Ooooh!!! Hallelujah hallelujah, Mungu auzidishe utukufu wake kwako @Getrudamwita Hakika historia yako/ ushuhuda wako umenijenga Sana🙏 umenifanya niseme ''NINAWEZA KATIKA JINA LA YESU KRISTO''
Nakupongeza sana Mchungaji Kimaro kwa kuhubiri injili inayobadilisha watu (Hii ni habari njema kwa watu wote ) unaibua na kufumbua macho ya watu wengi.
You deserve the best kibibi, Miongini mwa waigizaji naowakubali sanaaaa🥰🥰 upo tofauti na vijana wengine, umemshika mungu na unamtukuza👏👏👏 nakuona kwenye viwango vya Hollywood na utafika Kwa jina la yesu🙏
It's something good hongera sana kwa Dr. Kimaro , nilichogundua kwa kweli kuwahoji watu nayo ni karama kumhoji mtu na kuweka mtiririko mwanzo mwisho. I hope event ijayo mambo yatarekebishwa zaid
hivi ungekuwa mwanasheria na ulivyo mkali hucheki wangekutambua pia tungekupeleka ukawe mwanasheria wa kusimamia vifungu vya sheria kuhusu haya maswala ya bandari yetu ya tanzania iliyosainiwa na wabunge feki wa tanzania bila kujua madhara yake ya baadae mkataba usiyo na kikomo bila kushirikisha wananchi wake
Hivi wadau mnaelewa kilichomfikisha Eliona Kimaro hapa leo ni cha juzi sana na kilikuwa kigumu si kwake tu hadi kwetu wzee. Pamoja na kumhurumia nahisi hata wale mliokuwa mnamhurumia sasa mnajaribu kumuonea wivu afu jamaa hana hata ile chembe ya hofu tulokuwa nayo sisi ambao tulimhurumia. Huyu Kibibi historia yake haina tofauti kubwa na ya Mchungaji Eliona hapo.
Mchungaji Kimario ubarikiwe sana hizi sessions zina mengi ya kujifunza. Hasa nyakati hizi kwenye changamoto za ajira vipaji vinahitaji kunolewa na kuheshimika sana. Asante kwa kutukumbusha hata elimu ikikwama kuna njia nyingine tuzijaribu
Nakupenda sana wewe dada niliwah kuona kipande tu cha tamthilia moja uliyocheza nilipenda sana lkn kwa sasa cjaona kazi yako nyingine mungu akubariki sana kipenz
Ooooh!!! Hallelujah hallelujah, Mungu auzidishe utukufu wake kwako @Getrudamwita Hakika historia yako/ ushuhuda wako umenijenga Sana🙏 umenifanya niseme ''NINAWEZA KATIKA JINA LA YESU KRISTO''
Good
Sasa nimeelewa kwanini aliposimama kwa muda walimlilia sana.......!! 🙌🙌🙌🙌
Umenifanya nimecheka nami ni mmoja wa waliomlilia
Good
Huwa nampenda sana Getrude ananibariki sanana nlimfuatilia historia yake huwa nasema mimi sijashindwa Mungu akutunze G
Nakupongeza sana Mchungaji Kimaro kwa kuhubiri injili inayobadilisha watu (Hii ni habari njema kwa watu wote ) unaibua na kufumbua macho ya watu wengi.
Mungu nimkubwa sana 😢🙏
Mwenyezi Mungu azidi kukufungulia njia kibibi wewe nimuigizaji mzuri sana
Mungu akubariki mchungaji kimaro
Mungu akubariki Mchungaji Kimaro kwa kutufungua macho kwakweli nimejifunza kitu.
Ili story inanikumbusha mingi sana.eee Mungu tusaidiye
Ndoto yangu ni kuja kuwa na Christian movies ambazo zitatuinua kwa namna ya tofauti km zile za kina Kendrick Brothers
Find me when you need a character to play different scene's
Napenda sana ila pakuanzia sasa nilishapoeza tu pesa❤
Do it aisee...we will support you even kwa maombi. I wish too❤
Bwana akutengenezee hayo mazingira ufike huku
Kama.ile ya halelujah dah😊 ilinibadirisha mpaka leo ya kizungu wakatafsiri kwa kiswahili
Fight for your dreams until you achieve what you want.Never give up..Bravooo Kibibi
Mungu amekuinua, na bado unampenda Mungu, utafika mbali
God is good 😢😢 one day
Ei monaweito umepitia mengi mungu akuzidishie
You deserve the best kibibi, Miongini mwa waigizaji naowakubali sanaaaa🥰🥰 upo tofauti na vijana wengine, umemshika mungu na unamtukuza👏👏👏 nakuona kwenye viwango vya Hollywood na utafika Kwa jina la yesu🙏
My God bless you Kibibi, unaenda mbali sana wewe.
