zaid ya shamsa pole dada
Chozi la Mwanamke lenye maumivu linalaana kubwa san......Mungu ndo jibu..Ndo maana huwa sihukumu mtu mpk nipate ukweli🙋Shamsa move on gal😍
Hakika alienitenda atalaaniwa na Mungu tu not me
@@priscamlyuka5531 Na wanawake wanaoumiza sana wanaume wapo pia.
Fact
Herieth Kusigwa Sure...Halijadondoka bure-100%
Zamaradi yaweke yako wazi ndio uwahoji na wengine sio fair kuhoji wanawake wengine wakati ya kwako ni no comment,
Jamani nywele za dada zama sijazifurahia sjui hazijabana vizuri
Ndo zake mbona huwa anachemka kidogo
@@veileronesmo9219 🤣🤣🤣🤣🤣
Hata mm hilo nimeliona she's not presentable kabisa
Catherine Rothbletz kwakweli sijui ni ant-makeup maana hizo nywele duh
Duh ndoainamambo mengi ilamikilasiku namuomba mungu anipatie mume bora mwenyehofu yamungu inshallah
Amiin Yarrab
Amiin thumma amiin yarabil alamiin
😂😂😂hujajua wewe
zama please weka tissues.. ziwe zinakaa tu hapo chini incase someone gets emotional.. please.. watu wamekuomba sana please reconsider this.
Daisybeth Paschal kila cku tunasema cjui hasomi coment
Alichojibu instagram ni kwamba hizi interviews alisharecord muda kidogo ndio maana hamuoni akifanyia kazi comment zenu. Alisema atafanya kwa interview mpya
Daisybeth Paschal sauti iko chini sana jaman
beatrice lema hapo sawa
Daisybeth Paschal hivi kwann haelewi na halifanyii kazi 🙄
Siku zote olewa na mwanaume anayekupenda zaidi kuliko wewe unavyompenda.ndoa itadumu milele . Mark my words!!
Yani umesikitisha Shemsa,Ishallah upate mume wa kheri,maana huna skendo chafu mashallah
Shamsa Leo umenifunza kitu nakupenda Dada angu
Pole daa shamsa Mola atakupa mwenye kheir na ww
Yaani sisi wanawake tunapitia mengi sana wallah ni kweli kabisa wengi wanaishi maisha ya uongo sana kwenye mitandao ila ndani kunawaka moto asikudanye mtu ndoa ni ngumu sana na ugumu hasa wanausababisha ni wanaume yaani mahusiano sasa hivi ni kusema mungu saidia tu.
Abay tamuu Mashaa ALLAH umependeza,,ndoa bn km kitabu ukion hakisomeki funika tulia utapata kitachosomeka maisha yataendelea eeee
Pole shemsa wewe uliolewa na mwanaume wa dar,,mim mwenzio sitakuja kumuamin mwanaume yeyote yule ata kama ni mume wng sitampa moyo wng wote hata iweje
Hahaaa, Daniel mgogo , aliwahi kusema usimpe binadamu 100% ,coz n zaid kinyonga
Pole sana dada, nimejipata nalia yani. Mungu atakupa mume unaestahili🥰🥰🥰🥰❤️
Ayo majina ya kina Rashid ni mtihani sio wanaume ni majanga... Shamsa mungu akuongoze sasa kwailo na nyingine
Wajinga sana pia wanamikosi,haananyota,akina Rashidi siyo
Kweli kibisa majina ya Rashid mh majanga tupu
Pole mwaya maisha hayo nishapitia mm tena na zaidi wallah inauma umenikumbusha mbali sana..Allah atakujalia mume wa kheri Inshaallah..usihuzunike sana kila likuepukalo mja lina kheri nawe
Sie tunAetaka ndoa mungu atusaidie sanaa 🙏🏻🙏🏻
Vp
Rose awajalie tuu mmmmh
Hakika mamy
Nimelia sana maisha yk kama mm tu ndoa hizi acha tu
Charity Usia pole sana sana yote yanamwishoooo
Mm nikiachika ndoa hii siolewi had nakufa kumbe matatizo yetu ni mamoja
Kwn nn ufe , ihali life lingne lipo? Toka tu
Nakupenda Zamarad Ina maswali ma'am sana na dada Shamsa umenifundisha kitu Wallah, wew ni Mke bora Dada Ila haikuwa Riski tu
Shamsa hawana shukrani hao wanaume hata uwafanyie nn na kamwe hawasemi ukweli ila nafsi zao ndani kwa ndani zinawasuta , story yk inafanana na yng nilipata mume kama wako tabia zake yani ni kichefu chefu , pole Dada pambana na Allah atakucmamia madhali nia yako anaijua.
