EXCLUSIVE: LEO LULU AVISHWA PETE NA MAJIZO CHEKI FULL VIDEO MACHOZI YALIVYOMTOKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2018
- LEO LULU AVISHWA PETE NA MAJIZO CHEKI MACHOZI YALIVYOMTOKA
Kupitia Cheni TV msanii wa filamu ELIZABETH MICHEAL LULU Amepewa suprise ya kuvishwa pete na mpenzi wake MAJIZO live.. cheki hii Exclusive - บันเทิง
Kama umerudia tena hii video baada ya ndoa ya lulu tujuane😃😃😃😃
Nipooooo
😂😂😂Kjikumbusha muhimu
😂
Vipi tena Kwan hawako pmja
😂😂😂😂
Nairudia Tena
Baada ya hawa kupata watoto wawili,wakiume na Wa kike..
Mama GG Mrs MJ
Congrats Lulu, you deserved this, am really happy for you darling. Have a blessed start once again.
Hongera sana Lulu kwa kuvalishwa pete na mtarajiwa wako Mumeo Majizo.Aliona wengi wasichana ila kakuchagua wewe uwe mke wake mwema. Mungu awabariki ktk maisha yenu.
It
Hongera sana Dada yangu mpendwa Lulu
Hongera sana lulu, Mwenyezi Mungu akutangulie na akulinde kwenye safari ndoa yako😘😘
Sidi Mtawali 🙏 nimefurah sana jmn
from what you went through .to get a man who will always stand with you it's not easy .thank God for the happiness of lulu .thanks so much majizo for being there for lulu .congratulation to you .I can't wait for your official marriage
Joan Mbabazi
Am so happy for you guys majizo and Lulu kweli nimefrahi mnoo juu yako Lulu Mungu awatangulie muishi kwa amani na upendo narudia nimefrahi mnoo
Hongera my dear mm pia nalia kwa furaha😢mungu awajalie amani n upendo n maskizano daima Amiin
Mungu akusaidie lulu mama
yaani hata mimi nimetokwa na machozi
Mashaallah Mashaallah Mashaallah hungera mama
Ameen
Jomoni hujanishinda mm nimefrahi kutoka moyon
Those who dislike these video never get proposed you've gut dirty hearts that can't be washed with soap I'm happy for lulu much love from Kenya Nairobi
Morhy Mataga waaa that English is not from kenya though😂😂😂😂congratulations lulu
Miss Melanin 😂😂😂am Kenyan too but most pple from coast aren't used to English but there is no problem if you av got the meaning and understanding
Wow congratulations
ajali ya mv nyerere
imepeee
Unafaa kuwa mke lulu na majizoo hongera
Majizo kamtuliza sana lulu hakana skendo siku.hiz kapo kimya
Hongera saaaana lulu. Mungu akutangulie kwa kila hatua.
i want to thank Mr.Makonda who is very supportative and Majizzo!!i really respect u so much,u have a strong heart,love and really amazing,if it was other men,would have not waited for LULU!!and u MJIZZO u did wait for her,God will bless u!!!whatever luck!!will come on your hands surprisingly!amen!!HAVE A HAPPY ENGAGEMENT
I cried tears of happiness for her....congratulation lulu. God bless both of you and also those boys. Won't God do it!
hongera sana lulu umepitia mengi hila plz utulie my dy
Delvina Ndossy ,tena atulie kwel na ajifunge mkanda
hongera sana my sister mungu akuongoze na akupe vizaz boora
HV nan anaongea nyuma ya video saut mbaya Ka yangu. Ananiharbia saut.
Mungu akubariki
You deserve to be happy congratulations, God bless you and your new family
Such a great thing! This is wonderful. God bless your union
Lulu your blessed 🙌 😇 I'm here 2023 ..I love you Ellizabeth Michael
honger sana luluuuu mungu awabariki maisha yenu yoteeee na pia big up san dokter cheni we ni mtuuu wa pekee sana kwa luluu huwa humuachi nyuma kabisa mungu akubariki sana
Hongera mdogo wangu, umefanya jambo la heshima,umepitia mengi sn,lkn bado mkono wa mungu ukawa juu yk,,hongera sn nazidi kukuombea
God bless you Lulu and Majizo....live long dears💑💑💑💑
Clair Kip B
Nimekuja baada ya harusi 😍😍😍😍😘😘
Mungu akufungulie mema katika yajayo maishaini lulu . Your very special person and we always wish you well .mungu ni mwema siku zote
Hongera my dear lulu 😍😘
Hongera sanaa dada lulu...hio ni changamoto umetupea na sisi wasichana wenzio...zaidi mungu awatangulie katika safari yenu.
