Salama Na MAJIZZO SE6 EP17 | MPIMAJI PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MPIMAJI
Francis Ciza that’s the name, anastahili heshima yake kwa ujasiri mkubwa ambao ameuonyesha kabla hajafika hapa alipo leo. Njia yake kwa mujibu wa haya maongezi yetu ilikua ya kulazimisha sana na yeye hakuwahi kukata tamaa, au tuseme neno au wazo la kukata tamaa halijawahi kuwa mawazoni mwake.
Majay ndo jina la umaarufu wake, Dj Majay au RDJ Majay au Majizzo moja ya ma Dj walokua wakiunda kundi la ‘Kwa Fujo DJ’s’ akiwa pamoja na Abubakar Sadique na ma Dj wengine wakati huo. Jinsi gani walikutana na nini kiliwafanya wawe na umoja huo? Tulimuuliza Majay kwenye maongezi haya na akaniambia waliona kitu ambacho hakuna mtu mwengine alikiona wakati huo na kweli kilifanya kazi.
Nini sasa kilisababisha umoja wao kuvunjika? Nini special kwake ambacho anadhani kinamfanya aendelee kuwa mwenye mafanikio na relevant kuliko wenzake? Huku sasa anatuelezea rasilimali yake aliyopewa na Mwenyezi Mungu, ya KUTOKATA TAMAA. Ambayo ndo imemfanya yeye anendelee kubaki kuwa nahodha wa boti yake ambayo imeweza kupambana na dhurba nyingi za baharini na nchi kavu lakini bado inaendelea na safari.
Majay alianza kutafuta kwake kama fundi nguo, wengi tunawaita fundi cherehani, anatuambia mtaani kwake kulikua na MC mmoja wa harusi ambaye yeye ndo alikua anamshonea nguo zake na siku ambayo alimchukua Majay kwenye moja ya kazi zake ndo siku ambayo maisha ya Majay YALIBADILIKA.
Sasa ni CEO wa moja ya Radio zenye nguvu hapa Tanzania na mpambanaji ambaye anahakikisha vijana na mziki wetu wa kizazi kipya unazidi kwenda mbali, yeye ni mtu ambaye anawavutia vijana wengi kwa kuwapa matumaini kwamba kuna siku mazuri yatakuja tu, at least hiyo ndo vibe ambayo mimi naipata kwake. Ashakataliwa sana. Ashakosea sana, ashafungiwa milango sana, ashakimbiwa sana na marafiki ambao walikua hawaamini kwenye ndoto yake na amesha anza upya mara kadhaa kwa kuamini kwamba kama aliweza kukipata mwanzo, basi inawezekana kukipata tena, na hivyo ndo jinsi ambavyo ilikua na inaendelea kuwa mpaka leo hii.
Kama unahitaji inspiration au mtu wa kumtazama ndoto zake ili na wewe uweze kuzitimiza za kwako basi Francis Ciza anaweza kukusadia sana.
Tafadhali enjoy mazungumzo yetu haya ambayo yamejaa safari ndefu ya kuanzia kwenye kupima watu viuno na kifua mpaka kuwapangia watu burudani isiyochosha.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Aisee sijawah kumsiliza majizzo aiesee huyu jamaa ni mtu sana na mpambanaji sana. Kama tupo pamoja gonga like nyingi kwa kumsupport jamaa
Aiseee kumbe Tanzania iko na wanaume wenye true love,yani haumii aliyoyapitia yeye ila anaumia juu ya maumivu ya mwanamke wake!!! Aiseeee be blessed Majizo na awatunze
Naendelea Kujifunza Kila Siku, MAISHA Ni Mapambano na Hakuna Kukubali Kukata Tamaa. GOD Bless You MAJIZZO...Thank You Salama J
NATAMANI VIJANA wote wangefuatilia na kusikiliza hii show. Salama uko vizuri sana.Hongera Francis /MAJIZO
Dada mm nafuatilia
Nime fatiliya kwa umakini part 1 and 2 Asante sana kunakitu nime jifuza Allah akupe mwisho mwema na aendeley kukubariki wewe na mkeo na family kwa ujumula🙏🙏Salama ubarikiwe from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Like from 257
Dah aisee nimejifunza sana sana
TANZANIA ni nchi pekee ambayo mtu akifanikiwa watu wanawaza uchawi madawa bila kuangalia mahali tulikopita.
