EXCLUSIVE: FAIZA ALLY Amwambia Sugu mimi mwenyewe nimechoka Vita, Nimechoka kuwa Maadui/Haina faida

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 1.2K

  • @fefenailsandmakeup1353
    @fefenailsandmakeup1353 4 ปีที่แล้ว +61

    Tunaomuelewa faiza tunainjoy, kweli tumeumbwa tofuti hatuwezi kua sawa, na hii ndo linakamilisha neno ubinadamu...tuchukuliane tulvyo, love you faiza

  • @meredouble9897
    @meredouble9897 4 ปีที่แล้ว +18

    Who else cried like me when faiza was giving Baba Sasha a direct message of forgiveness. This woman is so real just like me, I just love her.

  • @eileengift7836
    @eileengift7836 4 ปีที่แล้ว +384

    Kwa haraka haraka huezi muelewa Faiza ila she is a very good person!

  • @r.nock-the-power3826
    @r.nock-the-power3826 4 ปีที่แล้ว +308

    Aliegunduwa kuwa faiza siku hizi amekuwrembo kama zari like hapa twende sawa

    • @elizabethtossy7115
      @elizabethtossy7115 4 ปีที่แล้ว +1

      Mkwel san

    • @farajalaizer4669
      @farajalaizer4669 4 ปีที่แล้ว +12

      Zari haingii hapo kaka
      Faiza is a true meaning of beautiful habebwi na filter pesa wala make up. She is sooo real

    • @nestageorge8990
      @nestageorge8990 4 ปีที่แล้ว +1

      Mbona sasa katuvalia uchi anakushusha heshima yako zama kwani uko vizuri sana katika entv zako so sio poa hayo mavavi

    • @r.nock-the-power3826
      @r.nock-the-power3826 4 ปีที่แล้ว +4

      @@nestageorge8990 Mavazi siyo tabia unajuwa faiza ni mhangaikaji sana na jinsi watu mnavyo mchukulia sivyo alivyo kabisa

    • @shaniahrachma7767
      @shaniahrachma7767 4 ปีที่แล้ว +3

      faiza ni natural beauty, zari ni fake beauty yaani bleaching skin na more surgery

  • @andrewntezirizaza3831
    @andrewntezirizaza3831 4 ปีที่แล้ว +80

    Kusema kweli sijawahi kuona mwanamke mswahili mkweli na mwenye roho nyeupe kama huyu. Zamaradi ukisoma hii msg naomba connection naye. Harafu Zama shukrani sana kwa Interview safi unazosifanya. Uko juu sana dada yangu.

  • @pendomilinga8574
    @pendomilinga8574 4 ปีที่แล้ว +17

    Jinsi walivokua wanamsema huyu Dada na alivo kumbe tofauti
    Ni muelewa sana,mstaarabu sana ,nimempenda sana

  • @turlinesuzana4890
    @turlinesuzana4890 4 ปีที่แล้ว +462

    Kama unampenda Faiza like apa tujuane

  • @elizalwakatare8070
    @elizalwakatare8070 4 ปีที่แล้ว +17

    Faiza tumefanana vitu vingi sana 😘sema umenizidi hela tu ila kwa kuwa sikati tamaa naamini one day yes 🙏maneno ya mama yako alikua akiniambia mama yangu pia 😍

  • @everinemichael7457
    @everinemichael7457 4 ปีที่แล้ว +23

    Faiza uko smart sana, uko real nakupend ww dada kweli maisha aya usitegemee watu ukijikubali ww inatosha.

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 4 ปีที่แล้ว +246

    Wachache sana wanaoweza kumuelewa faiza, binafsi nampenda sana, mazuri yake na lifestyle yake inanifunza mengi mno....! MAPUNGUFU yake Ni hali ya ki binadamu hakuna aliye MKAMILIFU

  • @bigboyben6932
    @bigboyben6932 4 ปีที่แล้ว +53

    Moja ya interview kubwa early 2020!Good job Zama

  • @danielerasto2111
    @danielerasto2111 4 ปีที่แล้ว +36

    Kama uma umeielewa ii sound track ya uzuni iliyotumika apa nipeni like zangu

  • @gracemichael2225
    @gracemichael2225 4 ปีที่แล้ว +79

    Go faiza umenenepa, umependeza kila la kheri kwenye biashara yako

  • @Khamis-zf6be
    @Khamis-zf6be 4 ปีที่แล้ว +7

    Kutokana na hii interview nimeweza kumjua Faiza kuwa mwanamke mwenye maadili mazuri sana,ela kwenye mavazi tuu ndoo sijapenda.

