KIJANA WA ARUSHA ATIKISA CHURCHIL SHOW, AAHIDIWA MAKUBWA NA MAKONDA PAMOJA NA PASTOR TONNY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • #uhondotv #uhondo

ความคิดเห็น • 142

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 หลายเดือนก่อน +31

    Njia za Mungu hakika hazichunguziki! Asante Mungu kuhurumia uzao wetu Arusha kwa kumtumia mtumishi wako Paul Makonda! Utukuzwe daima na ukamzidishie baraka zote mtumishi wako🙌🙌🙌

  • @RichMapesa-st9cc
    @RichMapesa-st9cc หลายเดือนก่อน +39

    Mungu ni yupo jmn tusikate tamaa Rc makonda mungu akulinde siku zote

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 หลายเดือนก่อน +8

    Ahsante Mungu kumleta mtumishi wako Pau Makonda Allah muweza wa yote 🤲✅🇹🇿

  • @EddoEdwin
    @EddoEdwin หลายเดือนก่อน +7

    Mi nataman sana nikutane na Mh Makonda nisalimiane nae2,Maana huyu ni zaid ya Nabii❤❤❤ I love him so much❤❤❤

  • @giugliojuma4600
    @giugliojuma4600 หลายเดือนก่อน +12

    Uyu rasta aki ameuwa mkuuu, respect sana kaka

  • @hellenwilliamwilliam8256
    @hellenwilliamwilliam8256 หลายเดือนก่อน +20

    Kila mtu anamapungufu yake lakini Mh.paul be blessed

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu azidi kukujalia maisha marefu,sioni wa kumlinganisha na Makonda,Ana upendo wa dhati kwa jamii anayoisimamia .Vijana wengi wanakatishwa tamaa na walio na nafasi zao, Mungu akubariki sana P, Makonda

  • @manpierre571
    @manpierre571 หลายเดือนก่อน +9

    RC MAKONDA 🎉 many Africans need you buddy...🙌🏾, few icons like you are born 😢

  • @KeaOthmani-h8e
    @KeaOthmani-h8e หลายเดือนก่อน +17

    Huyu makonda mm naona ikimpendeza mungu mwakani agombee ubunge mama ampe uwaziri awatumikie watanzania wote,,,hii ya kumpa nafasi ya mkoa bado watanzania wengi wanakosa utumishi wake kwa kweliii!!

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 หลายเดือนก่อน +41

    Walio rudia kuangalia zaid ya mara 2 like hapo

  • @DevothaMushi-o1s
    @DevothaMushi-o1s หลายเดือนก่อน +20

    Arusha imebarikiwaaa
    Makonda baba yetu umebarikiwa

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 หลายเดือนก่อน +4

    Wakati wa bwanaa ukifikaa umefikaaa niwakati wako kaka kupataa hizo barakaa mungu awabariki makondaa na mtumishi waa mungu kazi nzuri

  • @DaudNtare
    @DaudNtare หลายเดือนก่อน +9

    Makonda namwelewa sana Mungu akubariki mdogo wangu

  • @stanleyjoely6508
    @stanleyjoely6508 หลายเดือนก่อน +1

    Muheshimiwa Paul Makonda Abarikiwe Huyu ni Rais NASEMA NIRAIS WA NCHI ❤❤

  • @JanetJairos
    @JanetJairos หลายเดือนก่อน +4

    Nimeliaa sanaaa daaaa!! MUNGU ambarikiii na aendelee kumuinuaa juu zaidi

  • @CRAZY_HUSTLE_255
    @CRAZY_HUSTLE_255 หลายเดือนก่อน +23

    Mnajuwa MUNGU bhana akiamua akuinue kutoka matopeni haichukui hata sekunde

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli ndugu yangu cha msingi tunyenyekee hatuwezi kujua mlango wa MUNGU sio ule tunaotarajia sisi

    • @gracekasambala4712
      @gracekasambala4712 หลายเดือนก่อน

      Wala haitaji ushauri wa yeyote

  • @Remtul-u3d
    @Remtul-u3d หลายเดือนก่อน +5

    Mr Makonda,, your are HERO, arusha is GLOWING 🎉

  • @paulinaobiria9649
    @paulinaobiria9649 หลายเดือนก่อน +18

    Mungu ni mkuu nimejikuta nalia be blessed kwa waandaaji

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 หลายเดือนก่อน

      Sasa hapo kinakuliza nn

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 หลายเดือนก่อน

      Kijana yy anakipaji sema ni mlevi hana sumu

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 หลายเดือนก่อน

      Mlevi mmoja on the stage

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 หลายเดือนก่อน

      Tunaweza ku fix meno na kunyoa nywele

  • @HASSANIMSALA-z9j
    @HASSANIMSALA-z9j หลายเดือนก่อน +18

    Wakati wa mungu ni wakati sahihi sana

  • @MohamediMrisho-rn9xx
    @MohamediMrisho-rn9xx หลายเดือนก่อน +5

    Napenda sana arusha nixingewa zanzibar ningekuja nawapenda sana wana arusha nakupenda sana kaka makonda