Hongera sana dada yetu lulu nakuomba utunze eshima yako ili uweze kua mke bora na udumu katika ndoa yako
hongera baby lulu MUNGU akupe maisha marefu afute kila kumbu kumb yyte iliyowahi kukuumiza love youu
Waoooo, congratz sana Lulu
Hongera sana kwao
Hongera Sana lulu mungu yuko na wewe atakushindia Ktk maisha yako, mungu wetu achelewi Wala awai but anajibu kwa wakati na huu ni wakati wako💖👍
Hongera lulu
Mungu huwa hajib hivyo acha umama!
I can see true love. Hongera sana na nina tumaini Elizabeth utatulia mdogo wangu achana na yaliyo pita wale watoto hao kwa mapenzi yako yote na uitunze familia yako all the best 🙏
Hongera sana lulu..mwenyenzi mungu awajalie maisha marefu na ndoa yenyu idumu cku zote muwe na furaha awajalie na watoto wa aina yote ndani ya nyumba muishi kushuhudia baraka za mungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hongera lulu..niko na imani ata mimi ipo siku nitavalishwa
Lulu nakuomɓea mema
maajabu kbs lulu ni msani wakwanza kavishwa peter bila kuzini na kila mtu love you Lulu 😁😁😁wema alikuwa akishinda anatangaza ndowa ila Lulu amekaa kimya sasa anafanyikiwa kbs anavishwa pete angali mudogo siyokama wengine wasani 😘
Eti bira kuzini unauwakika gani kama ajazin na majizo unazani wameanza leo au acha kumsakama wema
فهد الحربي bila kuzin?😆
@@yasintaswahasni4747 amemaanisha kuzini na watu wengi congratulations Lulu😍
Kuzn .??ww unaropoka tu hawakuzn walikotoka????
فهد الحربي nampenda sana lulu isna uadui nae ila weqe wanuaje kama haajazini? Au kuzini n kuzaa kabla ya ndoa
Mungu akubarki na azd kuwabarki safari yenu ya maisha Hongera sana majizo kwa upendo wako kwa lulu
Waooo! Hongera sana lulu nimefurai hadi chozi limenitoka Mungu awalinde awape maisha yenye furaha upendo na amani katika maisha yenu
Yani lulu wangu nimefurahi adi nauzunika mungu akujaliye kwenye ndow yako mashabiki wako tunakupenda sana bb
Nani amekata kitungu huku 😭😭😭😭😭😭woow Lulu God time is always the best am happy for you darling
i'am happy for u LULU Michaels,together with our prayers the ones that need u managed to pray until u got out of evil hands of falls accusation,be always strong,and serve GOD every day.
I'm very happy to your employer, and congratulations 🎆 Elizabeth and Majizo, Mungu awatangulie katika safari yenu mpya na kushinda majaribu zaidi ya ayo mliyopitia. Nawapenda sana
Yaani naandika nafuta kwa jinsi nlivyo na furaha iliyotoka mbinguni ooooh Lord .....
Hongera lulu
Safi sana hongera mumgu awafanyie wepec safari yenu
hongera sana lulu
Raha
Amen
Lulu wanifanya nilie kwa furaha
m mwenyew nmelia ndugu
Hongera lulu mdgo wangu
Madam Keni Saleko m
Mou
Nimejikuta machozi yananitoka.... hua napenda sana kuona this gal ana furaha always..... I love you guys and wish you happiness and joy.
Wow this far is God,beautiful gal lulu,glory be to God,for your happiness. I love it.
Sina cha kusema kwa jinsi nilivyofurahii........dear lulu ukawe mfano kwa mastaa wenzako
All the best🎊🎉🎊🎉✨✨✨😘😍😍❤❤🎁👏👏🎁🎁🎁
Linda Amiani congraturation my best
Hongereni Sana wapenzi wangu,,,lulu umewazidi wote hyo nichaguolako.mtunze akutunze,,,safi sana.
Wooooooow #Lulu umenifurahisha Sana kipenzi changu, hata mimi nimetoa Chozi kipenzi Mungu awape maisha marefu yenye baraka tele. 💞💞💞💞💞
Mvumilivu ula mbivu Ongera sana lulu Sweetheart wa Majizo
mungu awa bariki nyote wawili mumepitia mengi
Hongera sana bidada mungu akupe maisha mema pamoja na mwenza wako pls siku ya ndoa iwe live jamni tupo mbali na Tz
Masha'allah adi uchungu allah akulinde vijuso vya binadamu na vikwazo katika maisha yako kila la kheri@Lulu
Hivi Hawa walio disliked hii video wanaelewa maana ya DISLIKE kweli???? au ndo tunabonyeza popote tuu??
