Salama Na MAJIZZO SE6 EP17 | MPIMAJI PART 1| SendTip MPESA LIPA NO 5578460
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 พ.ค. 2022
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MPIMAJI
Francis Ciza that’s the name, anastahili heshima yake kwa ujasiri mkubwa ambao ameuonyesha kabla hajafika hapa alipo leo. Njia yake kwa mujibu wa haya maongezi yetu ilikua ya kulazimisha sana na yeye hakuwahi kukata tamaa, au tuseme neno au wazo la kukata tamaa halijawahi kuwa mawazoni mwake.
Majay ndo jina la umaarufu wake, Dj Majay au RDJ Majay au Majizzo moja ya ma Dj walokua wakiunda kundi la ‘Kwa Fujo DJ’s’ akiwa pamoja na Abubakar Sadique na ma Dj wengine wakati huo. Jinsi gani walikutana na nini kiliwafanya wawe na umoja huo? Tulimuuliza Majay kwenye maongezi haya na akaniambia waliona kitu ambacho hakuna mtu mwengine alikiona wakati huo na kweli kilifanya kazi.
Nini sasa kilisababisha umoja wao kuvunjika? Nini special kwake ambacho anadhani kinamfanya aendelee kuwa mwenye mafanikio na relevant kuliko wenzake? Huku sasa anatuelezea rasilimali yake aliyopewa na Mwenyezi Mungu, ya KUTOKATA TAMAA. Ambayo ndo imemfanya yeye anendelee kubaki kuwa nahodha wa boti yake ambayo imeweza kupambana na dhurba nyingi za baharini na nchi kavu lakini bado inaendelea na safari.
Majay alianza kutafuta kwake kama fundi nguo, wengi tunawaita fundi cherehani, anatuambia mtaani kwake kulikua na MC mmoja wa harusi ambaye yeye ndo alikua anamshonea nguo zake na siku ambayo alimchukua Majay kwenye moja ya kazi zake ndo siku ambayo maisha ya Majay YALIBADILIKA.
Sasa ni CEO wa moja ya Radio zenye nguvu hapa Tanzania na mpambanaji ambaye anahakikisha vijana na mziki wetu wa kizazi kipya unazidi kwenda mbali, yeye ni mtu ambaye anawavutia vijana wengi kwa kuwapa matumaini kwamba kuna siku mazuri yatakuja tu, at least hiyo ndo vibe ambayo mimi naipata kwake. Ashakataliwa sana. Ashakosea sana, ashafungiwa milango sana, ashakimbiwa sana na marafiki ambao walikua hawaamini kwenye ndoto yake na amesha anza upya mara kadhaa kwa kuamini kwamba kama aliweza kukipata mwanzo, basi inawezekana kukipata tena, na hivyo ndo jinsi ambavyo ilikua na inaendelea kuwa mpaka leo hii.
Kama unahitaji inspiration au mtu wa kumtazama ndoto zake ili na wewe uweze kuzitimiza za kwako basi Francis Ciza anaweza kukusadia sana.
Tafadhali enjoy mazungumzo yetu haya ambayo yamejaa safari ndefu ya kuanzia kwenye kupima watu viuno na kifua mpaka kuwapangia watu burudani isiyochosha.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - บันเทิง
Nnachojifunza Mungu anatuinua kupitia watu, cha msingi ni kumuomba atusaidie watu sahihi wanaotakiwa kutushika mkono tufikie destiny zetu in Jesus name🙏❤
Amen love🙏 caption🔥👌🏻
Uko poa dada kwa ujumbe wako
Thats true❤️🔥
Amen. 🙏
I never listen to you before but your life is inspirational to many young people out there.
Wooow
Inawezekana kuanza ulipo na kufikia unatamanikuwa💪🏾
Sio bahati mbaya, yote ni ya Mungu sema bahati nzuri sehemu yenyewe ipo!!
What an Inspiration. Congrats Majjizo for the 'Never give up and hustling attitude'. Congrats Salama Jabir for such a program. Unatuletea life stories za watu mbalimbali ambao wanakuwa inspiration kwetu sio zile siasa za motivation speakers
Ni kitu kizuri kujivunia kijana ka wewe majizo ila kwa usikivu wangu na experience yangu historia yako ingeweza kuwa inspirational than that kama ungeiweka wazi huenda ingetu inspire zaidi.
