Salama Na OSCAR OSCAR SE6 EP39 | UALIMU?! SI WITO!! PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Mwaka 2018 ndo nilimfahamu Oscar baada ya kukutana nae kwenye kituo changu cha kazi ya kutangaza mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini. Alikua mmoja ya watu ambao walinikaribisha vizuri sana kwenye team na kwa wakati huo yeye ndo alikua anaishikilia rekodi ya kuwa ndo mtangazaji mdogo zaidi kwenye team ya watangazaji nami nikaja kama Binti PEKEE ambaye ambaye alikua anatangaza mpira wa miguu kwa lugha ya Kiswahili. Combination yetu ilikua nzuri sana na kwa kipindi hiko ambacho kilikua cha mwezi mmoja tulielewana na ku bond vizuri sana.
    Oscar anapenda raha, anapenda kucheka na kuishi vizuri, anapenda ukweli na kubwa zaidi ni Rafiki mzuri sana. Pengine la zaidi ambalo nna uhakika Mama yake mzazi kule Kaliuwa anajuvunia sana ni la usomi, ni mwanafunzi mzuri ambaye anapenda kujiendeleza, sasa anamalizia Masters yake kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Alishawahi kuwa Mwalimu kipindi cha nyumba kwenye maisha yake na kwa mawazo yangu ya haraka hii ndo ambayo inamfanya awe ni mmoja kati ya wachambuzi makini kabisa ambao nchi hii inayo, nguvu yake ni kuhakikisha pale kwenye ukweli unasemwa hata kama itakua kwa njia ya mas’hara, ila atausema!
    Aliamua kuwa Baba na hili ni kwa mujibu wake baada ya kunikatalia katakata kwamba mtoto wake wa kwanza alikua ni wa ‘bahati mbaya’ kama ambavyo baadhi ya wazazi husema, Oscar anasem alikua anajua nini anafanya na Mama wa mtoto yule so kusema alikuja kwa bahati mbaya ni kama kumkosea mtoto yule ambaye alikuja kipindi ambacho Oscar alikua bado hajajiweka vizuri kwenye maisha yake na zaidi kwenye masuala ya kazi, na pia ananikumbusha jinsi alivyokua anajiona anajua saana na kama vile watu waliokua wanampa nafasi kipindi kile kama vile walikua hawanuelewi kabisa.
    Anaamini kwenye kujifunza kila kukicha ili kupanua wigo wa uerevu na kwake yeye Elimu ndo ufunguo wa maisha toka siku ya kwanza.
    Kama Baba wa watoto wawili ambao kwa kiasi kikubwa amekua hapo kwaajili ya vijana wake, Oscar anaamini kwenye kuwa pale kwaajili yao, kuwapa kile ambacho yeye hakukipata kutoka kwa Mzee wake wakati anakua, kuwa pale kwaajili ya watu wa familia yake na zaidi Mama yake ambaye kwa mujibu wa Oscar Mama ndo nguzo yake. Binafsi nayajua mengi ambayo amayafanya Kijijini kwao Kaliuwa kwaajili ya familia yake na hata ambao hawamhusu.
    Humu mimi na Rafiki YANGU tulijadili mambo mbalimbali ya ki maisha na familia, kazi na muskabali wa biashara ya mpira kwenye NCHI yetu na dunia kwa ujumla, pia tuliongelea umuhimu wa familia na kupata mtoto ukiwa na umri mdogo, suala la ajira na hustle wakati tunakua nalo hatukulicha nyuma. Yangu matumainj nawe uta enjoy pia.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 62

