Salama Na MAJIZZO SE6 EP17 | MPIMAJI PART 2 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    MPIMAJI
    Francis Ciza that’s the name, anastahili heshima yake kwa ujasiri mkubwa ambao ameuonyesha kabla hajafika hapa alipo leo. Njia yake kwa mujibu wa haya maongezi yetu ilikua ya kulazimisha sana na yeye hakuwahi kukata tamaa, au tuseme neno au wazo la kukata tamaa halijawahi kuwa mawazoni mwake.
    Majay ndo jina la umaarufu wake, Dj Majay au RDJ Majay au Majizzo moja ya ma Dj walokua wakiunda kundi la ‘Kwa Fujo DJ’s’ akiwa pamoja na Abubakar Sadique na ma Dj wengine wakati huo. Jinsi gani walikutana na nini kiliwafanya wawe na umoja huo? Tulimuuliza Majay kwenye maongezi haya na akaniambia waliona kitu ambacho hakuna mtu mwengine alikiona wakati huo na kweli kilifanya kazi.
    Nini sasa kilisababisha umoja wao kuvunjika? Nini special kwake ambacho anadhani kinamfanya aendelee kuwa mwenye mafanikio na relevant kuliko wenzake? Huku sasa anatuelezea rasilimali yake aliyopewa na Mwenyezi Mungu, ya KUTOKATA TAMAA. Ambayo ndo imemfanya yeye anendelee kubaki kuwa nahodha wa boti yake ambayo imeweza kupambana na dhurba nyingi za baharini na nchi kavu lakini bado inaendelea na safari.
    Majay alianza kutafuta kwake kama fundi nguo, wengi tunawaita fundi cherehani, anatuambia mtaani kwake kulikua na MC mmoja wa harusi ambaye yeye ndo alikua anamshonea nguo zake na siku ambayo alimchukua Majay kwenye moja ya kazi zake ndo siku ambayo maisha ya Majay YALIBADILIKA.
    Sasa ni CEO wa moja ya Radio zenye nguvu hapa Tanzania na mpambanaji ambaye anahakikisha vijana na mziki wetu wa kizazi kipya unazidi kwenda mbali, yeye ni mtu ambaye anawavutia vijana wengi kwa kuwapa matumaini kwamba kuna siku mazuri yatakuja tu, at least hiyo ndo vibe ambayo mimi naipata kwake. Ashakataliwa sana. Ashakosea sana, ashafungiwa milango sana, ashakimbiwa sana na marafiki ambao walikua hawaamini kwenye ndoto yake na amesha anza upya mara kadhaa kwa kuamini kwamba kama aliweza kukipata mwanzo, basi inawezekana kukipata tena, na hivyo ndo jinsi ambavyo ilikua na inaendelea kuwa mpaka leo hii.
    Kama unahitaji inspiration au mtu wa kumtazama ndoto zake ili na wewe uweze kuzitimiza za kwako basi Francis Ciza anaweza kukusadia sana.
    Tafadhali enjoy mazungumzo yetu haya ambayo yamejaa safari ndefu ya kuanzia kwenye kupima watu viuno na kifua mpaka kuwapangia watu burudani isiyochosha.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

ความคิดเห็น • 164

  • @NassTwin
    @NassTwin 2 ปีที่แล้ว +12

    Aisee sijawah kumsiliza majizzo aiesee huyu jamaa ni mtu sana na mpambanaji sana. Kama tupo pamoja gonga like nyingi kwa kumsupport jamaa

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika4493 2 ปีที่แล้ว +6

    Aiseee kumbe Tanzania iko na wanaume wenye true love,yani haumii aliyoyapitia yeye ila anaumia juu ya maumivu ya mwanamke wake!!! Aiseeee be blessed Majizo na awatunze

  • @tanzaniatourismboard8395
    @tanzaniatourismboard8395 2 ปีที่แล้ว +16

    Naendelea Kujifunza Kila Siku, MAISHA Ni Mapambano na Hakuna Kukubali Kukata Tamaa. GOD Bless You MAJIZZO...Thank You Salama J

  • @hildaminja5148
    @hildaminja5148 2 ปีที่แล้ว +13

    NATAMANI VIJANA wote wangefuatilia na kusikiliza hii show. Salama uko vizuri sana.Hongera Francis /MAJIZO

