Njia za Mungu hakika hazichunguziki! Asante Mungu kuhurumia uzao wetu Arusha kwa kumtumia mtumishi wako Paul Makonda! Utukuzwe daima na ukamzidishie baraka zote mtumishi wako🙌🙌🙌
Mungu azidi kukujalia maisha marefu,sioni wa kumlinganisha na Makonda,Ana upendo wa dhati kwa jamii anayoisimamia .Vijana wengi wanakatishwa tamaa na walio na nafasi zao, Mungu akubariki sana P, Makonda
Huyu makonda mm naona ikimpendeza mungu mwakani agombee ubunge mama ampe uwaziri awatumikie watanzania wote,,,hii ya kumpa nafasi ya mkoa bado watanzania wengi wanakosa utumishi wake kwa kweliii!!
❤❤ nikiwaa arushaa sakinaa nawapataa vizuri mungu wa mbinguni akutunze makondaa akupe maisha marefu na familiaa yako tunatarajia mengi na mazuri zaidi malaikaa wa ulinzi akutunzee
Kuna wakati unapita pagumu mpaka watu wanakuona kichekesho wanachekaaaa halafu kuna siku moja tu MUNGU anazima kicheko anaamsha heshima wanakuheshimu jamani acha MUNGU afanye njia pasipo na njia
Vijana wetu watapona kupitia baba makonda Wana karama nyingi Sana Ila upendo ndo ulikuwa unasababisha wapoteee Vipawa ni vingi wakipendwa na kusaidiwa kufikia hatima zao
Yaani, Yaani, Yaani ni kama Mungu alimpa makonda hili wazo kwa ajili ya huyu mwamba, Yaani fanya yoooote lkn Mungu alikuwa anamtafuta huyu, ona ona ona, THANKS GOD, THANKS PAPAA, ASANTE MAANA HATA HAPA NILIPO NI WEWE ULIYENIFANYA NIWE, THANK GOD
Njia za Mungu hakika hazichunguziki! Asante Mungu kuhurumia uzao wetu Arusha kwa kumtumia mtumishi wako Paul Makonda! Utukuzwe daima na ukamzidishie baraka zote mtumishi wako🙌🙌🙌
Safi kijan
Mungu ni yupo jmn tusikate tamaa Rc makonda mungu akulinde siku zote
Ahsante Mungu kumleta mtumishi wako Pau Makonda Allah muweza wa yote 🤲✅🇹🇿
Mi nataman sana nikutane na Mh Makonda nisalimiane nae2,Maana huyu ni zaid ya Nabii❤❤❤ I love him so much❤❤❤
Uyu rasta aki ameuwa mkuuu, respect sana kaka
Kila mtu anamapungufu yake lakini Mh.paul be blessed
Mungu azidi kukujalia maisha marefu,sioni wa kumlinganisha na Makonda,Ana upendo wa dhati kwa jamii anayoisimamia .Vijana wengi wanakatishwa tamaa na walio na nafasi zao, Mungu akubariki sana P, Makonda
RC MAKONDA 🎉 many Africans need you buddy...🙌🏾, few icons like you are born 😢
Huyu makonda mm naona ikimpendeza mungu mwakani agombee ubunge mama ampe uwaziri awatumikie watanzania wote,,,hii ya kumpa nafasi ya mkoa bado watanzania wengi wanakosa utumishi wake kwa kweliii!!
True!