  • @leonardcharles3169
    @leonardcharles3169 ปีที่แล้ว +36

    kiukweli juu ya suala la ualimu Oscar ameongea vyema sana, Mimi pia nimemaliza degree ya ualimu pale udsm, baada ya miaka 2 ya kazi ya ualimu kwa kuzingatia aina ya malengo niliyonayo kwenye maisha, niliacha kazi na kurudi chuoni kusomea fani nyingine ambapo nilimaliza degree ya uchumi na kupata ajira kama mchumi. kiukweli mafanikio niliyoyapata ndani ya miaka 6 ya ajira kama mchumi, mwalimu anaweza kuyafikia kwa miaka 65 ya utumishi wake

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 ปีที่แล้ว +2

      Mafanikio yetu sisi waalimu tukibahatika ni kusomesha ndugu,watoto,hao wakisoma fani Kama hiyo yako na wanakuwa na mafanikio

    • @mastermind5729
      @mastermind5729 ปีที่แล้ว

      @@hadijamandanje6189 🤔

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 ปีที่แล้ว

      Ukweli 100% mm mwenyewe naona kabisa sitoboi.

    • @jamessanga7120
      @jamessanga7120 ปีที่แล้ว +1

      inategemeana unazungumzia nini, mshahara au pesa! unaweza ukawa na mshahara mdogo ila ukawa na pesa nyingi watu wana mawe ya kutosha unaweza dhani una hela kumbe kwa waalimu wengine ni za kawaida sana!

    • @simonmdemu
      @simonmdemu ปีที่แล้ว

      Mkuu

  • @mohammedhalfan
    @mohammedhalfan ปีที่แล้ว +1

    This is my favourite online session at this digital platform....I like it.....big up Ace jay

  • @theophilromward4996
    @theophilromward4996 ปีที่แล้ว +6

    I see! This Oscar is very intelligent! Hii ongea yake ni ha level ya juu mno.

  • @josephk90
    @josephk90 ปีที่แล้ว +5

    Dah! Kumbe Oscar msomi🖖
    Ila Salama video zinachelewa sana.

  • @tattoz4677
    @tattoz4677 ปีที่แล้ว +3

    Nice, look different madam Salama, we appreciate your work
    One of the best show to ma life

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes ปีที่แล้ว +1

    Tujuane baada ya Oscar kuja WASAFI 💪💪💪💯💯💯💯💯✔

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962 ปีที่แล้ว +3

    Kila mtu ni mhimu,katka maisha na wote tunategemeana.maisha ni kama engine au ni system kila kifaa ndani au nje ya engine kinamanufaa.

  • @damiankimaro9665
    @damiankimaro9665 ปีที่แล้ว +3

    Salama na oscar oscar💪💪💪💪

  • @husseinmajid2390
    @husseinmajid2390 ปีที่แล้ว +1

    Salama amemuuliza very simple technically kuhusu UHARAKA kwa namna alivyojifunza na tunaomsikiliza,sasa alivyojibu Oscar mbona mlolongo na kajibu vitu tofauti. He was answer to reply.

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 ปีที่แล้ว +2

    Acha ualimu uwe KAZI💪💪💪

  • @tanziluhizza8214
    @tanziluhizza8214 ปีที่แล้ว +3

    Tuko pamoja salama na Mzee wa kaliuwa

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 ปีที่แล้ว +2

    OSCAR THE BIG BRAIN ✊

  • @mussamoshi3205
    @mussamoshi3205 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali sana mwamba

  • @musagiriba7155
    @musagiriba7155 ปีที่แล้ว

    Salama noma sana

  • @chidydullah1714
    @chidydullah1714 ปีที่แล้ว +2

    Mzee wa kaliuwa

  • @hamida_educationist7224
    @hamida_educationist7224 ปีที่แล้ว +2

    Amejibu vizuri kwenye swali la ualimu. Serious note education kama professional haijazingatiwa...

  • @mombamo5
    @mombamo5 ปีที่แล้ว +1

    Daaaaah huyu jamaa apindishag maneno, ni mkwel all the time

  • @angansiaswai4520
    @angansiaswai4520 ปีที่แล้ว

    @Salama appreciate

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 ปีที่แล้ว +1

    Daa.! Oscar ana uthubutu😅✊🙌

  • @emanuelkiwanuka578
    @emanuelkiwanuka578 ปีที่แล้ว +9

    Episode ya zuchu ilishushwa Nini aionekani Tena y??