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 ปีที่แล้ว +81

    Kumbe ulikuwa mwanamke Bora kwa baba Sasha ila wanaume ndo hawaeleweki na kuaminika

  • @btylove1870
    @btylove1870 4 ปีที่แล้ว +71

    The most realistic women in TZ! Faiza I love you mama. Itawachukua mda mrefu sana tena sana baadhi ya waTanzania kukuelewa! Mimi niko na tabia kadha kama zako, watu wengi nyumbani they can't stand me because I'm lving my life.🤷‍♀️ Wananitaga mzungu sana😂😂

    • @amour5535
      @amour5535 4 ปีที่แล้ว +1

      Yani mm kabsa

    • @mwalimbinumar7612
      @mwalimbinumar7612 4 ปีที่แล้ว

      Wachana nao come here dear ahahha

    • @nmosha90
      @nmosha90 4 ปีที่แล้ว +1

      Tuko wengi my dear same as me. I dont give a f.ck maana wa TZ huwawezi.

    • @mwalimbinumar7612
      @mwalimbinumar7612 4 ปีที่แล้ว

      @@nmosha90 mbona Tena

    • @salomemphela878
      @salomemphela878 4 ปีที่แล้ว +1

      Watu hawaelewi tu mtu akiwa real

  • @minahsamiry4459
    @minahsamiry4459 4 ปีที่แล้ว +11

    I love faiza.... The way she explain herself.... Yan yupo really.... I love everything about her

    • @gloriousn6425
      @gloriousn6425 4 ปีที่แล้ว

      Minah Samiry yuko really ❌=yuko real

  • @daniellazaro7506
    @daniellazaro7506 4 ปีที่แล้ว +22

    Such an intelligent woman!! ❤❤❤

  • @samirahabdallah1398
    @samirahabdallah1398 4 ปีที่แล้ว +34

    Huyu Dada ni mkweli sanaa
    Mungu ndo maana anambariki
    Wabongo ni ngumu kumuelewa ila she is very correct

  • @asiaasia8443
    @asiaasia8443 4 ปีที่แล้ว +13

    Mapenzi yanauma sana jamani!faiza alimpenda sana sugu!na bado anampenda sema 2,amechoka kwakuwa tayari sugu kaoa!lakini still bado anampenda sana!na uwezi kumsahau mtu uliyempenda kutoka moyoni, pole sana faiza,

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 ปีที่แล้ว

      Yupo kam mm jaman masikini

    • @niahussein3383
      @niahussein3383 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa mwanamke akipenda anapenda kweli ila kwa maisha ya bongo tunalazimika kuish maisha ya kuigiza

  • @antonykomba6020
    @antonykomba6020 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimempenda Sana FAIZA Ally thru this emotional 'n' very riveting interview, now that things are starting falling into place I can grasp the fact that there was always a method at her madness. Mungu ambariki yeye na mwanae Sasha

  • @wahidakisingo3588
    @wahidakisingo3588 4 ปีที่แล้ว +12

    My Allah protect you ss faiza Ally,,,,,wakati wa mungu ndio wakati sahihi🥀🥀

  • @lindamulisa8142
    @lindamulisa8142 4 ปีที่แล้ว +16

    Wachache ndio hawatakuelewa lkn Mimi nakuelewa sana Mama Sasha! Umenifurahisha pale ulipojua maisha yanatakiwa yaendeleee . Mungu akubariki sana ww na familia yako.😘😘😘😘😘

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 ปีที่แล้ว +49

    Jamaniii faiza anaongea point sana,Mimi nimemuelewa sana,na nimejifunza sana kupitia hii interview yake,halafu nampenda yuko really sana,