Subira Chuttar hata mm naona hawaelew maana yake wanabonyezaa tuu kwa kweli
😂😂😂😂
Computer error
Lulu mungu ayibaliki ndia yako muyishi kwa amani na upendo
hongera sana my dear mungu akutangulie ktk safari yako ya maisha.
wats a lucky
am just happy for you lulu May the grace of the Lord bi upon you dear
Hongera sana lulu mwenyezi mungu awazidishie upendo na furaha.....Amen
Hongera sana lulu
Ni kiki hizo au ni ukweli ?????
Mimi niko burundi nakupenda sana
Hongera Lulu mungu akuongoze katika safari yako ila nakuomba usiache kuigiza
ASHURA HAJI hongera lulu
hakika asiache sanaa
Hongera sana chimami wangu mungu awaongoze ktk hatua inayofuata
Hongera sana LULU kwakuweza kupata Mme,nakuombea kwa mungu udum kwenye ndoa maisha yako yote
Umepitia mengi sana mazito mungu akubariki
All the best lv
Awww that was so sweet i am happy for you Lulu
hongera majizo kwa uvumilivu wote ktk kipindi chote alichopitia lulu mungu akupe furaha ya ndoa mnayoitalajia pia mpate family bora.
Hatimae yametimia hongera saba lulu kwa hatua ulofkia
I’m so happy💃🏽💃🏽💃🏽 congratulations guys🤗
Waooooh lulu hongera sana mungu awapigania awape haja ya moyo wenu
Hogera sana. Lulu mungu awabaliki pamoja na majizo.
Tinya Anosiatha
Hongera sana Lulu mungu ni mwema
Wengine walienda kuwa Ganga .eti waolewe haaaaaa ongera sana lulu .kuna mtu atapata tabu shikiliya sana
wooh hongera sana dalulu hakika mungu ni mwema nifulaha isiyo kuwa na mwesho.❤❤❤❤
Am happy for you kipenziiii ,,,mungu akuongoze kwa kila hatua upigayo
Hamisa mobetto hali taabani leo wenzako waolewa wewe wang'ang'ani master kina diamond😁😁😁😁😁 utazalishwa mpaka Maku ilegeee iyoo ...
Hahahahaha yomiiiiiii
hahaha umenichekesha wewe
Momo Doha dini tofauti mbona majizo
Asa hamisa anahusiana na nin hp kwa lulu mwachen mtot wawatu kila mara kumtaja tuh
Momo Doha ,sasa hamisa amekujaje hapa ? Kwani ameanza yeye kuachwa Aah mbona mwamwandama mtoto wawatu ebu mwacheni
hh crip nimeiangalia toka saa tano mbak saiv saa sabaa daaah Majizo ni mwanaume kat ya wanaume chini ya jua ,, oooh lord give me a men likee Majay 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pls a man not a men
Mungu akupe hitaji la moyo wako
Why ni mwanaume kati ya wanaume!?What special about him!?
Jamani muongee tu kiswahili, mnatia aibu. Mnatuchosha na kutupa kizunguzungu 😰😵. Kuongea kiingereza haina maana wewe ni bora zaidi. Ni lugha tu kama kiswahili au lugha nyingine yoyote. Badilisheni fikira. Pendeni vya nyumbani jamani.
Wow finally so amazing may God be with y’all
Congratulations Lulu may God bless u
Lulu Mshikilie kisawa sawa Coz kuna Vampire 😁😁😁😁😁
😂😂😂😂😂mungu anakuzooom
Momo Doha....na vampire wa kwanza ni Hamisa mchawi
Nikwer yule yule 😬😬😬😬😬
Momo Doha 😀😀😀jinga wee
@@marymarwa8428 😁😁😁😁😁Sawaa tu
Ongera mamy Mungu akutangulie mbele
ongera my
All the best lulu....am super proud of you dear
Wow that's nice lulu congratulations to you my dear habibi am watching from Lebanon Beirut
Yaan majizo katulia sana cjui hamisa kilichomfanya aende kule cjui ni nn.hongera lulu wote mmekutana mmetulia.