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤ nikiwaa arushaa sakinaa nawapataa vizuri mungu wa mbinguni akutunze makondaa akupe maisha marefu na familiaa yako tunatarajia mengi na mazuri zaidi malaikaa wa ulinzi akutunzee

  • @karibunyumbani3824
    @karibunyumbani3824 หลายเดือนก่อน +10

    Kuna wakati unapita pagumu mpaka watu wanakuona kichekesho wanachekaaaa halafu kuna siku moja tu MUNGU anazima kicheko anaamsha heshima wanakuheshimu jamani acha MUNGU afanye njia pasipo na njia

    • @TumainiAkyoo
      @TumainiAkyoo หลายเดือนก่อน

      Amen kweli 🙌

  • @AminaMollel-cd9mb
    @AminaMollel-cd9mb หลายเดือนก่อน +3

    Makonda Mungu akutunze Siku Zote....Samia usituondolee Makonda wetu tafadhali

  • @HappinessJohn-er2dg
    @HappinessJohn-er2dg หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akupe maisha marefu Paulo Makonda

  • @majaliwagibson7295
    @majaliwagibson7295 หลายเดือนก่อน +2

    The man is Talented, Sema alivotoka Meno na Familia Ikatoka.😂😂😂

  • @DevothaMushi-o1s
    @DevothaMushi-o1s หลายเดือนก่อน +14

    Vijana wetu watapona kupitia baba makonda
    Wana karama nyingi Sana Ila upendo ndo ulikuwa unasababisha wapoteee
    Vipawa ni vingi wakipendwa na kusaidiwa kufikia hatima zao

  • @CharlesWilliam-iz3fz
    @CharlesWilliam-iz3fz หลายเดือนก่อน +2

    I like what RC is doing. Be blessed always

  • @mrok4733
    @mrok4733 หลายเดือนก่อน +3

    Big up Mh. Brother Paul Makonda Mungu Akulinde Huko Uliko..

  • @ElishazephaniaLaizer
    @ElishazephaniaLaizer หลายเดือนก่อน +3

    Nimeangalia zaidi ya Mara moja uyu jamaa anajua sana

  • @Majaliwa2024
    @Majaliwa2024 หลายเดือนก่อน +2

    Ndoto za MTU hazitazimika hata kama atachelewa haijarishi atapita katika mazingira Gani God bless you my brother makonda

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 หลายเดือนก่อน +2

    ARUSHA CHANGAMKENI KUITUMIA NA KUITUNZA HII LULU INAYOITWA MAKONDA.❤❤❤
    Kama unaamini gonga like hapo...

  • @KulwaStephano-s6p
    @KulwaStephano-s6p หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana makonda kwa maono yako makubwa mungu kurinde sana.

  • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
    @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf หลายเดือนก่อน +1

    Kilichoko moyoni mwangu ni Shukrani tu..MUNGU akubariki Kaka Makonda

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 หลายเดือนก่อน +2

    Waooo huu ndo upendo wa Kristo❤️❤️ Mungu akubariki makonda wetu ...jamani hii sikusikia imenipita🙆

    • @AbuuHoya
      @AbuuHoya หลายเดือนก่อน

      Ukristo umekujajeapo tena

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 หลายเดือนก่อน +1

    Ohhhhhhh asante mtoto wangu..nimelia kbs jamaniiii.watoto vipawa vixuriiii❤

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 หลายเดือนก่อน +5

    Yaani, Yaani, Yaani ni kama Mungu alimpa makonda hili wazo kwa ajili ya huyu mwamba, Yaani fanya yoooote lkn Mungu alikuwa anamtafuta huyu, ona ona ona, THANKS GOD, THANKS PAPAA, ASANTE MAANA HATA HAPA NILIPO NI WEWE ULIYENIFANYA NIWE, THANK GOD

  • @saidoo_6975
    @saidoo_6975 หลายเดือนก่อน +13

    mbona makonda anafeel kuliaa...kama umeona weka like kubwaa sn

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 หลายเดือนก่อน +1

    Churchill anajua sana kuhoji ile namna ambayo anayehojiwa atajikuta anajibu tu bila kupanic BRAVO CHURCHILL 👏

  • @gadbuchianga5118
    @gadbuchianga5118 หลายเดือนก่อน

    Love you merciful man, Sir Makonda.
    More than many pastors.