Mashaallah Shamsi umependeza sana mavazi haya yanakupendeza sana. you are my choice Shamsa 😘😍
She look so beautiful MashaAllah and sounds so holy..I love Shamsa's level of honesty and boldness. Just a kind advice Zama,if somebody gets emotional you take a break immediately and provide him/her with a tissue coz personally I see every woman as a Mother. I lost mine some years ago so if I see any woman cry my heart always filled with grief. Much thanks for such programs and I wish all the best for Shamsa Insha'Allah.
Love from Doha +974
Umejitahidi kadiri ya uwezo wa binaadam kuinusuru ndoa yako ALLAH ATAKUJAALIA MWENGINE MWENYE KHERI NA WEWE
90% ya wanawake bongo wapo kwenye ndoa kama hiyo mateso wenye ujasiri ndo watatoka wanyonge watabaki
Ongeza sauti kidogo upande wa pili wasikie
Acha wabak mama mm nimetoka saiz full raha nikiamua kunywa nakunywa nalala kwa raha zangu
na ukitoka ama kuanza kudai wewe talaka.....unakuwa termed vibaya
Maria James mi tangu nilitumiwa nikiwa Dubai 🤣sms ilitumwa kwa jia ya whasp
Siyo bongo tu dada duniani kote
Shamsa waniliza wallah Maana Duuh!pole sana Dadangu ila Mungu yupo na ww.Strength Of Woman.ur the one of a kind wallah.Big up sis!
Pole jamani asilimia kubwa ya ndoa nyingi khari ni mbaya wengine tunapambana kwa sababu ya watoto ila khari ni mbaya jamani
Ndoa za bongo muvi...
Kuigana..na asili ya yote huyo chini mapenzi ..alifulia na kuwekwa ndani!
Ila biashara iliyokuwa ikimpa pesa sasa imekat!
Shamsa Ford pole sana kwa changamoto ulizopitia...naamini umejifunza kitu..usikurupuke tena,shukuru Mungu hujapata mtoto nae maana ungepata mzigo zaidi wa malezi,bado U have a chance ya kupata ndoa soon...ukituliza akili coz una sababu zote ya kuwa mke...Mwenyez Mungu akufanyie wepesi Inshaalah...Nakupenda sana#Shikamoo Mzee#RipKingMajuto.