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 4 ปีที่แล้ว +10

    ####
    Faiza Ali
    ####
    Giggi money
    Nawapenda Sana hawana kinyongo n watu wakuongea ukweli mtupu

  • @glorymushi6174
    @glorymushi6174 4 ปีที่แล้ว +72

    This two women's is my roll model nawapenda Sana jmn dada zangu😘😘😘

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 4 ปีที่แล้ว +13

    Yaan leo ndo nimemjua vizur Faiza she a good woman..ila mamawakwe loooh! 🙌🙌Mjuage pia mwari wako ni mwanao pia kufanya ivo utaona na mazuri yao pia

    • @masanjamoses493
      @masanjamoses493 3 ปีที่แล้ว

      Da faizza nimekupenda buree umeongea vizuri sana Mungu akufanyie wepesi zaidi kwenye biashara yako

  • @janembwana3339
    @janembwana3339 4 ปีที่แล้ว +11

    Yaani Faiza namwelewa saanaa, yuko vizuri anaishi maishaa yake kama yalivyoo.

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 ปีที่แล้ว +10

    Real clean heart nikija kuona nakupenda bure nikija nitamletea mtoto zawadi anapenda nini be bless

  • @shumycamp8885
    @shumycamp8885 4 ปีที่แล้ว +13

    Woww ktk interview zote this one it was the best na mazunguzo yote kasema ukweli yani yanamsisimko , unatamani yasiishe haya ndio mambo sio unatuletea watu unaona kabisa wanatudanga yani hii nimesikiliza mpaka mwisho za wale wengine yani ukiianza hata hujamaliza in few seconds unabadili.jifunze hapa .well done Faiza .sikuingilii kazi yako but mda mwingine kuna watu u don't need kuwahoji .xxx ✌

  • @rehemafyumagwa8005
    @rehemafyumagwa8005 4 ปีที่แล้ว +3

    Sikuwahi kujua kua Faiza uko smart kiasi hicho, nimekupenda ghafla aiseee. Hongera sana Zama hii ni bonge moja la interview!

  • @shuusimpson6987
    @shuusimpson6987 4 ปีที่แล้ว +8

    Daah nyie mapenzi yanauma😢....nampenda sana huyu dada vile alivyomkweli😘😘

  • @devothafredrick3911
    @devothafredrick3911 4 ปีที่แล้ว +16

    Pole yaliyokukuta da faiza ila pia Hongera sana kuwa mwanamke anayesimama imara

  • @divine6145
    @divine6145 4 ปีที่แล้ว +8

    Du!salute kwako Faiza .....unazidi kuwa mzuri ....nakupenda

  • @innocentswai9329
    @innocentswai9329 4 ปีที่แล้ว +21

    This woman is so real, she is an open book.

  • @wakurumanyaki6369
    @wakurumanyaki6369 4 ปีที่แล้ว +1

    Kiukwel nikiri nimejifunza kitu kupitia maisha yako umenipa ujasiri na nguvu ya kuendelea 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻

  • @florahkimbage9571
    @florahkimbage9571 4 ปีที่แล้ว +10

    Nampenda sana Faiza ni mkweli ni muwazi hajui kuficha hisia zake!!! Vichwa viwili vimekutana Leo💕💕

  • @najma3268
    @najma3268 4 ปีที่แล้ว +13

    Faiza nakupenda sana, kwanza ni mkweli Na hata akiwa Na furaha unaonyesha cyo kukasirika to , Love you so much my dear 😘

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 4 ปีที่แล้ว +12

    Faiza uko real sanaa....nimekupenda sanaaa

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 4 ปีที่แล้ว +9

    Faiza nakupa big up. Mungu aendelee kukupigania dada. Hongera sana piga kazi.

  • @irenengairo8225
    @irenengairo8225 4 ปีที่แล้ว +16

    Unavojitoaga fahamu pusi we kumbe una akili tamu hivyo.. Sasa nimeanza kukupenda wifi angu karibu Makete

  • @candybenardy3110
    @candybenardy3110 4 ปีที่แล้ว +32

    Hii interview katika interview zako zote Zama nimeielewa sana,, Faiza anajieleza vzr sana hata upande wa biashara zake zinaeleweka ❤❤

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 ปีที่แล้ว +3

    Faiza unanifuisha kupigwa ngumi au kofi wewe faiza nikija tutaknywa champeni wewe unafurahisha kweli sana sana una haja kwenda kwa mganga dua lako na mama yako linatosha mungu anasikiliza ubarikiwe sana lv sis be bless