Walio rudia kuangalia zaid ya mara 2 like hapo
Arusha imebarikiwaaa
Makonda baba yetu umebarikiwa
Wakati wa bwanaa ukifikaa umefikaaa niwakati wako kaka kupataa hizo barakaa mungu awabariki makondaa na mtumishi waa mungu kazi nzuri
Makonda namwelewa sana Mungu akubariki mdogo wangu
Muheshimiwa Paul Makonda Abarikiwe Huyu ni Rais NASEMA NIRAIS WA NCHI ❤❤
Nimeliaa sanaaa daaaa!! MUNGU ambarikiii na aendelee kumuinuaa juu zaidi
Mnajuwa MUNGU bhana akiamua akuinue kutoka matopeni haichukui hata sekunde
Ni kweli ndugu yangu cha msingi tunyenyekee hatuwezi kujua mlango wa MUNGU sio ule tunaotarajia sisi
Wala haitaji ushauri wa yeyote
Mr Makonda,, your are HERO, arusha is GLOWING 🎉
Mungu ni mkuu nimejikuta nalia be blessed kwa waandaaji
Sasa hapo kinakuliza nn
Kijana yy anakipaji sema ni mlevi hana sumu
Mlevi mmoja on the stage
Tunaweza ku fix meno na kunyoa nywele
Wakati wa mungu ni wakati sahihi sana
Napenda sana arusha nixingewa zanzibar ningekuja nawapenda sana wana arusha nakupenda sana kaka makonda
❤❤ nikiwaa arushaa sakinaa nawapataa vizuri mungu wa mbinguni akutunze makondaa akupe maisha marefu na familiaa yako tunatarajia mengi na mazuri zaidi malaikaa wa ulinzi akutunzee
Kuna wakati unapita pagumu mpaka watu wanakuona kichekesho wanachekaaaa halafu kuna siku moja tu MUNGU anazima kicheko anaamsha heshima wanakuheshimu jamani acha MUNGU afanye njia pasipo na njia
Amen kweli 🙌
Makonda Mungu akutunze Siku Zote....Samia usituondolee Makonda wetu tafadhali
Mungu akupe maisha marefu Paulo Makonda
The man is Talented, Sema alivotoka Meno na Familia Ikatoka.😂😂😂
Vijana wetu watapona kupitia baba makonda
Wana karama nyingi Sana Ila upendo ndo ulikuwa unasababisha wapoteee
Vipawa ni vingi wakipendwa na kusaidiwa kufikia hatima zao
I like what RC is doing. Be blessed always
Big up Mh. Brother Paul Makonda Mungu Akulinde Huko Uliko..
Nimeangalia zaidi ya Mara moja uyu jamaa anajua sana
Ndoto za MTU hazitazimika hata kama atachelewa haijarishi atapita katika mazingira Gani God bless you my brother makonda
ARUSHA CHANGAMKENI KUITUMIA NA KUITUNZA HII LULU INAYOITWA MAKONDA.❤❤❤
Kama unaamini gonga like hapo...
Hongera sana makonda kwa maono yako makubwa mungu kurinde sana.
Kilichoko moyoni mwangu ni Shukrani tu..MUNGU akubariki Kaka Makonda
Waooo huu ndo upendo wa Kristo❤️❤️ Mungu akubariki makonda wetu ...jamani hii sikusikia imenipita🙆
Ukristo umekujajeapo tena
Ohhhhhhh asante mtoto wangu..nimelia kbs jamaniiii.watoto vipawa vixuriiii❤
Yaani, Yaani, Yaani ni kama Mungu alimpa makonda hili wazo kwa ajili ya huyu mwamba, Yaani fanya yoooote lkn Mungu alikuwa anamtafuta huyu, ona ona ona, THANKS GOD, THANKS PAPAA, ASANTE MAANA HATA HAPA NILIPO NI WEWE ULIYENIFANYA NIWE, THANK GOD
mbona makonda anafeel kuliaa...kama umeona weka like kubwaa sn
Churchill anajua sana kuhoji ile namna ambayo anayehojiwa atajikuta anajibu tu bila kupanic BRAVO CHURCHILL 👏
Love you merciful man, Sir Makonda.
More than many pastors.
So touching aisee......🙌🙌🙌🙌🙌
Veeery encouraging for sure
Upendo mkuu,❤❤❤
Kweliiiiiiiii nimelia kwa furahaaa
safi Arusha tuna logo yetu when it comes to language swagger Iko poa mazee!!