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 หลายเดือนก่อน +3

    So touching aisee......🙌🙌🙌🙌🙌

  • @JoshuaKioko-h2n
    @JoshuaKioko-h2n หลายเดือนก่อน +8

    Veeery encouraging for sure

  • @FrankAngelSpiritEmbassy
    @FrankAngelSpiritEmbassy หลายเดือนก่อน +3

    Upendo mkuu,❤❤❤

  • @sirielsamweli
    @sirielsamweli หลายเดือนก่อน +6

    Kweliiiiiiiii nimelia kwa furahaaa

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv หลายเดือนก่อน +1

    safi Arusha tuna logo yetu when it comes to language swagger Iko poa mazee!!

  • @JoyceNathanaely-c9s
    @JoyceNathanaely-c9s หลายเดือนก่อน +2

    Haaisee😂❤ God bless you akunyoshee njia zaidi

  • @julianaabel603
    @julianaabel603 24 วันที่ผ่านมา

    Muheshimiwa Makonda Mwenyezi Mungu akutunze

  • @furahiniyouthschools6022
    @furahiniyouthschools6022 หลายเดือนก่อน +3

    Made me shade tears 😢

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana kaka yangu mh makonda mungu akubariki saana nimehisi kulia watu wengi wanapotea kukosa mwelekeo

  • @MamaKaratasi
    @MamaKaratasi หลายเดือนก่อน

    Makonda umetisha Mungu akulinde akupe maisha marefu udumu Arusha

  • @kelvindaniel7018
    @kelvindaniel7018 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuona juu mr presdent makondo

  • @RebecaMackenzi
    @RebecaMackenzi หลายเดือนก่อน +7

    Ni kweli Makonda kafanya kazi kubwa lakini tutambue pia mchango wa churchill jamani. Yeye ndo kasababisha hayo yote kwa huyo jamaa

    • @SalimRajabu-o7d
      @SalimRajabu-o7d หลายเดือนก่อน

      mm namkubali mmakonda sana natamani sana sikumoja ata nionge nae

  • @SammyLaizer-s9u
    @SammyLaizer-s9u หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akuongezee kipaji kaka

  • @KatotoEvarest
    @KatotoEvarest หลายเดือนก่อน +1

    Makonda mungu akubaliki una kitu kikubwa kwa watanzania hongela sana.

  • @davischahe2203
    @davischahe2203 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu ni wa wote wenye mwili

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 หลายเดือนก่อน +46

    Hivi huyu makonda siyo nabiii kweli maana kuna mda naona ni kama neema imeshuka

    • @Jackson-n2c
      @Jackson-n2c หลายเดือนก่อน +7

      Yani makonda anamtegemea MUNGU nahisi ndo mana mambo yake na matendo yake yana make sense kuliko viongozi wengine wengi hapa Tanzania

    • @SihaSanyajuu
      @SihaSanyajuu หลายเดือนก่อน +4

      Hata Mimi nikikaa chini uwa nawaza makonda nimtu alie tumwa na mungu Arusha

    • @GwakisaMwaisanga-th7uz
      @GwakisaMwaisanga-th7uz หลายเดือนก่อน +1

      Hakika

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 หลายเดือนก่อน +1

      Long live R C makonda

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli jamani ametumwa na MUNGU ukiona hivyo ujue analia na MUNGU sana huyu mtu haiwezekani kirahisi

  • @mainamwareri6984
    @mainamwareri6984 หลายเดือนก่อน

    RC Makonda, wewe ni kiongozi special
    Kiongozi wa kweli.

  • @hellenwilliamwilliam8256
    @hellenwilliamwilliam8256 หลายเดือนก่อน +5

    Tears of happiness

  • @JosephLoy-k2g
    @JosephLoy-k2g หลายเดือนก่อน

    Hata mimi nakiri Huyu Mungu ni kweree sana, hanaga maujuaji, anakuambia tu wewe pita huku

  • @lusekelonelson7256
    @lusekelonelson7256 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda ubarikiwe sana

  • @WikkaMusic04
    @WikkaMusic04 หลายเดือนก่อน +1

    Touched story🥲

  • @enockombenikanick1448
    @enockombenikanick1448 หลายเดือนก่อน

    Hii ni baraka, barikiwa RC

  • @majaliwagibson7295
    @majaliwagibson7295 หลายเดือนก่อน

    Whatever to be Said, Ila Makonda is a Talented Leader.

  • @SelestineMassawe-bx7eu
    @SelestineMassawe-bx7eu หลายเดือนก่อน

    Natamani mheshimiwa makonda siku Moja aje kuwa Rais wa nchi hii maana ni creative sana na mbeba maono.

  • @MussacharlesSongo
    @MussacharlesSongo หลายเดือนก่อน +6

    Nimelia saaana ..