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 2 ปีที่แล้ว +2

    Wangap wamelud hapa baada ya wawil hawa kutokuongea 🤣🤣🤣🤣like zetu hapa

  • @dollarshirima1464
    @dollarshirima1464 4 ปีที่แล้ว +4

    So smart,,, I like you Faiza for sure...uko poa sana

  • @sadaalharthi7317
    @sadaalharthi7317 4 ปีที่แล้ว +23

    Yani we dada faiza nakupenda unajibu maswali vizur hadi raha na kwa uwazi😘😘

  • @ceciliachiunje11
    @ceciliachiunje11 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda mno Faiza,ww ni wa kipekee Watz wengi Wana undani c wafungukaji hivyo ndio maana maisha yetu most of us ni mafupi kwaajili ya undani(unafiki)

  • @fransiskahaule3343
    @fransiskahaule3343 4 ปีที่แล้ว +5

    Maendeleo ya nchi yanaletwa na wananchi wenyewe good faiza..faiza unaakili sana

  • @husnamkwata7431
    @husnamkwata7431 4 ปีที่แล้ว +5

    Daah faiza nimekuskiliza kwa umakini nimekuhurumia ila tu ukweli huwa unaish naamin kuna sku mungu atakufanyieni miujize

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 4 ปีที่แล้ว +60

    Zamaaaaa PLEASEEE weka kimeza with tissues n water!!unao wa interview wote wanaliaa mbona huwafikirii!!

    • @neemaberny3598
      @neemaberny3598 4 ปีที่แล้ว +1

      @Amina Said hiyo tissue kaja nayo aliishika na simu yake hapo pembeni ndio maana anayo mwanzo hadi mwisho..kungekuwa na tissue hapo asingetumia hiyohiyo kufuta kamasi na machozi..

    • @veronicalufingo3513
      @veronicalufingo3513 4 ปีที่แล้ว +2

      neema berny hili suala analipuuza sana cjui kwanin

    • @neemaberny3598
      @neemaberny3598 4 ปีที่แล้ว

      @@veronicalufingo3513 yani nashangaa..

    • @changanikisesa7021
      @changanikisesa7021 4 ปีที่แล้ว

      Interview nyingi za bongo hawaweki tissue ma maji they dont learn😏😏😏

    • @yvonnepeter3487
      @yvonnepeter3487 4 ปีที่แล้ว

      😄😄😄😄🙏

  • @levinamwaila7847
    @levinamwaila7847 4 ปีที่แล้ว +5

    Yes yule ni mbunge nilazima atake mambo yawe sawa na pia anataka heshima....Amani iwe nanyi na baba mtoto wako🙏🏾

  • @judithoyier7100
    @judithoyier7100 4 ปีที่แล้ว +45

    Ni kweli kabisa MTU ambae ushampenda toka moyoni hata iweje huwezi kumchukia.. Imenikuta story kama ya faiza kwenye maisha yangu

  • @korogwetanga810
    @korogwetanga810 4 ปีที่แล้ว +4

    Shukran sana zamaradi na faiza nimejifunza mengi kupitia hii interview

  • @mackynicky8278
    @mackynicky8278 4 ปีที่แล้ว +20

    Kuvaa kwingine duuu, Mungu msaidie ndugu huyu a we na hofu yako

    • @paulinengugi
      @paulinengugi 3 ปีที่แล้ว

      Matako tupu kwa kiti

  • @jamilaathumani7950
    @jamilaathumani7950 4 ปีที่แล้ว +3

    nakuelewa sana kuhusu kumpENda Mtu,,u just like me umeadapt tabia za watu weupe,,pole my dear,,love u more

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuna mambo huwa faiza anayafanya huwa siyafurahi,lakini hayaniuhusu ndivyo alivyo na ni maisha yake,ila pia upande mwingine nampenda sana ni mtu ambaye ni mkweli na muwazi kwa lugha ya wenzetu she very open hongera kwa hilo,zamaradi nakupenda kipindi kizuri interview nzuri, hongera 🤝❤