Ooo Lord help us.
I must work so hard mpaka siku moja nifanikiwe niitwe kwenye interview
This guy has a golden heart. Imagine he isn't bothered with his own personal lowest moments in his life and career but he is touched with his woman .we always complains about Tanzanians men not being gentleman but he stands as one trophy to proud of.
The man with a big heart .......... Nimejifunza mengi sana.... Acha Mungu amshinishe aisee he deserves that
💯🤝
A real-life journey with a determined heart and vision. Congrats Majizzo.
Mwanaume yoyote mwenye huruma ni mwanaume ambae anajielewa sana. Majizzo ni mwema pia ni muaminifu Mungu amtunze na kumbarik pamoja na familia yake
Kabisaaa 💯
💯💯💯
Majizo ana vingi ila sio mtu anaweza kujieleza sana...! All in all hongera ❤
Majizzo SALUTE Sana Kaka, nimegundua una IQ kubwa Sana ya maisha
Mungu akubariki sana Majjizo kumbe wewe ni mwaminifu na unampenda kiukweli mke wako mubarikiwe ktk maisha yenu
KAONA/KASIKIA LA MKE TUU 😀😀😀
Majizo Mungu amekupa wisdom kubwa sanahata Eliza anayo mmekutana wa kufanana
Huyu kijana ni mtu mzuri sana. Mungu aendelee kukubariki wewe pamoja na familia yako.
Hivi vitu vinainspire sana vijana na kupitia hizi interview watu wanabadilisha maisha yao na kufungua ukurasa mpya hongera sana Salama unafanya kitu kizuri sana
Majizo you have inspired me so much....i know am not there yet but in shaa Allah will be there by God's grace.
Salama Nakupenda sanaaa keep up the Good work 👏❤
Lulu unapendwa mama! Huyu ni mwanaume 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Interview nzur san Mashaa Allah Mungu akujaalie baba kaka uzidi kufanikiwa zaidi ya hapo na akutunzie familia n kizaz chako Ameen,,,
Majizzo needed 2 more episodes.
Najikuta na lia sana Majizzo unaupendo Mungu akubariki sana nauzidi kumutuza mukewako
Dah kaka Anamapenzi ya dhati Huyu Mungu awasimamie hadi mzikane😭😭🙏🙏
Nice majiz umenifunz mengi mmoja wak kam unampnd mtu mpend hat awe kweny mazingiz yapi
Best interview ever........am officially a fan of majizzo❤️❤️
Salama tunamuomba Kondeboy hapa please
Ni bonge la entervew so poa maisha safari unatakiwa uwe mmbishi nakukubali sana majizo forshizo mi binafsi sijaona dj kama wewe Tanzania nzima Yani uwezo binafsi ndio uliokufikisha hapo ulipo much respect my bro
Unaweza ukawaambia na bado wakakuona huna mana,unaishi na watu vizuri wenzio wanakung'ong'a Kisogo bora uachane nao uwe na 50 zako tu
Very inspirational... Majizzo is so smart.
6:55 - 7:20 📌📌📌
Keep up the good work Ace Jay...👏👏👏
Huyu jamaa n very humble aisee he and lulu they deserve each other indeed
Inspiration kama hizi ndio tunatakiwa kusikiliza na sio zile za motivation speakers za kuchanganya akili
Realy
🤣🤣
Salama we need Fred vunjabei if possible
Nimeielewa sana hii hili ufanikiwe ni razima ujihamini kwanza wewe 🙌🙌🙌🙌
Asante sana mwenye kipindi hiki nimejifunza mengi kwa Majj
Aseee, BONGE MOJA LA INTERVIEW S/O TO SALAMA, KWA HILI PINDI LA KIBABE, BIG UP CHAMP MAJIZZO.✨👑💪🏾👊🏾✊🏾
🎥🎬🎞️📽️🔥🔥🔥🔥🔥
Nimekupenda bure maj hasa hapo kwenye watoto mashallah
we need this kind of staff salama na. great job
Sema yule mwanamke mange anatakiwa kutafutwa na kufyatwa anapotosha Sana jamii
Naomba uniambie lulu ametajwa wapi
@@khadijangozi4324 Eliza hukulisikia jina lk
This man is genius...
