I love this man for free, open heart, down to earth, very composed, he loves God, humble the list continue, l prayed to God for his safe return, faithful God his back in one piece, a country needs people like him, may God protect him always.
napenda sana kuangalia interviews za watu walio fanikiwa kimaisha au matajiri au the most successful individuals kwa lugha ya wenzetu... kitu ambacho nime jifunza toka nianze hii hurka ya kufatilia interviews za style hio.. ni kwamba "the most successful people think, act, speak, behave, almost 99% different from low life individuals" kitu kingine success needs TIME am gonna put that in capital letters... jamaa alianza 1998 kutafuta utajiri / biashara tuseme lakin its upto this moment ndio tumsikia sasa kua ana pesa according to FORBES, so take lets say 2013-1998= 15 years, so guy roughly ali hangaika for 15 Years kuweza kufika kwenye pick aliyopo sasa which shows a degree of patience and determination he has. Congratulations! at some point am inspired.
Kwakeli Mo Dewji anasema ukweli ...I give you lots of respect!!even in UK your dad help lots of Tanzanians. Please keep doing what your doing. And mkasi producer you have one of the best program in tanzania.
Yaa Allah kama ulivyomvusha nabii yunnus kwenye tumbo la samaki, ya Allah kama ambavyo uliufanya moto kwa Nabii Ibrahim ukawa barid, Allah tunakuomba na huyu mja wako mo popote alipo umrudishe salama Yaa Rabb😢😢😢
tangia moo atekwe sina raha katika nafs yang na namuomba ALLAH amlinde huko aliko na inshaallah atapatikana akiwa salama. 2gther from soni lushoto tanga tanzania
Jamani nye mliomteka turusishieni mo wetu salama maana ni mtu muhimu sana kwa nchi hii leo ndo nimesikiliza intavyu yake maashaallah ni mwanaume wa maaana sana
this is epic and inspiring.salama next time invite abubakar bahressa(son of said salim bahressa) for interview.I hear he is the master mind behind bahressa's success in business. we would like to hear something from him.
+Steven Mamba "The society prepares the crime..the criminal commits it" Ndo maana hata leo hii watu wameekewa sehemu za kuvukia barabara salama mfano "zebra cross" lakini hawazitumii badala yake wanajivukia ovyo sehem wanazotaka. *Maana ya mfano hapo juu ni kua Matatizo ya Tanzania yanatokana na mfumo ulioandaliwa au kutengenezwa na Taifa (Tanzania) ndio maana unakuta makosa hayo.
very inspiring...ni mfano mzuri kwa vijana wengine...kwa kweli tunatakiwa tuamke tukafanye kazi hasaaaaa....biashara. I salute you Mr. Mo....endelea kupambana ukawe mwanga kwa wengine....
Daaagh yani brother wangu umeniamsha akili yangu sanna na hadi sasa sijui upo wapi Umeniwachia Majiraha makubwa sanna na Namuomba mungu Akulinde na kila sharii By Salim Mohammed Awamy from znz
Hii ni interview nzuri Sana na pia nimejifunza mengi kupitia Mohamed Dewji. Natamani sana siku moja kufanya mambo kama haya aliohadisia... Ntajitaidi kutimiza aliyotushauri Mo. *Mungu nisaidie katika hili.Amen!
Kaka mo nnakuombeaa duwaa kwa mungu yaaraby akulinde na akutowe kwenye makucha ya mayahudi haoo yaaraby akufanyiee kila la wepesi yaaraby mmungu awatiee imaani na huruma haoo walio kutekaa YAARABY mmungu watiee imaani kwakilaa aliee shiriki kwa kudhulumiwa kakayetu mo kama walivyo amrisha atekwee basi mmungu watiee imaani na uwafanyiee moyo mwepesi wakutowa ambri arejeshwe kwa usalama na afya yake YAARABY jaaliyaa mo wamrejeshe akiwa yuhaii AMEENA YAARABY 🙏🙏🙏🙏🤝🤝
Honesty is an expensive thing don't expect it from cheap people! I love this😘💕💕..........Jaman mrudisheni mo wetu ! Mungu simamia maisha ya mtu huyu Amen. Soon Mo atarudi akiwa salama naamini Mungu anaona hili kwani hawezi ruhusu mwenye haki wake ateseke kiasi hiki....