  • @Jc-wl6yf
    @Jc-wl6yf 4 ปีที่แล้ว +7

    It's so sad bt kikubwa...mjenge urafiki tu kwaajili ya Mtoto

  • @user-zw6ne3qy4s
    @user-zw6ne3qy4s 4 ปีที่แล้ว +8

    Majibu yanaendana na maswali vizuri sana nakupenda faiza big up daa zama😚😙😙

  • @annakiungai3026
    @annakiungai3026 4 ปีที่แล้ว +2

    Fai Fai Fai nakuelewa, na asiekulewa so binadamu. Ni kweli Sugu ameoa lakini Mungu wangu uliyesema watu waoane nisamee tu jamani japo Fai unasema humtaki tena lakini mimi natamani siku moja sjui itoke nini jamani niskie mmerudiana. Mungu naomba upokee dua yangu.

  • @verokasongo9717
    @verokasongo9717 4 ปีที่แล้ว +11

    Faiza huge heart

  • @maryamkhamfar4029
    @maryamkhamfar4029 4 ปีที่แล้ว +12

    Aisee Hongera sana Faiza,namie nimejifunza vitu vingi kutokana na hii interviuw👏👏👏👏❤❤❤

  • @mariamrashid3252
    @mariamrashid3252 4 ปีที่แล้ว +5

    Ooooh umeniliza faiza😭😭wewe ni kweli na muwazi mno yatapita,mtoto atakuwa .

  • @roselyamba
    @roselyamba 4 ปีที่แล้ว +1

    Best Interview ever, Faiza umenifunza God bless you

  • @jamilaathumani7950
    @jamilaathumani7950 4 ปีที่แล้ว +2

    nzuri iadia namim nilikuwa nawazaga ivoivo,,,nikushauli tu apo msingi mkubwa ni uaminifu,,,safi kwakuingia front unajifunza ving sanaa,,mtembea bule si mkaa bule

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 4 ปีที่แล้ว +160

    Ipo siku faiza utarudiana na baba Sasha ndo kinachoonekana hii comment itakuwa kumbukumbu kwako

    • @mwanamisimasanga6281
      @mwanamisimasanga6281 4 ปีที่แล้ว +3

      Begukule Mosobe ,hata mm naona hivohivo,time will tell.

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 4 ปีที่แล้ว +2

      Yaani huyu Mungu hutenda maajabu kwa wakati wake

    • @dorcasmejason9808
      @dorcasmejason9808 4 ปีที่แล้ว +3

      Wewe unaweza kurudiana na mtu ambaye tayar kazaa na mtu mwingine?

    • @jennifermsungu5650
      @jennifermsungu5650 4 ปีที่แล้ว +6

      Tatzo watanzania tuache kukariri Maisha kuwa mke wa ndoa anatakiwa kuvaa nguo ndefu sjui vp Yani huyu bint anampenda Sana sugu uwiii jmn angepata nafas Ange enjoy Sana nakupenda Sana faiza wangu

    • @farajalaizer4669
      @farajalaizer4669 4 ปีที่แล้ว

      Nitafurahi sana

  • @htwwkha2179
    @htwwkha2179 4 ปีที่แล้ว +14

    Sio kila alooa au kuolewa anampenda mwenza wake sana ...na kila aloachana na mwenzie anamchukia x wake sana...ni siri kubwa

  • @hadasahqueen4931
    @hadasahqueen4931 4 ปีที่แล้ว +13

    Faiza I think u've not healed ,bt trust me one day you will be ok just keep yourself busy

  • @restutaluoga9826
    @restutaluoga9826 4 ปีที่แล้ว +2

    Wakati naanza kumfolow hakika sikumuelewa nikaona birthday yk kavaa Pampers Mara akapost chupi iliyotoboka kiukweli alinivuruga ila nilivyojua ni mwanamke wa aina gani namfatilia nampenda sana ongera sana faiza uwe na afya njema

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 ปีที่แล้ว +9

    Mashallah, ntakutafuta mpenzi unifundishe kufanya Biashara, mtaji ninao ndugu yangu.

    • @mandyfitnesstv6738
      @mandyfitnesstv6738 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @tynabeny3898
      @tynabeny3898 4 ปีที่แล้ว

      Njo nkufundshe😀😀😂😂😂

  • @elenestinakomakoma5116
    @elenestinakomakoma5116 4 ปีที่แล้ว +12

    Dah!
    Its amaizing interview
    I love her coz she live her real life wherever she go.....