Plz
Hollywood uongo
Bila kumsahau Anna wa jua kali
Utukufu kwa Mungu.kibibi amejieleza vizuri sana
Overwhelmed indeed
Nampenda Sana huyu mchungaji MUNGU azidi kukuinua past
Nakukubali sana getruda hata mim ni muigizaji lakin mapambana dada angu
Nimebarikiwa sana!kipindi ni kizuri!Hongera kibibib kwa ushindi japo kwenye huba unakaza😂😂Yesu akutunze!!
Glory to God🙏🙏 kibibi umenitoa machozi 😢😢 na pia Umenipa ujasili wa kupambana
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kimaro tatizo unaongea sana, acha story iendelee kwanza
Natamani cku moja nifike kwenye hili kanisa nimuone na huyo mchungaji live jamani
Very powerful testimony 🙏🇧🇭😭 , kweli kumtumaini MUNGU Kuna fahida🙏🙏🙏
It's something good hongera sana kwa Dr. Kimaro , nilichogundua kwa kweli kuwahoji watu nayo ni karama kumhoji mtu na kuweka mtiririko mwanzo mwisho. I hope event ijayo mambo yatarekebishwa zaid
Hongera sana.
Wow! Hongera saana Kibibi
Hongera kibibi amazing
Aaezaz
Kibibi hongera sana una historia nzuri sana na ni ushuhuda mzuri sana kwetu sisi.
Hongera sana Getrude Mwita a.k.a kibibi wa HUBA ubarikiwe na usimwache Mungu
Kila la heri kibibi.
hivi ungekuwa mwanasheria na ulivyo mkali hucheki wangekutambua pia tungekupeleka ukawe mwanasheria wa kusimamia vifungu vya sheria kuhusu haya maswala ya bandari yetu ya tanzania iliyosainiwa na wabunge feki wa tanzania bila kujua madhara yake ya baadae mkataba usiyo na kikomo bila kushirikisha wananchi wake
😆😆😆😆😆
Dr Kimaro unatakiwa ufundishwe namna ya kuhoji watu especially Q & A unapoteza utamu wa Taarifa
Hehh!
Umetisha sana Mungu azidi kukubariki ...
Shuhuda zinajenga na utukufu unarudi kwa Mungu
Niko busy na biblia,hahaaaaa!safi.
Woooow 👏👏👏Madam kibibi hongera sana for real ushuhuda wako umenijenga sana kumbe na mimi naweza 😂 Mungu akubariki sana
Kwakweli huyou dd anajua nampenda
Kupitia mahojiano haya nimejifunza kitu kikubwa Mungu akubariki Kibibi kwa kuishi ushuhuda wako🎉❤
❤
Ameen❤❤❤❤
Hongera sana kibibi I like your acting in the Huba mungu akubariki
Jamani kibibi kumbe huwa unacheka? Nakuogopaga ukimgombeza fabrizo
Mungu akitaka kukuinua akuna wakupinga mungu azidi kukuinua
Kupitia hii interview hakika nimeongeza kitu katika maisha yangu
Ubarikiwe sana Mchungaji Kimaro lkn Kibibi nakupenda sana! ❤
Nimehamasika sana na story yako hadi nimeshare na wananguna mume wangu be blessed na from today you have a new fan naanza kukufuatilia
Mungu ni mkuu kwa wamchao. Msiosmini miujiza njoeni muuone kibibi.
Napenda sana kuigiza naaamini naweza ila pakianzia ndo mtihani niko mbeya kwa yeyote anayehitaji naweza igiza kama muhubiri au mchungaji ,mama . dada
Beautiful kibibi mashallah❤❤
Hongera kibibi. Kuna mengi nimejifunza kupitia ushuhuda huu
Hongera Sana kibibi Nakupenda mnoo we dada utunzwe na Bwana YESU🙏🙏🙏🙏
Hii kitu Dr. Kimaro, umefanya vizuri kuandaa jukwaa linalowahamasisha wengi kutoka nje ta Box. Ubarikiwe sana.
Mmmh ila.nafikiri Mchungaji angempa.nafasi.kwanza ya.kujieleza kuliko kumkatisha.katisha
Maana halisi yaDream come true Glory to Jesus
Hivi wadau mnaelewa kilichomfikisha Eliona Kimaro hapa leo ni cha juzi sana na kilikuwa kigumu si kwake tu hadi kwetu wzee. Pamoja na kumhurumia nahisi hata wale mliokuwa mnamhurumia sasa mnajaribu kumuonea wivu afu jamaa hana hata ile chembe ya hofu tulokuwa nayo sisi ambao tulimhurumia. Huyu Kibibi historia yake haina tofauti kubwa na ya Mchungaji Eliona hapo.