  • @Shishinaya1554
    @Shishinaya1554 หลายเดือนก่อน +2

    Mbegu ya mungu haipotei

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku หลายเดือนก่อน +4

    Upo vzr jamani achilia gospel hiyo jmn😂

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana Makonda

  • @zaitunirashidi5532
    @zaitunirashidi5532 หลายเดือนก่อน

    Makonda sio mshamba ni mtoto wa mjini hapendi uheshimiwa yy ni full vibe yan

  • @kobylwaho3191
    @kobylwaho3191 หลายเดือนก่อน

    Prophet makonda ❤❤

  • @CollimsBella
    @CollimsBella หลายเดือนก่อน

    Huyo apo juu ni kwereee😂❤

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 หลายเดือนก่อน +2

    RC MAKONDAAAAAAAA I LOVE UUUUUUU MKUUUU WEWE NI MTUMISHI WA Mungu baba....
    Watoto wako wapatebraha maishani

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 หลายเดือนก่อน +1

      Kukatishana tamaa ndio shidaaa ila kwa neno lako umesema na imekuwa baba in Jesus name

  • @kimongejosephat6764
    @kimongejosephat6764 หลายเดือนก่อน

    Stay blessed RC Makonda

  • @DeboraJuliusSummary
    @DeboraJuliusSummary หลายเดือนก่อน +1

    Wakati wa mungu ndio waķati sahihi

  • @davidmwadziwe9416
    @davidmwadziwe9416 หลายเดือนก่อน +1

    This is JPM in making, wa Tanzania mark this guy called Makonde. Akiingia uongozini atawasaidia

  • @GemaLucas-mz2bn
    @GemaLucas-mz2bn หลายเดือนก่อน

    PT big up...

  • @yhustlerz
    @yhustlerz หลายเดือนก่อน

    Gods plan🙏🙏🙏🙏

  • @SafielMsuya-d2k
    @SafielMsuya-d2k หลายเดือนก่อน

    It is real touch me

  • @Lucy-t7n
    @Lucy-t7n หลายเดือนก่อน +1

    Amen 🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪

  • @MaryClaudy-w6t
    @MaryClaudy-w6t หลายเดือนก่อน

    Wakati wa Mungu ukifika umefika

  • @elineochaula9122
    @elineochaula9122 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sanaa

  • @SalimRajabu-o7d
    @SalimRajabu-o7d หลายเดือนก่อน

    mhesh miwa hongera sana hakuna kama ww

  • @stanleymswima1058
    @stanleymswima1058 หลายเดือนก่อน +3

    very nice indeed

  • @samwelmakuni8079
    @samwelmakuni8079 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢 familia nilipotoka meno na yenyewe ikatoka

    • @KijibaHaji
      @KijibaHaji หลายเดือนก่อน

      😊😊😊

  • @EmanuelMarite
    @EmanuelMarite หลายเดือนก่อน

    Mh Makondo natamani uwe waziri mkuu... Jamani Mh Rais muone Mh Makondo anastahili kuwa waziri mkuu

  • @TysonNgowi
    @TysonNgowi หลายเดือนก่อน

    Aiseeeee Mungu yupo

  • @GressPallangyo
    @GressPallangyo หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana

  • @Majaliwa2024
    @Majaliwa2024 หลายเดือนก่อน

    KIGOMA kweli ni kwere kwerere mpaka mburu

  • @mangakwigema
    @mangakwigema หลายเดือนก่อน

    Makonda 🎉

  • @Ax-xpress
    @Ax-xpress หลายเดือนก่อน

    Arusha ngoma imepata mpigaj...Mh Makonda ni mzee mkubwa wa vijana wa Arusha.

  • @Hamisi-f9i
    @Hamisi-f9i หลายเดือนก่อน

    Oyaaaa uyu mr kipaji anachoo

  • @SafielMsuya-d2k
    @SafielMsuya-d2k หลายเดือนก่อน

    True

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn5727 หลายเดือนก่อน +1

    Hee huyu baba wa Churchill kumbe kaja huku tz ahahaha basi hii itaku

    • @prof_ras
      @prof_ras หลายเดือนก่อน

      🆙️🆙️🆙️Arusha...🇹🇿

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 หลายเดือนก่อน +3

    Simple tubRudisha meno watarudi😂😂😂

  • @kiremah
    @kiremah หลายเดือนก่อน

    Labda the Show was just for that one person's life to be changed.

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 หลายเดือนก่อน

    Alleluya❤

  • @WemaShao-h9i
    @WemaShao-h9i หลายเดือนก่อน +2

    Nice

  • @nestorynwele-cl4um
    @nestorynwele-cl4um หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe nmeulza wimbo kabla ya kumalza kusikilza mana nikwele

  • @D_shee
    @D_shee 22 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏♥️

  • @arthurgidion
    @arthurgidion หลายเดือนก่อน

    Nice