dewji kasema anataka kufungua "benki zitazotoa mikopo midogo kwa riba nafuu" alafu salama akasema "in shaa allah mungu atakusaidia", ajui maskini kwamba Allah kwenye quran katangaza vita na wala riba
Mungu nakuomba mlinde huko alipo arudi salama na watekaji Mungu husika kikamilifu najua ww wajua kila kitu kuhusu mor ww ulie mlizi wa kila kiumbe Mungu wa mbingu na ardhi wafedheheshe hawa waliomteka huyu kijana
Pongezi zangu kwa Team "MkasiTv".. Ongezeni interview na watu tofauti kama hii hapa. sio star wa muvi na miziki tu. nice job. Salama is an amazimg person
Tujuane ambao tunaangalia leo 2024
🏃
Nani anaangalia 2024?!!
pamoja 2024
Only future young Billionaires @modewij
Mimi
Mimi
Ok
Kama bado unaangalia hi 2020march gonga like hapa
I love this man for free, open heart, down to earth, very composed, he loves God, humble the list continue, l prayed to God for his safe return, faithful God his back in one piece, a country needs people like him, may God protect him always.
The BEST interview ever, Mo is wonderful, Salama tuletee watu kama hawa wenye muelekeo.
napenda sana kuangalia interviews za watu walio fanikiwa kimaisha au matajiri au the most successful individuals kwa lugha ya wenzetu... kitu ambacho nime jifunza toka nianze hii hurka ya kufatilia interviews za style hio.. ni kwamba "the most successful people think, act, speak, behave, almost 99% different from low life individuals" kitu kingine success needs TIME am gonna put that in capital letters... jamaa alianza 1998 kutafuta utajiri / biashara tuseme lakin its upto this moment ndio tumsikia sasa kua ana pesa according to FORBES, so take lets say 2013-1998= 15 years, so guy roughly ali hangaika for 15 Years kuweza kufika kwenye pick aliyopo sasa which shows a degree of patience and determination he has. Congratulations! at some point am inspired.
Mwenyezi mungu akulinde urudi salama kaka yetu na hao waliokuteka walaanike laana zote mbaya Amen..
Kwakeli Mo Dewji anasema ukweli ...I give you lots of respect!!even in UK your dad help lots of Tanzanians. Please keep doing what your doing. And mkasi producer you have one of the best program in tanzania.
Yaa Allah kama ulivyomvusha nabii yunnus kwenye tumbo la samaki, ya Allah kama ambavyo uliufanya moto kwa Nabii Ibrahim ukawa barid, Allah tunakuomba na huyu mja wako mo popote alipo umrudishe salama Yaa Rabb😢😢😢
Such an inspiration
tangia moo atekwe sina raha katika nafs yang na namuomba ALLAH amlinde huko aliko na inshaallah atapatikana akiwa salama. 2gther from soni lushoto tanga tanzania
Emed Ibrahim sio ww tu brother laiti tungekuwa nauwz wakujua awa wachawi walipo asee kaka wangenda kututeka wote
Yaani tupo wengi roho inaniuma sana sina raha natamani hata nitambue alipo wapi ila naamini yupo salama Nina imani hyo mungu amsaidie
Emed Ibrahim m
Mungu akupe maisha marefu
very inspiring interview
This was the best interview since nimeanza kuangalia mkasi.
+denis ildephonce with influential person
denis ildephonce
Mashaallah nakuomba uje kuwekeza na zanzibar ili tufarijike na sisi
exactly
kabisa
Love the interview
Nani bado anaangalia November 2019
Mimi nipo nawe
Na mm
..Riba {Dhambi ya Riba ni Zaidi ya MTU aliyefanya mapenzi na Mama yake Mzazi}😊😊😊Tupige kazi,Pepo ni yetu sote
Kweli kaka
That's very great and inspiring !!
Jamani nye mliomteka turusishieni mo wetu salama maana ni mtu muhimu sana kwa nchi hii leo ndo nimesikiliza intavyu yake maashaallah ni mwanaume wa maaana sana
Hamida Hamdani
this is epic and inspiring.salama next time invite abubakar bahressa(son of said salim bahressa) for interview.I hear he is the master mind behind bahressa's success in business. we would like to hear something from him.
+joseph mabrouk Bahressa yupi ? Anaemiliki bandari kavu iliopitisha containers 320 bila kulipa ushuru ?
+Steven Mamba sio kila kosa linalofanywa na mtoto ndio kusema katumwa na mzazi wake
+Steven Mamba but i think of you complain it wont change anything
+Steven Mamba "The society prepares the crime..the criminal commits it"
Ndo maana hata leo hii watu wameekewa sehemu za kuvukia barabara salama mfano "zebra cross" lakini hawazitumii badala yake wanajivukia ovyo sehem wanazotaka.