Haaisee😂❤ God bless you akunyoshee njia zaidi
Muheshimiwa Makonda Mwenyezi Mungu akutunze
Made me shade tears 😢
Nakupenda sana kaka yangu mh makonda mungu akubariki saana nimehisi kulia watu wengi wanapotea kukosa mwelekeo
Makonda umetisha Mungu akulinde akupe maisha marefu udumu Arusha
Nakuona juu mr presdent makondo
Ni kweli Makonda kafanya kazi kubwa lakini tutambue pia mchango wa churchill jamani. Yeye ndo kasababisha hayo yote kwa huyo jamaa
mm namkubali mmakonda sana natamani sana sikumoja ata nionge nae
Mungu akuongezee kipaji kaka
Makonda mungu akubaliki una kitu kikubwa kwa watanzania hongela sana.
Mungu ni wa wote wenye mwili
Hivi huyu makonda siyo nabiii kweli maana kuna mda naona ni kama neema imeshuka
Yani makonda anamtegemea MUNGU nahisi ndo mana mambo yake na matendo yake yana make sense kuliko viongozi wengine wengi hapa Tanzania
Hata Mimi nikikaa chini uwa nawaza makonda nimtu alie tumwa na mungu Arusha
Hakika
Long live R C makonda
Ni kweli jamani ametumwa na MUNGU ukiona hivyo ujue analia na MUNGU sana huyu mtu haiwezekani kirahisi
RC Makonda, wewe ni kiongozi special
Kiongozi wa kweli.
Tears of happiness
Hata mimi nakiri Huyu Mungu ni kweree sana, hanaga maujuaji, anakuambia tu wewe pita huku
Makonda ubarikiwe sana
Touched story🥲
Hii ni baraka, barikiwa RC
Whatever to be Said, Ila Makonda is a Talented Leader.
Natamani mheshimiwa makonda siku Moja aje kuwa Rais wa nchi hii maana ni creative sana na mbeba maono.
Nimelia saaana ..
Mbegu ya mungu haipotei
Upo vzr jamani achilia gospel hiyo jmn😂
Safi sana Makonda
Makonda sio mshamba ni mtoto wa mjini hapendi uheshimiwa yy ni full vibe yan
Prophet makonda ❤❤
Huyo apo juu ni kwereee😂❤
RC MAKONDAAAAAAAA I LOVE UUUUUUU MKUUUU WEWE NI MTUMISHI WA Mungu baba....
Watoto wako wapatebraha maishani
Kukatishana tamaa ndio shidaaa ila kwa neno lako umesema na imekuwa baba in Jesus name
Stay blessed RC Makonda
Wakati wa mungu ndio waķati sahihi
This is JPM in making, wa Tanzania mark this guy called Makonde. Akiingia uongozini atawasaidia
PT big up...
Gods plan🙏🙏🙏🙏
It is real touch me
Amen 🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪
Wakati wa Mungu ukifika umefika
Safi sanaa
mhesh miwa hongera sana hakuna kama ww
very nice indeed
😢😢 familia nilipotoka meno na yenyewe ikatoka
😊😊😊
Mh Makondo natamani uwe waziri mkuu... Jamani Mh Rais muone Mh Makondo anastahili kuwa waziri mkuu
Aiseeeee Mungu yupo
Amina
Ubarikiwe sana
KIGOMA kweli ni kwere kwerere mpaka mburu
Makonda 🎉
Arusha ngoma imepata mpigaj...Mh Makonda ni mzee mkubwa wa vijana wa Arusha.
Oyaaaa uyu mr kipaji anachoo
True
Hee huyu baba wa Churchill kumbe kaja huku tz ahahaha basi hii itaku
🆙️🆙️🆙️Arusha...🇹🇿
Simple tubRudisha meno watarudi😂😂😂
Labda the Show was just for that one person's life to be changed.
Alleluya❤
Nice
Kumbe nmeulza wimbo kabla ya kumalza kusikilza mana nikwele
🙏🙏♥️
Nice