Zamaradi, please put some tissues and water to drink, some people are so emotional,
Duh shamsa maisha unayoyapitianiliyapitia .miaka 10.duh wanaume wacha tu.mimi nilikuwa nalala njaa nikaanza kupika chips.loh ndoa hizi mungu atupe subra.nashukuru lungi nilitoka na niliendelea na maisha yangu sasa nipo vizuri nalea watoto wangu 2
Da Zama. Weka tissue na ata maji tu
Hongera love strong modher
Nakutaka unipe ujuzi
Njoo my dear nitakupa tu juzi
Songa mbele shamsa. Wanawake tunaweza💪💪💪💪
Daaah shamsa ford uwa nampenda sana,jaman huyu dada n mzur aiseee hiv wanaume mnanin unamuacha mwanamke kama huyu aisee m ningekuw mwanaume ningekuoa
All In All shamsa ni mtu mwenye upendo
Mashaa’Allah 💓
Pole sana Dadangu shamsa sjawahi fuatilia interview nkamaliza ila hii yako nmeimaliza am also a single mother but being a single mum is not easy at the same time not all married people are enjoying their marriage so take it easy and work hard to secure the future of ua kid! My daughter was only 6yrs wen I lost my husband and I thank God today my daughter is 12yrs old Alhamudhlilahi! Pambana and be happy much love from +254
Pole Da Shamsa. Mungu yu mwema atakupigania. Ujue mtu huwa hajui km ana kitu kizuri mpk kiondoke ndio anashtuka kwamba nimepoteza kitu kizuri. Endelea kumuomba Mungu atakupa mume mwema tena utashangaa. Ili dhahabu ing'ae lazima ipite kwenye moto. Ndio maana ulikua ukisali, bado Mungu alikuonyesha mabaya yake, maana yake ili akubariki lazima utoke hapo, sio mumeo huyo. Atakutafutia mwingine. Hakuna jambo gumu la kumshinda Mungu Luka 1:37. Mungu akuponye nafsi yako iliyoumizwa kwa Jina la Yesu. Amen. Love you always from USA. Navaa madera yako vipi. Nikija nitakuja kukusalimu, nikutie moyo, ht mm ni.mke na ni mama, kazi yangu ni kutia moyo wengine. Inshallah!!
Mpaka machozi yamenitoka mungu atakulipa
Interview hii ilikua Bomba Sana haikuboa imefundisha Sana kwa mwenye kutaka
Pole sn shamsa nimejifunza kitu kutoka kwako.....love you shamsa ford
Usilia jamani unaniumiza nikija nitakuja kupa pole mungu hakupe nguvu wewe mama shujaa ubarikiwe wewe na mtoto wako
Shamsa Maisha uliopitia ndo Maisha niliyonayo ndugu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole mpenzi,na ndio maana wanasema wanaume wote baba mmoja mama mmoja
Ukiona vipi sepa. Usije pata maradhi ya moyo. Mimi nina miaka sabasasa tokanisepe. Niliyoyapata Allah shahidi
Yusra pole sn
@@ashuuuaisha9122 hongera san
Kweri my
Mwanaume mwenye ujana mwingi hafai kuwa mume na hata kuwa baba katika familia.. Aagh
Aziza Kwileka kabisa my
Kauli ya kusema mwanaume akiwa na shida anakuwa na mahaba ni kweli kabisaaaaaa
Kabisa
Pole sana Shamsa kwa yote uliopitia, Mungu atakulipia utapata mume mwenye kheri na wewe
Bado mdogo sana Shamsa InshaAllah utampata mume mwema kwako
ndoa ni ibada na ibada haina uwepesi ndo maana wengi wanaishindwa ila kupambana kwa ajili ya ndoa yako licha ya changamoto yoyote ile ndo ushindi,hawa wote walioko kwenye ndoa sio kwamba mambo ni mazuri hivyo ila vitu vingi watu wanapuuza na maisha yanaendelea lakini ukiona huna bahati na kila mtu hafai ,yaani hii dunia kila nikuwa imara na kusimama upande wa mungu.
Baada ya shamsa umlete na chidy ili tu balance story
Alishaaanza Story cheki Interview millard ayo ndio sasa shamsa anajibu
awaz bange sure
Wanaume mungu anawaona mnatunyanyasa sana wanawake sijui kwakua tupo wengi?