  • @nsazabahizirehema7897
    @nsazabahizirehema7897 2 ปีที่แล้ว +24

    Nime fatiliya kwa umakini part 1 and 2 Asante sana kunakitu nime jifuza Allah akupe mwisho mwema na aendeley kukubariki wewe na mkeo na family kwa ujumula🙏🙏Salama ubarikiwe from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @deusdedit789
    @deusdedit789 2 ปีที่แล้ว +15

    Dah aisee nimejifunza sana sana
    TANZANIA ni nchi pekee ambayo mtu akifanikiwa watu wanawaza uchawi madawa bila kuangalia mahali tulikopita.
    Ooo Lord help us.
    I must work so hard mpaka siku moja nifanikiwe niitwe kwenye interview

  • @addeypentacos9014
    @addeypentacos9014 2 ปีที่แล้ว +19

    This guy has a golden heart. Imagine he isn't bothered with his own personal lowest moments in his life and career but he is touched with his woman .we always complains about Tanzanians men not being gentleman but he stands as one trophy to proud of.

  • @johnlihawa4145
    @johnlihawa4145 ปีที่แล้ว +4

    The man with a big heart .......... Nimejifunza mengi sana.... Acha Mungu amshinishe aisee he deserves that

  • @jofrasful
    @jofrasful ปีที่แล้ว +3

    A real-life journey with a determined heart and vision. Congrats Majizzo.

  • @rithamarrow5716
    @rithamarrow5716 2 ปีที่แล้ว +8

    Mwanaume yoyote mwenye huruma ni mwanaume ambae anajielewa sana. Majizzo ni mwema pia ni muaminifu Mungu amtunze na kumbarik pamoja na familia yake

  • @fefenailsandmakeup1353
    @fefenailsandmakeup1353 2 ปีที่แล้ว +7

    Majizo ana vingi ila sio mtu anaweza kujieleza sana...! All in all hongera ❤

  • @2116-n
    @2116-n 2 ปีที่แล้ว +18

    Majizzo SALUTE Sana Kaka, nimegundua una IQ kubwa Sana ya maisha

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 2 ปีที่แล้ว +8

    Mungu akubariki sana Majjizo kumbe wewe ni mwaminifu na unampenda kiukweli mke wako mubarikiwe ktk maisha yenu

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 2 ปีที่แล้ว

      KAONA/KASIKIA LA MKE TUU 😀😀😀

  • @elizabethhonere2931
    @elizabethhonere2931 2 ปีที่แล้ว +7

    Majizo Mungu amekupa wisdom kubwa sanahata Eliza anayo mmekutana wa kufanana

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 2 ปีที่แล้ว +8

    Huyu kijana ni mtu mzuri sana. Mungu aendelee kukubariki wewe pamoja na familia yako.

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 2 ปีที่แล้ว +6

    Hivi vitu vinainspire sana vijana na kupitia hizi interview watu wanabadilisha maisha yao na kufungua ukurasa mpya hongera sana Salama unafanya kitu kizuri sana

  • @tunudachitalks6575
    @tunudachitalks6575 2 ปีที่แล้ว +10

    Majizo you have inspired me so much....i know am not there yet but in shaa Allah will be there by God's grace.
    Salama Nakupenda sanaaa keep up the Good work 👏❤

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 2 ปีที่แล้ว +4

    Lulu unapendwa mama! Huyu ni mwanaume 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 2 ปีที่แล้ว +5

    Interview nzur san Mashaa Allah Mungu akujaalie baba kaka uzidi kufanikiwa zaidi ya hapo na akutunzie familia n kizaz chako Ameen,,,

  • @Juxton
    @Juxton 2 ปีที่แล้ว +19

    Majizzo needed 2 more episodes.