  • @zebusdaughter8158
    @zebusdaughter8158 4 ปีที่แล้ว +1

    Shukuru sana hapo Muumba anakuonea tu huruma! Yaani kifupi unalilia kwenda ku kufurishwa jamani!! Dada mzuri hivi inakuaje hujielewi unayumba namna hii !! Mwe!!

  • @jenniejennie2235
    @jenniejennie2235 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Faiza Kwa mawaidha yako, usemacho ni kweli kuhusu kujiuza heri uajiriwe na Hela ya Hali kuliko Hela ya haramu.ubaguzi wa Rangi no ukweli

  • @happyobadia5407
    @happyobadia5407 4 ปีที่แล้ว +5

    Dah faiza unaupendo wa agape... Nakuelewa sanaaa

  • @afrigrowers
    @afrigrowers 4 ปีที่แล้ว +20

    i luv you faiza na zama Allah awajalie kila kheir nawapenda zaidi ya sana.ila zama one day nawewe tafuta mtu akuhoji au iwe kama Q/A ruhusu watu waulize maswali afu ujibu

  • @zubedaselemani6220
    @zubedaselemani6220 4 ปีที่แล้ว +1

    I love u dada faiza soo much kupitia hii interview nimejifunza vingi❤❤❤

  • @dullayunusu8684
    @dullayunusu8684 4 ปีที่แล้ว +2

    Duuhhh huyu mother mungu atadili nae huko alipo why akikufanyia hivi 🤔 🤔 🤔#acha maisha yaendelee 🕺🕺 🕺

  • @jamilaathumani7950
    @jamilaathumani7950 4 ปีที่แล้ว +12

    mmmh naona idadi ya masingle mother inazid kuwa kubwa like me#mamakubwa,,,tujuane single maza kama mim jaman

  • @marrysiphaeli8482
    @marrysiphaeli8482 4 ปีที่แล้ว +4

    Hawa ndiyo watu wa kuwafanyia interview siyo wale wenzangu na mie hawara wa majizo ..... siwezi kuliongelea"":good faiza

  • @violetcyprian7482
    @violetcyprian7482 4 ปีที่แล้ว +2

    Faiza nakupenda sana we mwanamke mpambanaji sana keep it up mamyy

  • @salamanhonya9677
    @salamanhonya9677 2 ปีที่แล้ว

    Faiza una roho nzuri sana. MUNGU Atakulipa upendo wako hautapotea bure.

  • @egdearaaron1086
    @egdearaaron1086 4 ปีที่แล้ว +14

    Some time wake wa pili wanakuwaga na vilanga uwii nisameheni to wenye tabia kama za happy pole sana faiza japo wengi watakuona chizi but ukweli ndo huo

  • @nataliekamaka1298
    @nataliekamaka1298 4 ปีที่แล้ว +20

    Mi naona ss tunaopenda bila sababu maybe tuanze kupenda wazungu wabongo hawapendeki

  • @nunijumanne5330
    @nunijumanne5330 3 ปีที่แล้ว +1

    How can you let a woman love you like this..comeon SUGU😜😜😜uzuri upo rangi ya chungwa mashallah

  • @magrethelias8734
    @magrethelias8734 4 ปีที่แล้ว +1

    Sijawah ku comment ila Faiza nakupenda uko really sanaa

  • @mgesibabere4743
    @mgesibabere4743 4 ปีที่แล้ว +28

    She's good person, anafanya kazi kwa bidii mzuriii, kama ni mapito naamini kila binadam anapitia sio mkamilifu

    • @annapantaleo5
      @annapantaleo5 4 ปีที่แล้ว

      Nakupenda sna faiza ulivyokuwa muwazi mpk nimelia na me pia

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 4 ปีที่แล้ว +72

    HII INTERVIEW NILITAMANI ISIISHE , ANDAENI TENA KWA SIKU NYINGINE IWE NA PART 2 .

  • @rehemaedson5732
    @rehemaedson5732 4 ปีที่แล้ว +31

    Kwa ukweli Faiza ni mdada mpoa sana hakika kwa wale wanaomuelewa Mungu akusaidie katika maisha yako

    • @chitamawichita4949
      @chitamawichita4949 4 ปีที่แล้ว

      She's a great inspiration,keep it up Faiza!