*Maana ya mfano hapo juu ni kua Matatizo ya Tanzania yanatokana na mfumo ulioandaliwa au kutengenezwa na Taifa (Tanzania) ndio maana unakuta makosa hayo.
poln
Wow thanks Mohammed Dewj. Dah you have inspired me a lot.
very inspiring...ni mfano mzuri kwa vijana wengine...kwa kweli tunatakiwa tuamke tukafanye kazi hasaaaaa....biashara.
I salute you Mr. Mo....endelea kupambana ukawe mwanga kwa wengine....
Allah atamsaidia mja wake,vile vile serikali yetu imara inafanya kazi usiku na mchana,hivo kila kitu kitaenda sawa.Mungu Ibariki Tanzania
very inspiring....thanks for the show
One of the greatest Gift from God is that kuwa huyu #MoDewji anayo hekima na always GOD WILL BE ON HIS SIDE ALL THE WAYS UP.. 🗽🌍🌟👌🙏😢
Hii ni mojawepo wa shoo za mkasi zilizonipendeza sana....vijana tujitume na tuweke Mungu mbele.
Sijawahi kumsikia mo ata ugomvi na mtu yeyot, MUNGU MSAIDIE HUKO ALIKO AWE SALAMA, AMIN
ameen
HADI SASA???
MANARA WALIKOSAN
Salama please interview more great people like MO instead of bongo flavor artists only
But so far it's the best show I've ever watched.big up
M
Kati ya interview bora Tanzania, stay blessed for doing this.
Daaagh yani brother wangu umeniamsha akili yangu sanna na hadi sasa sijui upo wapi Umeniwachia Majiraha makubwa sanna na Namuomba mungu Akulinde na kila sharii By Salim Mohammed Awamy from znz
Usijali kaka wanaosema umerithi,..u my champion bro..u so humble and mostly i like from u u so humble
I feel for him and his family. Pray for him to be found safe and sound InshaAllah
this is my favourite episode of mkasi,like that man,God bless u.got inspired by this man,need more interview like this.
Zombi
@@mzamiloothman6359 zombie not zombi 🤣 mad man 🤣
Hii ni interview nzuri Sana na pia nimejifunza mengi kupitia Mohamed Dewji. Natamani sana siku moja kufanya mambo kama haya aliohadisia... Ntajitaidi kutimiza aliyotushauri Mo.
*Mungu nisaidie katika hili.Amen!
AMIIN
It was a fantastic interview
Sad that he is gone...poleni from Kenya living in Germany. Have learnt a lot from him Dankeschön
luise-lotte Fidan gone???
What! Mo alifariki
yarabi mfanyie wepec Mo hao waliomteka wamuachie akiwa salama.
Kiluvia Samia
Amin yarabi ishalla kwani wangelimwambia awape pesa siangeliwapa tu lkn wametaka tu kumfanyishia
Good guy
Nimekuelewa sana Boss
Mimi ndiyo leo nimepita kibahati tu na nimependa sana maelezo yake na hasa ukizingatia body language unakuja kuta anachokisema KINAMTOKA MOYONI
I appreciate u guy!
Eeh M/Mungu Naomba umlinde Huko aliko na utusaidie Apatikane Inshallah
MO.. u r nice boy.! Mungu akulinde huko waliko kupeleka' maskiin kijana wewe wamekudhulumu.! subra kwa family na wazee wako.!
I love it thank you
Kaka mo nnakuombeaa duwaa kwa mungu yaaraby akulinde na akutowe kwenye makucha ya mayahudi haoo yaaraby akufanyiee kila la wepesi yaaraby mmungu awatiee imaani na huruma haoo walio kutekaa YAARABY mmungu watiee imaani kwakilaa aliee shiriki kwa kudhulumiwa kakayetu mo kama walivyo amrisha atekwee basi mmungu watiee imaani na uwafanyiee moyo mwepesi wakutowa ambri arejeshwe kwa usalama na afya yake YAARABY jaaliyaa mo wamrejeshe akiwa yuhaii
AMEENA YAARABY 🙏🙏🙏🙏🤝🤝
Dah mo hongera sana Mungu wako akutie nguvu sana kwa elimu hii nimejifunza kitu kikubwa. Nataman sana kufikia malengo hayo
U are an inspiration👋
Mchz anaongea lugha ya kupata pesa tu safi sana afu anasema pesa ipo kwenye kilimo na kwenye biashara let me deal with kilimo ooh my God
set
on
mo nikichwa chakuingwa
I think,..this inspires me.