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 2 ปีที่แล้ว +2

    Najikuta na lia sana Majizzo unaupendo Mungu akubariki sana nauzidi kumutuza mukewako

  • @جميلهخميس-ط5ث
    @جميلهخميس-ط5ث 2 ปีที่แล้ว +6

    Dah kaka Anamapenzi ya dhati Huyu Mungu awasimamie hadi mzikane😭😭🙏🙏

  • @zuuqueenhilson3135
    @zuuqueenhilson3135 2 ปีที่แล้ว +6

    Nice majiz umenifunz mengi mmoja wak kam unampnd mtu mpend hat awe kweny mazingiz yapi

  • @fauziayusuf235
    @fauziayusuf235 2 ปีที่แล้ว +7

    Best interview ever........am officially a fan of majizzo❤️❤️

  • @aminiismail3371
    @aminiismail3371 2 ปีที่แล้ว +10

    Salama tunamuomba Kondeboy hapa please

  • @HusseinSalumu-o1e
    @HusseinSalumu-o1e 9 หลายเดือนก่อน

    Ni bonge la entervew so poa maisha safari unatakiwa uwe mmbishi nakukubali sana majizo forshizo mi binafsi sijaona dj kama wewe Tanzania nzima Yani uwezo binafsi ndio uliokufikisha hapo ulipo much respect my bro

  • @hadijajumanne5493
    @hadijajumanne5493 2 ปีที่แล้ว +7

    Unaweza ukawaambia na bado wakakuona huna mana,unaishi na watu vizuri wenzio wanakung'ong'a Kisogo bora uachane nao uwe na 50 zako tu

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 2 ปีที่แล้ว +9

    Very inspirational... Majizzo is so smart.
    6:55 - 7:20 📌📌📌
    Keep up the good work Ace Jay...👏👏👏

  • @zawadisalum5684
    @zawadisalum5684 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa n very humble aisee he and lulu they deserve each other indeed

  • @editatairo9667
    @editatairo9667 2 ปีที่แล้ว +5

    Inspiration kama hizi ndio tunatakiwa kusikiliza na sio zile za motivation speakers za kuchanganya akili

  • @flexturnertv8585
    @flexturnertv8585 2 ปีที่แล้ว +9

    Salama we need Fred vunjabei if possible

  • @mwalimualiaminialiamini8623
    @mwalimualiaminialiamini8623 2 ปีที่แล้ว +4

    Nimeielewa sana hii hili ufanikiwe ni razima ujihamini kwanza wewe 🙌🙌🙌🙌

  • @evamday2896
    @evamday2896 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana mwenye kipindi hiki nimejifunza mengi kwa Majj

  • @abduly.snootie
    @abduly.snootie 2 ปีที่แล้ว +1

    Aseee, BONGE MOJA LA INTERVIEW S/O TO SALAMA, KWA HILI PINDI LA KIBABE, BIG UP CHAMP MAJIZZO.✨👑💪🏾👊🏾✊🏾
    🎥🎬🎞️📽️🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sakinamixpambe2602
    @sakinamixpambe2602 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimekupenda bure maj hasa hapo kwenye watoto mashallah

  • @watsonmwanjelwa4535
    @watsonmwanjelwa4535 2 ปีที่แล้ว +2

    we need this kind of staff salama na. great job

  • @johnkabadi8732
    @johnkabadi8732 2 ปีที่แล้ว +4

    Sema yule mwanamke mange anatakiwa kutafutwa na kufyatwa anapotosha Sana jamii

    • @khadijangozi4324
      @khadijangozi4324 2 ปีที่แล้ว

      Naomba uniambie lulu ametajwa wapi

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 ปีที่แล้ว

      @@khadijangozi4324 Eliza hukulisikia jina lk

  • @hahmadhabibu2076
    @hahmadhabibu2076 2 ปีที่แล้ว +4

    This man is genius...

  • @abdulpires9091
    @abdulpires9091 2 ปีที่แล้ว +3

    Big up na harus yko cz ata mm nimeanza kufikiria kuowa!👍

  • @yvetteuwase2740
    @yvetteuwase2740 2 ปีที่แล้ว +4

    Tunawapenda papa G na maman G🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @agricolamirinde6111
    @agricolamirinde6111 2 ปีที่แล้ว +1

    it's a very good interview am truly inspired but salama please mda hautoshi aise like alikuwa na vingi ila inabidi akarishe

  • @franknsato6373
    @franknsato6373 2 ปีที่แล้ว +12

    Very inspirational story, hope this will motivate a lot of youth towards their life destiny, personally I'm much inspired and encouraged by your efforts, big up foxy