Mwanamke anaonekana haongopi
👹👹👹👹🙆🙆
Chidy sio family man.ni msela sana.pole shamsa
Hii interview nzuri Shamsa yuko open... anatufurahisha na kutufunza mashabiki... Zamaradi unahost vzuri tatizo sauti iko chini kdg
Hilo jirashidi ni gume gume kamwe!MWENYEZI MUNGU atakupa alie wa kheri kwako habibty wewe bado mrembo mbona,afadhali mtu kama hakupendi akuache tu roho safi kuliko majibu hayo ya mkato!na mwanamume akisha anza mpango wa kando ndio huanza majibu kama hayo,pole sana dadaa ila asante sana shamsa tumejifunza mengi kupitia kwako
sauti iko chini sanaaaaaaaa.....SHEMSA YOU ARE VERY STRONG...U MADE ME TEAR UP
Mnaolalamika sauti ndogo mnatumia simu gani? Tunaotumia tecno tujuane mana sauti kama yote
😀😀
😊😊😊
🤣🤣🤣
Wewe shamsa uliingia kwenye ndoa bila kimjia mwanaume vizur
🤣🤣🤣🤣
Nawe Zama uweke history yako unaulizaga za wenzio tu sio vizuri
........better being single than thing tolerating such torture 😢😢😢😢
Umevaa vizuri shamsa ndio uislam
Daaaah wajina wang!! I can't stop my tears walah 😢pole sana *shamsa* ndo tulivogo majina haya ila allah atakupa wakukujali.nakupenda
Nakupenda sana mwanake jasili kwa hongera umependeza umefaa kislama 👌👌👌👌
wanaume wengi wanajali hawara kuliko mke.pole shamsa
Pole Sana Usjali utapata mwegine
Pole sana dadangu
Am happy that you are so strong to tell 😍😍
Na endelea kuvaa hivyohivyo umependeza sana..Allah atatufikisha kwa sote Yaarabb...wewe ni mwanamke na nusu unajielewa sana Shamsa MaashaAllah...don't let people take ur kindness for weakness...u will be fine
Naweza vumilia yote toka kwa mwanaume lakini ujeuri laaaàa
Yarabb niepushie mateso kwenye ndoa yangu, mmh inauma kweli sana dada ila usikate tamaa mungu atakufungulia njia 🤲🤲😭
Very natural,hajabandika mikucha nini, yaani mwanamke ametulia,kweli huyu mke!
Yesu atakupa mume mrembo usijali!
Shamsa jipe moyo, you are a strong lady, May GOD open doors for you. Hugs mama.
He has lost a diamond, pole sana mdada 🇬🇧🇬🇧❤️
Mwanzoni wamaneno yake huyu shamsa nimuongo tu
Umependeza mumy wangu chausiku
Pole Shamsa ni mitihani ya ndoa,nimejifunza kwamba Mwenyezi Mungu ndio kila kitu sisi hatuwezi kumjua mtu kiundani kabla ya ndoa ila Mwenyezi Mungu ndiye anayejua yalioyojificha. Tumuombe sana Mungu kabla ya kuingia kwenye ndoa.
Kweli kabisa
Nhc bado anampenda aliyekuwa mumewe but hawezi kurudi kutokana tuu amemuumiza sana.
Pole Shamsa
Hongera kwa uamuzi wa busara na Mungu sio binadamu hata aseme uongo atakusaidia utamlea mwanao vizuri tu
Huyo aliyekuwa mumeo ungemfuatilia historian yake yangu utoto wake huenda hakulelewa na wazazi wote au walezi waliomlea walimlea kibabe kwa hiyo hawezi kuona kama hakuwa mume mwema kwako hakuweza kujaliwa ndo maana na yeye alikuwa hakujali hawezi kuona maumivu yako wala chochote anakuwa hajali tatizo lilianza utotoni huyo usingemuweza kabisa
Nampenda sana Shamsa. Mungu akuzidishie na akupe mme bora.. From Kenya
Subhanallah mapenzi yakisela hayo bado napambana nayo nikishindwa naliachia pia mm umenitia moyo kua bila wao tunaweza mungu atawaongoza kama mm likitoka halirudi maisha Mema shamsa mungu akuezeshe inshallah rashidi hajawai kua nahofu yamungu ndio akawa na kupa majibu ya kibabe na dharau mungu hulipa kwa wakat wake ipo siku atakukumbuka
Love you zama hua napenda interview zako hazinichoshi
What an interview 👏🏼👏🏼👏🏼.... interview haiboi 🥰🥰🥰