Eva Masinde ujue tamaa ndio zinatupoza amisa tamaake ndio ameangukia pua sngejua angevumilia2 kwa uyu, anavozalilika sasa anajuta
Kiukweli nimelia co kwa surprise hii jaman lulu hakika mungu atakufanyia wepesi endapo ukimtumikia
waoh jmn this xo emotional..i feal like crying..Go's time is the best always...
jamani so lovely, nimeipenda sna wooooooooooouh,Mungu awatunze na awafanikishe kwenye safari yenu nzuri mlioianza Mungu awatunze na kuwatetea
Wow hongereni sana Mwenyezmungu awajalie kila la kheri, machozi yafuraha yamenitoka
Awasome, very amaizing, congrats Lulu and Making😍😍😍😍
Hongera Elizabeth Michael, Nimeishi kungoja hii siku. Much love from +254
Wow, what a beauty gal
Congrat's lulu
Mmepitia mambo mengi sana yan jamn halali kwa mlipofikia
Makonda unatuaribia shuhuri haya na hilo litisheti la simba wapi hapo taifa
Ongera sanaaaa my dear lulu mwaaaa nakupenda sana momii mungu awajalie maisha marefu
Wema doktar Michael hahahahahaha
Wema doktar Michael 🏃🏃🏃🏃🏃😂😂😂😂
😁😁😁😁😁😁😁😆
mie niliona hiyo tishet kabla ya yote nikasema kulikoni kuvaa jezi kwenye shughuri kama hiyo. haha
Congrats guyz iwas waiting this for long may God bless u
Hakika Mungu anajua namna ya kumfuta mtu machozi Lulu pamoja nakupitia matazo mengi ambayo yalikufanya ukaona kama umetengwa na jamii lakn Mungu amepa furaha ya milele.Hongera sana LULU Mungu awacmamie mfikie lengo
Jmn ad nimelia nawapnda lulu na majiz mngu awatngulie kila lakhr
Berinho Desmile amen
I seriously cried 😂😂😂she didn't see this coming 😂😂😂😂🌹🌹🌹hongera
War
Kila kit kinapangwa namungu kwann mnapenda kmuongelea hamisa jmn amewakosea nn kwan kuzalishwa kulianza nayey hamisa usiogpe simama kama mwanamke mbon uyo zari kuzalishwa nawangap ila amuongei
Congrats lulu n majizzo.can't wait for the wedding😋😅.kweli Mungu umpa amtakae.wallay rahaaa lulu hadi chozi ❤
From +254 Am wishing u all the best in your love life from bottom of my heart I love you Lulu. Can't wait for ua big day
Congratulations lizy God is good.be strong
Elizabeth
Mungu mkubwa
kwana wototo hao babayao majizo ? mi nilikua sifaam nikizan anae mmoja2 yule alozaa na amisa
Nimekusaidia kufurahi lulu hongera sana sanaaa ukawe mama bora na Mungu atazid kufungua milango ya baraka USIMSAHAU MUNGU ALOKUPITISHA KTK MAMBO MAGUMU ULOPITIA
Congrats dear Lulu..... Just keep on praying to God that uwe mke mzur to Majizo
Mmhhh,unadai kuwa lulu kavishwa pete bila kuzn unachekesha,, huyo mtoto kaanza hizo mishe tangu akiwa na miaka chini ya kumi na nane,,unamkumbuka kanumba ,ally kiba na wengne wengi?,
😁😁😁😁 kashavurugwa sana huyo
shangaa na ww, kuna mijitu kwa kusifia hata ujinga haijambo, MTU anaweza pakaa kinyesi usoni, lakini kwa kujipendekeza, akasema kapakaa foundation grade one, Haaaa, ukilaza mwingine, duuuh,!!
Moses Nghogwa acheni wivu
@@janedaudi8190 kwan hajavurugwa huyo na kina kanumba kilikuwa kidogo afu mtu anasema et cyo mzinzi
Kila mtu ana past yake mkeo mwenyewe au mumeo alikuwa wa mtu so let it be
umenitoa machoz mnooo lulu ww ni mwanamke mama hakuna marefu yasiyo na nchaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭
ongera sana mdogo wangu nakupenda ila jifunge mkanda ndoa ni misukosuko ila usikate tamaa mshukulu mungu kwa kila jambo
Hongera sana my love LULU mungu awasimamie daima mweze kamilisha malengo yenu mlojiwekea😍😍😍
Mungu humbariki MTU tuu kwa kuutazama moyo wake hongera Lulu Mungu kakuheshimu sana zaidi ya yote kakupa watoto wazuri...sana...God bless you so very much...
Kwani ana watto wagapi pls swali?
3boys one girl fantasy wa hamisa mobetto
.2 boys one of those boys is lulus bro
@@jackiemawido5052
Thanks
But where is they're mothers pls swali tena coz I know he has child with amisa I never new he has big boys like that 😘😘😘
Waaah lulu ana mtihani ila siku hizi mbona ni mambo ya kawaids tu familia zawa blended yaani wapata baba ans watoto wengi... Vilevile mama pia
0
Haya mimi yng macho na masikio, tusubir kwenye maisha ya ndoa.tutaona mengi sana