  • @julietdawa5518
    @julietdawa5518 ปีที่แล้ว +1

    From Kenya 🇰🇪 this is very inspirational

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 2 ปีที่แล้ว +1

    Interview nzuri Sana sijui kwanini nimechelewa kuiangalia majizzo ni mwanaume wa kupigiwa mfanoooo

  • @mohamedrajab358
    @mohamedrajab358 2 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza Sana Acha niendelee kupambana mungu akupe nguvu ya kutuletea watu Wa kutueleimisha za kutufungua

  • @yusufurahabiamu6052
    @yusufurahabiamu6052 2 ปีที่แล้ว +3

    nimeipenda story Mungu ambariki sana

  • @JustArkon
    @JustArkon 2 ปีที่แล้ว +3

    Big fan of the show. Salute from Nairobi

  • @CHITUS
    @CHITUS 2 ปีที่แล้ว +6

    This guy is so smart 🔥

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 2 ปีที่แล้ว

    Interview smart Sana jabir.. Mardam mm nipenda Sana .majizo yangu hardworking person..

  • @daudgrayson8534
    @daudgrayson8534 2 ปีที่แล้ว

    I like this interview nilikuwa simfahau majizo now kdg nimepata picha kuhusu yeye ni mtu wa aina gani

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 2 ปีที่แล้ว +3

    Majizo kama ruge namkubali uyu boss

  • @maggiepeter8936
    @maggiepeter8936 2 ปีที่แล้ว +2

    Salute #Majizzo........Lulu she got a really hubby

    • @carlosmzena548
      @carlosmzena548 2 ปีที่แล้ว

      That's the face of business my dear he's not who you think he is

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda sana ya Kiheshima

  • @xw6427
    @xw6427 2 ปีที่แล้ว +1

    One of the best interviews

  • @estermwakafwila9890
    @estermwakafwila9890 2 ปีที่แล้ว +3

    Hustler😊❤️

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 2 ปีที่แล้ว +2

    Waoooooo, Hongera sana Baba G

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 2 ปีที่แล้ว +3

    Thanks ❤

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 ปีที่แล้ว

    Hayo ndio mapenzi tena mapenzi ya Samani sana Mashallah

  • @lilianjulius917
    @lilianjulius917 2 ปีที่แล้ว +3

    Intelligent one,tunamuomba na Idris Sultan

    • @veeJesus
      @veeJesus 2 ปีที่แล้ว +2

      Tayar alishakuja hapa

    • @lilianjulius917
      @lilianjulius917 2 ปีที่แล้ว

      Ooooh ngoja nisearch

  • @vanjizzle122
    @vanjizzle122 2 ปีที่แล้ว +2

    Am the first and Broo Your my Menter 🍸🇹🇿One Day I will be there I be to be 🍸🇹🇿

  • @sheshem5453
    @sheshem5453 2 ปีที่แล้ว

    Asante Salama! Bro Majei.. Mungu azidi kukubariki...

  • @harysonnyobuya9601
    @harysonnyobuya9601 2 ปีที่แล้ว

    Ece Jay. Unajua kuuframe swali right to point. Hongera Sana 🙌

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 2 ปีที่แล้ว

      Angekuwa mwanasheria ingekuwa hatari katika x examinations

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah, mimi namkubali sana Majizo,barikiwa sana brother 🙏

  • @evajames2514
    @evajames2514 2 ปีที่แล้ว

    Nilikuwa nakuckiaga tu ckujua ww ni mtu mzuri na unahuruma na kujali.kaka mzuri sn and Smart

  • @mutumbisalash923
    @mutumbisalash923 2 ปีที่แล้ว +2

    Mzazi wa E F.M kwa maongezi ya ki smart, kizazi kipya kwa jina yake CIZA? mwana wetu wa Tanganyika.
    Kutoka hapa ubeljiji, nikitoa pongezi ya dhati kwako mtangazaji bingwa SALAMA JABBIR. Ndoto yangu ni ya kukutana na wewe na Kunihoji hapo; mkasi au kwangu inshaALLAH

  • @Agatee01
    @Agatee01 2 ปีที่แล้ว +1

    Yes, I will be there In Jesus name

  • @elizabethmwakalinga5271
    @elizabethmwakalinga5271 2 ปีที่แล้ว

    Endelea kubarikiwa Majizzo,umenijenga sana

  • @saidalssa3409
    @saidalssa3409 2 ปีที่แล้ว +1

    Great work salama keep it up

  • @melkizedeckelsonmbise4424
    @melkizedeckelsonmbise4424 7 หลายเดือนก่อน

    Safi,,natamani hii meza angekaa Ruge nae ateme madini.

