Mzee wa matunguli anaongoza kwa uongo na kuvunja ndoa za watu.ashukuru mungu yupo Tza, angekuwa huku Arabuni anafanya ujinga wake wa kutembea na wake za watu tungekuwa tumeishamsahau siku nyingi.
Hata pesa za hospital ulishindwa muongo hakuna dini iliosema kama mwanamke awe na pesa ndo uoe huyo ni tapel mkubwa umesifiwa lini kwani hatu ukiwa hodari chumbani ndo nini haitoshi unatakiwa uqe natabia nzuri uwe unamtuza mke leo zote hizo huna
Diva hunijui sikujui lakini apa Hakuna mtu ni hewa.najua wazazi wako penye wako wanahuzunika sana. You are educated and clever girl tafuta class yako please.
Mtu gani wa kumpa ushauri mtu huyo mwenyewe muhuni mtu akitaka ushauri ndo kwanza anamtogongaza na wangapi kawatupa msichana mdogo ulimuacha na ukamuoa anamimba naukamkana ukamruka huna jipya watu muwe makini na huyu abdul
Ache kujitetea kwahio mwana mke akiwa maskini dini inasema asiolewe asijifanye ajua dini sana kama ni mali mtume wetu Muhammad ajamuoa hadija kisa ni mali alimstri sio sababu ni mali hiyo abdul atumia falak ni shirk hio
😂😂Sheikh WA mchongo. Utamaliza mizizi kuganga huyo Mjinga Diva... Kweli mpambavu kuolewa Na Mjinga Kama wewe, Yani Mimi hata uniroge milele wewe sio mwanaume unaweza hata kuskia yani unakera Muongo muongo kakonda kwa uongo.. Pumbavu😂😂😂😂
Diva huyu mwanaume atakuuwa usipomuacha! Mwanaume anaongea bullshit nyingi sana and anakiburi kingi sana na binaadam yoyote mwenye kibri hana tofauti na ibilisi! Hawezi kukuacha sio kwa sababu anakupenda hapana, hawezi kukuacha because hajamaliza kukutumia pia anajua hujitambui. Inaumiza kumskiliza huyu kaka too much bullshit and kiburi/ ujuaji mwingi! Manipulation is real.
Mzee wa matunguli anaongoza kwa uongo na kuvunja ndoa za watu.ashukuru mungu yupo Tza, angekuwa huku Arabuni anafanya ujinga wake wa kutembea na wake za watu tungekuwa tumeishamsahau siku nyingi.
Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini
😂😂😂😂😂😂
Hata pesa za hospital ulishindwa muongo hakuna dini iliosema kama mwanamke awe na pesa ndo uoe huyo ni tapel mkubwa umesifiwa lini kwani hatu ukiwa hodari chumbani ndo nini haitoshi unatakiwa uqe natabia nzuri uwe unamtuza mke leo zote hizo huna
Nakupenda shemela wangu ila usimuumize mdogo wangu diva buana
Uyu Mwanaume kwa sifa ni sheeeeeedah! 😂😂😂
Umeona eee na Meno yake hayo😂😂
@@rodarichard765😂😂😂kwann meno lakin
Mwanaume kuachwa noma sana
Uyuu ni mganga kichaa
Diva hunijui sikujui lakini apa Hakuna mtu ni hewa.najua wazazi wako penye wako wanahuzunika sana. You are educated and clever girl tafuta class yako please.
Asante Hapa hakuna bwana yani kwa meno Vambire kweli kweli😂😂😂😂King au kivulana hiki muongo huyu
Huyu si mume ni muhuni tu
Nashkur sanaaaaa sanaaaaa sanaaaaa na ww kulijuwa ilooo.. mshenzi tuu huyuu boyaa
@@hazimamohammed1340 hata aibu haoni
safi sana blaza,wanawake wakiambiwa ukwel huwez wangia,so kuwadanganya ndo habar ya mjini,,
Siyo wote baadhi yetu wasojitambuw
Mwanaume kichefuchefu ovyo kbsaa
Hizo ndio zako kujikosha
Mbona sasa Diva ameshakukimbia? Wewe ni wa mlima kitonga kupenda vya mteremko kutoka kwa wanawake wenye pesa.
Safi abdul❤
Chefuuuu sura ndefu kama kisu cha mmasai libaba limenitoka hili
😂😂😂😂😂😂
Nimechekaaaaa leo😂😂😂😂😂
Anatia hata kinyaa kumtizama dume zima limajisifia upuuz
Huyu mshamba anadhani tendo la ndoa ndio njia ya kumtuliza Mwanamke. Hajui kuna vitu vingi vinahitahika katika mahusiano
Labda kwa uchawi hapa hamna kitu Mai dear
Mganga kaja juuu😂😂
Kashampiga mwezake matunguli kisha anasma awezi kwenda kwa mwengine
tapeli umalaya tu, lakini ulivomtenda Diva umenifurahisha mana hajielewi
Hahaha
@@vickydan2869 😁😁😁😁 lamnyoosha kigagula chali
Huyu bwana ana busara safi sana
Mpuuzi huyu busara gani?