Hau sound comfortable with what you are saying...ka una edit vitu hivi ila big up kwa hapo ulipo🙌🙌🙌🙌
He is one of my favorite,Majay you are a determined man na mchakarikaji sana God bless you man.
Ukiwa Mtu Mwenye Maono Makubwa, Ukiwaelezea Watu wako ukawaona Hawakuelewi Jua Hao Unatakiwa Kuwaacha, The way Unavyo fikiria kwa Ukubwa Sio Kama wao cz Upeo wao Mdogo. So lazima ujiondoe kwenye Hilo Group, This is the spirit of Visionary guys who change the world and systems. Disrupt everything
This is inspiring, a man that says i will do something and they do it or work on it....this thing is rare! I have learned to never settle for small minded people/people who can't take a risk because they are scared to fail. He believed in himself and he did what he wated to. Congratulations sir! Nlijuaga tu there is more to that ukimya wako and ofcoz we seeing your wife today! Ungeniuliza nikutafsiri kwa neno moja then I would say wisdom with no hesitation 👏🏼👏🏼
Exactly 🙌
Definition of genius =respect, hard-working,and manners
Thanks sisy for being incredible..
So inspiring kwakwel,let me go for part2
jizzo nakubali sana haso zako broo kumbe sijachelewa ✊
Hii ndo interview ya kwanza Salama ameachia mhojiwa kutiririka na stori yake mwenyewe bila kuuliza maswali. Majay kama mtu hawezi kuwa motivated na story ya majizo huwezi kuwa motivated na chochote.
show kalii
salama tuletee D.knob tafadhali👐👐
Vary humble Man
Salama Leo maswali sijayaskia but nimejifunza sana sana
Mwenyezi Mungu anitunzie ❤️❤️❤️❤️❤️
Congrats salama is best interview u do big up
Anaongea kiupolee,mm nampendaga majizoo na radio yake na hasoo zake,keep it up bro♥️
Aseee, BONGE MOJA LA INTERVIEW S/O TO SALAMA, KWA HILI PINDI LA KIBABE, BIG UP CHAMP MAJIZZO.✨👑💪🏾👊🏾✊🏾
🎥🎬🎞️📽️🔥🔥🔥🔥🔥
Dah kweli maisha ni safari ndefu na hakuna kukata tamaa
Napenda sana salama anavyoanza kuuliza maswali yaani huwezi tarajia
Huyu jamaa yuko makini sana 🗝🗝. Big up Tajiri Majizooo 🔥🔥🔥
Asante majizo kwastoria Yako n'a Asante kwakumuoa lulu
Wooow
Inawezekana kuanza ulipo na kufikia unatamanikuwa💪
Nakupenda bure salama ❤️
Aisee sikati tamaa jamani mweeh MUNGU nisaidie,namkubali sana baba G
Awesome 👌🏽
Respect Majizzo
Huyu ndio mume wa lulu
Hahahaaa majizo amefanana na yle mchungai wakenya aliewauwa watu kwakufunga enway majizo namkubali sana
Mleten diamond siku moja au Harmonies salama
Sauti Ya Maj Ipo Chini, Asikiki
Dah Boss luge apumzike tu kwa amani kwakweli yule ameokoa TANZANIA
Sure. Sikujua kama kila.kijana anayeshaini now ametoka kwake aseee. Allah ampunzishe kwa aman 🤲
@@partnersah8802 yaan sijui ni kwann wazuri ndo hutangulia😓😓
Dada Salama tuletee Vunjabei na Mo dewji
Anaongea kwa Sauti ya chini hatumsikii fresh
❤️❤️❤️
😄 😄 😄 ila tid mnyama ni mtundu bana
Duh! Mafanikio sio rahisi kwakweli 😢
Saaana aiseee
respect🤛
Sizza ni kaka🙌🙌🙌🙌🙌
Nasubir SALAMA NA ADAMU MCHOMVU
Ya jux! Hamjapost jmn! Wengine hatuna mda wa kukaa sana kweny TV tunaomba ziwe znatumea na huku
Watu tunatoka mbali kwa kweli
❣️❣️🙏
Karibu kinyope kaka
Alaf kasome history ya majizo Kwa mangeapp
tuletee young killer
Haki maisha nikupambana hakuna kukata Tama
Salama hii description sasa mm hoooooiiiiiii😃😃😃😃😃mbavu zangu jama
Jesca Kumbe Ana Mafutaaa Jamani 🤣🤣
😂😂😂😂😂
Show show
tunamuhitaji Oscar oscar
But nakupenda buuuure salama hata hivyo nimreeeeeembo
Waooooo, kwenye maisha hakuna kukata tamaaa!!