  • @charlesbakari7265
    @charlesbakari7265 2 ปีที่แล้ว +1

    Majjizo umeniinspire Sana

  • @alinagwemwaselela9053
    @alinagwemwaselela9053 2 ปีที่แล้ว

    Was waiting for this aisee...Najifunza SAAANA.

  • @nsajigwamwanjati5119
    @nsajigwamwanjati5119 2 ปีที่แล้ว +2

    Salama tuletee Gwajima

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 2 ปีที่แล้ว +3

    Nasubiri SALAMA NA ADAMU MCHOMVU

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 2 ปีที่แล้ว +2

    Akili nyingi hiii🔥🔥

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 2 ปีที่แล้ว +2

    Wow

  • @lawizeentertainment5021
    @lawizeentertainment5021 2 ปีที่แล้ว

    Hakuna kukata tamaa big up bro Majizzo

  • @irenengatia4289
    @irenengatia4289 2 ปีที่แล้ว +3

    The show is 🔥🔥🔥

  • @sumahililuis85
    @sumahililuis85 2 ปีที่แล้ว +2

    Naomba link ya interview ya salama na ommy dimpoz pl

  • @susancharles1660
    @susancharles1660 2 ปีที่แล้ว

    Huyu kaka ni smart sana👏🏽👏🏽👏🏽

  • @zainabubakari4156
    @zainabubakari4156 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali Sana Kk Ma..J

  • @deboraezekiel784
    @deboraezekiel784 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaaa nimejifunza

  • @ApipaTV
    @ApipaTV 2 ปีที่แล้ว

    Asante Salama
    Nakupenda
    unafanya kazi nzuri

  • @dedsecmalis2005
    @dedsecmalis2005 2 ปีที่แล้ว

    Endelea kubarikiwa bro 💪🏿

  • @happinessjohn607
    @happinessjohn607 ปีที่แล้ว

    Yupo vizuri

  • @hadijajumanne5493
    @hadijajumanne5493 2 ปีที่แล้ว +2

    Kama wanakuja kukamata gaidi wabongo duuh

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 ปีที่แล้ว +2

    Big men for now

  • @mamukinyogoli5549
    @mamukinyogoli5549 2 ปีที่แล้ว +1

    Majizo unafanana na waziri simbachawene

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 2 ปีที่แล้ว +1

    Salama ...! Mwenzio FARASI!?

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 2 ปีที่แล้ว

    dah genius majizoo

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 2 ปีที่แล้ว

    Asanteni Sana

  • @hadijajumanne5493
    @hadijajumanne5493 2 ปีที่แล้ว +3

    Na hasa watanzania waķiona mtu anamaendeleo wanakuwa na chuki yani majay yuko na point

  • @sarajoseph4253
    @sarajoseph4253 2 ปีที่แล้ว

    Good interview

  • @HusseinSalumu-o1e
    @HusseinSalumu-o1e 9 หลายเดือนก่อน

    KWA MAJIZO FORSHIZO LULU ANAMTU MAJAY NI MTU MWENYE ROHO TOFAUTI SANA ANAFORCUS SANA KWENYE UTU NA MAENDELEO

  • @selemanimuhanga4018
    @selemanimuhanga4018 2 ปีที่แล้ว

    Hii show Kali Sana! Big Up Yahstone

  • @mbechajumaa7966
    @mbechajumaa7966 2 ปีที่แล้ว

    Namkubali San kaka majizo yani ntaishi na vitendo vyak

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha3740 2 ปีที่แล้ว +1

    Very nice

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 ปีที่แล้ว

    We need Fred vunja bei

  • @winifridambilinyi8043
    @winifridambilinyi8043 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice interview🥰

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 ปีที่แล้ว

    Apo kwa Elizabeth pamenigusa Sana Mungu awaweke