    • @CoachHafidh
      @CoachHafidh ปีที่แล้ว

      Hata mi najiuliza

    • @catenzeki678
      @catenzeki678 ปีที่แล้ว

      mm pia nmeitafuta saaana

  • @stevennyondo2215
    @stevennyondo2215 ปีที่แล้ว +1

    Ualimu ulikuwa wito zaman saiz ni kazi.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa Kaliuwa on fire

  • @Bongovlogs
    @Bongovlogs ปีที่แล้ว +2

    Salama leo kakutana na mtu anaongea kama cherehani 😂😂

  • @kelvinedward5091
    @kelvinedward5091 ปีที่แล้ว +1

    Kwa hyo wote tusiwe walimu.. Nyie matajiri watoto wenu watafundshwa na nani

  • @alexmoses1430
    @alexmoses1430 ปีที่แล้ว +1

    Salama mtafute Jesse John ufanye naye interview

  • @bulahlushali6081
    @bulahlushali6081 ปีที่แล้ว +1

    Kazi yeyote ya kutegemea mshahara haiwezi kukutoa kimaisha,,, fanya Cha ziada nje ya mshahara.

  • @adriafurahamatemu6080
    @adriafurahamatemu6080 ปีที่แล้ว +2

    💯💯💯💯💯💯

  • @fredrickswai2566
    @fredrickswai2566 ปีที่แล้ว +2

    Kwenye TBC kuna kakipande hapo kamekatwa afu story ikachange. If u know u know

  • @Gtunewaves
    @Gtunewaves ปีที่แล้ว +1

    A BOY FROM KALIUA

  • @mwinyijumamtoo4011
    @mwinyijumamtoo4011 ปีที่แล้ว +1

    Kwani walimu siwanafanyiwa assessment ndio interview yake kinachopaswa kufatwa ni apate ajira prvte ndio wafanyiwe interview

  • @hashemsaef1516
    @hashemsaef1516 ปีที่แล้ว +2

    Salama hata mwalim hawezi kuwa mwalim kabla haja fundishwa

  • @georgekweyamba5569
    @georgekweyamba5569 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @mrishomkolela4633
    @mrishomkolela4633 ปีที่แล้ว +1

    NASUBIL INTERVIEW NA MPOKI

  • @Football-cl2hj
    @Football-cl2hj 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa kaliuwa😂😂

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 ปีที่แล้ว +2

    Unapenda Mazoezi?? Njoo jifunze kupitia Mazoezi rahisi ukiwa nyumbani bila kwenda gym subscribe pia

  • @raynellyaugustino3237
    @raynellyaugustino3237 ปีที่แล้ว

    Kwani Salama unaolewa lini tuje Ubwabwa nawewe?

  • @Limonga_jr
    @Limonga_jr ปีที่แล้ว

    First

  • @Ganzo077
    @Ganzo077 ปีที่แล้ว

    Second

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 ปีที่แล้ว

    Vuta sn sigara huyu jmaa

  • @emmanuelerasto8137
    @emmanuelerasto8137 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa bwana muache2 ana akili sana

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 ปีที่แล้ว +1

    Aalafu wataitoa 😂😂😂😂

  • @fra_nyuki
    @fra_nyuki ปีที่แล้ว

    7th

  • @tinnobobu3404
    @tinnobobu3404 ปีที่แล้ว

    Ivi nin maana ya #likitokaliote

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 ปีที่แล้ว

    Majibu zaidi ya kilichoulizwa...😥

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Kwanini nyingine amuwek TH-cam

  • @juliamlonda7991
    @juliamlonda7991 ปีที่แล้ว

    akili nyingi sana.