Tusikate tamaa hatima yetu ipo kikubwa kupambania ndoto zetu
MUNGU akubariki Sana my sister
Uyu mchungaji ni zaidi ya mchungaji ana kitu kikubwa sana tumtumie
Indeed your testimony has made shade tears of joy. Stay blessed abundantly Kibibi🙏
Talanta ndio kipawa kikubwa sana kuliko hata hiyo elimu Mheshimiwa.
Ukiwa na ndoto ipambanie..katu usikate tamaa hata kama wakatisha tamaa watakupitia..never ever give up..Bravo Kibibi
Nimependa hii jitafute ujipate utafutwe
Kibibi nimekupenda buuree
Aisee jamani mtangulize munga Mbele baadae fanya unachokipenda utafaniliwa
Kibibi uwa anajiheshim na hata mavazi yake yan nampenda sana
Kweli MUNGU hamtupi mja wake wewe kweli ni kioo Cha jamii historian yako inaumiza Sana lakini inatia faraja hongrra
Mungu yupo,ukiwa mwaminifu
Hongera sana Dada yangu kipenz Mungu Akulinde
Maana halisi yaDream come true Glory to Jesus
Hakika Mungu ni Mkuu kupita fahamu zetu. Asante sana Baba Kimaro na Dada Getrude.
Nakupenda kibibi
SIJAPENDA MCHUNGAJI ANAINGILIA INGILIA SANA STORY
😮
Nimepata Kitu
Nizam ilimfanya msicha wa kazi za ndan akaolewa na msomi ni somo ambalo ulilifundisha kimalo mwana wa MUNGU
Amen
Msanii kibibi mzuri
Yaani Huyo dada alikua chokoraa!!??
Ndio, alisimulia kwa millard ayo
When dream come true
Hongera kibibi
Mchungaji Kimario ubarikiwe sana hizi sessions zina mengi ya kujifunza. Hasa nyakati hizi kwenye changamoto za ajira vipaji vinahitaji kunolewa na kuheshimika sana. Asante kwa kutukumbusha hata elimu ikikwama kuna njia nyingine tuzijaribu
Hongera sana Kibibi kwa kujipata:wow kumbe ni KKKT mwenzangu I love you so so much.
Nampenda sana uyu dada ana confident ❤
Nafurahi kuipata fulsa hii ya kupata namna ya kuingia ktk kilimo like masanja. Naomba Mungu aniwezeshe. Nilime Kwa utalamu
Watching fro. Nairobi,very nice platform
She resembles and talk like Hamissa,Mungu awatunze❤
Isaac Maro,Mungu akubariki doct Mungu akupe maisha marefu,umemuwezesha Kibibi kuwa katika utulivu mzur sana..
Nakupenda kibibi🎉❤
Mungu nimkubwa sana 😢🙏
Hakika nimependa.
Nakupenda sana wewe dada niliwah kuona kipande tu cha tamthilia moja uliyocheza nilipenda sana lkn kwa sasa cjaona kazi yako nyingine mungu akubariki sana kipenz
Yupo kwenye tamthilia kongwe tokea 2016 inaitwa HUBA inaonyeshwa DStv 160
Ohoo
Na mimi sitapitia majaribu niliyopitia tena kwa jina la yesu kristo
Hongera sana dada Kibibi Mungu ni mwema❤❤😂😂😂
KIBIBI maashallah
❤❤❤
Pongezi Sana pastor Wangu
Wajina big up sana, hayo majina yana baraka sana na yana ndoto,hongera sana Getrude Mwita
Yaaaa!!
chokoraa vs aliyesoma nani zaidi??
Nakupenda sana mchungaji Eliona Kimaro. Mungu akutunze.
Hallelujah nimepata nguvu Sasa nilikuwa nimechoka mpaka Ila kwa huu ushuhuda umenijenga
Mungu aendelee kukuinua Mtumishi wa Mungu Dkt. Kimaro, hakika namuelewa sana Kibibi.
Hongera kibibi.
Mungu akutie nguvu da kibibi, nimejifunza vi2 vingi kutoka kwako🙏🏻
Nimependa Huyu mchungaji Mana wachungaji Wengi wanaona kama uihizaji ni uhuni
👏👏👏👏
Mtani wangu, napenda the way unaigiza. Unauvaa uhalisia mpaka basi. Keep up
Mungu mkuba kabisa ndani ya Yesu kuna kila kitu
Mchungaji kachachuka hadi anatia morali
❤❤❤❤❤❤❤
hongera sana kibibi una upiga mwing san