Big up na harus yko cz ata mm nimeanza kufikiria kuowa!👍
Tunawapenda papa G na maman G🥰🥰🥰🥰🥰🥰
it's a very good interview am truly inspired but salama please mda hautoshi aise like alikuwa na vingi ila inabidi akarishe
Very inspirational story, hope this will motivate a lot of youth towards their life destiny, personally I'm much inspired and encouraged by your efforts, big up foxy
From Kenya 🇰🇪 this is very inspirational
Interview nzuri Sana sijui kwanini nimechelewa kuiangalia majizzo ni mwanaume wa kupigiwa mfanoooo
Nimejifunza Sana Acha niendelee kupambana mungu akupe nguvu ya kutuletea watu Wa kutueleimisha za kutufungua
nimeipenda story Mungu ambariki sana
Big fan of the show. Salute from Nairobi
This guy is so smart 🔥
Interview smart Sana jabir.. Mardam mm nipenda Sana .majizo yangu hardworking person..
I like this interview nilikuwa simfahau majizo now kdg nimepata picha kuhusu yeye ni mtu wa aina gani
Majizo kama ruge namkubali uyu boss
Salute #Majizzo........Lulu she got a really hubby
That's the face of business my dear he's not who you think he is
Nimeipenda sana ya Kiheshima
One of the best interviews
Hustler😊❤️
Waoooooo, Hongera sana Baba G
Thanks ❤
Hayo ndio mapenzi tena mapenzi ya Samani sana Mashallah
Intelligent one,tunamuomba na Idris Sultan
Tayar alishakuja hapa
Ooooh ngoja nisearch
0:51
1:40
5:14
5:39
6:34
7:04
7:38
23:57
Am the first and Broo Your my Menter 🍸🇹🇿One Day I will be there I be to be 🍸🇹🇿
Asante Salama! Bro Majei.. Mungu azidi kukubariki...
Ece Jay. Unajua kuuframe swali right to point. Hongera Sana 🙌
Angekuwa mwanasheria ingekuwa hatari katika x examinations
Mashallah, mimi namkubali sana Majizo,barikiwa sana brother 🙏
Nilikuwa nakuckiaga tu ckujua ww ni mtu mzuri na unahuruma na kujali.kaka mzuri sn and Smart
Mzazi wa E F.M kwa maongezi ya ki smart, kizazi kipya kwa jina yake CIZA? mwana wetu wa Tanganyika.
Kutoka hapa ubeljiji, nikitoa pongezi ya dhati kwako mtangazaji bingwa SALAMA JABBIR. Ndoto yangu ni ya kukutana na wewe na Kunihoji hapo; mkasi au kwangu inshaALLAH
Yes, I will be there In Jesus name
Endelea kubarikiwa Majizzo,umenijenga sana
Great work salama keep it up
Safi,,natamani hii meza angekaa Ruge nae ateme madini.
Majjizo umeniinspire Sana
Was waiting for this aisee...Najifunza SAAANA.
Salama tuletee Gwajima
Nasubiri SALAMA NA ADAMU MCHOMVU
Akili nyingi hiii🔥🔥
Wow
Hakuna kukata tamaa big up bro Majizzo
The show is 🔥🔥🔥
Naomba link ya interview ya salama na ommy dimpoz pl
Huyu kaka ni smart sana👏🏽👏🏽👏🏽
Nakukubali Sana Kk Ma..J
Daaaa nimejifunza
Asante Salama
Nakupenda
unafanya kazi nzuri
Endelea kubarikiwa bro 💪🏿
Yupo vizuri
Kama wanakuja kukamata gaidi wabongo duuh
Big men for now
Majizo unafanana na waziri simbachawene
Salama ...! Mwenzio FARASI!?
dah genius majizoo
Asanteni Sana
Na hasa watanzania waķiona mtu anamaendeleo wanakuwa na chuki yani majay yuko na point
Good interview
KWA MAJIZO FORSHIZO LULU ANAMTU MAJAY NI MTU MWENYE ROHO TOFAUTI SANA ANAFORCUS SANA KWENYE UTU NA MAENDELEO
Hii show Kali Sana! Big Up Yahstone
Namkubali San kaka majizo yani ntaishi na vitendo vyak
Very nice
We need Fred vunja bei
Nice interview🥰
Apo kwa Elizabeth pamenigusa Sana Mungu awaweke