@@winnifridaashery4449😂😂😂😂😂
Kamwambie akuoe uone zahma ya dunia.....
Mganga wa mapenzi mbona ndoa zinakushinda
unamfanya sana eee 😂😂😂
Meno km mahindi yaliokosa mvua😅😅😅
😂😂😂😂😂
Mke wangu ninavyomfanya🙈🙈😂😂ndio maneno haya ya kusema mbele za watu ?
Anajitapa ujinga😂😂
Mnafikr sisi hatuangalii mune mwema??? Tunawaza kitandanu tu mfyuuuuu
Mtu gani wa kumpa ushauri mtu huyo mwenyewe muhuni mtu akitaka ushauri ndo kwanza anamtogongaza na wangapi kawatupa msichana mdogo ulimuacha na ukamuoa anamimba naukamkana ukamruka huna jipya watu muwe makini na huyu abdul
Wahuni wenzie wanachukua tu ushauri na wanaona poa
@@minaelnathanael1846 àwasssawSqqqqqqqe
Lakini wangapi wamefikiria nje ya box labda hii ni Kik 😎
😂😂😂kama kawaida za watu wa WCB... Ninashida ya ku så trust
😂😂😂😂nacheka hadi hatari
😎😎😎😎
Meno km mahindi yalokosa mbolea
🤣🤣achakuniuwa nachekomiye😂
🤣🤣🤣
@@uwimanacitegetse9926 🤣🤣cheka ndugu yangu uongeze uhai hawa wanaume wasituchokeshe na maisha
Boraaa kabisaa umemwambia😅😅😅😅😅
Anavyo mfanya?! Huyu ndio sheik wenu??
Nilidhani nimepata mchongo kumbe nimepata mchongomaa
Uyu kka cjui yupoje😂
Uko na ujinga
Dume linakera mmh
Huyu ndo bwege kabsa hajitambui
Ache kujitetea kwahio mwana mke akiwa maskini dini inasema asiolewe asijifanye ajua dini sana kama ni mali mtume wetu Muhammad ajamuoa hadija kisa ni mali alimstri sio sababu ni mali hiyo abdul atumia falak ni shirk hio
Huyu kaka mh
Mshikina huyo
Huna lolote umeoa umeolewa unakaa kwa mwanamke
Usha haribu mwanaume ajibizani na wanawake ili kuwa jibu tosha kukaa kimya si uliona kwa yule jamaa na joyce kiria
yani huyu mganga hajitambui hata kidogo, halafu vyote alivyoangalia anaonekana kichwani hewa
Hata hivyo alivumilia kuishi na diva mwaka me namwonaga mchafu yale mawigi yananuka Kama kibibi
Hakuna Understand Wala understood wewe laghai
my wife she is a perfect, ( use pronoun and noun at the same time)
My wife, she is perfect. As long as ameweka koma it means ameinua upya sentence. Asingeweka pause ingekuwa ukakasi msikilize vzur,
@@fikiriseleman3460 iyo , inawekwaje kwenye verbal, that is not grammar bwana
Au ni English grammar ya tz maana mie nimesoma Marekani
😂😂😂😂darasa linehamia hapa
@@prettynayally2177 😀😀
Mchawi mtupu, hovyo
Awo ndo wanaume weupe bwana 😂🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe unachojua ni kumfanya tu bwege wewe tafuta pesa mtunze mkeo eti kumfanya amekuwa kazi ndiyo ungangane kuifanyai mscccsfyyuuuu😏
😂😂Sheikh WA mchongo. Utamaliza mizizi kuganga huyo Mjinga Diva... Kweli mpambavu kuolewa Na Mjinga Kama wewe, Yani Mimi hata uniroge milele wewe sio mwanaume unaweza hata kuskia yani unakera Muongo muongo kakonda kwa uongo.. Pumbavu😂😂😂😂
Hahahaha
Mzinifu mkubwa wewe
Diva huyu mwanaume atakuuwa usipomuacha! Mwanaume anaongea bullshit nyingi sana and anakiburi kingi sana na binaadam yoyote mwenye kibri hana tofauti na ibilisi! Hawezi kukuacha sio kwa sababu anakupenda hapana, hawezi kukuacha because hajamaliza kukutumia pia anajua hujitambui. Inaumiza kumskiliza huyu kaka too much bullshit and kiburi/ ujuaji mwingi! Manipulation is real.
A narcissist man 😢
Mbwa wewe
🍆 na 🥊?
Atakuwa shoga anatafunwa tafuta pesa
Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini
Safi sana baba la baba hata kama watatuacha tuwafanye hadi wasisahau mpaka wakiingia makaburini