the best interview
interview bomba kuliko zoteeeee....dah!inatia moyo sana
yah i lov it
Best interview so far for me
Naipenda interview hii 👍🏾✅
Ndoto yangu ni kufungua kampuni kubwa ipo siku mungu atanifanyia wepesi ndoto yangu itakuwa Kweli ❣️❣️
Allahum amina Mungu atajalia inshallah🙏🏼
😂
Kua na ndoto shida
Je mpango wa company unao?
Your my inspiration guys.
I never comment before but this am so motivated
Honesty is an expensive thing don't expect it from cheap people! I love this😘💕💕..........Jaman mrudisheni mo wetu ! Mungu simamia maisha ya mtu huyu Amen. Soon Mo atarudi akiwa salama naamini Mungu anaona hili kwani hawezi ruhusu mwenye haki wake ateseke kiasi hiki....
Best interview ever
Very educational interview
🤗🤗jaman maneno yapo good san mmenifungua tumacho thanks mkasi na mo😗
nice and educative interview.. thank you guys
Good inspiration MO well done we'll still love you too
Mashallah tabarakallah mungu akubarikii akuepushe na hasad☝Baraka allah fikk❤
its very inspiring
ameajiri zaidi ya watu 28,000 Tz. big up sana.
Masha Allah
Salama na Team yako....Uwelewa wenu wa mambo ya biashara ni mdogo sana kuweza kum-interview MO ila hongereni kwa kujaribu na kupata opportunity hiyo.
pumbavu ww kamu interview ww
@@adamrafikimwambuluma3288 In true broo
That"s interview is very encourage me,
wow, inspiring
2021
Salute kwako Dada Salama 🙋♂️🙋♂️🙋♂️
yahhhh nasonga mbele tu safi sana MO ni dawa ni hiyo!!
Wonderful
So good, Who’s watching in 2021?
Very inspiring story from a fellow African.
more dewj lov u and keep it up.... binadam tumezoea kukosoa ucjal ndyo chachu ya maendeleo yako na kwetu sote hakuna aliyekamilika..........
dewji kasema anataka kufungua "benki zitazotoa mikopo midogo kwa riba nafuu" alafu salama akasema "in shaa allah mungu atakusaidia", ajui maskini kwamba Allah kwenye quran katangaza vita na wala riba
M'Mungu akuzidishie unahuruma na imani..
thanks mkasi kutuletea huyu jamaa
mo amenifunza mengi yenye faida
Aisee watu wapo smart naangalia sana clips za hii interview sikuwaza kama aliongea 9 years ago mwamba ni inspirational🏌️♂️
Mashaallah...
Very inspiring, god bless you
thanks Salama kwa hakika nimepata faida kubwa leo
Allah akupe uzima uko uliko wakuachie ukiwa salama, najikuta nalia kwa mtihani huu uliokukumba, Allah mfanyie wepec mja wako aachiwe akiwa salama.
Jaman Masha Allah Mungu atamrudisha huyu kaka Wallah anahekima Sana Allah atamfanyia wepes arud salama
Maa Shaa Allah ❤
I like this guy,
If you can dream it
You can have it .
Mungu nakuomba mlinde huko alipo arudi salama na watekaji Mungu husika kikamilifu najua ww wajua kila kitu kuhusu mor ww ulie mlizi wa kila kiumbe Mungu wa mbingu na ardhi wafedheheshe hawa waliomteka huyu kijana
I like this guy. he is genuine hope to meet him face to face..
You are the best in the world
am really inspired
Mohammad you are the man of people
Hongera,nimetazama kutoka Kenya,mwapendeza sana,mungu alinde Mo
Mungu akupe afya daim
very very Inspirational
the guy is amazing...
The Guy is Brave.............Big Up Sana
Yaaa Allah mfanyie wepesi Mo Dewji arudi salama yaliyompata huyu ndio yalimpata Dr Shika. Najisikia vibaya sana
Eeweeeeeh_🤔
2020...nan yuko hapa
Pongezi zangu kwa Team "MkasiTv".. Ongezeni interview na watu tofauti kama hii hapa. sio star wa muvi na miziki tu. nice job. Salama is an amazimg person
A creativity man
Duh! Learned a lot!!!! Bonge moja la interview👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