Dunia I kote ndivyo ilivyo kwakuwa unaruhusiwa kudeduct kwenye fina tax yaani wakati unalipa Kodi ya mapata we acha kudanganya watu ajirini wahasibu vijana wengi wamesoma uhasibu wawatunzie kumbukumbu za mauzo na matumizi
Poa zihesabu zote kwa Jumla basi sio issue kuhesabu issue uwingi wa kodi 25 import duty 18 vat input 4 railway development Wharphage Release Maelewano Clearing agent Rent Transport charges Utilities Workers Nssf Wcf Taka Fire Business licence Tax clearance cerficiate Interest on loan Then income tax on profit Pale pia Maelewano rushwa
Hapo upo na watu wengi wanakusifia lakini nchi hii ukitoka hapo tayari uhuru wako umeisha kinachofuata ni kukupekua hadi ufiisike kama sio kupata kesi ya jinai kuwa na kiasi unapo ongekea mambo binafsi na ya viongozi wa Serikali
@@bcozhenry2698 hakuna aliyekatazwa kusema ila unasema nini Kwa maslahi ya nani na Kwa nini ulisema hayo utayakuta ukiwa kwenye chumba cha mahojiano, tueleze nani alikutuma
@@simonsadala2386 hayo maswali huwa yanajibiwa na Mungu inapotokea kuna waliolewa kodi ya taifa na kuhisi wao ni bora kuliko Muumbaji wa hao wanaolalamika!
Mpaka watu wamefikia hv ,ujue mwamechoka hali sio nzuri.
Mwigulu unatushangaza sana,ondoa hii tozo ya kukatwa hela unapotaka huduma ya NMB mobile bank kwa kutuma hela au kuangalia salio hii si sawa.
Asante kwa kutuwakilisha kaka
Safi
Safi sana
mwi guru Ando ke
Ninampa week 2 tu mwigulu nchemba atatumbuliwa.
Na mwingu tunakuakiishia ukiingia tena bungeni labda dunia ipasuke ndipo utaingia bungeni
Assnte kwa kutuwakilisha❤
Inaumiza sana
Kabisaaaa
Mmesahau Hotel levy . Eti 10% ya mauzo
Eti sijui mbwai.
Huyu jama anajua
Maaninaa Mwigulu angejiuzulu leoo lakin kwa sababu anashare hisa na akina Musoga hatoki
Watu wamechoka....Mwiguru ni kibaka sijui!!!!!!
Uyu mzee achongewe mnala wake
Watu,wanamaumivu makubwa sana,watendaji nishida,hawana huruma!kabisa
Mama yetu samia makufuli alimfukuza uyo waziri nchemba kwenye uwaziri twakuomba fukuza kamata utajiri wake
Mama samia ana kazi ya kufanya kubwa sana
Makuful na mgulunchemba
Ana udoctor wowote uyo labda udoctor wa ujambazi pamoja na rushwa eti doctor kuna doctor mwenye roho mbaya kama mwingulu duniani
Mnafer mbna video inaganda
Funguka kaka
Watu wamechoka jmn maumivu tu kila kona wezi jmn
Haaaaa watu wameumizwa
Toa ya moyon kaka
Serikali Bado inanuka rushwa tu.wachane makavu
Mwigulu atuacheee
mwi guru mwizi
Dunia I kote ndivyo ilivyo kwakuwa unaruhusiwa kudeduct kwenye fina tax yaani wakati unalipa Kodi ya mapata we acha kudanganya watu ajirini wahasibu vijana wengi wamesoma uhasibu wawatunzie kumbukumbu za mauzo na matumizi
Poa zihesabu zote kwa Jumla basi sio issue kuhesabu issue uwingi wa kodi
25 import duty
18 vat input
4 railway development
Wharphage
Release
Maelewano
Clearing agent
Rent
Transport charges
Utilities
Workers
Nssf
Wcf
Taka
Fire
Business licence
Tax clearance cerficiate
Interest on loan
Then income tax on profit
Pale pia Maelewano rushwa
Hilo ni jipu kabisa tena bonge la jipu
Hapo upo na watu wengi wanakusifia lakini nchi hii ukitoka hapo tayari uhuru wako umeisha kinachofuata ni kukupekua hadi ufiisike kama sio kupata kesi ya jinai kuwa na kiasi unapo ongekea mambo binafsi na ya viongozi wa Serikali
Mtazamo wako ni wa kuabudu watu, ifike pahala watu waseme tu hata kama watasulubiwa, kwani tayari wamesulubiwa bila hata kusema
@@bcozhenry2698 hakuna aliyekatazwa kusema ila unasema nini Kwa maslahi ya nani na Kwa nini ulisema hayo utayakuta ukiwa kwenye chumba cha mahojiano, tueleze nani alikutuma
@@simonsadala2386 hayo maswali huwa yanajibiwa na Mungu inapotokea kuna waliolewa kodi ya taifa na kuhisi wao ni bora kuliko Muumbaji wa hao wanaolalamika!
ukiona watu wanasema hivyo ujue watu wamechoka hawaogopi na bora wasema kuliko kukaa kimya na binadamu muogope MUNGU tu sio binadamu
Amtoe huyo wazili mbona magum ayati magum alimtoa mama mtoe hatumtaki
Hawezi kumtoa kwa kuwa ni kundi moja!
Safi wa tanga
Tanga alubadili imeandaliwa