Interview na wema sepetu plz
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Madam Boss naomba kama yawezekana tupate Mr Blue #Nyanizee
Rado kiraka
Diamond ndio tunaemtaka
Sijutii kusubscribe hii Chanel..... asante majizzo
Tunamwomba John Joo
Ajee kwelii plz salama
Hy sauti majizo
Salama episodes nyingine uendelee kuziweka google podcasts kama ulivyokua unafanya b4....Ila shows are delicious 😋 🔥
Q
Amani karume pls
Majizo wewe ni mpole,Harafu umwelewa mno Kama ndivyo hata ndani kwako basi Lulu amepata mume sahihi,
Upele anaujua mkunaji
wadeiii
Tunaomba umlete Mzee Chrissant Mhennga Aliyekuwa mkuu wa kundi la kaole enzi za kanumba
Kama uhai upo, hakuna uchawi kijana.
I am here to learn and be inspired....
Tuletee kajala please
tuleteee mwijaku siku moja
Yule ataongea mpaka muda uishe na hakuna cha maana alichokisema hahaaaaaa
Kwa Fujo Djs ❤
Sasa mimi naogopa nini lazima ndoto zangu zitimie
Dj majizo kwa fuuuujooooo
Sauti ndogo
Tuleteye paula
salama mualike Ismaili Jussa Ladhu apo
tunamuomba wema please
Majizzo nawe kiswanglish chako
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
Mtengeneze wa kwako..then muweke mbele yako' akupendeze..eehh.!?
unaweza kumkuta katoboa kwa mungu anakula kuku pepon., unaingilia mamlaka ya kuumba toka mungu.!? kulea tu mtoto anaweza kukushinda..ije kutengeza binaadam.?¿ Shetan wahed.! mkubwa
Mbona husemi kwenu lutamba lindi jina lako halisi hutaji unataja jina la janja janja
😳😳😳
Radio gani ? Magi kimagi no that and she is now that gay!
Hivi jaman kila celebrity hakuna aliyetoka kwenye familia ya matajiri mbona kila mtu ametoka kwenye familia masikini tu
Wapo ,wema ,hemed PhD familia zao hazikuwa maskini 😀😀😀😀😀
Mo
Jux, zuchu,
Madam Rita
ILA LULU ANAVUMILIA.SANA KULALA NA HUYU MWANAUME CHAI HATA BURE SIMUONESHI UCHI WANGU.
Kwann my?
Uchi wako unanuka hata hivyo
Ttz mnaenda waramba lipsi ndo maana,.
Dada anachuki binafsi huyu
Mbona kaka yuko vzr tu jaman
TUNAOMBA YA ZEMBWELA na DANIEL KIJO, TAFADHALI
Afuate nikki wa pili
Madawa yakulevya ndo yaliyokutoa sema ukitumia akili
Wewe zuena kweli hiyo
Mmmh
Nawe fanya hivyo
Kabisa
Nawe kauze ili uwe nazo,unafanya nini kwani?
D.nob
Shout out to TMK representative sir kassim.
11:36
12:46
13:43
14:20
15:28
17:24
18:22
19:06
20:33
21:02
21:32
23:19
23:59
25:20
th-cam.com/video/EoUNzHZowFY/w-d-xo.html
Balaa la kamti pombe
Kumbehuyu kakanimbayahivi
Wala hn ubaya wwt, acha chuki, kwenye list ya wabaya uwezi kumueka kamwe.
😂😂😂umeandika mwenyew au?
Kiukweli mbayaaaa hata Eliza kafuata marundo tu
Anaongea vizuri
😀
HE KUMBE HUYU BABA NI LI BAYA HIVYO.
🤣🤣🤣jmn
Wee mwenyewe mbaya.
Wewe sio Mungu huluhusiw kumkosoa mtu
Baba yako akiwa mzuri yatosha
Unataka awe mzuri ili iweje. Kenge we!
Sio bahati mbaya, yote ni ya Mungu sema bahati nzuri sehemu yenyewe ipo!!
❤️❤️❤️