    • @qweenammy7036
      @qweenammy7036 ปีที่แล้ว

      Faidha dada angu ni kweli mtu anapumbazwa asimjue mwanae

  • @jestinakanji8168
    @jestinakanji8168 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimekuelewa sana faiza unaishi maisha na mapito kama yangu

  • @halimakassim.6851
    @halimakassim.6851 4 ปีที่แล้ว +6

    Aisee Zama this is the best interview.

  • @jenniferrobartrobart2386
    @jenniferrobartrobart2386 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakuelewa sana Faiza ww ni mpambanaji 😍😍

  • @tatukarume6140
    @tatukarume6140 9 หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda faiza kwakumuomba msamaha mzazi mwenzio munapendana sana

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 4 ปีที่แล้ว +24

    Nimekubal, ukimpenda mtu huwez kumsahau ht kdg ht akikufanyia kitu Gan...

    • @annaamani9626
      @annaamani9626 4 ปีที่แล้ว

      Vitu vingi alivyopitia faiza ktk ndoa yake vinaendana na vyangu kabisa daah akina mama mkwe huwa wanasahau kuwa na wao wanawatoto wa kike

  • @luvisa2472
    @luvisa2472 4 ปีที่แล้ว +23

    Yes you love him but you need to stop talking about him and swallow your pain. Atakua anajibost kwa wanaume wenzake na kujiona kuwa he is the only man for you and he is going to control you mentally. Enough is enough close the chepter and stop talking as if he a saint.

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 4 ปีที่แล้ว +4

    Kids are Angel's sent , safi sana Sasha kwanza mama yako mzuri saaana hata huyo anayemlilia hawaendani naye..Faizza I'm sure you're husband is somewhere tena mzuri kuliko , atakupenda na kukuheshimu keep on praying God atakuonyesha mmeo. Love you . Wewe ni mzuri saaana huwa nashangaaa saaana kwa nini Joseph all the time

  • @sakinamohamedi2396
    @sakinamohamedi2396 2 ปีที่แล้ว

    Mama sugu alikuwa anaroho nzuri sana niliwahi kukaa kwakwe sayi mbeya alinipenda sana

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 4 ปีที่แล้ว

    FAIZA ALLY💖💖...Hujui kufake, ndo mana NAKUPENDA NA NAKUELEWA SANA..Hauishi kwa ajili ya kufurahisha watu..JUST YOU & U'R OWN WORLD✔✔✔

  • @rehemakatabi8137
    @rehemakatabi8137 4 ปีที่แล้ว +10

    Watu wanaofunguka hawaweki mambo vifuani mwao hufanikiwa sana namuona Faidha mbali kwa moyo alionao coz ni mtu move on ....sometimes kuongea kinachokukwaza unapona haraka

    • @winifridamaduga3623
      @winifridamaduga3623 4 ปีที่แล้ว

      Rehema Katabi faiza namimi nashida nawewe nakupataje my ajenda kuu bisharaa namba zangu hizo hapa 0744 925554

    • @rehemakatabi8137
      @rehemakatabi8137 4 ปีที่แล้ว

      @@winifridamaduga3623 nakuchek no yangu inaishia 25

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 4 ปีที่แล้ว +8

    Wanaume Bana yaani ana pesa ya nauli kutoka marekani mpaka Tanzania lakini matumizi ya mtoto mpaka muchange

    • @tynabeny3898
      @tynabeny3898 4 ปีที่แล้ว

      Rahill Hamidu 😂😂😂😂😂😀😀😀shangaa apo

  • @uwitekamimy3431
    @uwitekamimy3431 4 ปีที่แล้ว +1

    Da Zama umenimaliza eti Sugu amekupa nini Faiza daah!?
    Nawapenda sana Da ZAMA & FAIZA ❤😘

  • @mariammgeni8830
    @mariammgeni8830 4 ปีที่แล้ว +1

    Bora wewe unajielewa unapambana..kuliko wale wengine wanasubiri chibu awakodie tren . Awatoe ufahamu ili mradi tu..hongera sn faiz